Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ila insider.....

Unachanganya sna mbna kila mtu unae kutana nae Ni pisi Mara dad ake prisca kishamba Ni mkali kupita prisca wkt awali umesem prisca kishamba Ni mashine Zaid ,Tena uliyempeleka air port Ni mwnamke mrembo kuwai kumbeba na kumuona

Embu Seema ukweli Nani mkali
Mkeo,prisca,marry ,iryn,wale wa mam wa will au mchepuko wa Yule kigog wa serkali. Nani mkali katk wote ili niweze ku portroyi piss Ni ipi Kali ktk hzo Seema bila kujali
 

Hajawahi kutana na pis mbovu, zote ni kali[emoji23][emoji23]
 

Dr hakuna sehem ambayo nimeandika kuna dada niliempeleka Airpot ni pisi kali/Mrembo

Prisca kwa mara ya kwanza nilimwona mzur ila nilivyokuja kumwona dada yake ndo nilijua dada yake ni mzuri zaidi sababu alikua na tyako.

Hakuna sehem ambayo nimeongelea uzuri wa mke wangu

Hakuna sehem ambayo nimesema Mzee alikua ni kigogo wa serikali, kuhusu mchepuko wake hakuna nilikosema ni pisi kali ila nilissema baada ya kumkagua niliona mzee anajua kuchagua (siku sema ni pisi kali), unafikir kwa mzee mwenye pesa kama yule angekua na mchepuko wa kawaida??

Sijataka kuandika mambo mengi sana maana nimekutana na wanawake wa kila aina ila mostly ni pisi kali, wanawake wa kawaida nilikua nakutana nao kwenye Bolt sana. Tambua kwanza watu waliokua wanatumia uber ni wale wenye Pesa, wanawake wazuri, uber rate za nauli ziko juu sana tofauti na bolt, pia Uber ilikua inapendwa sana na warembo sababu ya security.

Nimekutana na warembo mpaka nilikua najiuliza mbona hawa wanawake sikutani nao mitaani??, kuna wanawake nimemit nao uyo Prisca mbona cha mtoto na dada yake.

Nimeamua kuandika story na wanawake ambao walikua na impact kwenye maisha yangu, ningesema niandike kila kitu hapa zingefika Epsode 500,

Katika wanawake wote IRYN alikua ni funga kazi aseee, narudia sijawai kukutana na mwanamke mzuri kama Iryn kwa Tanzania hii huyu dada alikua ni pini, kisu, pisi kali, mrembo, cute, beautiful nknk, Mungu ni fundi.

Dr unafikir hapa Tanzania hakuna warembo? waulize madereva wa Uber watakwambia aseee,

grizzman Prince Mhando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…