Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Moja ya kipande kilichoni inspire katika story hii basi hiki ni kimoja wapo....asee nimemwaga hadi chozi naendelea kujifunza na kupata ushuda wa vitu viwili
1.Mungu akipanga jambo hakuna wa kulipinga
2.Tuwe wadadisi na sio wahukumu...Wengi tulimfikiria vibaya iryn lakini mwishoni tumeujua ukwl sivyo tulivyomhukumu
 
JNIA mapema na 00:30 mchana i

00:30 hrs
Ni saa sita na nusu usiku kwa 24hrs clock na 12:30am kwa 12 hrs clock

Mchana ni 12:30 kwa 24 hour clock in au 12:30 pm kwa 12 hour clock.

Ya 24 inaanza 00:00 (midnight) na kuishia 23:59.

24:00 nayo utambulika kama mufa wa midnight

Ya 12

12:00 midnight to 11:59am
Na kuendelea
12:00 pm (noon/midday) hadi 11:59 pm

Story nzuri umeleta

Tangu nikiwa mdogo kindergarten nilipenda 24 zaidi ya 12.
 
Madam cocochanel asante kwa marekebisho umeeleweka.
 
UMETISHA SANA MKUU

"Alikumbuka kuchukua simu mpya kwenye droo na kusahau simu yake ya siku zote"

Waiting for next episode bro!
Ila kwl unajua hapo yanajitokeza maswali mengine simu ya Mama janet alipokea na simu ipo??
Ila yote tisa scenario kama hizi akili inavurugwaga balaa huwezi kuwauzia simu kabisa kwene prukushani
 
00:00 sio AM, ni midnight, AM inaanzia 00:01
12:00 sio PM ni Noon, PM inaanzia 12:01


Unapenda kukosoa vitu vidogo saaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…