Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Awesome clarification, mambo ya exposure hayo.
 
Oya ujuaji wako toa hapa kwenye huu uzi, hizo unazosema unnecessary incidents ndio story yenyewe, we kama umeona ni unnecessary ni bora kukaa kimya na kutoendelea kusoma story
Simple tu kama kunywa maji bro.
Kuna watu ni kama wameumbwa kuja kuharibia wenzao siku.
 

Ilo pia ni jambo jema ila najua insider hawezi kuuza code ya uyo mrembo ye mwenyewe nahisi analitaka ilo colony
 
Mi niliambiwa mnakaa tu kama mawe hamjui muda wa taarifa ya habari umefika muwashe tv?

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Mimi niliwafikia kwa uncle wangu Fulani yaani ghafla sana maana haikuwa kwenge mipango yangu kufika pale maana huyo uncle ndio aliyejisheua nikalale pale kesho niamshe na safari kwa madai kwamba mshua wangu alimsadia sana enzi hizo ana soma.

Sasa kufika pale nikakutana na huyo mke wake nikasoma mazingira ya pale na saikolojia ya huyo mama nikajua hapa sijapokelewa vizuri yaani Bora hata ningeoneshwa zile ishara siku ya pili.

Sikurudi tena Ile nyumba Wala yule uncle sikuwahi wasiliana nae hadi Leo Wala kuonana nae hadi Leo.
 
""...Tulioishi kwa ndugu ndo tunazijua haso, kula kulala manyanyaso, fungasha urudi kwenu best naso... KAMATA CHUPA FUNGUA NA UMIMINE, RAHA JIPE MWENYEWE , MWENYEWE, RAHA JIPE MWENYEWE""
.
.
harmonize-mwenyewe
 
Sasa mishikaki 50 ya nini yote?.

Si mngeagiza nyama kilo tatu au NNE
 
Nimekah kwa kak angu akaniamsha usku nikakioshe kikombe Cha chai na sahani vzr kwani sijatakatisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…