Nahisi jamaa atakuja oa iryn😊Mhuni ashaanza kumchana irene kuwa angetaka angesha mla na kamuuliza je yeye anataka mtoto na iryn akamuuliza mhuni kuwa ana maanisha nn. Mhuni atamla tu iryn naamini hivyo
Awe na wake 3 sasa maana prisca tayaru ana kitu tumboni na kampangia vyumba changanyikeni.Nahisi jamaa atakuja oa iryn😊
Wake watatu noma hapo, iryn haliwiAwe na wake 3 sasa maana prisca tayaru ana kitu tumboni na kampangia vyumba changanyikeni.
Acha tuone kwenye muendelezo. Ila majibu anayo yote huyu mhusikaWake watatu noma hapo, iryn haliwi
Ha haaaa Arsenal wanakusalimia.........Jf bhana..
Nipo hapa nakula Scotch whisky na nasoma hii story..basi full burudani huku nikisubiria kuwafunga Arsenal baadae..
Msimuliaji ni konda msafi,bonge la tambala lileKuna story ya "KUMBU" nimesahau msimuliaji nani
Uvumiliv umeinishinda bwana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimekomenti bila kupenda
Kwahiyo nimekua msemaji wa wengi?😅Tupo wengi hapo [emoji28]
Ila na nyie wake za watu mkiwa na mchepuko nje hamuishi kwenda kumwaga upupu kwa mchepu wako kuhusu mumeo,yani unamsiginia jamaa kiasi angesikia angejiona kama hanithi kudadeeki zenu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanangu we naomba utuambie kama utamla Iryn au lah, mimi ndio kitu navumilia kusoma hiz episode..kama humli naieleza nijikatae [emoji23][emoji23]...
jamaa anakuzingua eehUvumiliv umeinishinda bwana.