Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Unapata madini madogo madogo halfu hapo hapo haikuongezei wala kukupunguzia chochote kwenye maisha
 
Timu pinzani sio 😀
 
Kweli kaka hata mm nilionaga salary slip ya jamaa mmoja anakunja karibia million 3 na ushee kwenye shirika moja hivi
Nikasema sitoleta ubishi kwenye jambo ambalo hulijui
 
Hii nchi kuendelea bado sana, kwa aina hii ya "great thinkers" tuna safari ndefu sana.
Mtu kaanzisha Uzi wake, hajakuita, humlipi chochote, lakini unataka kumpangia Cha kuandika. Mazee kaanzisha Uzi wako huko wa hiyo "true story" isiyo na chai uandike kile unapenda!
Muda wote hii chai, hii chai. Nani kakulazimisha kusoma?
Hata ingekuwa uji, pita kushoto, acha wanaotaka kuifuatilia waendelee..
Siyo kumkatisha mwandishi tamaa. Acheni ushamba na roho za kimaskini kama story ni chai, achana nayo, zipo stori nyingi hapa JF nenda kasome, mwache mwandishi na uzi wake aandike vile yeye anapenda kulingana na malengo na audience yake.
 
Kweli kaka hata mm nilionaga salary slip ya jamaa mmoja anakunja karibia million 3 na ushee kwenye shirika moja hivi
Nikasema sitoleta ubishi kwenye jambo ambalo hulijui
 
Ukinzani lazima uwe na mantiki
hv mkuu una degree, umetumia smartphone zaid ya 3yr, unajua kuhide vtu hatari hatari huko dropbox au google nn sijui, halafu unapoteza simu au kununua simu mpya unaanza kuomba contacts za watu kwa watu, like seriously, halafu tukihoji tunatukanwa.
 
Kama WW mawazo yako yanasema mzee wa chai yupo sahii kwa upande wako......na Mimi nikisema hii Ni chai kosa langu Ni lipi???au kosa la wenye mawazo Kama yangu Ni yapiii??.....Toa hoja zako nami nitajibu kwa hoja.....ukijibu kwa shit utajibiwa kwa shiit pia!!! #REDFROG
 
Nmesahau kukwambia kuwa ndugu INSIDER MAN " Hata mchinga nguruwe akichinja vibaya nguruwe,nguruwe huyo akakimbilia msikitini huku akivuja damu hatakiwi kuacha kazi yake"
 
Kwl asee hata nnaposali kulikuwa na mnada karibuni wa mavuno keki imeuzwa laki 6 !na ni ya kawaida mtu hawezi kuamini kabisa
 
Mla bata mshenzi sana 😀
 
Naungana na wewe.

Ila ni tamu hana budi kuimaliza.
 
 
Huwa unasoma vitabu vya hadithi mkuu ??
Kuna uzi wadau wanapost vitabu mbalimbali vilivyotungwa na waandishi nguli kwa wadogo. Ukisoma hivyo vitabu na mtu anakwambia ni hadithi tu unaweza usiamini jinsi wanavyopanga matukio, maneno na kuumba wahusika.

Hii story ya jamaa kuseme ni true 100% hapana. Maana humohumo anajitahidi na yeye kuficha id yake na ya wahusika.
Na pia kukumbula conv za mwaka jana kwa kila kitu sio rahisi mkuu labda kama alikua anarekodi au kuandika kila sentensi. Mpaka siku alizokua mbwii anakumbuka kila kitu mzee, hivyo kwangu naona ni kunogesha story ili parts zirandane.

Na insider nimshauri kua aache kuaminisha kua hii story ni ya kweli. Mpaka alipofika ishathibitika ni ya ukweli. Ila kwenye uandishi wa story ndefu namna hii huwezi weka ya kweli yote kuna namna utatwist tu kuiweka sawa hadhira yako.

Kinachofatiliwa ni ile content ambayo ndiyo ya kweli. Hizi conv na routes za hapa na pale ni utundu wa mwandishi kucheza na lugha.
 
Jamani mtu wetu huyu ana tabia ya kususa, kwahiyo tunawaomba muache madongo wapendwa wa mungu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…