Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Dude what are you talking about?
Some people are toxic, this happens almost in every story here. Whether ifs true or not it doesn't matter. How I wish my life was like a fairytale. Coming back to earth not very interesting 🤔

If I tell my story I would want it to speak volumes. I once made a dog carry grass on the back..people on the way who saw that said "Gily Gru dog work for the food, no freeloding" Soon everyone gossip "mbwa hali chakula ya bure"

I hope he does finish the story. Huh
 
Simulizi ni nzuri Sana na inavutia kwakweli kuisoma na kuifuatilia..lkn jambo Moja tu linanishangaza ni matumizi ya pesa ya INSIDER MAN yalivyomakubwa mpaka najiuliza, icho kilikuwa ni kipindi Cha Jk au Mjomba Magu..maana 50,000 unamtowa mlinzi wa geti tu...mmmmh...
Kweli pesa matumizi...
afu usafiri wako na mkeo ni ndege tu, wakati umetoka familia ya kawaida Sana, uwo ujasiri unaupata wapi kwa hizi aina za familia zetu ..
Kazi ya uhakika ni Uber....No Bado sijapata connection...endelea kutupa story bro labda uko mbele ntakusoma.
Lkn hongera Sana kwa kuteka minds zetu kupitia story Yako.
 
Umesahau alimpa Masai wa wavuvi laki 2 mammae kwa maisha gani
 

Mkuu wewe unaona 50k ni hela kubwa sana? Hio nikienda samaki samaki napata heineken 7 pesa imeisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1544]
 
Umesahau alimpa Masai wa wavuvi laki 2 mammae kwa maisha gani

Broh laki 2 kwaajili ya mtoto unaona ni kubwa? Maana kwa Junior nikiingia shopping inanitoka si chini ya laki 3, bila shaka huna mtoto.

Pampas kwa mtoto mchanga kwa mwezi si chini ya 60k

Mama watoto kula kwa mwezi bajeti andaa 100k

Ungekua na mtoto usinge comment shit kama hii,
 
Mmmmhhh
Nziiii umeyakanyaga tna mara ya pili pi w
 
Tupige hata " addition" kaka hii arosto sio poa
 
I've got Two kids wanakula hela hatari kuna mda nikimwangalia mwanangu anavyofakamia nyama nawaza siku nikikosa hela ya nyama inakuwaje

Watoto ni gharama kweli kweli. Unamvalisha pampers anakunya hapohapo mda huo huo🤣

Mzee malizia story tufanye maisha mengine
 

Hawa vijana hawana familia mimi Junior bajeti yake ya mwezi ni balaa [emoji1544]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…