INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
-
- #11,441
Thank San mkuu umetisha mno itabaki kuwa story Kali muda wote hapa jf
Ohoo.. kumbe anaitwa Ariana.. nice.December nitakuja Dodoma na Mama Ariana, usicheze mbali [emoji2763]🤏[emoji2532]
Tupo wengi kumbe nilidhani mwenyewe. Yani uniulize kuanzia asubuhi mpaka saa 4 hii ya usiku nipe mtiririko wa yalojiri sina nalojuaUkiniambia nikusimulie matukio yangu ya jana sitakumbuka hata moja
Sasa insider ile issue yangu na asma umeifikiria au hutaki kunipa pasi ya kisigino kwa mtoto wa kitanga?December nitakuja Dodoma na Mama Ariana, usicheze mbali [emoji2763]🤏[emoji2532]
68EPISODE 68
BY INSIDER MAN
PREVIOUS
Baada ya kupokea simu dada alijitambulisha kuwa yeye ni nesi na amepokea majeruhi wa2 waliokuwa kwenye bodaboda ambao ni kaka na dada na hali zao ni mbaya sana hivyo niende haraka,
CONTINUE….
“Dada anaitwa Asmah ndo alonipa namba yako nikupigie simu, ukifika hapa Muhimbili Hospital nijulishe.” Na akakata simu.
Niligeuza gari kwenye kituo cha mafuta cha Engen Mikocheni na nikaanza safari ya kwenda Muhimbili Hospital na nilikuwa naendesha gari kwa kasi sana. Baada ya kuwasili pale hospitali nilijaribu kumpigia simu dada lakini ilikuwa haipokelewi na nilipiga mara mbili nikaacha, niliwaza atakuwa busy hivyo akiona missed call zangu atanirudia.
Muda huu nilianza kuwaza pale Asmah amepataje ajali? inamaana alipanda bodaboda baada ya kuachana pale Namanga? mimi mwenyewe nilibaki kwenye mshangao.
Kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Iryn akipiga na nikapokea simu yake,
IRYN: “Baby upo wapi? I have been waiting here for 1 hour lakini sioni sign yoyote ya wewe kuja.”
MIMI: “I’m sorry, nimepewa taarifa Asmah kapata ajali na niko hapa hospital, I had to come to the hospital to help her.”
IRYN: “Accident? upo hospital gani? Nitumie jina la hospital nije na mimi.”
Na mimi muda huu nilifanya kutoa taarifa kwenye group la whatsapp kuhusu ajali ya Asmah na wengi walibaki wakishangaa na walikuwa wakiuliza imekuaje?.
Nilimpigia simu mama Janeth na nikampa taarifa na yeye alisema anakuja sio muda mrefu, wakati naongea na mama Janeth kwa upande mwingine nesi alianza kunipigia simu na ilibidi nim-hold mama Janeth na nikapokea simu ya nesi.
Nilimwambia dada niliko na akanielekeza niende jengo la emergency alipo hivyo ilibidi nisogee mpaka pale. Baada ya kufika kwenye eneo husika nilionana na dada na akaaanza kunipa habari kamili, maana ilibidi niulize ilikuwaje?
NESI: “Kuna mtu amewaleta hapa na alikuwepo maeneo haya sijui amekwenda wapi, yeye ndo aliwaleta nafikiri akija atakuambia kila kitu.”
MIMI: “Hali ya Asmah ikoje? maana ulisema wanahali mbaya sana.”
NESI: “Ameumia sana paja la kulia ila hajavunjika, pia anamichubuko mikononi na kiuononi, kilichomsaidia alivaa element, kichwani hana majeraha.”
MIMI: “Na huyo bodaboda?”
NESI: “Amevunjika mkono na ana majeraha sana, inaoneka yeye gari imembamiza sana, ila watakuwa sawa kama Asmah anaweza kutoka kesho akiwa sawa. Nakupa namba ya kaka yake muwasiliane mimi niko busy.”
Nesi aliondoka na mimi nilifanya kuwasiliana na kaka yake Asmah na alinambia yuko njiani anakuja na muda sio mrefu atakuwa amefika.
Ndani ya lisaa Iryn naye alikuwa amefika hospital na mimi nilikwenda kumpokea na tukasogea mpaka eneo la tukio. Iryn aliniuliza chanzo cha ajali na mimi nilimuelezea toka tumeachana na Asmah pale Namanga mpaka napewa taarifa na nesi, na pia nilimwambia yote aliyosema nesi kuhusu ajali.
IRYN: “She will be fine, my prays are with her”
MIMI: “Naamini atakuwa sawa, hata wewe umepata somo leo usipende kupanda bodaboda ni very risk.”
IRYN: “Baby ajali haina kinga, hata upande ndege kama siku yako itabaki kuwa vivyohivyo.”
MIMI: “Upo sahihi lakini kuna ajali za kujitakia.”
Muda huu kaka yake Asmah alianza kupiga simu na baada ya kupokea alinambia amefika tayari hospital na mimi nikamuelekeza sehemu tulipo. Baada ya kuwasili pale kwa upande wake alitaka kujua kilchotokea na mimi nikamwelezea kama nilivyofanya kwa Iryn.
Baada ya lisaa mama Janeth aliwasili pale hospital na tukawa tumekaa pale tunaongea na kufikia saa 4 usiku team yote ya Masaki ilikuwa imewasili pale kasoro Rebecca tu ndo hakuwepo.
Hatukurusiwa kwenda kumwona mgonjwa mpaka asubuhi na ilivyofika saa 6 usiku tuliondoka pale maana ndugu zake Asmah walikuwa wamefika tayari hivyo tuliwaaga na tukaondoka.
Asubuhi mimi na Iryn tuliamka mapema kwaajili ya kwenda kumwona Asmah na baada ya kuwasili pale hospital tulimkuta kaka yake amekaa kwenye bench na sisi tulikwenda ndani kumwona Asmah, alikuwa amelala kitandani na hali yake ilionesha kuwa nzuri na kwa pembeni kulikuwa na dada mwenye uchotara kama yeye akimuangalia.
Asmah baada ya kutuona alionesha tabasamu, alikuwa anaongea vizuri na alitutambulisha yule ni dada yake wa kwanza, na sisi tulianza kuongea naye pale,
IRYN: “Asmah what happened?”
Asmah alisema wakati tumeachana pale Namanga aliona bora achukue bodaboda ili awahi home, baada ya kufika Upanga kuna gari ili-overtake na ikawapush ndo ikawapa majeraha ndo kuwaishwa hospital.
MIMI: “Pole sana, Nesi alinambia kuna baba aliweta hapa ndo anahusika yuko wapi?”
DADA ASMAH: “Alikuja asubuhi na aliaga anakwenda kazini alisema badae atapita tena ndo anayegharamia gharama za hapa.”
MIMI: “Ana Roho nzuri hata hivyo mwingine angekimbia.”
ASMAH: “Nashukuru Mungu mimi ni mzima nimeumia paja na sijavunjika, leo nitaruhusiwa.”
MIMI: “Ukiruhusiwa utanambia sawa eeh.”
Tuliwaaga pale na Iryn alimkabidhi Asmah pesa kwenye bahasha na akamwambia zimetoka kwenye kampuni kwaajili ya emergence na sisi tukaondoka pale hospital.
kampuni yetu huwa inawajali wafanyakazi wake kama wamepatwa na matatizo, kufiwa, kujifungua au sherehe kama hurusi nk, kampuni huwa ina support.
Break yetu ilikuwa ofisini Masaki na tulikuta bado hakuna mtu zaidi ya dada wa usafi na sisi tukaingia ndani. Baada ya kuingia ofisini Iryn naye alianza kuzipitia ripoti zake na mimi nilikuwa busy kuweka mipango ya kazi mapema maana Asmah hakuwepo,
IRYN: “Insider tuko ofisini mapenzi ni baada ya kazi na mimi leo niko hapahapa, naomba taarifa za stock kama ulizichukua nitumie please, pia hujanipa mrejesho wa mzigo umefikia wapi.”
MIMI: “Bossy angalia vizuri kila kitu nimekutumia hapo, mzigo utaingia mwisho wa mwezi.”
IRYN: “Yes nimeona hapa sasa nifanyie estimation ya odda tulizonazo ASAP.”
MIMI: “Ok wait afu inabidi tutafute dada wa kukaa reception, Sumaiya kaondoka kuna gap la mtu mmoja.”
IRYN: “Nililiona hili hata mimi, lakini sihusiki kwenye haya masuala ongea na mama Janeth, kuanzia leo mimi nitakuwa nashinda reception.”
MIMI: “Sawa nitaongea na mama Janeth juu ya hili suala.”
Baada ya kumaliza kuandaa mipango niligawa majukumu pale na kwa upande mwingine wafanyakazi walishangaa kumwona Bossy lady akikaa reception na yeye aliwaambia leo atahudumia mpaka wateja wa makeups.
Mchana tulitoka kwenda kupata lunch na Iryn aliomba twende capetown fish market sababu anaipenda sana beef ya pale, tuliondoka na mimi nilipitia kwanza kwa jamaa mchoma chips maarufu sana pale Masaki ili niweke odda ya sahani za chips, niliamua kutimiza ahadi yangu ambayo niliwapa pia kwenye grupu letu la Whatsapp niliwaambia lunch yao itakuwa juu yangu.
Nilisogea mpaka usawa wa kibanda cha Sele lakini alikuwa bado hajanisoma maana gari ilikuwa ngeni machoni pake, na nilishusha kioo cha gari pale na baada ya kuniona akasogea kwangu chapu,
MIMI: “Sele inakuaje bro!”
SELE: “Tajiri ndo wewe? Nilikuwa sijakusoma, naona una mkoko mpya hatari sana, dada mambo.”
IRYN: “Poa za kazi?”
MIMI: “Afu Sele kuwa na adabu huyu ni shem wako sawa.?”
SELE: “Bossy hongera sana, sasa tunakula lini wali?, hii ni mali safi kabisa ukipeleka home itapita bila kipingamizi, aisee shem karibu sana mimi ndo sele mchoma chips maarufu hapa mjini na hii ndo ofisi yangu.”
MIMI: “Fala wewe sijakupa kazi ya kuendelea kujisifia, naomba niandalie chips kuku sahani 10 ziandae vizuri sana soon tunapitia.”
SELE: “Ondoa shaka wewe utakuta mzigo upo tayari.”
MIMI: “Aisee nilisahau mtu mmoja fanya 11, nilimsahau mlinzi ingekua sio vizuri.”
IRYN: “Sele mimi utaniandalia chips yai kwaajili yangu.”
SELE: “Shem hii nitakupa offa hutailipia.”
IRYN: “Thank you.”
Na sisi tukaondoka kuelekea Capetown na baada ya kuwasili pale tuliagiza chakula na tulikuwa tunapiga story pale,
IRYN: “Baby kumbe ulinipiga picha Zanzibar nikiwa nimelala.”
MIMI: “Ukilala unakuwa mzuri sana.”
IRYN: “Kuna jambo nataka nikwambie, Jumapili kuna mgeni atakuja Dar.”
MIMI: “Ni nani huyo?”
IRYN: “Baby itakuwa surprise utamwona hapohapo.”
MIMI: “Naona surprise zimekuwa nyingi sana sikuhizi.”
Wakati tukiendelea kula Asmah alinipigia simu na alinipa taarifa za kuruhusiwa kutoka hospital na alisema anakwenda kwa dada yake, atakaporudi kwake atanijulisha na mimi nilimtakia kila la kheri.
Baada ya kupata lunch tuliondoka kurudi ofisini na tulipitia kwanza chips kwa Sele na nilifanya malipo kwa Sele na tukaendelea na safari yetu. Baada ya kufika pale ofisini niligawa chips kwa kila mtu na mimi nilimuaga Iryn kuwa nakwenda Mikocheni kuangalia maendeleo ya ofisi na sitochelewa kurudi.
Niliondoka kuelekea Mikocheni na baada ya kuwasili pale Salon nilikwenda moja kwa moja mpaka ndani ofisini , Lucy alikuwa busy na mteja na mimi niliendelea na kazi zangu pale ofisini.
Nilikaa pale mpaka saa 11 jioni na wakati naondoka Lucy naye alikuwa kamaliza mambo yake na alikuja ofisini tukaanza kuongea pale,
MIMI: “Leo naona uko busy sana.”
LUCY: “Busy day, afu nimepata taarifa Asmah alipata ajali jana kutoka kwa Rebby, lini unakwenda twende wote kumuona.?”
MIMI: “Amenambia amekwenda kwa dada yake akirudi atanijulisha.”
LUCY: “Nambie Insider za huko Zanzibar, mmekula bata mpaka naona umeanza kunenepa mshikaji wangu.”
MIMI: “Hahahaa Lucy acha kunidhihaki, mimi nilikuwa kama watchdog tu kule, hamna mpya kabisa.”
LUCY: “Insider I know umemla Iryn ila unanikazia kunambia ukweli sawa lakini.”
MIMI: “Iryn si best yako? na akuamini? bhasi muulize kinachoendelea kati yetu.”
LUCY: “Sawa nitamuuliza, umeniletea zawadi gani kutoka Zanzibar?”
MIMI: “We usijali weekend hii tutatoka out, mimi naondoka kwenda Masaki kumchukua Iryn.”
LUCY: “Poa tutawasiliana.”
Nilirudi Masaki na baada ya kuwasili niliwaona Iryn na Rebecca wamekaa pale reception wanaongea na mimi nilipita nikaendelea na safari yangu ya kwenda ndani. Haikuchukua muda Iryn naye alikuja ndani na akakaa kwenye coach, ilibidi nimuulize tunaondoka muda gani maana muda ulikuwa umekwenda tayari na akasema tutaondoka saa 2 usiku na tutapitia kula kwanza kabla ya kwenda home.
Asubuhi nilikuwa wakwanza kuamka, Iryn alikuwa bado kalala pale kitandani na nikaamua kwenda jikoni kuandaa soup. Kwa upande mwingine pale seblen nilikuta ameiweka picha ya Junior karibu na Tv showcase na mimi niliishia kufurahi maana ilikuwa kama surprise kwangu na nilijisemea Junior kapata mamdogo anayempenda.
Niliandaa soup ya kuku pale na yeye aliamka akaanza kunisaidia kuandaa chapati na wakati tunapata breakfast alinambia tutakwenda kumsalimia best yake Masaki na tutapita kwanza tunavyokwenda ofisini.
Saa 4 asubuhi tuliondoka home kuelekea Masaki na tulikwenda mpaka Marina Towers, baada ya kuwasili pale tulifunguliwa geti na mlinzi na tukaingia ndani. Muda huu mimi nilikuwa nawaza ni nani huyu? ambaye anasema ni rafiki yake?, ukweli alikuwaga ananambia ana best zake lakini sikuwahi kukutana nao.
IRYN: ”Insider unapakumbuka hapa.?”
MIMI: “Yeah the place we met.” (REF EP.06)
IRYN: ”Exactly, na ile siku nilikuwa na rafiki yangu ila aliondoka kwenda masomoni na wakati tuko Zanzibar alinambia karudi.”
Nilikuwa natamani sana kuuliza ni jinsia gani lakini nikavunga, muda huu tulishuka kwenye gari na tulikwenda kwa lift tukapanda mpaka floor ya 4 na tukaelekea kwa apartment ya rafiki yake. Baada ya kufika aligonga mlango na haikuchukua muda best yake akatoka kufungua mlango na alivyomwona Iryn alimkumbatia kwa bashasha sana, alinisalimia pale na akatukaribisha ndani.
Baada ya kuingia seblen Iryn alianza kufanya utambulisho pale,
IRYN: ”Insider huyu anaitwa Claire ni best yangu wa utotoni na tulisoma pamoja utotoni. Claire huyu anaitwa Insider ni mpenzi wangu and I love him.”
Claire baada ya kusikia huu utambulisho alifurahi lakini niliona kama haamini kama mimi kweli natoka na Iryn,
CLAIRE: “Insider nimefurahi sana kukufahamu Iryn ni best yangu sana.”
MIMI: “Ahsante sana Claire kwa kukufahamu shem wangu kama alivyosema mke wangu hata mimi nampenda sana Iryn.”
Baada ya kusema haya maneno Iryn alifurahi sana hata Claire naye alionesha kufurahi, Claire alitoka na alirudi ameshika juice mkononi akatupa. Ofcourse hata Claire naye ni pini balaa mzuri, ila kwa Iryn bado akasome na yeye ana uzungu sana maana amesoma sana nje huko.
CLAIRE: “Iryn naona unazidi kuwa mrembo kila kukicha, Dar inakupenda sana.”
IRYN: ”Naona wewe UK imekupenda zaidi na masomo vipi?”
CLAIRE: “Thank God nimemaliza salama kabisa, sahivi nipo na natakiwa kuripoti kazini next month.
IRYN: “All the best dear”
CLAIRE: “Ndio dear, embu nambie umekutanaje na shem wangu maana wewe ni wa kujifungia sana ndani.”
IRYN: “Mimi na Insider tumekutana hapahapa kwa mara ya kwanza, unakumbuka ile siku ambayo tulikuwa wote unajiandaa na safari?, baada ya kurequest Uber ndo alikuja Insider toka siku ile mpaka leo tumekuwa wapenzi.”
CLAIRE: “Aisee kumbe mmekutana hapahapa kwangu?”
IRYN: “Yes! ndo mwanaume pekee aliyeweza kunifanya mimi kuwa na furaha.”
CLAIRE: “I’m happy for you guys”
IRYN: “Dear mimi nakwenda ofisini, kwaheri.”
Kwa upande wake alisema tumsubiri tuondoke wote maana yeye pale home hakuna anachofanya bora akashinde na Iryn tu pale salon. Claire alikwenda kubadilika na baada ya dakika 10 alitoka tukaondoka kwenda ofisini.
Tulivyowasili ofisini wao walikwenda kukaa pale reception na mimi nilikwenda ofisini, baada ya kuingia ofisini nilimpigia simu Asmah kumjulia hali na baada hapo nikaendelea na kazi zangu.
Mchana nilipigiwa simu na namba ngeni na alikuwa ni yule dogo wa Changanyikeni ambaye aliyenisaidia kununua vitu kipindi kile Prisca anahamia kwake.
“Bro! simwelewi shem namuona na Jamaa anakuja naye sana hapa home nahisi something fishy kinaendelea, kama wewe kaka yangu nimeona nikupe taarifa ili uchukue hatua.”
“Dogo Ahsante sana kwa taarifa wewe endelea kufuatilia afu utanambia kinachoendelea, mimi nitakutumia pesa ya vocha.”
“Sawa bro ondoa shaka nitakuwa nakupa taarifa zote.”
Kwa upande wangu nilizifurahia sana hizi taarifa za dogo maana niliona kama nimepata sababu ya kumnyamazisha Prisca ili asiendelee kunisumbua. Licha ya kumpiga chini lakini Prisca alikuwa bado anasumbua sana na alikuwa anaomba sana turudiane. Niliwaza kwanza natakiwa kumjua huyu mwanaume na nijue muda ambao huwa anaingia na kutoka hapa ndo ningepata picha halisi.
Saa 1 usiku tuliondoka ofisini na tulikwenda restaurant ya “The deck” kwaajili ya kupata dinna, tulikuwa jumla watatu pamoja na Claire. Baada ya kupata dinna tuliendelea kukaa pale huku tunakunywa wine na tuliondoka saa 3 usiku, lakini tulianza kumwacha kwanza Claire pale Marina na sisi tukarudi home.
Baada ya kuwasili home mama J alinipigia simu na muda huu tulikuwa seblen tumekaa kimahaba sana, nilipokea simu yake tukaanza maongezi, mama J alinipa taarifa za kurudi Dar ijumaa hii na alisema atarudi na bibi yake. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa yuko makini sana kusikiliza maongezi yetu na baada ya kufahamu mama J atarudi Ijumaa niliona dizaini kama hajafurahi, na mimi nilimuacha pale seblen nikaenda kulala.
Asubuhi kama kawaida tulikwenda wote ofisini na mimi baada ya kumaliza kuweka mikakati sawa niliondoka kwenda Mikocheni na baada ya hapo nilikwenda Bank kuweka pesa. Sikutaka kuendelea kupoteza muda maana ilikuwa mchana tayari, hivyo nilirudi Masaki na niliingia ofisini nikamkuta Iryn amelala kwenye coach kama mtu ambaye ana mawazo.
MIMI: “Baby are you ok?”
IRYN: “Baby mama J anarudi kesho najua hutakuwa na habari na mimi tena, hata kwangu hutalala tena.”
Na mimi nilisogea mpaka kwenye coach nikakaa na nikawa namchezea kitovu chake,
MIMI: “Baby hiki ndo kinafanya usiwe na amani?”
Na alitingisha kichwa kuonesha ndio,
Muda huu alikuwa akiniangalia kwa macho ya mahaba sana na mimi nilimsogelea tukaanza kunyonyana mate pale, na niliingiza mkono ndani ya chupi ili kutalii serengeti yake na baadae tulianza kupakuana pale kwenye coach. Baada ya wazungu kutoka ndo nilishtuka pale what the fvuck tunafanya hapa na tuko ofisini? ndo kumwacha na nikamwambia tutoke tukapate lunch.
**********
Ijumaa wife ndo alikuwa anatarajia kuwasili Dar na ile jioni nilitoka ofisini nikaenda JNIA terminal 2 kuwapokea na muda huu walikuwa wamewasili tayari. Baada ya kutoka ndani nilimnyanyua Junior maana nilikuwa nimemmiss, nilimsalimia bibi na tukaondoka kwenda parking ili tuondoke. Kwa upande mwingine wife alionekana kunawiri sana na kama uzuri uliongezeka hata Junior alionekana kunenepa sana.
Wakati tuko njiani tulikuwa tunaongea habari za huko Moshi na nilikuwa naulizia hali ya bibi na nikaambiwa imebidi aje Dar kwaajili ya matibabu zaidi. Tulikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mama J (ukweni) na mimi nilishinda pale mpaka usiku nikapata na dinna kabisa ndo nikaaga nikaondoka.
Nilirudi kwa Iryn na baada ya kuingia ndani sikumkuta ikabidi nimpigie simu na akanambia yuko swimming, nilizunguka kwenda swimming na kweli nilimkuta anaswim na upande wa pili pembeni kulikuwa na dada anaswim pale.
MIMI: “Baby hujachoka tu na hizi swimming?”
IRYN: “Baby njoo bhasi tuswim wote.”
Na mimi nilijifikiria pale na wakati bado sijui nifanye nini alinimwagia maji nikawa nimelowa hapa ndo ikabidi nivue nguo niingie ndani, na tukaanza kucheza mle ndani kama watoto.
IRYN: “Darling mama Junior karudi?”
MIMI: “Yes amerudi tayari na yuko kwao.”
IRYN: “Anarudi lini home.?”
MIMI: “Hajasema bado ila karudi na bibi yake anaumwa hivyo anaweza akakaa sana kwao.”
IRYN: “Mimi nimemmiss Junior wangu.”
MIMI: “Nimeona umeweka picha yake seblen imependeza sana.”
Na alianza kuishika AK-47 yangu mle swimming na tukaanza kupeana makiss pale na hatukujali kama kuna dada pembeni au laah. Tulikaa mle swimming mpaka usiku sana ndo tukatoka kwenda ndani na kama kawaida tulinyanduana mpaka tukalala.
Jumamosi asubuhi tuliamka mapema kujiandaa kwaajili ya kwenda ofisini, tulikuwa kama mume na mke tayari asubuhi tunakwenda ofisini pamoja na tunarudi pamoja. Baada ya kupata breakfast tuliondoka na kama kawaida tulimpitia Claire pale kwake na tukaenda Salon.
Mchana nilichomoka kwenda Morocco kuonana na dealer wa magari, na alikuwa ni yule jamaa aliyemuuzia Mzee pama Dualisi. Lengo langu nilitaka kutafuta Ist kali kwaajili ya kuendelea na biashara ya Uber maana walikuwa mbioni kufungua App yao, Jane alikuwa katisha tayari, hivyo sikuona sababu ya kuendelea kukaa na hela ningeishia kuitumia tu.
Kwa upande mwingine nilikuwa na wateja wengi sana wa private ukijumlisha na foreigners hivyo niliona kuagiza gari naweza poteza muda tu, niliwaza nikifanikisha kupata gari nitaajili dereva wa kuingia naye mkataba.
Baada ya kuwasili pale Morocco show room ambazo ziko oppositie na Vodacom tower ndo niliweza kuonana na jamaa pale, tulisalimiana na uzuri alikuwa ameniandalia ist tatu kali. Baada ya kupiga macho vizuri niliipenda ist moja ilikuwa ni ya grey na ilikuwa nzuri imenyooka,
MIMI: “Chief hii nikupe ngapi tufanye biashara leoleo.”
MWARABU: “Bossy hiyo chombo nipe 16M kwakuwa ni wewe.”
MIMI: “Chief Ist ishafika 16m toka lini? au unafikiri nahela sana hiyo Audi niliyokuja nayo isikupe kiwewe ni ya Bossy wangu ndugu, hii Ist ndo level zangu.”
MWARABU: “Hahahaa hata hivyo imenyooka sana naona ni new model, Bossy una drive gari ya pesa mingi sana.”
MIMI: “Turudi kwenye mada yetu nikupe kiasi gani nitransfer pesa hapa chap maana leo ni weekend mambo mengi, nisije nikahonga bure.”
MWARABU: “Lipia 15.7M, wewe si unaona chombo hii imenyooka sana ni auction grade 4.5 imekuja na kila kitu, kwanza low millage ina rim kali sana. Tajiri hii gari ni msumali, nakuuzia bei hii kwaheshima ya Mzee maana alisema wewe ni kijana wake.”
MIMI: “Tajiri tusifanye mambo yawe mengi mimi nalipia 15M hapa, pia unafanya kwa kumuenzi Mzee.”
MWARABU: “Tajiri naona unataka nikimbie Dar hii nirudi home maana unaniua kabisa.”
Baada ya kurupukushani nyingi ilibidi akubali tu na mimi nilifanya kutransfer ile amount na niliomba kijana wa kunipa kampani ya kuendesha mpaka kwangu. Baada ya kurudi home na kuachana na Jamaa niliamua kwenda kulala maana nilikuwa nimechoka sana.
Jioni Iryn alinipigia simu na aliniuliza nilipo maana alikuwa hanioni toka mchana na nimeondoka bila kumuaga, nilimwambia niko home mara moja na soon nitakwenda kumchukua. Kwa upande wake alinambia nijiandae kwani itabidi tutoke out na Claire na nitawakuta Marina.
Niliingia kuoga na wakati navaa Mama J alinipigia simu na akanipa taarifa kuwa Jumapili ambayo ni kesho atarudi kwake. Kwa upande wangu hizi taarifa zilikuwa mbaya sana maana nilijua sitalala na Iryn tena, mapenzi aliyokuwa ananipa yalifanya muda wote niwe nawaza kumla tu.
Saa 1 usiku nilitoka kwenda Masaki ofcourse nilikuwa nimewaka sana, sikutaka kumuaibisha Iryn mbele ya Claire. Nilitumia kama nusu saa kuwasili Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka apartment ya Claire na nikagonga mlango, Iryn ndo aliyetoka kufungua mlango na baada ya kuniiona alifurahi sana,
“Wow baby you look great,” na alikuja akanikumbatia na makiss juu.
Kwa upande wao walikuwa wamejiandaa tayari aisee walikuwa wamewaka sana, Iryn alizidi kuoneka mrembo sana, claire naye alikuwa kawaka balaa.
MIMI: “Warembo mmependeza sana.”
CLAIRE: “Mhhh! shem kuliko wewe?.”
MIMI: “Honestly mmependeza sana.”
IRYN: “Guys tunakwenda kula wapi?”
CLAIRE: “Kuna mgahawa upo pale Seacliff ni mzuri sana.”
IRYN: “Na baada ya hapo tunamalizia wapi?”
Muda huu kila mtu alikuwa kimya hakuna aliyekuwa anapendekeza sehemu ya kwenda na Iryn akanigeuzia mimi,
“Baby tunakwenda wapi?”
MIMI: “Wavuvi camp au Samakisamaki chagueni.”
CLAIRE: “Wavuvi sijawai fika twende hata hapo ila pawe na vibe.”
MIMI: “Done.”
Tuliondoka muda huu na tulianza kwenda Sea cliff kupata dinna na tulikuta restaurant kidogo imejaa watu walikuwa wengi mida hii na wakati tunaingia tulikuwa tunapigwa sana macho. Nilikuwa najiskia ufahari mkubwa sana kuongozana na wanawake wazuri tena warembo afu nimekaa nao meza moja niliona sio jambo dogo.
Baada ya kupata dinna pale restaurant na tulitumia kama lisaa na baada ya hapo tulikwenda Wavuvi camp Cocobeach kumalizia. Na baada ya kuwasili tulipata angle nzuri tukachili na muda huu na ziliagizwa Moet 3 yaani kila mtu na yake na story zilipamba sana moto.
Niligundua Claire ndo rafiki namba moja wa Iryn na wamekua wote toka utotoni na walikuwa ni majirani pale Masaki.
Muda ulivyozidi kwenda Iryn alianza kuonesha mahaba yake waziwazi kwangu na mbele ya Claire, hata hakuwa na wasiwasi na alionesha kuhitaji sana Dudu. Baada ya kumaliza vinywaji vyetu tuliamua kuondoka na Claire aliclear bill yote na alifanya kuchanja, nilijisemea hawa warembo wana jeuri sana ya Pesa.
Tuliondoka maeneo yale na tulimdrop Claire pale kwake na sisi tukaendelea na safari ya kurudi home, baada ya kuwasili home mipakuano iliendelea kama kawaida, ilikuwa ni kama dozi ya siku lazima tupakuane.
Jumapili asubuhi niliamshwa na simu ya mama J na alikuwa ananipa taarifa kwamba saa 4 asubuhi atakuwa yuko home tayari. Kwa upande wangu nilikuwa nimesahau kama wife anarudi home na nilimwambia mimi nimetoka kidogo hivyo nitamkuta,
WIFE: “Kwani Baba J umeenda wapi asubuhi hii?”
MIMI: “Niko ofisini Mummy nitakukuta nunua na mboga kabisa ukiwa njiani.”
WIFE: “Okay nakuja na bibi ndomana nataka akukute hapo anataka kuongea na wewe.”
MIMI: “Sitochelewa mummy.”
Iryn hakuwepo pale chumbani alinitangulia kuamka na mimi niliamua kwenda seblen na nilimkuta amelala kizembe pale, nilimsogelea mpaka kwenye coach nikakaa.
MIMI: “Mummy umeamkaje?”
IRYN: “Safi tu, you?”
MIMI: “Mimi naondoka baby mama J amenipigia simu anakuja, afu yuko na bibi so acha niende”
IRYN: “It’s okay, you’re free to go.”
MIMI: “Mummy are you alright?”
IRYN: “Yeah baby, don’t worry about me.”
Mimi nilikwenda kujiandaa na baada ya dakika 15 nilitoka na yeye alikuwa bado amelala pale kwenye coach,
IRYN: “Baby ndo unaondoka? nimeandaa breakfast tayari.”
MIMI: “Ok mummy twende tukanywe wote”
IRYN: “Badae mgeni anaingia jioni so usisahau ili twende wote.”
MIMI: “Sawa mummy tutakwenda usijali nipo kwaajili yako.”
Na mimi nilimuaga pale kwa kumkiss shavuni na wakati naondoka nilisikia akinambia,
IRYN: “Baby, just be careful na mama J.”
MIMI: “I will mummy.”
Baada ya kuwasili home nilimkuta mama J yuko pale nje anafua nguo na Junior alikuwa anaendesha gari yake pale uwanjani,
MIMI: “Nambie mke wangu umefika na kufua badala upumzike.”
WIFE: “Baba J hivi ulikuwa unalala humu ndani?”
MIMI: “Kwani umeona nini mpaka unauliza hivyo.”
WIFE: “Jikoni mavyombo umeyaloweka, boxer zako umeloweka huzifui na nyumba inaonesha ulikuwa hukai kabisa hapa.”
MIMI: “Umeanza mambo yako swahiba unazingua ujue. Bibi yuko wapi?”
WIFE: “Yuko ndani sebleni”
MIMI: “Junior my Man lets go inside nigga.”
Muda huu Junior alikuwa hataki kabisa kutoka kwenye gari yake na alionekana kuimiss sana gari yake, dizaini alikuwa anaona huyu mshua vipi mbona kama anazingua hivi.
Baada ya kuingia ndani nilimkuta Bibi pale seblen anaangalia TV na nilimsalimia nikakaa, tulianza kuongea pale na Bibi kwa upande wake alionekana kunifurahia sana. Tuliongelea ugonjwa wake unaomsumbua na alisema kesho atakwenda hospital na mama Junior kwaajili ya ukaguzi zaidi.
Kwa upande mwingine mama J alinambia bibi ataendelea kukaa na sisi mpaka pale atakapo jisikia kuondoka kwani anataka kuwa karibu na mjukuu na kitukuu chake.
Saa 10 jioni nilitoka home kwenda kwa Iryn maana alikuwa kashanitumia text za kunikumbusha kuwahi kwenda JNIA. Wakati niko njiani nilimpigia simi Mary na nilimpa taarifa za mimi kurudi Zanzibar na nilimuomba badae tuonane, kwa upande wake Mary alifurahi sana kusikia habari hizi na alisema nikiwa tayari nitamjulisha.
Baada ya kuwasili kwa Iryn alikuwa yuko tayari na alishuka akiwa ameshikilia key za Audi,
IRYN: “Baby tuondoke na hii gari.”
MIMI: “Mummy ndo umegoma kunambia tunakwenda kumpokea nani?”
IRYN: “Baby utaona Hapohapo si nilikwambia surprise?”
MIMI: “Ok lets go.” Na nikaslap kalio lake
Baada ya kuwasili pale Airport terminal 3 tulikaa tukisubiri na Iryn alinambia ndege ilidelay kutoka huko na tulikuwa pale Bao cafe tukipata juice na bites, muda huu tulikuwa tunapiga sana story maana tulikuwa wapenzi tayari,
IRYN: “Baby coochie inauma sana sikupi tena mpaka nikae sawa.”
MIMI: “Naona umeanza kuniwekea limit sawa lakini mimi sina shida.”
IRYN: “Mama Junior anasemaje baada ya kurudi.”
MIMI: “Amehisi kama nilikuwa silali pale but everything is cool.”
IRYN: “Insider unajua sometimes I feel guilty but I don’t know why I love you, you’re driving me so crazy.”
MIMI: “Mimi naamini wewe ulikuja Tanzania kwaajili yangu huna haja ya kujihisi una hatia, mimi bado sijaoa.”
IRYN: “But sitaki kuja kuwa chanzo cha mgogoro na familia yako ujue.”
MIMI: “Baby what are you talking about?, usimwone mama J ni perfect sana.”
IRYN: “What’s your point Insider?”
MIMI: “My point, sitaki kukuona ukiwa lonely because of me, remember I promised to make you happy.”
IRYN: “Sawa baby, ile gari yako ya Uber iko wapi?”
MIMI: “Anaitumia Jane kwenye kujifunzia driving ndomana kaniachia gari yake niendelee kutumia.”
IRYN: “I remember that you told me gari ni ya bossy wako mliingia mkataba hii imekaaje anaitumia Jane.?”
MIMI: “Jane ameiharibu gari ameibonda bonda na bossy alipewa pesa ananunue mpya na ile gari kwasasa ni ya kwake, alisema akijifungua ataichukua hii.”
IRYN: “So wewe huna gari kwasasa.”
MIMI: “Ndio baby sina gari kwasasa hata Junior kanizidi baba yake.”
IRYN: “Hahahaha afu nimemmiss mme wangu mdogo, kesho nitakwenda kuwasalimia.”
MIMI: “Utawakuta ukamwone na bibi yake mama J.”
IRYN: “Baby twende kwenye screen tukaangalie kama ndege imeland maana naona watu wameanza kutoka.”
Tulisogea mpaka kwenye screen kucheki,
“Baby mgeni anakuja na Ethiopian Airlines na imeland tayari 10 minutes ago.”
Muda huu furaha ya Iryn ilianza kuongezeka na kwa upande wangu nilikuwa najiuliza huyu ni nani anayekuja na nilikuwa nashauku kubwa sana ya kumjua huyu mgeni lakini ilibidi niwe mpole maana niliambiwa ni surprise.
Tulikuwa bado tumekaa pale cafe na macho yake yalikuwa makini sana kuangalia wageni wanaotoka mle ndani, kwa upande mwingine kulikuwa na watu mbalimbali wakiwasubiri ndugu zao.
Baada ya dakika 20 kupita nilimwona Iryn sura yake imeanza kuchanua tabasamu na alikuwa akisema “that’s him” na alikuwa anaangalia upande wanaotokea abiria. Mimi nilikuwa najiuliza pale that’s him ni nani huyu? na nikitizama naona watu kibao.
Nilishangaa Iryn kaiunuka ghafla afu akaita kwa nguvu “Daddy” na akakimbia kwenda kumkumbatia Mzee wake, na mimi wakati Iryn anamkumbatia baba yake nilimchukua video na picha juu kama surprise. Baba yake ni Mzungu na alioneka ni baba mjanja ana swagga na alikuwa kavaa miwani meusi na chini alikuwa kavaa raba za adidas, na Iryn alinambia baba yake ana 56 yrs (REF EP.15)
Kwa upande wangu ilibidi nisogee mpaka pale na muda huu walikuwa wameacha kukumbatiana na nilisalimia pale na Iryn akaanza kufanya utambulisho,
IRYN: “Dady this is Insider and he’s my boyfriend, I have told you before.”
MZEE VIRGIL: “Yeah I remember very well and I’m glad meeting with him today.”
IRYN: “Insider this is my father Virgil, ndo huyu nilikwambia ni surprise.”
MIMI: “It’s my pleasure meeting you Sir, welcome again in Tanzania.”
MZEE VIRGIL: “Thank you, I heard everything about you from my daughter and I really appreciate.”
IRYN: “So daddy where are we going?”
MZEE VIRGIL: “Coral Beach hotel.”
IRYN: “Okay, baby twende Coral beach.”
Tuliondoka pale JNIA na safari yetu ilikuwa kwenda “Coral beach hotel” ya Masaki na tukiwa njiani tulikuwa tunapiga sana story na Mzee Virgil alionekana kunifurahia sana. Kwa upande wangu niliulizia maendeleo yake ya afya na alisema kwasasa yuko vizuri afya yake imerudi kama zamani.
Baada ya kuwasili pale Coral hotel tulikwenda ndani na mzee aliacha bag zake pale reception ili apelekewe room yake na tukaenda restaurant kupata dinna. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na mimi niliagiza seafood, nikiendaga hotel kubwa kama hizi, hiki ndo chakula ambacho huwa ninaagiza maana hata kula ni kwa msimu.
Wakati tunakula Mzee Virgil alisema jumatano anakwenda USA kisha baada ya hapo atakwenda Netherlands na atatumia week 2 huko, hata kuja Tanzania ni kwaajili ya kumsalimia bint yake Iryn, na niligundua mzee anampenda sana bint yake.
Kwa upande mwingine Mzee toka aumwe hakuwai kutoka nje na South Africa, pia alimwambia Iryn wasafiri pamoja kwenda huko lakini Iryn alimwambia Mzee wake hawezi kwenda sababu anataka kutuliza akili kwaajili ya kuanza masomo na mwezi ujao atarudi South Africa.
Baada ya lisaa Mzee aliongozana na bint yake kwenda ndani na Iryn alinambia nimsubiri pale restaurant, baada ya kuondoka nilitoa simu yangu mfukoni na nilikuta missed call 3 za Mary, nikakumbuka nilimpa ahadi ya kuonana naye.
Niliwaza pale huyu Mary namfanyaje? maana Iryn haeleweki anatoka sangapi nikasema hapa acha kwanza niendelee kubuy time kwanza before sijampigia simu. Baada ya nusu saa Iryn
alitoka na akanambia Mzee wake amebook rooms mbili kwaajili yake na sisi hivyo itabidi nilale pale hotelini.
Taarifa za Iryn zilinishtua maana wife ndo kwanza alikuwa karudi home afu leo nisilale home asingenielewa kabisa na ingeleta matatizo, pia isitoshe bibi yuko pale home ningeonesha picha mbaya sana kwa bibi.
MIMI: “Baby si unajua wife karudi home leo afu nilale nje atanielewa? Think again about this.”
IRYN: “I know, unafikiri Mzee atafikiri nini wewe usipolala hapa?”
MIMI: “Wewe unaangalia Mzee na mimi naangalia wife kule home na amerudi leo na yuko na bibi.”
IRYN: “Baby please do something, just for today.”
MIMI: “Na wazo ila wewe ndo itabidi uhusike kwenye huu mpango.”
IRYN: “Okay tell me what’s it?”
MIMI: “Nampigia simu mama J namwambia naenda bandarini kufuatilia mzigo naweza nikarudi mapema au nisirudi kabisa, mama J namjua vizuri anaweza kukupigia simu ili a-confirm kutoka kwako, you have to clean up the mess for me.”
IRYN: “No problem na kesho mimi nitakwenda asubuhi mapema kabla yako.”
Na mimi nilimpigia simu mama J na nikampanga vizuri kabisa, nilishangaa sana kuona mama J kwa mara ya kwanza hana wasiwasi na aliitakia kazi njema. Baada ya kukata simu ilibidi nijiulize ndo huyu mama J nayemjua mimi? nilihisi huenda huko uchagani wamemfunda namna ya kuishi ma mume.
Baada ya kumalizana na wife ilibidi tuendelee kunywa pale, kwa upande mwingine alikuja dada mzungu ambaye ni Manager wa hii Hotel na akasalimiana na Iryn pale na akakaa wakawa wanaongea. (Ref EP 10)
Tulikaa pale mpaka saa 5 usiku na tulikwenda kulala na kilichoendelea pale kitandani ni siri ya kambi. Ilibidi nilale pale hotelini na Iryn maana sikuwa na jinsi na isitoshe alikuwa tayari kaniheshimisha sana kwa baba yake.
Saa 3 asubuhi tuliondoka pale hotelini na kwa upande mwingine Mzee wake alikuwa amekuja kuchukuliwa na rafiki yake ambaye ni mzungu na Iryn alikuwa anamfahamu na wakasalimiana pale. Rafiki yake Virgil alionesha kumind kwanini Iryn yuko Tanzania kwa muda mrefu na hajawahi hata kwenda kumsalimia?.
Tuliwaaga pale na mzee wake alimwambia Iryn wataonana mchana kwa maongezi zaidi na tukaondoka maeneo haya.
“Baby unakumbuka before nilikwambia sipendi kuishi Masaki na Oysterbay kwaajili ya haya, huku Mzee ana marafiki wengi na mama pia, na wananijua vizuri sana.”
“Nakumbuka sana baby.”
Baada ya kuachana pale tulikwenda moja kwa moja mpaka kwake na yeye alikuwa anataka kwenda kumsalimia mama J ili akaweke na mambo sawa. Nilimwambia atangulie na gari yake mimi nitakuja nyuma baadae, lengo wife asiingiwe na wasiwasi maana kuingia wawili pale ingeweza kufanya mama J afikirie vibaya.
MIMI: “Baby najua atakuuliza kuhusu mimi wewe utajua namna ya kuongea naye maana anajua nilikuwa bandarini.”
IRYN: “Usijali baby nitamweka sawa afu nitakujulisha uje.”
Iryn aliondoka na mimi nilisubiri kwa lisaa ndo akanitumia ujumbe kuwa kila kitu kipo sawa ndo nikaondoka kuelekea home. Ilikuwa ni saa 5 asubuhi wakati nakanyaga pale home na baada ya kuingia ndani niliwakuta wamekaa seblen wanaongea na mimi niliwasalimia pale na Iryn alinikonyeza,
IRYN: “Insider mmemaliza sangapi?”
MIMI: “Nimeacha wanashusha mzigo Mikocheni hapa nilipo nasikia usingizi nimerudi kulala mara moja.”
IRYN: “Ooh kapumzike mimi niko hapa mpaka mchana kama utakuwa umeamka utanikuta.”
MIMI: “Bibi yuko wapi?”
MAMA J: “Amelala, unywe chai kabisa before hujakwenda ndani.”
MIMI: “Mimi niko full usijali”
Niliwaacha pale seblen wakiongea na mimi niliingia chumbani ili nilale lakini sikuwa hata na usingizi, haikuchukua muda wife alikuja chumbani na tukaanza kuongea pale,
WIFE: “Baba J nenda kakae na mgeni wako seblen, sio vizuri.”
MIMI: “Sio mgeni wangu ni wako, hajanambia kama anakuja nyumbani, so amekuja kwaajili yako.”
WIFE: “Umenunua gari mpya.?”
MIMI: “Ndio ila usianze kuropoka, yule dada niliyekuwa nimempa gari yangu ajifunzie ameiharibu so amenipa pesa ninunue mpya.”
WIFE: “Nzuri, itabidi unifundishe na mimi kuendesha.”
MIMI: “Anza kwenda Driving school mengine nitakusaidia.”
WIFE: “Sawa mimi nakwenda kupika.”
Baada ya wife kutoka haikuchukua muda Iryn alinitumia text anaondoka kwenda kuonana na Mzee wake kule Masaki ili wakatembelee nyumba yao iliyokuwa inahitaji kufanyiwa ukarabati, pia alisema kuna kiwanja wanakwenda kukiangalia hukohuko Masaki na badae watakwenda kumsalimia mama Janeth. (REF EP.41)
Muda huu pia Mary alipiga simu na nikaipokea pale na ilibidi kwanza nimwombe msamaha kwa kumdanganya na ilibidi nimpe sababu za uongo pale, japo hakuonesha kumind ila alinielewa na akanambia yeye anasafiri kwenda Kenya akirudi atanicheki ili tuonane.
Hii siku nilishinda pale home naikagua gari na jioni niliondoka kwenda Mbezi shule kuonana na fundi wangu ili aikague gari kwa mashine na baada ya ukaguzi alinambia ipo vizuri hakuna uhuni wowote, chuma iko sawa.
Asubuhi nilimka mapema kwenda jogging na tulikuwa na wife tukifanya mazoezi na baada ya kurudi nilijiandaa haraka nikaenda ofisini, nilianza na Mikocheni. Baada ya kuwasili pale nilionana na Lucy, alilalamika kwa kumdanganya kumtoa out weekend na mimi ilibidi nimpe sababu za uongo pale then nikaondoka kwenda Masaki.
Baada ya kuwasili ofisini nilimkuta Rebby pale reception kwa upande wa duka ambako huwa tuna display products zetu. Rebby baada ya kuniona alinisalimia na tukaanza maongezi,
REBBY: “Manager bora nimekuona, unaona tunakaa hapa reception tunashindwa kufanya kazi, kuna gap tayari la watu wa2.”
MIMI: “Natambua hili kuhusu Asmah mimi nimeshikilia majukumu yake, suala la reception kuajiri mtu lipo chini ya mama na bado sijapata muda wa kuonana naye, nalifanyia kazi na akitoa kibali nitafanya hivyo haraka, lakini kwasasa inabidi muwe mnafanya rotation lakini Iryn yupo alisema atakuwa anakaa hapa mpaka apatikane mtu.”
REBBY: “Bossy mwenyewe kama hivi toka jana hayupo hapa.”
MIMI: “Amepata emergence ndomana hajaja hata jana tulikuwa wote.”
REBBY: “Sawa manager mzigo pia unakata huko store.”
MIMI: “Mzigo unachelewa kufika ila upo njiani kama kuna product unahitaji unasema, Mikocheni wana stock kubwa bado.”
Suala la kupata dada wa kukaa reception niliona ni la umuhimu sana na hapa nikawaza kuonana na mama Janeth, kumpigia simu niliona sio busara ukitegemea masuala ya kikazi nikona nimtumie ujumbe kwenye email kuhusu hili suala.
Niliendelea kushinda pale ofisini mpaka jioni maana nilikuwa nimekaimu na majukumu ya Asmah hivyo sikuwa na budi kushinda pale ofisini. Jioni Iryn alinipigia simu akanambia nipitie kwake navyotoka ofisini, pia nimpelekee na maziwa mtindi.
Saa 1 usiku nilitoka pale ofisini na nilipitia Namanga nikanunua mtindi nikaendelea na safari yangu ya kwenda Kawe. Baada ya kuwasili pale kwake nilipark gari na nikaingia ndani nikapeleka maziwa jikoni na nikaingia chumbani, alikuwa kalala.
MIMI: “Baby unalala afu hufungi mlango.”
IRYN: “Niliacha kwaajili yako.”
MIMI: “Umelala mapema sana, unaumwa.?”
IRYN: “Nimetoka kuoga hapa nimepumzika come close please.”
Na mimi niliishia kuvua nguo tukasex na baada ya kumaliza alinambia kesho Mzee wake anaondoka na ndege ya mchana, pia kwa asubuhi atakuja pale kwake na tutaondokea pale. Nilitumia kama masaa 2 pale kwake na nikamuaga nikaondoka kurudi home kwa mama watoto wangu.
Saa4 Asubuhi nilikuwa nimewasili tayari pale kwa Iryn na baada ya kuingia ndani niliwakuta Mzee wake pamoja na Claire, na mimi niliwasilimia na hatukukaa tukaanza safari ya kwenda JNIA.
Tulitumia lisaa mpaka tunawasili Airport Terminal 3 na baada ya kushuka kwa gari tulipiga picha ya pamoja tukiwa wanne na tukaingia ndani, Departure. Ofcourse ilikuwa ndo muda wa kucheck-in na Mzee alituaga pale na wakaishia kukumbatiana na bint yake,
“Daddy I will see you soon, I love you.”
“Nakupenda pia binti yangu, takecare.”
Mzee Virgil pia anaongea kiswahili maana aliishi Tanzania so anakijua vizuri kabisa.
Tuliachana na Mzee na sisi tuliondoka pale Airport kurudi na tulianza kumdrop Claire pale kwake na sisi tukaenda ofisini kuweka mambo sawa na baada ya nusu saa tuliondoka kwenda kwangu mbezi beach.
Baada ya kufika home tulikuta mama J na bibi hawapo na tuliambiwa wamekwenda hospital, hivyo alikuwepo Junior na dada yake wamekaa pale seblen. Iryn alimchukua Junior na akatoka naye nje akaanza kumuendesha na gari yake kwa remote, jinsi alivyokuwa anacheza naye ungesema ni mwanaye, kwa upande wa Junior muda wote alionekana kumfurahia sana mama yake mdogo.
Baada ya masaa 2 kupita hatimaye walirudi kutoka hospital na nilifanya kuulizia maendeleo ya bibi na nikaambiwa anaendelea vizuri, muda huu wife alikuwa anaongea na Iryn na mimi niliwaacha nikaenda kulala chumbani. Hii siku tulishinda na Iryn mpaka usiku ndo akaondoka na nilifanya kumpa ride mpaka kwake na wakati tuko njiani alikuwa anaichezea bunduki yangu kiasi kwamba tulivyofika kwake ilibidi tusex ndo nikarudi home.
Kwa upande mwingine wiki hii mwishoni siku ya Jumapili usiku baada ya kuachana na Iryn, alinambia atakwenda kukaa na best yake Claire Masaki maana hataki kuishi peke yake kipindi hiki, na mimi sikutaka kumuuliza maswali sana nilimwambia haina shida. Hii week nzima mpaka inaisha Iryn alikuwa anashinda sana home na mama J pamoja na Junior na ile jioni nilikuwa napitia kwake then tuna sex, ilikuwa ni ratiba tayari tumejiwekea.
Kutokana na hili suala nilijikuta nakuwa natumika sana kwa Iryn kuliko kwa wife maana hata hamu ya kusex na wife nilikuwa nakosa, muda wote nilikuwa natamani niwe nasex na Iryn. Nilianza kupoteza hisia za kusex na wife, totally nilipoteza hisia kwake lakini ukija upande wa pili wa mke mdogo Iryn yaani nilikuwa napatwa na hisia sana tukiwa kwa bed.
Japo nilikuwa napretend tukiwa wote kwa bed lakini, wife kwa upande wake alishtuka na alihisi somethin fishy kinaendelea kwangu,
WIFE: “Bae unajua now sikuelewi kabsa na toka nirudi Moshi naona mabadiliko makubwa sana kwako.”
MIMI: “Kwanini mke wangu umeona mabadiliko gani?”
WIFE: “Anyway nitafound out soon naona kuna sehemu unatumika ila kwangu kama unajilazimisha.”
MIMI: “Hapana mke wangu mimi niko sawa sema siku hazifanani, usianze kuwaza vibaya.”
Niliwaza nikaona kuna namna inabidi nifanye juu ya hili maana tatizo likija kuwa kubwa itakuja kuleta matatizo mbeleni. Nilitafakari inabidi nizi control hisia zangu kama ilivyokuwa kwa Prisca na wife hakushtuka mpaka namuacha, niliona hata kwa Iryn naweza kufanya hivi.
******
Tulikuwa tumeingia week ya mwisho ya mwezi september na kwa pale ofisini suala la reception lilikuwa bado ni shida maana hata Iryn alikuwa haji ofisini japo alisema angekua anakuja kushinda. Kwa upande wangu sikuwa na neno lolote juu yake maana yeye ni bossy na suala la kuajiri mtu lilikuwa chini ya Mama Janeth na alisema tutadiscuss mwisho wa mwezi.
Kwa upande mwingine Camilla binti ya Mzee Juma alinipigia simu na akanipa taarifa kuwa mwezi october tarehe 8 kutakuwa na hafla ya sherehe pale kwao na Mzee amemwambia anipe taarifa niende na familia yangu, na mimi nilimwambia sitakosa. Niliuzia Mzee kama amerudi na Camilla alisema atarudi siku moja kabla ya sherehe, tuliagana pale na akakata simu.
Ijumaa ya mwisho wa mwezi mzigo ulikuwa umewasili na Agent alikuwa amepiga simu mapema nikaufuate na nilikwenda na Lucy, lengo langu kubwa naye apate experince kuhusu haya mambo hata nikiwa sipo iwe rahisi kwake kucover.
Baada ya kutoka Posta tulianza kushusha box za product Masaki na Lucy aliondoka na dereva kwenda Mikocheni. Hii siku nilikuwa nimetingwa sana na baada ya kuachana na Lucy nilitoa simu yangu na nikakutana na ujumbe wa Iryn alikuwa ameutuma Whatsapp saa moja iliyopita na ilikuwa ni voice note, na ilibidi niisikilize muda huu maana ilionekana kuwa ndefu sana,
“Hi Insider pole na kazi, nakupenda sana lakini kuna jambo naomba nikuweke wazi mapema kwani nimeona sio sawa. Nakuona upo na furaha sana na familia yako na mimi sitaki kuwa chanzo cha kuiharibu familia yako na future yenu. I feel bad kuona nalala na mume wa mtu na isitoshe mama J ni best yangu, before things get worse ni bora nika step down for the sake of your family. Kwa yote tuliyofanya lets assume like nothing happened between us, nimekusubiri sana ofisini ili tuongee lakini hukurudi mapema, kuonana mimi na wewe ni ngumu kwasasa na nitakutafuta before sijaondoka. Don’t feel bad, hata mimi najisikia vibaya but this is for your family, I LOVE YOU.”
Ni taarifa ambayo ilinishtua sana na niliwaza pale huenda kuna kitu kinaendelea chini ya carpet mimi sijakifahamu maana kwa level tuliyokuwa tumefikia ingekuwa ngumu Iryn kupindua. Nilihisi Claire atakuwa mchawi wangu wala sio mtu mwingine, niliwaza pale itakuwa kamjaza ujinga Iryn ndo kachukua maamuzi haya. Pia tangu tumeanza hii week toka jumatatu tulikuwa hatujaonana zaidi ya kuwasiliana kwa simu na hakukuwa na sign yoyote mbaya kati yetu, niliwaza huyu ni Claire.
Muda ulikuwa ni saa 12 jioni tayari hivyo nikajisemea acha kwanza niandae report then nitampigia simu badae ili tuongee vizuri, nijue tatizo ni nini?.
Nilitoka kwenda kwenye gari kuchukua documents na wakati naingia ndani niliona range ya mama Janeth ikiingia na ilibidi nisimame nimsubiri ashuke, baada ya kushuka alikuja usawa wangu na tukasalimiana pale na alionesha kuwa na furaha sana,
MA’ JANETH: “Insider unaendeleaje?.”
MIMI: “Salama mama nimefurahi kukuona afu umependeza sana.”
MA’ JANETH: “Thank you lets go inside tukaongee na masuala ya ofisi, nilikuwa busy sana hapa katikati.”
MIMI: “Karibu sana mama.”
Tuliingia ndani ofisini na yeye akakaa kwenye coach tukaendelea na mazungumzo,
“Mama kama nilivyokwambia tunahitaji dada mmoja wa kukaa reception, pengo la Sumaiya halijazibwa bado mpaka sasa na Asmah mgonjwa.”
MA’ JANETH: “Asmah kesho ataanza kuja ofisini nimetoka kuongea naye sio muda mrefu sana and she is doing well.”
MIMI: “Good news aje hata akae reception.”
MA’ JANETH: “Exactly na mimi nitakuletea dada wa kukaa reception kuanzia jumatatu atareport.”
MIMI: “Sawa mama naomba afanye kureport mapema tu.”
MA’ JANETH: “Utamfanyia interview pia ili ujiridhishe.”
MIMI: “Sawa mama usiwe na wasiwasi na hili.”
MA’ JANETH: “Okay one more thing, una mahusiano gani na Iryn? be honesty with me.”
Mama Janeth alinipiga swali gumu sana ambalo hata sikujua najibuje na mimi niliona limekaa kimtego sana.
EXTRA EPISODE 4[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Mkuu naomba upitie email yakoDecember nitakuja Dodoma na Mama Ariana, usicheze mbali [emoji2763]🤏[emoji2532]
69EPISODE 69
A TRUE STORY BY INSIDER MAN
PREVIOUS
MA’ JANETH: “Okay one more thing, una mahusiano gani na Iryn? be honesty with me.”
Mama Janeth alinipiga swali gumu sana ambalo hata sikujua najibuje na mimi niliona limekaa kimtego sana.
CONTINUE….
PART I
Muda huu ubongo wangu ulifanya kazi kwa haraka sana kama AI na niliwaza mambo matatu,
Mosi, mama Janeth anajua kila kitu kuwa nina mahusiano na binti yake, either kaambiwa na Iryn au Mzee Virgil.
Pili, anahisi nina mahusiano na binti yake maana tumekwenda wote Zanzibar na Dodoma kwa mtu mzima lazima ahisi something fishy is going on kwa kuunganisha haya matukio.
Tatu, hajui chochote ila anataka kujua kupitia mimi.
“Niliwaza pia hivi kama anajua na nikamkatalia atanifikiriaje?, nilifikiri pia Iryn hawezi kumwambia mama Janeth kuhusu hili suala letu bado ni mapema sana, ukizingatia leo kanitumia ujumbe wa kuachana. Kuhusu Mzee wake kumwambia niliona sio rahisi kuongea haya mambo kwani mahusino ni suala binafsi na pia wanaume hatunaga sifa za umbea.”
Palepale nikajua mama Janeth hakuna anachojua na huenda Iryn kamficha hili suala na hapa nikapata nguvu ya kumjibu kwa confidence,
MIMI: “Mama mahusiano niliyonayo na Iryn ni kama rafiki yangu wa karibu ambaye tumekuwa kama ndugu.”
MAMA JANETH: “Sounds great I’m happy for you guys hata kama mngekua kwenye mahusiano ningebariki, umefanya kazi kubwa sana kumuweka Iryn sawa hata mimi nilishindwa hili maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana.”
MIMI: “Katika jambo ambalo nilimuahidi Iryn ni pamoja na kumfanya awe na furaha na nilijua suala la baba yake linamuumiza sana hivyo nilimshauri ayamalize na baba yake.”
MAMA JANETH: “Niseme Iryn kwasasa ni yule naemjua zamani amekuwa mchangamfu sana, Ahsante sana kwa hili.”
MIMI: “Usijali mama mimi nimeshakuwa familia tayari.”
Japo mama Janeth alionekana kuna jambo anatamani kunambia ila alikuwa anasita na mimi nimlimsoma mapema na nilihisi alitamani kunambia ukweli kuwa binti yake ananipenda lakini alipotezea.
MAMA JANETH: “Insider mimi naondoka Jumatatu akija dada utanipa feedback, chukua hii bahasha kuna pesa itakusaidia na hii weekend.”
MIMI: “Ahsante sana mama, Mungu akubariki sana.”
Baada ya mama Janeth kuondoka niliisikiliza tena ile voice note ya Iryn kwa makini sana, nikagundua Iryn anaendeshwa na hisia na hatumii akili yake, ni kama anakuwa anakurupuka kwenye kufanya maamuzi na anakosa misimamo. Kwa upande mwingine niliwaza labda Claire kajua nina mke hivyo kamshauri Iryn aniache, pia nilikuwa na wasiwasi sana na Claire.
Kitendo cha Iryn kutokuwa na misimamo kilinikera sana na nilimuona anakua kama mtoto mdogo, nikaamua kumpigia simu kwanza ili nijue tatizo ni nini. Nilimpigia simu na iliita muda mrefu na akapokea,
MIMI: “Hi baby how you doing.”
IRYN: “Just fine.”
MIMI: “Nahitaji kuonana na wewe upo wapi? Ni siku tano sasa sijakuona toka uniage unakwenda kwa Claire.”
IRYN: “Insider umepata ujumbe wangu?”
MIMI: “Ndio nimeupata ndomana nakuuliza upo wapi ili tuonane tuzungumze.”
IRYN: “Nimekwambia nitakutafuta before sijaondoka but for now hapana.”
MIMI: “Umetuma huu ujumbe ukiwa na akili yako timamu au umekosea?”
IRYN: “Ni kitu gani ambacho hujaelewa Insider, I said that lets assume like nothing happened between us, maamuzi niliyoyachukua yananiumiza but yatapita na haya yote ni kwaajili ya familia yako.”
MIMI: “Sawa mimi nimekuelewa sina shida naomba tuonane we nambie ulipo mimi nitakuja.”
IRYN: “Nilikusubiri sana ofisini mpaka nikachoka, voice niliyokutumia imejieleza vizuri kabisa.”
MIMI: “Sawa sikulazimishi kuonana na mimi hata unavyoondoka usinitafute na sihitaji uniage maana unanitafuta unavyojisikia wewe, hivi wewe mwanamke mimi unanichukuliaje? unajua nimekuvumilia mpaka nimechoka sasa, labda unanichukulia mimi kama fala flani.”
IRYN: “Insider what are you talking about? Are you angry with me?”
MIMI: “Wewe ni mtu mzima tena unayejitambua lakini maamuzi yako ni ya kitoto sana, unakosa kuwa na misimamo maana unakuwa sitaki na nataka, unakuwa unaendeshwa na hisia badala ya kutumia akili kwenye maamuzi yako.”
IRYN: “Kwahiyo unataka kusema natumia hisia kwenye jambo la faida kwa familia yako.? Are you serious?.”
MIMI: “Ina maana wakati unaingia kwenye mahusiano na mimi hukulijua hili ndo umelijua leo hii? Ungekuwa ulitumia akili haya ya leo yasingetokea na wala usinge sex na mimi.”
IRYN: “Point yako mimi sina akili?”
MIMI: “Sijasema wewe huna akili but unashindwa kutumia akili uliyonayo kwenye kufanya maamuzi sahihi. Mimi naheshimu maamuzi yako na nimekubali tuachane kiroho safi na nikwambie, naipenda sana Familia yangu na mama Junior atabaki kuwa mke wangu no matter what. “
IRYN: “Thank you Insider I wish you and your family all the best.”
MIMI: “Nilitegemea hili jambo tungediscuss kwa kukaa chini lakini kitendo cha kunitumia voice kwangu ni dharau, afu one more thing naomba usije kukanyaga pale kwangu wala kusikia umemchukua Junior, kwaheri.”
IRYN: “Insider what are…..” Na mimi nikakata simu sikutaka kuendelea kumsikiliza.
Niliendelea kukaa pale ofisini nikiwaza hili suala na nikaondoka kurudi home, lakini nilipitia pale Mikocheni plaza nikanunua Pizza large na soda ya fanta takeaway kubwa nikaendelea na safari yangu ya kurudi home.
Baada ya kufika home niliwakuta wote wamekaa nje kibarazi mpaka bibi na nikawasalimia pale na muda huu mama J alikuwa kanipokea ile Pizza,
MIMI: “Wife nimewaletea leo Pizza mle na Bibi.”
WIFE: “Baba J, bibi na Pizza wapi na wapi?”
MIMI: “Si amekuja mjini azoee na vya mjini kidogo, eti bibi utashindwa?”
Na muda huu wife alikuwa kachukua kipande kimoja anakila,
BIBI: “Vyakula vya kizungu hivyo.”
Niliwaaga pale na mimi nikaingia chumbani kuoga maana mchana kutwa nilikuwa na hekaheka za bandarini. Baada ya kuoga nililala pale kitandani na mama J aliingia chumbani muda huu na tukaanza maongezi pale,
MIMI: “Mke wangu tangu urudi Moshi naona unazidi kuwa mzuri ulikuwa unalishwa nini huko?”
WIFE: “Mimi najiona kawaida mbona ni vile hujaniona kwa muda mrefu.”
MIMI: “Sogea hapa kitandani uwe karibu na mimi unajua nakupenda sana mke wangu, zawadi ya Junior uliyonipa ni heshima kwangu.”
WIFE: “Nashukuru kwa kulitambua hili hata mimi nafurahi kuona kuwa na mwanaume anayejua majukumu yake kama baba, lakini mimi kama mke wako kuna vitu naona haviko sawa baba J.”
MIMI: “Niambie mke wangu ni vitu gani hivyo vinakukera?”
WIFE: “You know Baba J wewe ndo mwanaume wa kwanza kunifahamu na ninakuapia sijawahi kulala nje na mwanaume mwingine na siji kufanya hivyo. Ila tambua kuna mambo huwa unayafanya na yananiumiza sana na wewe unayajua sina haja ya kuyasema. Kumbuka na mimi ni binadamu ninaumia sana kuona unanicheat, naomba tu-focus kwenye malezi ya mtoto kama sisi tutayumba hata mtoto tutampoteza.”
MIMI: “Mke wangu mbona hayo yalikwisha muda mrefu sana na bado unayakumbushia na mengi nilikukatalia sio kweli shida ni nini?”
WIFE: “Roho yangu inakosa sana amani juu ya Iryn nahisi kuna kitu nyuma ya pazia kinafanyika kati yenu. Naheshimu sana kazi yako maana hata mafanikio nina yaona kwa macho, pia nafahamu Iryn ni bossy wako na ni rafiki kwako, lakini napatwa na wasiwasi na huu ukaribu wake kwangu seems like anahide something nisikijue.”
MIMI: “Something what?”
WIFE: “Unajua hata bibi naye amehisi kitu kwa Iryn na amenambia niwe naye makini sana, anaonekana ni rafiki kwangu lakini ni adui yangu namba moja, na sikuzote adui huwa hatoki mbali.”
MIMI: “Mke wangu mimi naona wasiwasi wako tu afu Iryn kuja hapa home ni kwaajili yako na sio mimi, kitu kingine unawasiwasi sababu ya uzuri wake, lakini trust me angekuwa ni mwanamke ambaye hana mbele wa nyuma sidhani kama ungekuwa na wasiwasi huu, hata bibi ana wasiwasi sababu ya uzuri wake.”
WIFE: “Ni kweli unachoongea kumbuka bibi alikuwa binti kama mimi na ana ujuzi wa kutosha na kumsoma mtu tabia, lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja.”
MIMI: “Mke wangu siku zote wewe huwa unaniombea mabaya na sio mema hapa ndo huwa sikuelewi, badala uniombee wewe unawish litokee ndo point yako.”
WIFE: “Sina maana hiyo ila naomba kama kuna kitu mnafanya kwa siri bhasi acha, hakuna siri kwenye hii Dunia.”
MIMI: “Mke wangu naomba uwe na amani kama ningekuwa nafanya hayo hata Iryn asinge kuwa anakuja hapa home angeacha kuja kwaajili ya aibu. Mapenzi yana nguvu kubwa sana na hayafichiki hata mimi ningemkataza kuja hapa home, Iryn ni kama familia kwetu na anatuchukulia sisi kama ndugu zake, sioni sababu ya kuendelea kumfikiria vibaya kama hupendi kumwona hapa home ni juu yako sababu anakuja kwako na Junior.”
WIFE: “Sijataka kufika huko na siwezi kumkataza kuja home, mimi nakwenda kupika. Unataka kula nini usiku huu?”
MIMI: “Mimi nitakula chochote mlichopanga kupika.”
WIFE: “Ni muda sana toka niwe Moshi najua kuna chakula unatamani kukila wewe sema tu.”
MIMI: “Nahamu na wali-maini.”
WIFE: “Usijali.”
Wife aliongea maneno ambayo yalinichoma sana na nilijihisi nina hatia sana juu yake maana mambo aliyokuwa anaongea ni ya kweli ni vile alikuwa hana ushahidi. Nilijisikia vibaya sana na nikajisemea moyoni I have to change, family means everything to me.
Baadae tulipata dinna ya pamoja pale mezani na tulikuwa tunapiga sana story na bibi maana ni mtu muongeaji sana kwakweli. Pia nilimwambia mama J kesho tutatoka as family na tutakwenda Ramada Hotel na yeye alisema kwa bibi itakuwa ngumu kwenda na itabidi abaki na dada, tutatoka sisi pamoja na Junior.
•••••••
Jumamosi Asmah aliripoti ofisini kuendelea na kazi na mimi baada ya kuwasili ofisini nilimkuta amekaa reception na laptop yake, tulisalimiana na tukaanza kuongea pale,
MIMI: “Nambie Asmah unaendeleaje na mguu wako?”
ASMAH: “Nashukuru Mungu naendelea vizuri kidogo naweza kutembea.”
MIMI: “Embu tuone maendeleo ya mguu.”
ASMAH: “Insider hapa hapana sitaki matatizo na watu mimi, twende ofisini nikakuoneshe afu kuna jambo itabidi unisaidie.”
Baada ya kuingia ofisini Asmah alikaa kwenye coach na akapandisha juu gauni yake usawa wa kiunoni na nikaweza kuliona paja lake lilikokuwa limeumia na niliishia kusisimuka maana lilikiwa jekundu sana.
MIMI: “Damn! kumbe uliumia sana rafiki yangu mpaka nimesisimuka ujue.”
ASMAH: “Hata hapa afadhali ilikuwa zaidi ya hapa unavyoona.”
Na mimi nilijaribu kulishika na nilijaribu kulibinya na aliishia kulalamika namuumiza. Hata kwenye kutembea bado alikuwa anatembea kwa shida sana yaani ile slow but sure,
ASMAH: “Insider nimerudi kwangu now, dada amesafiri na pia niwe karibu na ofisi.”
MIMI: “Utawezaje mikiki ya kuishi peke yako na hali hii?”
ASMAH: “Ndomana nimeamua kurudi ofisini kidogo nikiwa natembea tembea nakuwa nafanya mazoezi ili nirudi kwenye hali yangu.”
MIMI: “Now huwezi kusex kabisa sindio?”
ASMAH: “Hahaaa ushaanza ujinga wako, naomba unisaidie jambo moja, wewe ndo mtu niliyekuzoea humu ndani.”
MIMI: “Nambie tu ni jambo gani hilo unahitaji msaada?”
ASMAH: “Naomba kila siku jioni uwe unanisaidia kufanya mazoezi ya mguu”
Asmah aliomba niwe namsaidia kumtembeza huko nje pamoja na kumfanyisha mazoezi ya mguu kama kuukunja na kuunyoosha.
MIMI: “Hilo ondoa shaka ila kwa leo nina ratiba binafsi jioni ila tutafanya zoezi moja before sijaondoka.”
ASMAH: “Sawa Ahsante dear.”
Wakati nikiendelea na majukumu yangu ule mchana Camila alinipigia simu na akaomba nimpe kampani ya kwenda Bahari beach jumapili na mimi nikamkubalia kwa masharti ya kwenda kwa Jane baada ya kumaliza mambo yake. Tangu nirudi kutoka Zanzibar nilikuwa sijakanyaga kabisa kwa Jane zaidi ya kuongea kwa simu tu na nilikuwa nimemiss kumuona na kumjulia hali.
Saa 10 jioni ilibidi niondoke kwenda home ili nitoke out na familia kama nilivyokuwa nimeahidi jana, na before sijaondoka nilimcheki Asmah ili zoezi lianze na ndani ya muda mfupi alikuwa ameingia ofisini na akakaa kwenye coach.
Na mimi nilimsogelea tukaanza zoezi, mguu wake aliuweka tumboni kwangu, lilikuwa ni zoezi la kukukunja na kunyoosha mguu. Alikuwa ananipush kwa nguvu then mguu unanyooka afu mimi nikirudi kwake mguu unajikunja vivyohivyo japo alikuwa analalamika sana na mimi nilimwambia aache kutoa kelele.
ASMAH: “Insider ungefunga mlango na funguo sipendi shida na watu.”
MIMI: “Nifunge mlango tena kwani kuna kitu kibaya kinafanyika?”
ASMAH: “Huwajui wanawake wa humu ndani ni wambeya sana.”
MIMI: “Usiwe na wasiwasi kila mtu humu ndani anajua unaumwa na mimi nakusaidia kama rafiki yangu, ila kuanzia kesho uvae tight maana haya mambo ninayo yaona hapa yamefanya Insider aamke toka usingizini na mimi sitaki kufanya jambo lolote na wewe.”
ASMAH: “Siwezi kuvaa tight maana natakiwa kujichua paja mara 3 kwa siku nikivaa itanisumbua sana.”
MIMI: “Sawa pole, bhasi vaa hata zile tight fupi sio mbaya.”
ASMAH: “Okay hata hivyo nashukuru rafiki yangu kwa msaada wako japo mguu kama nimeutonesha tena huna huruma kabisa.”
MIMI: “Si unakumbuka siku ile nilivaa chupi yako kichwani nikawa kama Rambo.”
ASMAH: “Insider unazingua sana kwaheri mimi nipo sana.”
MIMI: “Kesho Jumapili mimi sipo pia, itabidi utafute mtu wa kukusaidia, kingine acha kupanda bodaboda usije ukajitonesha tena.”
ASMAH: “Sawa dear niko makini sana kwa hili.”
Niliondoka maeneo yale na nikarudi home, baada ya kuwasili nilimkuta Bibi amekaa kibarazani na tukasalimiana pale nikaingia ndani na mama J alikuwa pale seblen na Junior.
WIFE: “Nilijua umesahau ulichoahidi jana, una ahadi hewa nyingi sana.”
MIMI: “Mke wangu siwezi kusahau ahadi yangu ndomana nimekuja mapema tuondoke.”
WIFE: “Sisi tuko tayari muda mrefu sana tulikuwa tunakusubiri wewe tu.”
Tulitoka home na tulikwenda Ramada hotel, baada ya kuwasili pale tulitafuta sehemu nzuri tukakaa. Hii siku tulijadili masula ya maisha yetu kwa ujumla na tulipanga mipango yetu mingi sana kwa baadae. Tulikaa mpaka usiku sana na tulirudi home kulala lakini bado nilikuwa nakosa hamu ya kusex na wife.
Jumapili niliamka asubuhi mapema sana ili niwahi misa ya saa moja na baada ya kurudi home nilikuta missed call 3 za Camila. Baada ya kumpigia simu alikuwa ananikumbusha appointment yetu na nikamwambia niko home anipitie ili tuondoke na nitasogea mpaka barabarani.
Baada ya lisaa Camilla alikuwa around tayari na alinipitia pale “Ally sykes Road” mbezi beach na tukaendelea na safari ya kwenda Bahari Beach. Camilla alikuwa anaendesha Mercedes SUV na ilikuwa ngeni machoni pangu na wakati tuko njiani tulikuwa tunapiga story,
CAMI: “Insider hujataka nikujue kwako.”
MIMI: “Wewe lengo lako uje kwangu au nikupe kampani?”
CAMI: “Hata ningekujua kwako sio mbaya maana wewe ni ndugu tayari.”
MIMI: “Kwangu utakufahamu usiwe na wasiwasi.”
CAMI: “Unajua nimechelewa sana kuna watu wananisubiri Bahari Beach ili twende nao site.”
Baada ya kuwasili Bahari beach kuna harrier nyeusi ulikuwa imepark pembeni ya barabara ni kama mtu alikuwa anatusubiri na Cami alitoa ishara kwa ile gari na ikaanza kutufuata kwa nyuma na tulikwenda moja kwa moja mpaka kwenye plot yao yenye uzio mkubwa.
MIMI: “Hujanambia kuna ishu gani huku mimi nimekupa kampani tu.”
CAMI: “Twende ndani utaona.”
Baada ya kushuka kwa gari Camilla alisalimiana na wale wageni na walikuwa wawili kisha akafungua geti tukaingia ndani na wao walitoa vifaa vyao na wakaanza kufanya vipimo.
CAMI: “Insider hawa ni ma-engineer wanapima eneo kwanza kabla ya kuanza ujenzi.”
MIMI: “Eneo ni kubwa sana mnaplan ya kufanya project gani?”
CAMI: “Mzee anasema anatakaa kujenga hotel, but bado hakuna muafaka. Wewe unaweza kushauri mzee afanye project gani hapa?”
MIMI: “Kwanini Mzee asijenge Apartments? Kwa huku Bahari Beach atapata pesa mingi sana kuliko hata hotel.”
CAMI: “Hata mimi niliona hili.”
MIMI: “Na ukashauri nini?”
CAMI: “Kama nilivyosema bado hakuna muhafaka kama familia.”
Wakati wakiendela na vipimo kwa upande wetu tulikuwa tunapiga story mbalimbali na baada ya lisaa walikuwa wamemaliza kazi yao na wakaondoka, kwa upande wetu tulikaa kwa dakika 10 tukaondoka kwenda Mbweni kwa Jane.
Ilikuwa ni mchana tayari wakati tunatoka pale Bahari beach kwenda kwa Jane na baada ya kuwasili tulikaribishwa seblen. Kwa upande mwingine Jane tumbo lake lilikuwa kubwa sana na alionesha kuchoka sana, ni kama alikuwa anasubiri muda utumie ili ashushe ule mzigo maana ilikuwa miezi 8 tayari ya ujauzito wake.
Tuliongea masuala mbalimbali na Jane ikiwemo afya yake na masuala mengine ya pale home na kabla ya kuondoka nilitoka kwenda kuwasabahi mbwa wangu na niliwakuta wako salama kabisa na nikarudi ndani.
MIMI: “Vicky yuko wapi na muda sijamwona nime-mmiss.”
JANE: “Amelala huko ndani vipi tumuamshe?”
MIMI: “Muacheni apumzike mpaka akalala mchana kweli yuko hoi.”
JANE: “Mhhh! hajasikia sauti yako tu.”
CAMI: “Dada Jane mzee si alikupa taarifa ya hafla pale nyumbani?”
JANE: “Alinambia lakini si unaona nilivyojichokea hapa mdogo wangu.”
CAMI: “Naona utakuwa sawa usijali.”
Baada ya kupata lunch tuliawaaga na wakati tunaondoka Vicky alikuwa kaamka tayari na tukuwa tunaongea pale nje kibarazani.
VICKY: “Insider umekuwa adimu sana why?”
MIMI: “Kila nikija hapa naambiwa haupo sijui umepata bwana wapi.”
VICKY: “Mabwana wenyewe hampo serious bora niendelee kuwa single.”
MIMI: “Mhhh, you’re not ready to mingle?”
VICKY: “Ofcourse No.”
MIMI: “Sisi tunaondoka tulikuja wasalimia.”
VICKY: “Tunashukuru kama unavyotuona hapa, Insider timiza ahadi zako wewe mwanaume ni muongo sana, nitakuchukia.”
MIMI: “Next week jumamosi ukiona kimya nikumbushe.”
VICKY: “Ok byee.”
Tuliondoka na Camila na aliniacha pale Rainbow Mbezi Beach na mimi nikaondoka kurudi home kupumzika.
*********
Jumatatu wakati niko ofisini nilipigiwa simu na Rebby na akanambia kuna mgeni amekuja kuonana na mimi,
MIMI: “Anashida ya ofisi au private?”
REBBY: “Anasema ameagizwa na mama Janeth.”
MIMI: “Ooh nilisahau muelekeze ofisi yangu aje.”
Baada ya dakika nilisikia mlango ukigongwa na baada ya kumkaribisha dada aliingia ndani.
“Good morning sir.”
“Good morning too, wewe ndo umeelekezwa na mama Janeth?”
“Yes it’s me.”
“Ok, it’s my pleasure meeting you today, kuna dada atakufanyia interview usiwe na wasiwasi, do you need anything?”
“No thank you sir.”
Baada ya dakika 10 Asmah alikuja na akawa anamfanyia interview yule dada na baada ya kumaliza alitoa recommendation kuwa yuko vizuri mpaka muonekano wake ulikuwa unavutia.
MIMI: “Hilda leo umeanza kazi na utaanza kupewa mafunzo na majukumu yako yapo Kwenye mkataba na dada hapa atakuelezea kwa ufupi maana utakuwa unaripoti kwake. Mshahara pia utaona kwenye mkataba lakini nje na mshahara kampuni yetu ina offa bima ya afya, bonus, mikopo na masuala mengine mengi utayaona kwenye mkataba wako. Asmah nafikiri ungeanza kumuelekeza kuhusu ofisi yetu na mengine yaendelee mimi natoka kwenda bank.”
ASMAH: “Ok manager haina shida acha niendelee naye.”
Niliondoka ofisini na nilikwenda kwanza Mikocheni kucheki mazingira ya ofisi na nilitumia lisaa pale Mikocheni na nikaenda bank kuweka pesa.
•••••••
Jumanne asubuhi nilipokea simu kutoka kwa Sumaiya na aliomba tuonane mchana muda wa lunch na mimi niliikubalia ofa yake maana ilikuwa ni muda mrefu umepita hatujaonana licha ya ofisi yake kuwa palepale Masaki.
Mchana nilifanya kuwasiliana na Sumaiya na tulikubaliana tuonane Samakisamaki ndo tutapatia lunch yetu pale. Sumaiya alikuwa wa kwanza kuwasili pale na wakati niko njiani alikuwa kanipa taarifa kuwa amefika muda mrefu na ananisubiri.
Baada ya kuwasili maeneo yale niliingia ndani na yeye alikuwa amekaa upande unaotizama barabara, kwa upande mwingine Sumaiya alionekana kupendeza sana na alikuwa amevaa official, surual ya kitambaa, blauzi na chini heels.
MIMI: “Mshikaji umewaka sana hapa kweli ukinambia manager sikupingi.”
SUMAIYA: “Hata wewe naona sio haba gari nyingine mpya unakula sana pesa za Queen.”
MIMI: “Sijawahi kuzipa kipaumbele Pesa za mwanamke mimi sio Marioo.”
Mhudumu alikuwa amefika kutusikiliza na tukaagiza chakula na story zikaendelea,
SUMAIYA: “Jana Queen kaja ofisini kwangu kunisalimia, nikamuuliza vipi dada umekuja kunifukuza na huku? maana kule hukutaka niwe karibu na Insider au ulifikiri mimi nakuibia?, Queen akanambia hapana Sumaiya lengo langu nilitaka uje huku uongeze nguvu.”
MIMI: “Ila Sumaiya bhana hivi wewe na Iryn kwanini hampatanagi?
SUMAIYA: “Sikia sasa maana jana nilimchamba sana afu unanijua mimi siogopagi mtu, nikamwambia Insider ni mtu wa watu afu ana roho nzuri mdomana tunampenda hata mimi namtamani sana na amefanikiwa kuruka mitego yangu yote ila atatanasa tu siku.”
MIMI: “Hahahaa usiweke ligi na Iryn bibie akiamua kukutoa hapo ofisini ni sekunde wewe achana naye fanya yako mama.”
SUMAIYA: “Mama Janeth amekuletea dada mpya tena pisi kali, kazi kwako.”
MIMI: “Umejuaje hili?”
SUMAIYA: “Ooh! Ilitakiwa aje ofisini kwetu ila mama akaona anafaa kuja huko Salon.”
MIMI: “Hivi ulishawahi kwenda kumsalimia Asmah toka apate ajali?”
SUMAIYA: “Hapana ila nilimpigia simu nikamtumia na pole yangu, alinambia akirudi ofisini atanijulisha.”
MIMI: “Yuko ofisini tayari na nimemuacha pale na dada mgeni.”
SUMAIYA: “Itabidi twende wote nikaisalimie na timu yangu.”
MIMI: “Mtoto hajambo?”
SUMAIYA: “Yuko poa nataka nianze kuishi na mwanangu Insider.”
MIMI: “Kwa hili nakuunga mkono ni uamuzi mzuri na baba yake yuko wapi?”
SUMAIYA: “Baba yake yupo ila ni kama hana time na mtoto wake, kwanza alisemaga mtoto sio wake lakini baada ya mama yake kuja kumuona alisema ni mtoto wao. Baada ya hapo akawa hatumi pesa za matumizi sio kwamba hana hela? ni dharau anataka awe anaombwa na kubembelezwa, na pesa zake za masimango sana, mara aniambie akanigonge ndo anipe pesa za matumizi ya mtoto, nikaona huyu mpumbavu hanijui nikaamua kuachana naye napambana na mtoto wangu.”
MIMI: “Aisee! pole sana nenda kamshitaki kama ni damu yake anashindwaje kutoa pesa za matumizi na kweli ni damu yake?”
SUMAIYA: “Kuna wanaume wanatabia za kivulana afu ana 30+ ila anataka umnyekekee na mara ya mwisho ametuma pesa mwezi wa saba na alituma laki mbili tu baada ya kusikia mtoto anaumwa ila hanaga habari kabisa. Nashukuru Mungu kwa hii position niliyopata si haba ndomana nataka nikae na mwanangu, pia mama Janeth ananipiga sana tafu pale napokwama na huyu mwanaume akiendelea na hii tabia atamkosa mtoto.”
MIMI: “Tuondoke dear muda umekwenda nipitie na hapo KFC niwanunulie chakula kina Asmah.”
SUMAIYA: “Ndomana Asmah anakupenda sana unajua kujali sana Insider hata mimi hili nakupa maksi zangu, watoto wakike tunapenda mambo kama haya hata nikikuvulia chupi sijutii.”
Tuliondoka na Sumaiya pale Samakisamaki na tukapitia kwanza KFC kisha tukaendelea na safari yetu ya kwenda Salon. Baada ya kuwasili Salon Sumaiya alipokelewa vizuri na shoga zake na mimi nilimuacha pale reception akiongea na Asmah.
Baada ya nusu saa Sumaiya alikuja na akaaga anaondoka kwenda ofisini kwake ili kuendelea na majukumu yake ya kiofisi na alitoa noti ya $100 na akataka kunikabidhi.
SUMAIYA: “Insider ulinipa dollar ile siku na mimi nakulipa kwa dollar.”
MIMI: “Aisee Sumaiya naona mambo yako ni super mama, huna haja ya kunilipa mimi nilikupa tu maana ulikuwa kwenye wakati mgumu hio kampe mtoto.”
SUMAIYA: “Wow thank you, mimi naondoka but anytime ukinihitaji nijulishe.” Na akanikonyeza afu akaondoka. Na mimi nilibaki nikisikitika maana Sumaiya mpango wake wa kunitunuku ulikuwa haujafa.
•••••••
Ijumaa jioni mama Janeth alikuja ofisini kuangalia maendeleo ya Hilda na ofisi kwa ujumla na alikuja kama surprise. Mama Janeth aliingia ofisini na tukasalimiana pale, aliuliza kuhusu maendeleo ya Hilda pamoja na ofisi na akanambia akimaliza mambo yake tutakwenda wote Mikocheni ili akafanye na visit kule.
Kwa upande mwingine kulikuwa na forms za mikopo ambazo wanafanyakazi waliomba na zilikuwa pending sababu Iryn alikuwa hajazisaini na kwa upande wangu nilikuwa nimemtumia ripoti lakini haikujibiwa. Sasa nilishtuka baada ya kusikia mama Janeth ananambia nimpe azisaini kwa niaba ya Iryn, kwani yeye hayupo na atarudi jumatano hivyo sio busara kuwaacha watu kwa muda mrefu hivi.
Kwa upande mwingine mimi na Iryn hatukuwai kuwa na mawasiliano toka tuzinguane ile siku hivyo nilijua asingeweza kuniaga, kwanza nilimpa maneno makali sana.
MIMI: “Iryn hayupo? sina hizi taarifa.”
MA’ JANETH: “Ameondoka jumatano kwenda Arusha Serengeti, kwani hajakuaga?”
MIMI: “Ndio mama ndomana unaona nimeshangaa na amekwenda na Claire.?”
MA’ JANETH: “Yeah, kumbe unamfahamu yule best yake.”
MIMI: “Alinitambulisha couple weeks ago.”
MA’ JANETH: “Sasa nipe form nisaini ili tuwape hizi pesa.”
MIMI: “Za hapa zipo ila kwa Mikocheni ziko kulekule.”
MA’ JANETH: “Nipe za hapa kwanza nizisaini za Mikocheni nitadeal nazo hukohuko.”
Baada ya hapo tuliondoka kwenda Mikocheni na baada ya kuwasili pale Salon Mama alisalimiana na Lucy na watu wengine wote wa mle ndani na akaendelea na ukaguzi wa kote ndani mpaka nje.
Aliziomba form ili azisaini na baada ya kusaini alisema atafanya kutransfer hizo pesa kwenye akaunti za wahusika na akaniaga anaondoka kwenda Mlimani city kuna mtu anakwenda onana naye, niliongozana naye mpaka parking na akaondoka pale ofisini na mimi nilirudi ndani kuonana na Lucy na story zikaendelea.
LUCY: “Insider Iryn amekwenda Serengeti lini?”
MIMI: “Jumanne umejuaje yuko huko?”
LUCY: “Amepost kwenye Snapchat yake.”
MIMI: “Embu tuone maana mimi sina snapchat.”
Na Lucy alitoa simu yake mfukoni na akaanza kunionesha hizo picha.
LUCY: “Sema Iryn ni mrembo sana kweli kabarikiwa, Insider unamwagia pazuri sana rafiki yangu, hizi picha za Jana alikuwa Granmelia hotel leo naona yuko Serengeti na huyu dada ni nani.?”
Kuna picha alikuwa swimming pool na bikini na niliishia kukumbuka utamu wa coochie yake.
MIMI: “Best yake huyo anaitwa Claire na amerudi juzi tu hapa.”
LUCY: “Sijawahi kumuona kabisa.”
MIMI: “Tuachane na haya kesho mama J wangu atakuja Salon asubuhi nataka wewe udeal naye apendeze.”
LUCY: “Sawa haina shida aje na nimfahamu live wifi yangu.”
Nilimuaga Lucy na nilirudi home mapema kabisa kupumzika na baada ya kufika home niliiona gari ya mama mkwe (Bibi Junior) imepark pale nje uwanjani. Baada ya kuingia seblen nilimkuta amekaa seblen, tukasalimiana na maongezi mengine yakaendelea. Mama mkwe alikuwa amepitia kumsalimia mama yake (Bibi) na pia ayajue makazi mapya, baada ya kupata dinna ya pamoja mama mkwe aliaga na akaondoka.
Jumamosi nilikuwa na mualiko wa kwenda kwa Mzee Juma nyumbani kwake pamoja na familia yangu na mimi nilihisi lazima Mzee anataka kuiona familia yangu. Ilibidi ile asubuhi tuondoke na wife kwenda Salon kwa Lucy akatengenezwe maana nilitaka mama J wangu apendeze vizuri.
Baada ya kufika Mikocheni tulionana na Lucy na ilikuwa ndo mara yake ya kwanza anamuona mama J na wakasalimiana.
“Lucy huyu ndo mama Junior wangu, sasa naomba apendeze na mtafutie wigi zuri atakalolipenda, hakikisha anapendeza sawa?”
“Ondoa shaka manager kwa wifi yangu nitafanya mbinu zote ili apendeze.”
Nilimuacha wife Salon na Lucy na niliondoka kwenda Masaki, baada ya kuwasili pale nilimkuta Hilda pale reception tukasalimiana na nilimuuliza kama Asmah amefika na akanambia yuko ofisini.
Nilikwenda ofisini na Asmah alikuwa busy na laptop yake, na baada ya kuniona alinisalimia na tukaanza maongezi pale,
ASMAH: “Insider jana nimekosa mtu wa kunisaidia mazoezi, kila mtu naye muomba anasema yuko busy.”
MIMI: “Pole sana na Hilda je alikugomea?”
ASMAH: “Insider mtu mwenyewe bado mgeni afu nianze kumsumbua? Hapana kwakweli.”
MIMI: “Leo tutafidia mazoezi ya siku mbili ila after lunch na leo nitaondoka mapema sana.”
ASMAH: “Unakwenda wapi?”
MIMI: “Invitation mama.”
Mchana tulitoka kupata lunch tuliongozana na Hilda na tulikwenda kupata lunch “The Fish Monger Restaurant”, tuliagiza chakula na tukaendelea kupiga story pale juu huku tuki view Masaki vizuri.
MIMI: “Hilda unaishi wapi?”
HILDA: “Kigamboni kibada.”
ASMAH: “Ni mbali sana kumbe, itabidi usogee sogee karibu na ofisi.”
HILDA: “Ndo niko na mpango huu, Asmah yule dada (Sumaiya) uliye kuwa unaongea naye jana alifanya kazi pale Salon?”
ASMAH: “Ndio na alihamishwa kwenda ofisini nyingine, unafahamiana naye maana niliona kama mnajuana.”
HILDA: “Alinifanyia interview kwenye ofisi yake na akanambia nitaletwa huku.”
MIMI: “Unajua sababu ya mama kukuleta Salon?”
HILDA: “No sifahamu kwanini, can you tell me?”
MIMI: “Asmah atakwambia badae.”
Na Asmah aliishia kucheka pale lakini Hilda alikuwa na shauku ya kujua ni sababu ipi hiyo?.
Baada ya kupata lunch tulirudi ofisini na mimi nilimfanyisha mazoezi ya mguu Asmah kwa nguvu sana na aliishia kupiga sana kelele hii siku kuliko siku zote, sikuwa na huruma kabisa. Kwa upande wake alikuwa ameanza kukaa sawa hata mabadiliko yalikuwa yana onekana hasa kwenye kutembea.
Muda ulikuwa umekwenda tayari hivyo niliamua kondoka ofisini nirudi home kujiandaa kwaajili ya kwenda Mikocheni kwa Mzee Juma, kwa upande mwingine wife alikuwa amerudi home muda mrefu na alikuwa akinisubiri mimi tu.
Saa yangu ilikuwa inaonesha ni saa 10 kasoro jioni wakati nawasili home na baada ya kuingia ndani chumbani nilimkuta mama J anachagua nguo za kuvaa. Wife alikuwa amependeza sana asee mpaka nikaanza kumtamani, alikuwa ameng’aa sana kwakweli.
MIMI: “Mke wangu umependeza sana umekuwa mrembo sana.”
WIFE: “Thank you kwa kunipendezesha mume wangu. Nilikuwa najifikiria hapa navaaje bora umewahi kurudi.”
MIMI: “Hata mimi sielewi maana ni kama hafla inafanyika nyumbani tu, mimi nafikiri tuvae casual tu inatosha.”
WIFE: “Kama ni hivyo nitavaa gauni langu refu.”
MIMI: “Wewe cha muhimu upendeze ujue nitakutambulisha kwa mzee wangu na Junior, acha nikaoge ili tuondoke.”
Mimi niliingia kuoga na ndani ya muda mfupi nilikuwa nimemaliza mpaka kuvaa nikamuacha wife chumbani akimuandaa mtoto.
Baada ya dakika 20 wife alitoka na alikuwa kapendeza sana na mimi niliishia kumsifia pale seblen mbele ya bibi. Mama J alikuwa amewaka sana naona hakutaka kunitia aibu, Mama J wangu kabarikiwa kuwa na mahips na ana kasura.
Tulitoka pale home na saa 11 jioni ilitukutia pale nje getini kwa Mzee Juma na kulikuwa na magari makali yamepark ni hatari, mimi na ka ist kangu ni kama nilikuwa nazingua maana nilikuwa peke yangu pale nje.
Baada ya kupark tulishuka kwa gari na pale getini tulikaribishwa na dada ambaye simjui na akatupeleka sehem ya kukaa. Palikuwa ni garden na zilikuwa zimewekwa tents na pamepambwa vizuri sana na kulikuwa kunameza za kutosha na kila meza mnakaa watu wanne (4).
Kwa upande mwingine kulikuwa na watu wengi wamefika tayari na wengi walikuwa wanakunywa na sura zao zilikuwa ngeni kwangu, na kamziki kambali kalikuwa kanasikika na haikuchukua muda alikuja mhudumu kutusikiliza pale,
DADA: “Karibuni wapenzi sijui niwaletee vinywaji gani?, leo hapa kuna kila kinywaji unachotaka kunywa ni nyie tu.”
MIMI: “Niletee heineken 3 kwanza afu kwa huyu dogo kuna nini?”
DADA: “Kuna juice ya minute maid ya embe.”
MIMI: “Mletee hiyo sio mbaya.”
DADA: “Na wifi yangu hapa utataka kunywa nini?”
WIFE: “Niletee wine ya 4-cousin kama ipo.”
Hatujakaa sawa ikaja foili ya kutosha kwenye sahani na tukaanza kuipeleka pale mdogo mdogo huku tunasubiri vinywaji na haikuchukua muda vikawa vimefika.
Watu walizidi kuongezeka na ni wale watu wenye hadhi “status” na muda huu Camila alinipigia simu kuniuliza kama nimefika na nilimwambia niko garden nimekaa na akasema anakuja.
Camila baada ya kufika pale garden tulisalimiana na akakaa kwenye kiti na mimi kwa upande wangu ilibidi nifanye utambulisho mfupi, nilimtambulisha familia yangu pale na yeye alibaki akishangaa, na alimchukua Junior akampakata.
CAMI: “Insider kumbe una familia kabisa na hujawai kuniambia una tabia mbaya sana.”
MIMI: “Sasa mzee wako alivyokwambia unambie nije na familia ulifikiri nakuja na nani?”
CAMI: “Mhh sawa bhana hongera sana na karibuni sana, Mzee alikuwa anakuulizia sio muda mrefu sana.”
MIMI: “Nafikiri nitamuona badae akitoka nje.”
Tuliendelea kupiga story pale na Camila na baada ya dakika 10 nilimuona Mrs. Pama akiwasili, mimi nilikuwa namuona vizuri kabisa ila yeye alikuwa hanioni na alikaa mwanzoni kabisa.
Mzee Juma alitoka nje na akatukaribisha wageni wote pale na nilijua dhumuni la ile hafla ni kuwakutanisha ndugu, rafiki na jamaa zake wote wa karibu na huwa anafanya kila mwaka pale kwake. Pia huwa wanatumia siku kama hii kupeana connections mbalimbali za kibiashara na maisha kwa ujumla na huwa wanachanga pesa kwaajili ya kuwasaidia wenye uhitaji.
Baada ya utambulisho na ukaribisho Mzee Juma alianza kupita kila meza kutusalimia na alikuwa ameambatana na mke wake. Baada ya kufika meza yangu Mzee alifurahi sana kuniona nikiwa pamoja na familia yangu na alimuomba cami ampe Junior na akambeba. Mzee alinitambulisha mke wake maana nilikuwa ndo namuona live kwa mara ya kwanza na alinitambulisha mimi kama kijana wa Mzee Pama.
Na mimi nilimsalimia Mrs Juma na nikafanya utambulisho,
MIMI: “Mzee hii ndo familia yangu na huyu ndo mke wangu na uyo ni mtoto wetu wa kwanza.”
MZEE JUMA: “Nimefurahi sana kukuona na familia hapa, sasa huyu babu atazunguka na mimi si unaona hataki kuniachia?”
MIMI: “Hata ukitaka tukuachie sisi hatuna shida.”
Ilikuwa ni hafla nzuri sana kwakweli na watu waliohudhuria pale 100 walikuwa wanafika, pia niliweza kuwafahamu watu wengi sana kupitia maongezi na niliikwenda kumsalimia mama Pama na nilimtambulisha familia yangu. Mrs Pama alionesha kuufurahia ule utambulisho na aliulizia maendeleo ya Jane kwa ujumla na nikamwambia mwezi ujao atajifungua Mungu akijalia, kwa upande wake alisema atakwenda kumsalimia.
Kwenye mida ya saa 2 usiku tulikaribishwa chakula na ilikuwa ni wewe unajisevia maana kila kitu kilikuwepo pale, kazi inabaki kwako wewe mlaji. Baada ya kupata chakula tulipiga picha ya pamoja na familia ya mzee Juma na baada ya hapo tulianza maongezi pamoja na wife.
Mzee Juma alikuwa anataka kujua maendeleo yangu pamoja na familia yangu kwa ujumla na kama kuna shida yoyote nimjulishe, pia alinishukuru kwa kuendelea kumwangalia Jane kwa ukaribu. Mzee alisema atajitahidi sana kabla ya kuondoka twende kumtembelea Jane kwake, na wakati wa kujifungua atajitahidi awepo maana ukoo wa Pama wanamsubiri mtoto kwa hamu sana.
Tulikaa pale mpaka saa 4 usiku ndo tukaaga na mzee Juma alinambia atahakikisha anafika kwangu ili apafahamu na aliingia ndani akatoka na bahasha ya kaki ndogo na akanikabidhi pale.
MZEE JUMA: “Hii kwaajili ya mjukuu wangu nikirudi mwisho wa mwezi itabidi umlete hapa nicheze naye ni mjanja sana.”
MIMI: “Tunashukuru sana Mzee kwa yote niseme Ahsante kwa niaba ya familia yangu.”
MZEE JUMA: “Mimi naomba muishi kwa amani na ninatarajia kuona mkifunga ndoa kabisa iwe official mambo ya kuishi kwa kuviziana hapana, na mkiwa tayari mnijulishe.”
MIMI: “Mzee hili ondoa shaka wife akimaliza shule tutafunga ndoa na huyu nishamchagua kuwa mke wangu wa milele.”
MZEE JUMA: “Safi sana nafikiri nikirudi next time tutaongea mengi sana, kwaherini.”
Camila alikuwa kafika pale kutupa kampani na tuliongozana huku tunapiga story mpaka parking ndo tukaachana na sisi tukaondoka kurudi home kulala.
Wakati tuko kwa gari wife aliomba ile bahasha maana mzee alisema ni kwaajili ya Junior,
“Baba J naomba hio bahasha maana wewe huchelewi kufanyia mambo yako.”
“Angalia kuna kiasi gani humo?”
Wife baada ya kuhesabu alikuta kuna milioni moja na nikamwambia aiweke tu kwaajili ya matumizi ya mtoto.
Kwa upande mwingine wakati niko pale kwa Mzee Juma, Vicky alikuwa kanipigia sana simu na texts juu, na nilijua anakumbishia outing niliyo muahidi hata baada ya kuwasili home nilisema huyu nitampigia kesho.
Baada ya kurudi home ule usiku ulikuwa mzuri sana kwetu na tuliishia kupeana mambo pale 6x6 na kwa upande wangu hisia zangu kwake zilirudi na niliifurahia ile sex kwakweli na kilikuwa ni kitombo kama cha wale watu ambao hamja fanyana kwa muda mrefu.
________________________________________
PART II
Jumapili sikwenda kanisani kutokana na uchovu wa hafla ya jana usiku maana nilikimbiza chupa sana, lakini kwa upande mwingine wife alikuwa amekwenda church na baada ya kuamka nilikwenda bafuni kuoga na nikikwenda kupata breakfast.
Nilimkuta dada yuko seblen na Junior wakiangalia cartoon na baada ya kuniona alinisalimia pale, ukweli dada ameanza kumlea Junior toka mtoto na tumekuwa tunaishi naye vizuri kama ndugu yetu. Nilikuwa naona kama nina deni kwake na nilisema badae nitaongea na mama Junior kuhusu hili, ili tuone tunamsaidiaje asiishie kufanya kazi za ndani tu.
Baada ya kupata breakfast nilirudi chumbani na nilikuwa nachezea laptop yangu pale na muda huu simu yangu ilianza kuita na ile kucheki alikuwa ni Prisca anapiga na mimi nikapokea, lakini nilisikia sauti ya Ivy ikiongea,
IVY: “Hi shem I have missed you, hauji kuniona kama zamani.”
MIMI: “Nitakuja Ivy nimekumiss pia rafiki yangu.”
IVY: “Utakuja lini? niletee na chocolate.”
MIMI: “Nitakuja da Mary akirudi sawa eeh, da Prisca yuko wapi? mpe simu.”
PRISCA: “Hi Insider za wewe?”
MIMI: “Salama ndo umeanza mbinu mpya za kuongea na mimi, unamtumia Ivy kama ngao.”
PRISCA: “Alitaka kuongea na wewe ndomana, upo Dar hii?”
MIMI: “Nipo mama napambana na maisha bado.”
PRISCA: “Ukipata nafasi naomba tuonane hata tutoke out, nimemiss kampani yako.”
MIMI: “Sawa haina shida nikipata nafasi nitakujulisha byee.”
PRISCA: “Bye Insider have a nice sunday.”
Na mimi nikakata simu japo Prisca alionekana bado kuhitaji kuendelea kuongea na mimi.
Saa 5 asubuhi nilikwenda Mbweni kwa shemeji yangu na nilikwenda na Ist mpya ili nikamringishie Jane. Baada ya kuwasili pale dada alinifungulia gate na alinambia Jane kalala ila Vicky yuko Jikoni anapika. Nilikwenda moja kwa moja mpaka jikoni na nilimkuta Vicky pale akipika na baada ya kuniona alinikunjia sura.
MIMI: “Nambie Vicky wangu leo nimekuja hapa kwaajili yako najua unahasira na mimi ila nimekuja kujitetea.”
VICKY: “Ulikuwa na demu hata kupokea simu zangu ukawa hutaki na kumbuka ulisema jumamosi nikukumbushe kuhusu ahadi yako.”
MIMI: “Jana nilikuwa kwa Mzee Juma na nilikuwa nimebanwa sana hata simu ilikuwa mbali, sorry leo niko na wewe hapa siku nzima na badae tunatoka out.”
VICKY: “Insider wewe mwanaume ni muongo sana.”
MIMI: “Trust me muulize Jane atakwambia, hata yeye ilibidi awepo sema hali yake ndo hivo.”
VICKY: “Sawa nimekuelewa nawapikia soup mbwa wangu.”
MIMI: “Sawa wewe endelea mimi niko seblen nimekaa.”
Mchana Jane aliamka na tukaanza kupiga story pale na kubwa alikuwa anataka kujua ile hafla ya jana usiku kwa Mzee pama ilivyokuwa na mimi nikampa story nzima. Baada ya hapo nilitoka naye nje na nikamuonesha ile ist yangu mpya na yeye aliishia kuitamani pale maana ilikuwa ni nzuri sana.
Nilishinda kwa Jane siku nzima na usiku saa 1 nilitoka out na Vicky na niliamua kumpeleka Kidimbwi Beach. Tuliwasili pale mapema sana na tulitafuta angle nzuri na tulikaa nyuma ya kaunta ukutani kwenye macoach na story zikaendelea.
VICKY: “Insider leo nataka kulewa sana maana nina hamu sana na alcohol.”
MIMI: “Kunywa kawaida tu sio lazima ulewe.”
Na muda huu mhudumu alikuwa amefika kutusikiliza tayari mimi sikutaka kulewa, hivyo niliagiza heineken 3 na yeye aliagiza bucket ya savana. Baada ya dada kutuletea vinywaji tuliendelea kukimbiza taratibu na mimi nilimwomba dada atuletee mishikaki.
Nilishangazwa sana na unywaji wa Vicky kwani alikuwa anakimbiza sana chupa ndani ya nusu saa alikuwa kapeleka savanna 2 tayari na kafungua ya tatu, na hapa nilijisemea Vicky ni mnywaji mzuri, pia ni mzoefu na pombe.
MIMI: “Upo spidi sana bila shaka wewe ni mtaalamu.”
VICKY: “Insider na hamu tu ya kunywa ndomana ni muda sijatoka.”
MIMI: “Kilichokuwa kinakuzuia ni nini?”
VICKY: “Kampani na pia dada Jane ananibana sana wewe hujui tu, wewe anakujua na hana shida ndomana hana wasiwasi.”
MIMI: “Sawa kunywa kistaarabu usilewe.”
Pombe zilivyomchanganya alianza kunikatikia mauno tena ya kifundi na niseme sikutegemea kuona Vicky akicheza, she’s hot anajua kudance aisee hata mimi nilibaki nikishangaa sana, na sikutaka aendelee kunipa mauno yake maana angenipa stim tu na heineken zinatabia mbaya sana.
Tulikaa pale mpaka saa 6 usiku nikamwambia tuondoke japo kwa upande wake hakutamani tuondoke muda huu na mimi ilibidi niforce na alikuwa kapelekea chupa 10 za savana. Baada ya kufika kwa gari alianza kunisumbua tuondoke akalale kwangu alikuwa very serious.
MIMI: “Kuondoka na mimi haiwezekani na usiporudi home unafikiri Jane atanionaje mimi? wewe twende nikurudishe home ila ukifungua chuo nambie tutoke out afu tutakwenda kulala wote sawa?”
VICKY: “Sawa nimekuelewa.”
MIMI: “Wewe hizo savanna zimekupa stim afu umelewa hujitambui, unaweza fanya maamuzi ya haraka kesho ukajutia nataka unavyoamua uwe kwenye akili yako sawa?”
VICKY: “No mimi sijalewa Insider.”
MIMI: “Let’s go home.”
Nilimrudisha kwao na dada wa kazi alikuwa bado hajalala na alitoka kutufungulia gate na baada ya kumkabidhi pale, mimi nikaondoka kurudi home kulala.
********
Tulikuwa tumeanza week ya Nyerere Day sasa ile
Jumatatu nilichelewa kuamka kutokana na uchovu na wakati bado niko kitandani nilikuwa nawaza sana kuhusu Iryn na kubwa nilikuwa na wasiwasi sana na urafiki wake na Claire maana nilijiuliza pale,
“Iryn amebadilika chap sana baada ya Claire kurudi ni nini kinachoendelea nyuma ya pazia kati ya hawa warembo?, ona wamekwenda Serengeti wote, hawa lazima kuna something fishy kinaendelea kati yao maana nilimwona Claire amakaa ki-lesbian sana.”
Niliingia bafuni kuoga na nilikwenda ofisini kama kawaida kuendelea na majukumu yangu ya kila siku na muda huu simu ilianza kuita na alikuwa ni Mzee Juma akinipiga na nikapokea pale. Mzee alikuwa anaomba saa 6 mchana twende wote Mbweni kwa Jane ili aka msalimie kabla haja safiri kwenda ughaibuni na mimi nilimwambia sawa.
Nilitoka saa 5 asubuhi pale ofisini na nilikwenda kwanza Salon Mikocheni na baada ya hapo nilikwenda kwa Mzee Juma.
Baada ya kuwasili pale kwake nilikaribishwa ndani seblen na nikaletewa juice, haikuchukua muda Camila alitoka ndani akiwa amependeza sana na ameshika funguo za gari na alikaa tukaanza kupiga story pale. Baada ya dakika 15 Mzee Juma alitoka na tukaanza safari ya kwenda Mbweni na Dereva alikuwa ni Camila.
Mimi nilikuwa napiga sana story na mzee njiani,
MZEE JUMA: “Kijana ulinambia unaishi Mbezi beach ni ipi?”
MIMI: “Nakaa Tangibovu Mbezi ya chini.”
MZEE JUMA: “Nafikiri tukitoka huko tupitie na kwako tupajue maana ndo njia hiihii.”
Camila akadakia kwa haraka,
CAMI: “Kweli daddy umesema jambo zuri leo tukatembee kwa Insider.”
MIMI: “Karibuni sana na mimi nimefurahi kusikia hizi taarifa.”
Baada ya kuwasili Mbweni kwa Jane tulikaribishwa ndani na tulimkuta mama yake Jane yuko pale seblen. Mzee Juma alimwomba sana mama kipindi kile cha msiba asiondoke mpaka Jane ajifungue kwaajili ya uangalizi, kwani yeye ndo mtu pekee ambaye angemwangalia Jane vizuri na kwa ukaribu kuliko mtu mwingine yoyote.
Jane alikuwa kalala hata Vicky hakuwepo maeneo yale na nilihisi atakuwa kalala nayeye maana kule Kidimbwi alizingua sana. Haikumchukua muda Jane kutoka ndani na alikuwa hoi sana maana tumbo lilikuwa kubwa tayari ana hesabu siku za kujifungua.
Mzee na Jane walitoka nje kwenda garden kuendelea na maongezi binafsi na mimi nilikuwa na Cami pale seblen. Baada ya nusu saa Vicky aliamka na akakaa na sisi pale seblen na alikuwa akinionea sana aibu, hata mimi nilishangaa kuona Vicky akinionea aibu kwa mara ya kwanza na ukizingatia sijamla.
Muda huu ilibidi nimpe taarifa wife kuhusu kuja na wageni home na yeye alisema hayupo na yuko ofisini kwake, na tulikuwa tunachati kwa whatsapp.
WIFE: “Baba J wewe si unajua hapa ofisini dada amepata dharura kwahiyo nifunge ofisi? na mchana wateja ndo wengi wanatoa pesa na kuweka.”
MIMI: “Kutoka hapo mpaka home sio mbali unaweza kufunga hata kwa muda, mzee hakai sana anataka apajue home tu ni vizuri na wewe ukawepo.”
WIFE: “Sawa ukifika Africana nambie nianze kutoka.”
MIMI: “Sawa mke wangu.”
Baada ya kupata lunch tuliaga na tukaondoka maeneo haya na safari ilikuwa kwenda nyumbani kwangu na baada ya kuwasili home nilishuka nikafungua geti na wakaingia ndani.
Manager anaishi sehemu nzuri si haba ndomana nilikuwa najiamini sana kwenda kwangu hata Cami alionekana kuwa na shauku kubwa sana ya kupajua kwangu, baada ya kushuka niliwakaribisha na tukaingia ndani.
MIMl: “Mzee karibuni sana hapa ndo kwangu.”
MZEE JUMA: “Ahsante sana babu yuko wapi.?”
Kwa upande mwingine wife naye hakuwa mbali na alikuwa tayari kafika na juice na korosho kwenye visosi. Niliupendaga sana utaratibu wa Mama Janeth anaoufanya kwa wageni zake na mimi niliiga ule utaratibu kwa wageni wanaokuja home, huwa tunawapa korosho na wife anajitahidi sana kuhakikisha mzigo haukati ndani.
WIFE: “Karibuni sana wageni hapa ni kwenu imekuwa surprise leo.”
MZEE JUMA: “Ahsante sana binti simwoni babu yangu yuko wapi?”
WIFE: “Anacheza na bibi yake chumbani ngoja nikawaite.”
Mzee Juma ni Mchaga naye hata alivyomuona bibi alifurahi sana maana walikuwa wanachapa kichaga sana, pia alifurahi sana kuona nimepata mke wa kichaga na alinipongeza sana.
Tulitumia kama nusu saa pale home tukaondoka na wakati tuko njiani tulikuwa tunaongea sana na Mzee.
MZEE JUMA: “Kijana niseme maendeleo utapata kwa huyu mwanamke na akimaliza chuo mwachie asimamie biashara zenu wewe komaa na ajira.”
MIMI: “Hii ndo mipango yetu Mzee ambayo tumepanga.”
MZEE JUMA: “Safi sana mambo mengine siwezi ongea mbele ya Camila, nikirudi november tutaongea mengi ila nataka kuona unafunga ndoa mapema.”
MIMI: “Sawa mzee hili tunalifanyia kazi nikuondoe shaka.”
Baada ya kuwasili kwake Mikocheni kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na niliaga nikaondoka na gari yangu kwenda Masaki maana nilikuwa na kazi ya kuandaa ripoti ya wiki nzima iliyopita.
Saa 12 jioni Asmah alikuja ofisini kuniaga anaondoka maana hakuna cha maana anachofanya na mimi nilimwambia anisubiri kidogo nitampa offa ya lift mpaka kwake.
ASMAH: “Insider niko na Hilda tunataka tuchukue bajaji si unajua anakaa Kigamboni?”
MIMI: “Haina shida tutamdrop Kivukoni nimpe lift na yeye.”
ASMAH: “Sawa tuko reception tunakusubiri.”
Baada ya kumaliza kuandaa ripoti nilizituma kwa email ya Iryn na nilijikuta nimeanza kum-miss na niliwaza pale nimpigie simu? lakini niliona sio wakati mzuri na nikasitisha mpango wangu.
Kabla ya kuondoka niliaga timu yangu na tukaondoka na kina Asmah na tullinza kumdrop Hilda Kivukoni Posta na sisi tukaenda kwa Asmah Upanga.
Baada ya kuwasili pale kwake, Asmah alinambia nisiondoke mpaka nipate dinna na mimi nilikaa seblen nikisubiri apike. Wakati tunapata dinna tulikuwa tunaongea masuala mengi kuhusu familia yake na maisha kwa ujumla.
MIMI: “Asmah hivi unawezaje kulala peke yako hivi.?”
ASMAH: “Nimezoea mbona na ninaona kawaida tu mara ya kwanza ndo nilipataga shida.”
MIMI: “Hujawahi kunionesha shem wangu ujue.”
ASMAH: “Insider kipindi kile si nilikwambia tuliachana au umesahau?”
MIMI: “Unataka kusema hujapata mwingine toka kipindi kile?”
ASMAH: “Insider mimi nahisi kama nina mkosi unajua wanaume hawanitongozi kabisa mpaka najishtukia kama nina kasoro.”
MIMI: “Hapana wewe ni mwanamke mzuri sana usiwe na papara utapata wa kuendana na wewe, jinsi ulivyo kwa mwanaume wa kawaida ni ngumu kukutongoza, pia uwe unajichanganya maana wewe ni anti-social sana muda wote umejifungia, hata kutoka out na shoga zako hutaki.”
Asmah ni mwanamke ambaye yuko kivyake vyake ni mtu ambaye hapendi kujichanganya wala marafiki. Wenzake mara nyingi weekend huwa wanajichanga wanakwenda Samakisamaki kufurahi, lakini yeye huwa anakwenda kulala hanaga muda kabisa.
ASMAH: “Insider mimi sio mtumiaji wa pombe ndomana huwa sipendi kuungana nao.”
MIMI: “Kuna Mocktail unaweza kunywa sio ukitoka lazima unywe, hii itakusaidia kukutana na watu wapya.“
ASMAH: “Huwa natoka na mara nyingi nakwenda pale Skewerz na sometimes huwa nakuwa na bro.”
Nilikaa na Asmah mpaka saa 4 usiku na nikaondoka pale kwake kurudi home na wakati niko njiani nilikuwa nawaza nimfanye Asmah awe mchepuko wangu?, lakini nikasema acha nitulie na mama J wangu, japo kuwa na mwanamke mmoja niliona kama nitapwaya sana ukizingatia nilishakuwa nimezoea kuwa na mchepuko.
••••••••
Jumatano Bossy lady alikuja ofisini jioni lakini mimi sikuwepo nilikuwa nimetoka na aliniulizia akaambiwa mimi sipo, hivyo aliendelea kukaa pale ofisini mpaka usiku akaondoka. Hizi taarifa nilipewa na Asmah ile asubuhi baada ya kwenda ofisini ndo alinambia kuwa jana Iryn alikuja ofisini na alishinda pale ofisini akipitia ripoti.
Kesho yake alhamis mimi nilishinda ofisini siku nzima maana kulikuwa na fundi anafanya service za AC rooms zote hivyo nilikuwa namsimamia, na hii siku Asmah aliondoka asubuhi kwenda hospital kuangaliwa maendeleo ya mguu wake na mimi nilimwambia akitoka huko akapumzike.
Saa 2 usiku nilitoka pale ofisini na nilipitia Mikocheni ili nimjulie hali Lucy maana tulikuwa hatuonani mara kwa mara kama zamani na nilikuwa nashinda sana Masaki sababu Asmah hakuwa fiti 100%.
Baada ya kuwasili pale nilimkuta yuko ofisini anapiga hesabu zake na baada ya kuniona tulianza kuongea,
LUCY: “Insider sikuhizi huku hushindi kabisa mpaka tunakumiss, afu naomba maokoto maana unadeni la Jumamosi.”
MIMI: “Kiasi gani unadai kwanza maana hukusema.”
LUCY: “Okay ni hivi Wigi ni laki tano, Makeup laki moja, na huduma zingine laki moja jumla laki saba kwakuwa ni wifi yetu lipia laki sita.”
MIMI: “What? You’ve got to be kidding me, yaani mia sita inapotea kimasihara hivi?”
LUCY: “Wewe ulisema achague anachotaka mimi napata wapi nguvu ya kumzuia wifi yangu kama bossy umesema na unazijua bei zetu.”
MIMI: “Anyway nitalipa hiyo laki moja kuhusu wigi mama J alipewa offa na Iryn achague analotaka ila sikumwambia, wewe ukinitumia ripoti ya mauzo mimi nitajua naandikaje.”
LUCY: “Sawa manager mimi sina usemi.”
MIMI: “Mimi naondoka nataka nikalale mapema hiyo pesa yako nitakupa kesho.”
Baada ya kurudi home nikiwa na wife chumbani kitandani alikuwa ananiambia kwasasa anaona mabadiliko ya Iryn mpaka anahisi kuna kitu kinaendelea kati yetu.
WIFE: “Unajua Iryn ni muda hatuja wasiliana na sio kawaida yake naona ameanza kujitenga na mimi.”
MIMI: “What’s your point?, kwanza mimi ndo nimefurahi maana sipendagi kuona akija hapa home.”
WIFE: “Wewe na Iryn mnasiri kubwa sana ila nitajua tu.”
MIMI: “Daily huwa nasema badala ya kuniombea wewe unaniwazia mabaya tu sijui ndo furaha yako kuona likitokea?”
WIFE: “Sijamaanisha hivyo wewe ndo una wasiwasi.”
MIMI: “Wewe ndo una wasiwasi ndomana hata ile siku nilikuuliza Iryn angekuwa mbovu kama Ebitoke ungekuwa unapiga kelele kama hizi?, nikwambie kitu, wewe umemzidi Iryn kwa vingi tu na si lolote kwako, ifike muda hizi maada ziishe tuwe tunajadili maendeleo ya familia yetu, tusimpe shetani nafasi.”
WIFE: “Sawa Baba J nimekuelewa.”
MIMI: “Tulale kesho asubuhi tuwai kwenda jogging.”
Asubuhi tuliamka kwenda jogging na hii siku kulikuwa na watu wengi sana wakifanya mazoezi barabarani sababu ya holiday “Nyerere day”. Baada ya kurudi nilijiandaa haraka haraka na nikapata breakfast na niliondoka kwenda ofisini, lakini hii siku nilianza na Mikocheni.
Kwa upande mwingine nilikuwa nimem-miss sana Iryn lakini nilisema siwezi mtafuta kwani nitampa kichwa, yeye ndo aliyelianzisha bhasi atalimaliza mwenyewe na kama mbwai iwe mbwai.
Saa 7 mchana niliondoka kwenda Masaki maana Asmah alikuwa kanipigia simu nikifika tu nimjulishe ili tukapate lunch anataka kunipa offa. Na mimi baada ya kufika pale ofisini niliingia ndani na nikawasalimia wote afu tukatoka na Asmah kwenda kupata lunch.
Asmah alikuwa yuko fiti tayari na mguu ulikuwa umepona na alikuwa anatembea vizuri kabisa,
ASMAH: “Insider mimi nina hamu na mishikaki twende Pantaleo.”
MIMI: “Sawa twende mummy mimi sina kauli maana wewe ni bossy wangu.”
Pantaleo Barbeque ipo karibu na Coco plaza “Toure road” ni wataalamu sana wa kuchoma nyama mishikaki nknk. Baada ya kuwasili pale tuliagiza mishikaki kwa chips na tukaendelea kupiga story,
ASMAH: “Insider leo sijisikii kabisa kukaa ofisini pako bored sana, twende Coco beach baada ya kula.”
MIMI: “Kule ofisini unamuamini Hilda?”
ASMAH: “Ame master yuko vizuri sana afu nimewaka mambo sawa tayari.”
Tulikaa pale mpaka saa 10 jioni ndo tukaenda Coco beach kupoteza muda na tulikaa palepale kwa siku zote. Na jamaa baada ya kutuona alikuja chap kutusikiliza ila kwa upande wetu tulikuwa tumeshiba hivyo tukaagiza tuletewe madafu.
MIMI: “Asmah leo nataka nikutoe out but nihakikishie kuwa utakunywa kidogo.”
ASMAH: “Mhhh labda wine nitakunywa ila ni muda sana sijatumia hii.”
MIMI: “Leo nitakupeleka Samakisamaki tukapoteze muda tukifunga ofisi.”
ASMAH: “Sawa haina shida ila itabidi nikabadilike siwezi kwenda nanuka jasho hivi.”
MIMI: “Haina shida ni wewe tu, afu naona siku hizi umeanza kuvaa kaptura waziwazi.”
ASMAH: “Doctor alinambia nisilifunike sana paja niache liwe open muda wote ili hizi alama zipotee kwa haraka lakini nimetembea na gauni ya kujifunika navyorudi lazima nivae.”
MIMI: “Sawa rafiki yangu haina shida itabidi tukirudi ofisini wewe uondoke mimi nitabaki kukusubiri.”
Tulikaa pale Coco mpaka giza ilivyo anza kuingia ndo tukaondoka kurudi ofisini sasa wakati tunaelekea parking kwa upande mwingine jamaa aliniita na akanikimbilia na mimi nikamwambia Asmah atangulie kwenye gari.
Jamaa alinambia Sia alimwachia namba yake ya simu na alimwambia kama ataniona anipe ili nimtafute na mimi nilimwambia anipe hiyo namba. Baada ya kuinakili namba tuliagana na jamaa na mimi nikaelekea kwenye gari na tukaondoka na Asmah pale Coco.
Baada ya kuwasili ofisini Hilda alikuwa pale reception na mimi ndo nilikuwa wa kwanza kuingia ndani na Hilda aliniita,
HILDA: “Manager kuna dada alikuja na amewaulizia wewe na Asmah, nikamwambia mmetoka lunch na akaenda ofisini kukaa, alikuja hata ile juzi.”
MIMI: “Asmah hujamwambia Hilda kuwa Iryn ni nani?”
ASMAH: “Yule ni Bossy wetu Hilda ndomana unaona anaingia ofisini, ile juzi nilisahau kukwambia rafiki yangu.”
HILDA: “Ooh kumbe nilikuwa sijui hata juzi niliona kaingia ofisini kumbe ni bossy.”
ASMAH: “Ndio dear itabidi Insider akutambulishe kwake.”
MIMI: “Haina haja report kaiona na anajua kuna mfanyakazi mpya so usiogope.”
Nilikwenda ofisini na nikachomeka simu chaji na nikatoka nje kukaa kibarazani na haikuchukua muda Asmah alitoka akaniaga anakwenda home kujiandaa then atanijulisha akiwa tayari na akaondoka.
Baada ya dakika 20 Rebby naye alitoka na mkoba wake na akakaa kibarazi kwa pembeni yangu na tukaanza kuzinguna pale,
REBBY: “Manager leo bossy kaja mchana wakati nyie mmetoka lunch na Hilda ndo aliyempa hii taarifa bossy, amekaa hapa mpaka ameondoka na nilihisi alikuwa anakusubiri wewe.”
MIMI: “Hii ni ofisi yake anakuja kuangalia maendeleo na sio kwasababu yangu, vipi mbona mapema sana leo?”
REBBY: “Nimemaliza kazi yangu mapema sana leo acha na mimi niwahi nikaonane na My wangu.”
Na muda huu mlinzi alifungua geti na ilionekana Uber ikiingia ndani,
MIMI: “Usinambie mpaka ume request usafiri upo vizuri sana sikuhizi.”
REBBY: “Mr. analipia acha niwahi.”
Na akaniaga huku anaondoka kwa mwendo wa madaha na mimi nilibaki nikimtizama mpaka anaingia kwa uber na wakapotea maeneo haya.
Niliendelea kukaa pale nje niki-buy time na nikaingia ndani kuangalia simu maana nilihisi huenda Asmah akawa anapiga simu na sipokei, toka aondoke ilikuwa zimekata dakika 40 tayari.
Baada ya kuangalia simu nilikuta missed call za kutosha kutoka kwa Lucy na ikabidi nimpandie hewani na simu iliita kwa sekunde kazaa ndo akapokea,
LUCY: “Insider mambo? upo wapi rafiki yangu? naomba uje hapa ofisini kama upo around nina mzigo wako.”
MIMI: “Mzigo? from who?.”
LUCY: “Iryn kaniachia nikupe inaonekana ni urgent sana wewe njoo uchukue sitaki maswali kama utaona una umuhimu njoo hapa ofisini.”
Niliwaza pale nikaona acha niende japo sikutamani kwenda kabisa,
MIMI: “Ok nakuja ila sikai nachukua huo mzigo nakuondoka.”
LUCY: “Sawa”
Nilitoka Masaki kwa spidi kwenda Mikocheni kwa spidi sana na ndani ya muda mfupi nilikuwa nimewasili pale na nikapark gari nje getini nikaingia ndani kuonana na Lucy na alikuwa ofisini anaandaa ripoti zake.
MIMI: “Lucy naomba huo mzigo niondoke maana nina appointment hapa tena muhimu sana.”
LUCY: “Insider hata salamu hakuna? kaa kwenye coach kwanza tuongee.”
MIMI: “Tulisalimiana kwenye simu au umesahau?”
LUCY: “Okay, Insider Iryn kaja hapa she’s not okay na ameumia sana kujua wewe na Asmah ni wapenzi wa muda mrefu. Na leo amekuja mchana huko Masaki mpaka anaondoka usiku hamjarudi amesema alikuwa anataka kuongea na wewe lakini kwasasa bhasi, hana imani tena na wewe.”
MIMI: “Iryn hana msimamo juzi hapa kanambia kila mtu afanye mambo yake, leo tena anaanza kunionea wivu na Asmah, nimeanza kuamini ule msemo unaosema, ukiona umejua mwanamke anataka nini bhasi jua umekaribia kufa.”
LUCY: “Wewe naye, Insider Iryn anakupenda na point aliyofikia hawezi tena bila wewe, inawezekana anajutia wewe ni mume wa mtu lakini sasa kashakolea ndomana anakosa msimamo juu yako na maamuzi anayofanya yanaishia kumuumiza kihisia zaidi, wewe unachotakiwa kufanya ni kumtengenezea msingi wake.”
MIMI: “Iryn ana act kama mtoto lakini ni mtu mzima, Asmah sio mpenzi wangu kama anavyodai ni vile tunapatana tu na kipindi hiki nimekuwa nampa sana kampani hasa za mazoezi.”
LUCY: “Iryn kachukia na amevimba sana na amesema anajutia sana, ame-apa hato kutafuta tena mpaka anaondoka Tanzania, na hutakuja kumuona tena.”
Muda huu Lucy alifungua drow akatoa bahasha nyeupe ya A4 akanikabidhi.
“Insider bahasha yako hio ya farewell, amesema nikupe maana hawezi tena kuongea na wewe”
MIMI: “Duuh aisee hii ni hatari sana, kama ni hivi bora niache kazi nifanye mambo yangu hata hii barua itakuwa ya kuachishwa kazi na si vinginevyo.”
LUCY: “Hata mimi nahisi hivyo na alisisitiza sana ikufikie leoleo.”
Niliagana na Lucy pale na wakati niko kwa gari nimeshika ile bahasha kwa upande mwingine Asmah alikuwa ameanza kunipigia simu lakini sikupokea maana maneno ya Lucy yalikuwa yamenichanganya sana muda huu.
EPISODE 70[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Japo sio vizuri kukuelekeza ila kuna sehem ulikosea mapema kuhusu Iryn na mkeo. Huko mbelen itakuletea shida. Cc ni wachagga na nina mshikaji wangu alikutana na ishu kama yako. Sema yeye demu hakuwa mzur kiivyo ila mazingira yake yalimfanya jamaa akaoa mke wa pili na haikumletea shida. Hiv vitu unaviseti mapema maana kule uzeen vinageuka. Maisha yanakuwa tena sio kiasi cha hela ulichonacho ila ni kwa namna gan wewe na mkeo mnamaliza pamoja kwa upendo na kuaminiana. Trust is everything bro. Bado hujachelewa. Kuna kitu cha muhim kwaajili yako na wanao unatakiwa kukifanya ili kuileta ile bond ya familia. Trust me siku mkeo akijua kila kitu na akawa anakumbukia zawad alizokuwa analetewa na Iryn ndio trust kwako imeisha. Na kutaota chuki kali sana kwa watoto Chief. Anaweza kusamehe lakin hatasau na atasubir right time kulipiza. Msome mkeo umjue anaingilikaje ili uuvunje huo ukuta uwe huru na Iryn na mueze kujenga future yenu pamoja. Narudia Mzee hela ni sehem ndogo sana ya maisha. Familia ndio kila kitu. Na aman yako na watoto wako huko kesho itategemea na namna unavyohandle Mambo yako na mkeo tofauti na hapo mzee tarajia kuwa kama Marehemu Mengi.EXTRA EPISODE 06
BY INSIDER MAN
Kwanini nimemuita Iryn ni Mrembo wa Ajabu?
Kabla ya kuandika hii story nilipata tabu sana kwenye kuchagua kichwa kutakacho beba jina la story, lakini target ya huu uzi ilikuwa ni Iryn.
Ningeweza kuandika heading nyingi tu lakini niliona hii ndo sahihi kutokana na jinsi tulivyokutana na tulivyoishi sababu tulipitia mambo mengi sana.
Kwangu Iryn nilikuwa namuona ni mtu wa ajabu, kwanza namna tulivyo kutana, pili maisha yake kwa ujumla kwangu mimi yalikuwa yananipa maswali sana, tatu utajiri wa wazazi wake na yeye pia, nne uzuri na urembo wake.
Nilikutana na Iryn kimaajabu sana kupitia hiihii bishara ya Uber, ukisoma vizuri wakati nakutana naye ilikuwa ni usiku sana afu nimechoka. Baada ya kupata request yake nilitaka kupiga chini ile request lakini nikaamua kwenda kibishi na ndo yeye kaja kunipa heshima ya kuwa baba mtoto.
Kama ningeipiga chini ile request ina maana nisingekuja kumfahamu mtu anayeitwa Iryn kwenye Maisha yangu, kuna msemo wazungu wanasema “everything happen for a reason.”
Tukija kwenye maisha yetu halisi huenda tunapishana na baraka nyingi na connections nyingi kwa kupuuzia tu, kama wewe dereva wa Uber unapata request ya kwenda Mbagala lakini hutaki kwenda, kumbe ilikuwa ni connection kwako bila kujua.
Iryn ni moja ya mwanamke mzuri na mrembo hapa Duniani na uzuri wake ni natural sio namsifia kumpa sifa ambazo hana, hapana ni moja ya mwanamke mrembo sana na amekamilika kila Idara (Episode ya 7 nilimuelezea kidogo). Hii ilinifanya nimuone Iryn ni moja ya mwanamke wa ajabu kukutana naye kwenye maisha yangu. Kuna muda ile mwanzoni nilikuwa nahisi maybe atakuwa sio kiumbe wa kawaida. Kitu kingine suala la kuwa mtoto pekee kwa mama nalo kilifanya nimuone Iryn wa tofauti sana.
Suala la mali na utajiri ambao familia yake unao kuanzia marehem mama yake, Mzee wake na yeye pia vilikuwa vinanipa maswali sana. Mzee wake Iryn anapesa sana na huko South Africa ana ma apartments kibao anayamiliki na bado ni mfanyabiashara mkubwa.
Nimeplay part kubwa sana ya kumuweka Iryn sawa maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana, kitendo cha kuwa naye close mara kwa mara ndo kilifanya aanze kunipenda kwa kasi ya 5G.
Licha ya kufaham nina familia ila kwake yeye ilikuwa tofauti na aliendelea kunipenda tena ni upendo wa kweli. Tumepitia mambo mengi sana na sikuyaandika yote, niliyoandika ni baadhi tu.
Baada ya Iryn kwenda South Africa hapa katikati mambo mengi sana yalitokea, na yeye alikuwa anakuja Dar kuniona kama alivyo niahidi na ilikuwa ni kwasiri sana na hakuna aliyekuwa anajua hili. Amekuja sana Dar mpaka mimba ilivyokuwa kubwa ndo akaacha kuja na toka aondoke kwenda South Africa hajawahi kuonana na mama J tena.
Pia kuna mambo mengi sana yalitokea na mazito juu ya ujauzito wake na niliishi kwa stress sana ndugu zangu. Kwa upande wake alikutana na pingamizi kubwa sana hasa upande wa ndugu, lakini all kila kitu kilikwenda sawa na mwezi June 2023 alijifungua salama na tulipata mtoto wa kike.
Nilifurahi sana kupata mtoto wa kike japo nilikuwa najua kuwa nitapata mtoto wa kike lakini baada ya kujifungua na kujihakikishia kwa macho nilifurahi sana. Before hajajifungua mwezi wa sita nilikwenda South Africa kwa mara ya pili ili niwepo wakati wa kujifungua na nilikaa kule kwa week 2.
Siku anayojifungua nilikuwa naye hospital nikishuhudia kila kitu kule leba asee kule kama mwanaume unahasira utaishia kuwapiga madoctor[emoji23][emoji23], wanachokonoa sana K kwa mikono. All nashukuru Mungu alijifungua salama kwa kupush, na kama tulivyokubaliana mimi ndo nilimpa jina mtoto.
Mtoto wetu ana miezi 5 kasoro mpaka sasa na anakua vizuri, ana afya nzuri niseme she is so beautiful jamani na nimefanana naye copyright. Pia amefanana sana na kaka yake Junior, yaani siku wakija kukaa pamoja itaonesha ni watoto wa mama mmoja maana wote wamefanana sana na mimi, hata mama J akija kumuona hatauliza mtoto ni wanani kwani tumefanana sana.
Hili suala bado imebaki kuwa siri kwangu hata wazazi hawajui mpaka sasa navyoandika hapa. December hii Iryn atakuja Dar na bado najifikiri niende naye mkoani na mtoto kwa wazazi wamuone au niendelee kuvunga tu mpaka mtoto akue, au niwape taarifa na mtoto wa nje?, hapa bado nakosa majibu.
Iryn anataka kunizalia mtoto mwingine wa pili, amesema yeye anahitaji watoto sababu anaona ndo furaha kwake na jinsi tunavyoishi hata kama tuko mbali anaona mimi natosha kuwa mume wake. Unajua Iryn anajua fika mimi sijampendea kisa pesa zake na anafahamu fika mimi sina habari na pesa zake kabisa na ninamchukulia kama mama watoto wangu.
Niilimpa greenlight kama atapata mtu sahihi awe huru kuwa naye au kuolewa, lakini amegoma kabisa hataki kuzisikia hizi habari. Yeye anasema hakuna mwanaume wa kumpenda kama jinsi mimi navyompenda na hatamani kuwa na mtu mwingine kwa heshima yangu na mtoto, pia ameridhika kuwa mchepuko.
Kwa upande mwingine nilimwambia yeye ni mke mdogo na nimempa hiko cheo na ninaandaa mpango wa kumpeleka home akaijue familia yangu maana analea damu yetu, na yeye ana hamu kubwa sana.
Kipindi alichojifungua ndo nilijihakikishia Iryn sio mtu wa kawaida, unajua walikuja watu wengi sana kumuona kule South Africa, kuanzia friends zake zake wa chuo, ndugu zake wa Ethiopia nknk.
Kwa upande wa mimi na mama J mahusiano yetu yako strong sana kwasasa, japo baada ya Iryn kuondoka kuna mambo yalitokea lakini bado tuko pamoja na familia yetu inazidi kustawi na mwakani tunatarajia kufunga Ndoa rasmi kama Mungu akitujalia uhai.
Kwa upande wa my son Junior yeye kashakua mkubwa tayari na mwakani tunategemea aanze nursery mapema na atakuwa na 2.5yrs by January. Dogo kawa mtundu sana, ni mkorofi sana kupiga watoto wenzie kwake ni kitu cha kawaida ila huji kuta akiwapiga watoto wa kike.
December Iryn atakuja kama nilivyosema awali na tutadiscus mambo mengi sana ikiwemo kuhusu project ya kufanya kule Dodoma, suala lingine nilimwambia nikimaliza chuo nataka kufanya project zangu sitaki kuwa chini yake tena.
Nilimwambia yeye ni mke wangu kuendelea kunilipa mshahara naona kama dharau, so kama vipi tufungue kampuni ya pamoja au mimi nifanye mambo yangu. Baada ya kumpa hizi taarifa naona hajazipenda na amesema yuko tayari kunisikiliza ila hataki nifanye kazi na mtu mwingine kwani bado ananitegemea sana, akija mwezi ujao ndo tutafikia muhafaka.
Plan za Iryn akimaliza chuo anataka kwenda kuishi Ufaransa na mtoto maana kuna project zake mpya anazo kule. Pia hata yeye anapenda sana kuishi Ufaransa.
Mwisho, sikuwahi kuwaza kuja kuchepuka au kuzaa na mwanamke mwingine nje na mama J, nilianza kuchepuka kutokana na kutopewa tendo kwa wakati maana kama mwanaume uvumilivu ulinishinda na kile kitendo cha kuondoka kwenda kwao kisa Prisca na huku sijatembea naye, ukweli kilinikera sana.
NB: Nitaangalia kama nitawapa muendelezo hata mwakani huko lakini siwapi promise kwa hili, nitaangalia kama kuna code zozote zimefunguka kupitia hii story mpaka sasa na kama upepo ni shwari nitaangalia namna ya kuwapa.
“Katika maisha yangu sijawai kukutana na mrembo mzuri kama IRYN, nimeona wanawake wengi hapa dsm lakini Iryn alikua ni mwanamke mzuri sana ambaye amekamilika kila idara, nyie Mungu ni fundi sana, sio shepu, matiti, sura, lips, mguu, mweupe, sauti na mguu mzuri. Ningekua na uwezo ningetuma picha yake ila ndo hivyo sitoweza.
Ni mwanamke ambaye akipita lazima ugeuke umtizame nyie, kiukweli sikuijutia kazi yangu ya uber ni moja ya kazi ambayo ilinikutanisha na warembo wengi sana. (EPISODE 07)
70EPISODE 70
A TRUE STORY BY INSIDER MAN
FINAL EPISODE
PART I
Kitendo cha Iryn kusema tuachane ilikuwa ni trap ameniwekea na kubwa alitaka kujua mienendo yangu na Asmah. Iryn alikuwa hana imani kabisa na Asmah maana alikuwa anaamini mimi na Asmah tuna mahusiano ya siri sana hata kitendo cha kumpandisha cheo alitaka tuwe close ili abaini kama kuna something fishy kinaendelea kati yetu.
Bossy lady aliniwekea mashushushu/maspy wa kufuatilia movement zangu zote hasa nikiwa na Asmah, kuna ambao walikuwa pale ofisini na wengine wa nje. Nilivyokuwa ninatoka na Asmah kwenda kumtembeza kwaajili ya mazoezi ya mguu alikuwa anapata hizi taarifa.
Taarifa za kwenda apartment ya Asmah alikuwa anapata hizi taarifa kupitia hawa mashushushu wake ambao walikuwa wananifuatulia na Asmah kila move. Hawa mashushushu wake mimi siwafahamu hata sikujua kama ninafuatiliwa namna hii.
Baada ya Asmah kurudi kazini akiwa mgonjwa ukaribu wetu uliongezeka sana ukizingatia nilikuwa nampa kampani ya mazoezi, kwenda kula lunch na hata kumpa lift ya usafiri mpaka kwake. Kitendo cha mimi kuwa karibu sana na Asmah yeye alihisi sisi ni wapenzi wa muda mrefu sana na aliumia sana kwa hili.
Kwanini Iryn alifanya hivi?
CONTINUE…..
Niliichana ile bahasha kwa juu na nikatoa barua ambayo ilikuwa imekunjwa na baada ya kuifungua niliona ameandika mambo mengi sana kwenye ile karatasi na mimi sikutaka kuisoma, nikaendelea kuangalia vitu vingine vilivyokuwa kwenye ile bahasha.
Ndani ya bahasha kulikuwa na bahasha nyingine ndogo na baada ya kuifungua nilitoa picha tatu (3) ndogo za black and white na ile kuziangalia vizuri nilijua zimeprintiwa baada ya kuchukua vipimo vya “Ultra sound”. Pia ndani ya ile bahasha ndogo kulikuwa na form inayoonesha matokeo ya vipimo na pale juu ilikua imeandikwa “Saifee hospital” na niliisoma kwa makini sana na nikagundua Iryn ana ujauzito wa week 4 tayari.
“Ooh shit Iryn ana mimba yangu? Impossible”
Na muda huu nilianza kuingiwa na wasiwasi juu ya Iryn na niliwaza anaweza kutoa ile mimba kwa hasira zake, acha niende kwake mapema before it’s too late. Kwa upande mwingine ile barua sikutaka kuisoma kabisa maana niliona haina umuhimu na mimi sikutaka kujua alivyokuwa kaviandika mle ndani.
Muda huu nikiwa bado kwenye mawazo niliendelea kuwaza,
“Huenda Iryn aliamua kukaa mbali na mimi baada ya kujua ana ujauzito wangu, acha niende kwake ndo nitajua vizuri hukohuko.”
Kwa upande mwingine Asmah alikuwa akiendelea kupiga simu na ilibidi nimtumie ujumbe wa kumwambia nimepata emergence na nitamrudia badae kidogo.
Niliondoka pale ofisini kwa spidi sana kuelekea kwa Iryn na baada ya kuwasili pale kwake niliiona Audi ikiwa pale parking na nikajua huyu yupo ndani na mimi nilipanda kwenda kwake kwa spidi sana.
Nilifungua na kuingia ndani na pale seblen kulikuwa na bag kubwa kama mtu ambaye anataka kusafiri na ilibidi niende mpaka chumbani kwake na nilimkuta akipanga nguo kitandani. Kwa upande wake alishtuka baada ya kuniona ni kama hakutegemea angeniona muda ule pale kwake, na muda huu hasira zake zilianza kupanda kwa kasi sana na akasimama.
IRYN: “Insider what are you doing here? get out of my sight. I don’t want to see you again.”
MIMI: “Baby calm down please, unatumia hasira naomba nisikilize, tuzungumze hili jambo.”
IRYN: “Umenielewa nilichokwambia? Sitaki kukuona hapa naomba uondoke.”
Mkononi nilikuwa nimeshika ile bahasha na nikaifungua nikatoa zile picha za nikamuonesha,
MIMI: “Hiki ndo kimenileta hapa tujadili maana una damu yangu na haya mengine uliyoandika sijasoma na sitaki kujua uliandika nini.”
Na nikachana chana ile bahasha mbele yake huku anashuhudia.
“Baby naomba tukae chini tuongee please, I need just 5 minutes.”
Iryn hasira zilizidi kumpanda na alianza kutoa kigugumizi na koo lilianza kuvimba, ukweli sikuwahi kuona hasira za Iryn kama hii siku.
IRYN: “In..si..der I said get out before I do something bad.”
MIMI: “Really? Something bad?, I know you can do it, letme help you.”
Nilifungua drow ya bedside na nikatoka gun nikaiweka kitandani,
“Take it and do whatever you want”
Nilipiga magoti chini ile “Hands on your knees” na niligeukia upande wa mlango ili nisione action atakayoichukua, muda huu hata mimi akili zangu zilikuwa zimerukwa na nilikuwa siogopi kufa kabisa.
Baada ya dakika niliona mtu akinishika bega na akaanza kuongea,
IRYN: “Insider please stand up.”
Na machozi yalikuwa yakimtoka mithili ya chemichem na macho yalikuwa mekundu sana,
MIMI: “Can’t you do it?”
Na mimi nilisimama tukawa tunaangaliana na nilimsogelea nikaanza kumfuta machozi yake kwa kitambaa changu na haikuchukua muda tukaanza kupeana denda za pupa. Alikuwa kavaa skin jeans, tayari kwa kuondoka na niliishusha mpaka usawa wa magoti na nikamgeuza na kumuinamisha ashike kitanda na nilichomeka mashine kwa nyuma. Pia alikuwa kasuka rasta ndefu na nilizikunja zile rasta zake kwenye mkono wangu, kama mtu anaye endesha farasi na nikawa nahit kwa spidi sana. Niseme hata mimi sikuwa kwenye akili yangu na nilisikia akianza kulalamika pale,
IRYN: “Insider stop I am pregnant.”
Lakini mimi hata sikuwa na habari naye kabisa, muda huu nilikuwa busy sana kutafuta bao la kufutia machozi,
IRYN: “Baby you’re hurting me stop it.”
Ilibidi nimuache na muda huu risasi ziliruka kwa spidi sana na ziliishia kumchafua paja zake kwa nyuma maana wazungu walitoka wengi sana. Muda huu nilimvua nguo zote na zoezi likaanza upya tena ni kama tulikuwa tume-misiana na minyanduo iliendelea mpaka tukawa hoi.
Tulikwenda kuoga na baada ya kutoka bafuni tulikuwa tumelala kitandani na mimi nilikuwa nachezea tumbo lake taratibu sana kama nalibusu kitovuni na wakati nalichezea alikuwa akitabasamu sana,
MIMI: “Baby ulikuwa unakwenda wapi? ndo ulitaka kunikimbia baba mtoto?”
IRYN: “Ungechelewa usingenikuta hapa na jumapili nilikuwa naondoka kwenda south, kila kitu nilikuandikia kwa barua but for now It does not matter.”
MIMI: “Ndo ujue wewe ni wangu na ulikuja Tanzania kwaajili yangu, unataka kusahau ni jinsi gani nimekupambania mpaka leo tumefikia hapa.?”
IRYN: “I appreciate that, Insider unaniumiza sana hisia zangu nashindwa kuelewa wewe Mwanaume unanini? Why I can’t let you go?. I used to love Grizz but when comes to you hit me different why?…why?.”
MIMI: “Mimi leo nataka tumalize mzizi wa fitina, wewe ushakua mama mtoto wangu na una damu yangu tay…..”
Iryn alinikatisha pale maongezi yangu,
IRYN: “Insider nambie wewe na Asmah mna siri gani? please be honesty.”
MIMI: “Leo na confess kila kitu kwako nataka tuachane na hizi drama, Asmah sijawahi kuwa naye kwenye mahusiano ila tumesex kipindi kile naanza kwenda Masaki kuchukua na kupeleka bidhaa ndo tulifahamiana na kupelekea hivyo, lakini mpaka sasa hatujawahi kukutana tena, niseme ilikuwa ni bahati mbaya.”
IRYN: “Leo umesema ukweli nilikuwa najua hili kwa muda mrefu sana, na bado unakwenda kwake mpaka sasa na juzi tu umeshinda na Asmah mpaka saa 4 usiku taarifa zako ninazo zote.“
MIMI: “Ni kweli kwa Asmah nimekwenda mara 2 usiku na nilikuwa nampa lift mpaka kwake, wewe unaelewa fika Asmah ni mgonjwa na mimi ndo nilikuwa namsadia kufanya mazoezi ya mguu na kama napata muda nilikuwa nampeleka kwake, lakini hakuna tulichokuwa tunafanya na yeye anaheshimu hili.”
IRYN: “Doesn’t make sense to me, anyway labda nimwambie kitu ambacho ulishindwa kufahamu kipindi nimekutumia ile voice note.”
MIMI: “Unataka kusema uliniwekea trap?”
IRYN: “Exactly na nilifanya makusudi.”
Iryn alinambia baada ya kutambua ana mimba yangu aliona ni bora ajitenge mbali na mimi ili nisijue na alikuwa anawaza abebe au asibebe maana alikuwa hana imani na mimi kabisa. Kwa upande wake aliamua kutengeneza trap ili ajue tabia yangu, kwani aliamini mimi siwezi kukubali kuishi bila mchepuko na wasiwasi wake ulikuwa kwa Asmah na alitafuta spy wake wa kufuatilia movement zangu na Asmah.
MIMI: “Kwa hili umezingua sana ni vile una damu yangu nisingekusamehe, na kwanini umeshika mimba bila ridhaa yangu?”
IRYN: “Stupid question, you cummed inside me and now pretending to ask why I’m pregnant?, ulitakiwa ufurahi sijafanya maamuzi mabaya kwa mambo unayo fanya.”
MIMI: “Alright mimi nimepokea hili jambo kwa mikono miwili na niko tayari kuwa baba, lakini naomba kwasasa usije home maana mama J kashaanza kuhisi something fishy kinaendelea kati yetu.”
IRYN: “Naomba umuheshimu mama J, mimi nimechagua kuwa hivi ila Insider letme tell you something, nikija kubaini una mwanamke mwingine nje na mimi huyu mtoto hutakuja kumuona machoni mwako, kama kweli unampenda huyu mtoto bhasi naomba utulie, sasa fanya mistake kama utakuja kumuona mwanao na niko serious sitanii.”
MIMI: “Mimi nimechagua mtoto na naomba uniamini mimi sina huo ujinga please.”
IRYN: “I’m just warning you usije ukafikiri natania fanya ujinga na hutokuja kuniona mimi na mwanao.”
MIMI: “Baby usindoke mpaka mwisho wa mwezi nataka niendelee kukaa na wewe na Ahsante kwa kunibebea mtoto najua hii ni heshima umenipa.”
IRYN: “Sawa darling mimi nitaondoka mwisho wa mwezi kwaajili yako.”
Saa yangu ilikuwa inaonesha ni saa 5 usiku na mimi nilisema siwezi kulala pale kwa Iryn, lazima nirudi home, hivyo ilibidi nimuage.
MIMI: “Baby mimi naondoka kwenda home see you tomorrow mapema.”
IRYN: “No problem msalimie mama J.”
Tulitoka wote mpaka parking na aliniaga kwa kuni kiss shavuni na nikaondoka maeneo yale, lakini wakati niko njiani nilikuwa nawaza sana suala la mimba ya Iryn, nilihisi kama ndoto hivi na nikajisemea kesho nitakwenda naye hospital ili na mimi nikajihakikishie.
Nilijisemea kama kweli nitaprove Iryn ana mimba yangu nitamfanya kuwa mchepuko wangu wa siri na siji kuchepuka na mwanamke mwingine yoyote. Hata ile kauli yake aliyosema nikifanya ujinga sitamwona mtoto ilikuwa ikinijia sana kichwani na kutoka na nilishindwa kujua kwanini asisitizie sana hili.
Asubuhi niliamka mapema sana, niliingia kuoga na nikaondoka kwenda kwa Iryn. Baada ya kuwasili pale kwake alikuwa bado kalala na ilibidi nimpigie simu na akatoka kunifungulia mlango.
MIMI: “Good morning mama kijacho.”
IRYN: “Hahaha good morning too darling, bora umekuja mapema ili twende na supermarket tukipata breakfast.”
MIMI: “Twende nikakusaidie kuandaa breakfast.”
Tuliingia jikoni wote na yeye alikuwa anapika chapati za maji na mimi nilikuwa nina tengeneza soup. Wakati tunapata breakfast nilimwambia tutakwenda hospital wote ili nikajihakikishie kuhusu mimba yake.
Mchana tuliondoka kwenda Masaki na tulianza kwenda SALI International hospital ambayo ipo Masaki near na Coral hotel. Baada ya kufika pale na kufuata taratibu zote tulipelekwa chumba special kwaajili ya kuchukuliwa vipimo vya ultra sound na mimi nilikuwa pembeni nikishuhudia.
Ukweli niliweza kujihakikishia kwa macho yangu Iryn ni mjamzito na nilimsogelea Iryn akiwa bado kalala na nikamkiss,
MIMI: “Baby you’re going to be a mom, I’m proud of you.”
Kwa upande wake Iryn alikuwa na furaha sana kwakweli na doctor alikuwa anaongea pale afu alikuwa mhindi,
DOC: “Hongereni sana mimba ni salama na haina shida kabisa na hakikisha unamlinda mjamzito anakuwa salama na anakula chakula bora.”
MIMI: “Doc hili ondoa shaka kabisa.”
Nilichukua simu yake na nikampiga picha akiwa vilevile tumbo wazi kama ukumbusho.
Doctor alitupongeza san na alitupa ushauri na akasema itapendeza tukichukua vipimo kwa wote mpaka vya damu. Tuliona ni ushauri mzuri ukitegemea tunakwenda kuwa wazazi ni busara tukajuana, baada ya vipimo majibu yalionesha sisi ni wazima wa afya kabisa na hatuna kasoro wala shida yoyote.
Tuliondoka hospital kwa furaha sana na tulikwenda moja kwa moja mpaka Salon, ilituchukua chini ya dakika 5 kuwasili ofisini na nilipark gari tukaingia ndani.
Baada ya kuingia ndani Hilda aikuwa yuko pale reception na tukamsalimia wote kwa pamoja na Iryn alikuwa anapita kila room kuwasalimia wafanyakazi na mimi nilikwenda ofisini.
Ndani ofisini alikuwepo Asmah na baada ya kuniona alianza kunimind sana kwa kumchomesha jana ukizingatia tulikuwa tumekubaliana vizuri kabisa. Kwa upande wangu ilibidi nimwombe msamaha kwa suala la jana na nikampa sababu za uongo ili atulie.
Haikuchukua muda Iryn aliingia ofisini na akakaa kwenye coach na akawa anaongea na Asmah pale,
IRYN: “Asmah mpenzi wangu unaendeleaje na mguu wako?”
ASMAH: “Niko poa dear, thanks kwa Insider kanisaidia sana mpaka nimekuwa sawa.”
Kwa upande wangu nilijifanya niko busy na mambo yangu kama siwasikii vile kumbe sikio langu lilikuwa linadaka mawimbi vizuri sana.
IRYN: “Alinambia alikuwa anakupigisha tizi, I’m glad umepona
ASMAH: “Thank you so much bossy, Insider ana Roho nzuri sana.”
IRYN: “Asmah wewe sijawai kukupa gift ila nitakupa gift nzuri sana, mimi nitaondoka soon nataka nikuachie ukumbusho.”
ASMAH: “Jamani unaondoka kwenda wapi tena?”
IRYN: “Nakwenda shule dear.”
ASMAH: “Thank you bossy nitashukuru sana.”
Saa 3 usiku tuliondoka pale ofisini na tulipitia pale Golden fork Mikocheni kupata dinner kwanza. Baada ya kuwasili pale tulitafuta angle nzuri ya pembeni tukakaa na tukaagiza chakula,
MIMI: “Baby wewe ni mjamzito tayari sitegemei kuona unatumia kilevi.”
IRYN: “I know baby siwezi nikatumia kilevi wala chochote chenye negative effects kwa mtoto tumboni. Baby leo si tunakwenda kulala wote?”
MIMI: “Baby nitarudi home sitaki kumkera mama J wangu, but good news anaondoka jumatano na familia yao kwenda kumalizia msiba Moshi so tutakuwa wote.”
IRYN: “Sawa no problem but nimekumiss sana”
MIMI: “Kesho nitakuja asubuhi na mapema kwako nikuf*ck mpaka useme poo.”
IRYN: “No problem wewe wahi home.”
Tulikaa pale mpaka saa 4 usiku na tukaondoka Iryn ndo alisimamia usukani na alinipeleka mpaka kwangu maana kupitia gari pale kwake niliona uvivu.
Baada ya kurudi home nilikuta wife na bibi wamelala lakini dada na Junior walikuwa seblen wamekaa, tangu Junior aanze kutembea alikuwa mgumu sana kulala na kukesha kwake ilikuwa ni kawaida. Niliingia room kuoga na baada ya hapo nilirudi seblen kumchukua Junior na tukaenda kulala.
Asubuhi niliamshwa na mama J na alikuwa akijaandaa kwenda kanisani,
WIFE: “Baba J hauendi church leo?”
MIMI: “Leo siendi mke wangu nimechoka sana afu kuna sehem nataka kwenda.”
WIFE: “Jana hujarudi na gari umeiacha wapi?”
MIMI: “Ndo huko nataka kwenda jana gari ilinizingua ipo kwa fundi.”
WIFE: “Mapema hivi? wamekuuzia mkweche bora ungeagiza Japan tu.”
MIMI: “Tatizo dogo tu sema jana tulikosa kifaa maduka yalikuwa yamefungwa.”
WIFE: “Na hii Dualis ya watu unarudisha lini?
MIMI: “Dada mpaka ajifungue nitampelekea gari yake, ameomba niendelee kukaa nayo, church leo unakwenda misa ya pili?”
WIFE: “Ratiba yangu ya kanisani ndo inaonesha hivyo, byee mimi naondoka mpenzi wangu.”
MIMI: “Niombee na ukirudi naomba tudiscuss suala la dada.”
WIFE: “Sawa pia tunaondoka jumatano kwenda Moshi kumalizia msiba na sina hela kipindi hiki.”
MIMI: “Badae tutaongea hili.”
Baada ya wife kuondoka sikutaka hata kwenda bafuni kuoga na nilijisemea nitaoga hukohuko kwa Iryn, nilibadilika chap na nikachukua bodaboda nikaondoka.
Niliwasili kwa mama kijacho wangu mapema sana na baada ya kuingia ndani yeye alikuwa jikoni anaosha vyombo na nilimkumbatia kwa nyuma, tukaanza kuongea pale,
IRYN: “Baby ulikuwa hupokei simu zangu.”
MIMI: “Nilikuwa nimepanda bodaboda nisingeweza kupokea, umepika nini nasikia njaa hapa.”
IRYN: “Kuna maziwa mkate na maini”
MIMI: “Acha nijisevie wewe endelea na kazi zako.”
IRYN: “Badae itabidi nikamsalimie mama J na Junior.”
MIMI: “Sawa ni wewe tu ila utakwenda peke yako”
IRYN: “No problem I will go there alone.”
Baada ya kupata chai mimi nilikwenda kuoga na baada ya nusu saa Iryn alikuja chumbani na tukaanza kwichikwichi pale, ila ilikuwa ni ile kwichi ya taratibu sana maana alikuwa mjamzito.
Mchana tuliamua kwenda kubarizi beach na tulikwenda Malaika beach haipo mbali na apartment yake. Wakati tuko pale tulikuwa tunaongea masuala mengi na kuhusu masomo yake huko South Africa, kwa upande wangu nilitaka kujua atawezaje kusoma akiwa na mimba?
MIMI: “Baby unakwenda shule utaweza mikiki na hali hii?”
IRYN: “Baby hata sio tatizo masters haina mambo mengi na nitafanya vizuri.”
MIMI: “Claire best yako yuko wapi?”
IRYN: “Tulikwenda Serengeti wote so wakati tunarudi tuliachana, yeye alikwenda Bukoba kutembelea kaburi la baba yake.”
MIMI: “Pole yake na vipi kuhusu suala la mimba yako mama Janeth na Mzee utawaambiaje?”
IRYN: “Usiwe na wasiwasi juu ya hili, Daddy nitamwambia mimba ni yako japo anajua wewe unamtoto, mama Janeth nitakuja kumwambia hata badae huko.”
MIMI: “Wasiwasi wangu mama Janeth akijua mimi ninafamilia afu nimekupa mimba, anaweza akaniona mimi mbaya sana na akanichukia kwa hili.”
IRYN: “Haya ni maamuzi yangu na si yake hata wale watoto zake wote kila mmoja ana baba yake, afu nimegundua siri kubwa sana kwa mama Janeth.”
MIMI: “Siri gani hiyo mummy.”
IRYN: “Tuachane na haya mambo baby not even important.”
Saa 12 tuliondoka pale beach na tulirudi home, lakini Iryn hakukaa na aliondoka kwenda kumsalimia mama J na mimi nilimwambia atanikuta namsubiri.
Baada ya Iryn kuondoka nilichukua simu yangu nikasema acha leo nimtafute Muajemi maana tulikuwa tunapishana sana na pia alikuwa hapatikaniki, nilimpigia simu kupitia Telegram lakini hakuwa online na nikamtumia ujumbe wa kumsalimia.
Baada ya lisaa kupita alinipigia simu na tuliongea mambo mengi sana, kubwa aliulizia maendeleo ya Iryn na mimi nilimwambia anaendelea vizuri na anatarajia kurudi shule kusoma, kwa upande wake alisema Iryn amemblock kwani hampati kwa call wala texts.
MIMI: “Bro! habari ya siku umekuwa adimu sana.”
MUAJEMI: “Niko salama salmini tunapishana nimekuwa busy sana, kwasasa nashinda sana Sudan na hope kuja Tanzania next month tutaonana bro, Iryn ulifikia wapi maana ulinihakikishia”
MIMI: “Bro! Iryn hana shida ila tatizo ni wewe kuwa na familia na ameachana na bwana wake wa Ufaransa kwasababu ya hii, amesema kwasasa anahitaji mwanaume asiye na familia wa kufocus naye.”
MUAJEMI: “Ohh shit, kaka nilikosea sana kumwambia nina familia.”
MIMI: “Haukukosea kaka ulikuwa sahihi kabisa, wewe ukirudi huku tutaongea vizuri, ila mwezi huu anakwenda South Africa kuendelea na masomo.”
MUAJEMI: “Unajua ameniblock nashindwa hata kumjulia hali.”
MIMI: “Mtafute hata kwa namba nyingine uzuri ana kufahamu won’t it be a problem.”
MUAJEMI: “Bro acha nikukimbie tutawasiliana.”
Baada ya kuagana na Muajemi nilikwenda zangu kukaa kwenye balcony nikipigwa na upepo mwanana wa bahari na pembeni nilikuwa na glass yangu ya wine. Ni maisha ambayo sikuwai kudream kuyaishi kama kuna siku nitakuja kaa kwa balcony namna hii, maisha kama haya nilikuwa nayaona kwa movie tu.
Baada ya dakika 20 nilisikia mtu akiniita “Baby… baby…” ni Iryn alikuwa karudi tayari, na alikuja nilikokuwa nimekaa.
MIMI: “Nambie mummy za huko ulikokuwa na umeonana na mama J?”
IRYN: “Ndo natoka hapa na nimeshinda nao, kama unavyoona ndo narudi hapa.”
Na akanikalia mapajani,
“Darling mama J kama anahisi something kinaendelea between us ila sasa naomba udownload snapchat na tutakuwa tunachat huku atleast ni safe.”
MIMI: “Haina shida nitafanya hivyo ila nafikiri tuwe tunawasiliana kwa simu, text ziwe kwa masuala muhimu na ofisi, snapchat kwa usiku.”
IRYN: “Ndo hivyo maana wewe ni mzembe sitaki kuingia uadui na mama J nampenda sana, ila kwa hili atanisamehe.”
Muda huu tulianza romance pale na tulihamia chumbani kuendeleza lecture mpaka wazungu walivyotoka darasani ndo na mimi nikasitisha lecture yangu, nikajiandaa na kuondoka kurudi home.
Baada ya kuwasili home niliingia chumbani na nilikuta box la simu ya iphone na baada ya kuliangalia niligundua ni la iphone 14 na ilibidi nishangae pale inamaana wife amenunua simu mpya?.
Baada ya wife kuingia chumbani uvumilivu ulinishinda na ikabidi nimuulize,
MIMI: “Mama J unalalamika huna Pesa afu unanunua iphone 14.”
WIFE: “Iryn ameniletea simu mpya kama zawadi, kipindi Junior anaiharibu hii simu yangu tulikuwa wote ile siku hapa home.”
MIMI: “Ooh hongera zako iko wapi niione?”
Na wife alikwenda seblen akaniletea na baada ya kuiona ilikuwa ni Iphone 14 pro Max na ilikuwa ni mwezi tayari tangu apple wa lunch simu zao mpya.
Nilitoka chumbani nilikwenda seblen kukaa na bibi na tulikuwa tunapiga story mbalimbali pale hasa za Moshi huko. Bibi ni mwongeaji sana hivyo tulikuwa tunapatana ile mbaya na alikuwa ananikubali sana.
***
Asubuhi na mapema sana niliamka kama kawaida nilikwenda jogging na baada ya kutoka tizi niliingia bafuni kuoga, nikaondoka kwenda kwa Iryn.
Baada ya kufika kwa Iryn alinipa taarifa inatakiwa kwenda Masaki kuangalia nyumba zao maana zilikuwa zinakarabatiwa na ukarabati ulianza wakati mzee amekuja.
Tuliondoka kwenda Masaki na tulianza kwanza na nyumba tuliyokwenda kuitembelea kipindi kile katoka South Africa ambayo aliachiwa na baba yake aisimamie. Baada ya kuwasili pale ilikuwa imekarabatiwa tayari kwa upande wa nje na ilikiwa imepakwa rangi inang’aa, kwa upande wa ndani mafundi walikuwa wanatengeneza furniture.
“Darling twende nyumba nyingine ipo mtaa wa pili.”
Na mimi nilishangaa pale kumbe kuna nyumba nyingine tena, baada ya kuwasili hio nyumba nyingine hata haikuwa mbali na tulitumia muda mfupi kufika mjengoni. Ilikuwa ni apartment nzuri sana ya gorofa 3 na ilikuwa inafanyiwa ukarabati na kulikuwa na msimamizi aliyepewa tenda na walikuwa wanaongea na Iryn.
Iryn baada ya kumaliza kuongea na jamaa alikuja kwangu na tukaanza maongezi
MIMI: “Na hii ni nyumba yenu?”
IRYN: “Mzee alinionesha alivyokuja alisema ameinunua recently, si unamkumbuka yule baba aliyekuja kumchukua mzee siku ile pale Coral hotel?”
MIMI: ”Ndio mummy namkumbuka.”
IRYN: “Ndo aliyemuunganishia mzee, sasa baby hizi nyumba zote na zile za mama ziko under my control ni zangu, mimi naondoka ila nitahitaji uwe unanisaidia kuzikagua, nina imani kubwa sana na wewe maana unakwenda kuwa baba mtoto wangu, naamini huta ni let down.”
MIMI: ”Hili jambo dogo sana naomba ondoa shaka, umebeba damu yangu afu nishindwe kusimamia hizi nyumba hapana kwakweli wewe ushakuwa mke wangu tayari.”
IRYN: “Twende kule kwenye zile apartments za mama nikafanye na ukaguzi.”
Episode za nyuma nilishaandika hii nyumba ya mama yake ilipo na code ipo wazi kabisa ni Masaki na baada ya kufika pale tulifanya ukaguzi na tukaondoka.
IRYN: “Baby unanipeleka kula wapi?”
MIMI: ”Kuna chimbo alinipeleka Asmah Ijumaa ni zuri sana kwa barbecue nafikiri utaenjoy.”
IRYN: “Okay twende baba mtoto.”
Ndani ya muda mfupi tuliwasili Pantaleo na tulipokelewa na mhudumu na tukaagiza chakula pale,
MIMI: “Dada naomba chips kwa mishikaki 5 ya samaki.”
IRYN: “Dada mimi naomba mishikaki ya kuku 3 na chips yai ikaushe vizuri.”
Tulitumia lisaa pale restaurant na tuliondoka kwenda Salon, baada ya kuwasili Iryn alishuka na kimfuko kidogo amekishika mkononi na tuliongozana mpaka ndani ofisini. Mle ofisini tulimkuta Asmah na Hilda wanapiga story na sisi tukawasalimia.
IRYN: “Asmah bora nimekuona mamaa nina gift yako hapa.” Na akamkabidhi pale.
“Open it..”
Na mimi ilibidi niangalie ni zawadi gani hiyo Iryn anampa Asmah?, na muda huu Asmah alitoa box la simu kwenye ule mfuko na ilikuwa ni iphone. Kwa upande wake Asmah aliishia kufurahi sana muda huu, licha ya kuwa na iphone kali lakini alipewa tena ingine na Iryn.
ASMAH: “Wow thank you bossy.”
IRYN: “Nimeamua kukupa gift ya simu ambayo nilikuwa naitumia mimi ili nikiwa sipo uwe unanikumbuka kwa kuchapa kazi kwa bidii, hio simu ni mpya kabisa maana nilikuwa naitunza sana.”
ASMAH: “Nashukuru sana bossy wangu Allah akuzidishie, na kuanzia leo nitaanza kuitumia hii.”
Kwa upande wangu nilijisemea Iryn katoa zawadi ya simu kwa Asmah huenda ana target zake anataka kuzikamilisha. Kwa upande wa Asmah yeye alikuwa kafurahi sana kwakweli na sura yake ilikuwa na furaha na yenye tabasamu.
Tuliendelea kushinda pale ofisini mpaka jioni na tukaondoka kwenda Mikocheni.
PART II
Jumanne jioni wife aliondoka kwenda kwao pamoja na bibi na dada kwaajili ya kujiandaa na safari yao ya jumatano kwenda Moshi kumalizia msiba. Niliwapa ride mpaka kwao na sikutaka kuendelea kukaa pale ukweni, hivyo nikaondoka kurudi home nikachukua baadhi ya nguo na nikaenda kwa mama kijacho wangu.
Baada ya kuwasili pale kwake niliingia ndani lakini sikumkuta lakini mazingira yalionesha yupo, nikajua kwa muda huu atakuwa swimming. Na mimi nilibadilika haraka nikaenda kwa swimming pool na kweli alikuwa anaswim pale na baada ya kuniona alionesha kufurahi sana, nikaingia kwa swimming na tukaanza kuswim pamoja ilikuwa ni burudani.
IRYN: “Baby mama J ameondoka tayari?”
MIMI: “Amekwenda kwanza kwao ila kesho asubuhi na mapema wataanza safari ya kwenda Moshi.”
IRYN: “Baby huu muda uliobaki nataka niondoke hapa nikamalizie sehemu nyingine.”
MIMI: “Unataka kwenda wapi?.”
IRYN: “Nitafute Apartment ya muda Masaki.”
MIMI: “Sawa ni wewe tu mimi nitakupa kampani.”
Wakati tukiendelea kupiga story na kuswim kwa upande mwingine kuna couple ilikuja pale swimming na sisi tukaamua kuondoka ili tuwaachie uwanja. Baada ya kurudi ndani tulibadilika na tuliamua kwenda Mlimani city kupata dinna.
Penzi lilikuwa ndo kama limechipua limeanza upya maana tulikuwa tumekaa kimahaba sana hata mtu akituona bhasi anajua wale ni wapenzi.
IRYN: “Baby guess mtoto atakuwa jinsi gani?”
MIMI: “Huyo wa kiume 100%.”
IRYN: “Napenda mtoto wa kiume but nilitamani nikuzalie wa kike ili ubalance afu wa pili awe wa kiume.”
MIMI: “Sidhani kama atakuwa wa kike kwa tarehe za mimba kupatikana na uhakika ni wa kiume huyo.”
IRYN: “Mungu naye ana mipango yake.”
MIMI: “Baby unakwenda kuwa mama ulijipanga au bahati mbaya?”
IRYN: “I don’t want to talk about this right now.”
MIMI: “Seems ulijipanga ndomana unafuraha sana.”
IRYN: “You know nothing.”
MIMI: “You are going to be the best mom.”
Baada ya kumaliza kula hatukutaka kupoteza muda na tuliondoka kurudi home na baada ya kuwasili nilichukua wine kwenye glass nikaenda kukaa kwa balcony huku napata upepo mwanana wa Bahari.
Baada ya dakika 20 Iryn naye alikuja akiwa amevaa gauni shati, inakuwa inashuka kidogo mapajani, hakuwa na bikini na akanikapandia kwa juu huku akinitizama kwa tabasamu sana na macho ya kurembua.
Aliingiza mkono ndani ya track na akaanza kuchezea bunduki yangu lakini ilikuwa iko tayari kwa vita muda mrefu sana, aliikalia kwa juu na alikuwa anaendesha gari taratibu na kwa umakini mkubwa sana na baadae tuliamua kuhamia chumbani kuendeleza match yetu pale kitandani.
Iryn ni mwanamke ambaye alikuwa hanipi limit hasa linapokuja suala la sex, nikipata hamu hata awe jikoni, seblen bhasi nitam-f*ck hana noma, na hiki kilinifanya nivutiwe naye na nimpende sana. Akiwa jikoni anapika nikiingiza mkono nikamshika kalio na hata kuliminya ndo kwanza alikuwa anafurahi, nikimkuta seblen nitafungua braa yake nitazinyonya boobs zake ndo kwanza ananipa ushirikiano, sasa kafanye huu ujinga kwa mama J kama hupigwi na mwiko huko jikoni.
•••••
Asubuhi niliamka mapema sana na nikaenda gym kupiga tizi, kwenye hizi apartments kuna room special ya mazoezi kwa wapangaji wa pale. Baada ya kutoka tizi niliingia bafuni kuoga na nikatengeza breakfast nikanywa lakini mama kijacho alikuwa bado kalala na mimi nikaondoka kwenda kazini.
Nilianza na Mikocheni kwanza na baada ya kuwasili nilikwenda ofisini kuanza kuzipitia ripoti zote za utendaji mpaka mauzo. Baada ya nusu saa Lucy aliingia ofisini na alikuwa anafika muda huu na baada ya kuniona tulisalimiana pale na alionesha kuwa na umbeya anataka kunipa,
LUCY: “Insider mambo, Iryn ni mjamzito?”
MIMI: “Sijui nianze kujibu salamu kwanza au swali?”
LUCY: “Salamu not important kwasasa, twende kwenye swali.”
MIMI: “Mimi sijui kwakweli ndo nasikia kwako hapa ila namuona sawa tu.”
LUCY: “Jana nimeona utofauti mkubwa sana kwake, alikuwa anatema sana mate hovyo na sio kawaida yake mpaka nikahisi ni mjamzito.”
MIMI: “Labda alikuwa anaumwa rafiki yangu au kuna kitu kilikuwa kimemchefua huwezi kujua, kutema mate hovyo sio kigezo cha mtu kuwa na mimba.”
LUCY: “Mh! Insider wewe ni msiri sana kama umemjaza si unasema tu mshikaji wangu utaendelea kunificha mpaka lini?”
MIMI: “Siwezi kukuficha kwa hili maana mimba haifichiki kama mahusiano itajitokeza tu, mimi naondoka kila kitu kipo sawa, labda kama kuna jambo lolote niambie kabla sijapotea.”
LUCY: “No.”
Niliondoka kwenda Masaki na wakati naendelea na majukumu yangu kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Iryn akipiga na nilipokea simu yake kwa haraka sana.
Mama kijacho alikuwa analalamika nimeondoka bila kumuaga na akaniomba niwahi kurudi kwani ameni- miss. Kwa upande wangu sikutaka kuchanganya mapenzi na kazi hata kama natembea na bossy niliona suala la kazi lazima niliheshimu.
Mchana niliaga kwa Asmah naondoka na wakati natoka tulikuwa tumeongozana huku tunaongea,
ASMAH: “Insider unabahati kubwa sana wewe mwanaume kuwa na mwanamke mzuri na mrembo hata mimi nakuonea wivu.”
MIMI: “Umejuaje kama ananipenda?.”
ASMAH: “Anaonekana tu amekupenda serious, utulie sasa kama una mambo pembeni acha.”
MIMI: “Ahsante kwa ushauri wako mama.”
Niliamua kuondoka na nikarudi home maana Iryn alikuwa ananipigia sana simu mpaka kero na kama kudeka kuliongezeka.
Baada ya kufika home nilimkuta amelala seblen na alivyoniona alitabasamu na akanambia amepika tayari, hivyo alikuwa akinisubiri mimi tu ile tule.
Tulishinda wote mle ndani na ule usiku alinambia jumamosi tutakwenda makazi mapya na amepata apartment tayari ya kukaa kwa huu muda.
Dalali aliyetafuta hii apartment ni ile kampuni inayosimamia nyumba za Masaki katika upangishaji. Kwa upande mwingine alisema tukiondoka hapa ndo mazima na itabidi tukabidhi kabisa apartment ya watu japo alikuwa kabakisha mwezi mmoja.
*****
Jumamosi ndo tulikuwa tunaondoka Kwenye ile apartment ya Kawe na ile asubuhi tulianza kupanga vitu, Iryn kwa upande wake alikuwa hahitaji kuchukua kitu chochote zaidi ya nguo. Kuna vitu vingi pale nilivichukua vya muhimu kama JBL music soundbar, washing machine nknk, na kuna baadhi ya vitu tulimpa mama mlinzi.
Mchana tuliondoka pale na tulianza safari ya kwenda Masaki maana Dalali alikuwa ametuma location na anatusubiri. Apartment ilikuwa Toure road karibu na Golden Tulip hotel, baada ya kuwasili pale tulionana na Dalali, akatupeleka mpaka juu floor ya 3, niseme apartment ilikuwa ni nzuri sana, inavutia, na mazingira yalikuwa mazuri sana ndani mpaka nje, ni 5 star apartment na zilimtoka pesa mingi the bossy lady.
Baada ya kumalizana na Dalali tuliagana na akaondoka akatuacha sisi tumekaa seblen, apartment ilikuwa ni full furnished yaani inakila kitu ndani ni wewe kwenda na nguo zako tu na vitu vya jikoni.
IRYN: “Baby badae tunakwenda wapi nahamu tutoke out.”
MIMI: “Twende Maison club leo maana sijawahi kuingia pale, nilikuwa naishia kuwapeleka wateja tu.”
IRYN: “Okay baby tutaenda huko.”
MIMI: “Unakumbuka hutakiwi kunywa?”
IRYN: “Nitakunywa mocktail.”
Sababu huwa sipendi Iryn asumbuliwe kutokana na status yake ilibidi nifungue page yao ya Instagram na nikafanya booking ya table mapema kabisa.
Saa 2 usiku tulitoka kwenda kupata dinna na kwa upande wa Iryn alikuwa kapendeza sana na niliishia kumsifia njiani kote mpaka tunafika Karambezi cafe. Baada ya kuwasili pale restaurant mhudumu hakuchelewa kuja kutusikiliza na tukaagiza chakula na tukaendelea kupiga story pale huku tukisubiri food.
MIMI: “Baby ukienda South Africa utakuwa unakaa home?”
IRYN: “Nitakaa kwanza home then nitahamia kwenye apartment yangu.”
MIMI: “Kwanini usikae home na hio mimba?”
IRYN: “Kuna mdogo wangu mtoto wa mamkubwa nimemtafutia chuo South Africa so nitaishi naye pamoja, usiwe na wasiwasi baby mwanao atakuwa sawa na salama.”
MIMI: “Mamdogo hana shida? Si unajua mama wa kambo?”
IRYN: “Hana shida kabisa na ananipenda sana hata nilivyo hairisha safari amechukia sana.”
MIMI: “Natamani ningekupa hii Dunia kama zawadi pamoja na vitu vyake vyote lakini sina huu uwezo.”
IRYN: “Baby no need uliyoyafanya kwangu yanatosha, kwasasa ni zamu yangu kukupa hii Dunia. Insider wewe ndo mwanaume pekee uliyenifanya mimi kuwa na furaha, kifo cha mama yangu kilinipa mawazo sana mpaka nilijukuta namchukia daddy but today I’m happy because of you.”
MIMI: “Mimi naamini Mungu alikurudisha Tanzania kwaajili yangu na mimi nakuahidi sitokuwa na mchepuko mwingine zaidi yako na ninahapa hapa mbele yako.”
IRYN: “Insider mimi nimekupenda toka moyoni na nimeridhia kuwa mke wako wa pili kama utanipa hii nafasi.”
MIMI: “Dini yangu hairuhusu mimi kuwa na wake wawili lakini kuwa na mtoto wangu nmekupa hiko cheo.”
IRYN: “Thank you baby please tell me unataka nikufanyie kitu gani kama shukrani yangu kwako? Please tell me.”
MIMI: “Baby zawadi ya mtoto uliyonipa kwangu mimi inatosha ila nakuomba uniahidi uyo mtoto utamtunza maana utakuwa mbali na mimi.”
IRYN: “Mtoto wako nitamtunza baby ondoa wasiwasi, najua utakuwa unamiss sana ila nitakuwa nakuja Dar kwaajili yako each after 2 weeks. Tutakuwa tunashinda wote hotelini weekend nzima, but nihakikishie tutakuwa tunashinda pamoja.“
Baada ya kusikia haya maneno nilifurahi sana maana nilianza kuwaza Iryn anaondoka, coochie yake sitaiona tena na uwezo wa kwenda South mara kwa mara sina.
MIMI: “Really baby? utakuwa unakuja kwaajili yangu?”
IRYN: “I promise, baby naomba utafute passport ili nawewe uwe unakuja South Africa nataka pia twende Dubai, Paris, UK, na Netherlands nknk huko kote kuna ndugu zangu.”
MIMI: “Sawa baby hili nitalifanyia kazi soon.”
Tuliongea mambo mengi sana na Iryn na muda ulikuwa umekwenda sana, kwani saa 4 ilitugongea palepale Karambezi na tukaondoka kwenda Maison Club. Kilichofanyika ni kubadili parking tu maana Maison imepakana na Seacliff Hotel ni building zilizofuatana.
Tuliingia Maison club na tulipelekwa kwenye table yetu na mhudumu na muda huu alikuwa akisikikiza odda zetu ili atuletee vinywaji. Sababu Iryn alikuwa hanywi ilibidi aagize Mocktail na mimi Niliagiza cocktails na nilikuwa nakimbiza na shots za Tequila.
Kwa upande mwingine walikuwa wanaonekana warembo wakali sana na watu waliokuwa wanaonekana wengi ni madon. Maison huwezi kuwapata wazamiaji kwani kuingia tu lazima ufanye booking au uwe na status, huwezi kuwakuta maskini huku.
Tulidance pamoja sana huu usiku ni kama ilikuwa napewa farewell ya mwisho mwisho, kutokana na uzuri wake mama kijacho wangu aliishiwa kupigwa macho sana, na hili mimi nilikuwa nishazoea tayari na nilikuwa najiona mwamba sana kuwa na moja ya mwanamke mrembo hapa Duniani. Sisi hatukujali na tuliendelea kupeana mahaba motomoto na tulikaa mpaka saa 8 za usiku wakati mziki umeanza kukolea ndo tukaondoka kwenda kulala.
Asubuhi niliamshwa kunywa soup na alikuwa kaniandalia na viazi, baada ya kunywa nilikuwa bado na hangovers maana zilikimbiza sana shots za tequila kule Maison, hivyo nilirudi kulala tena, haikuchukua muda na yeye alikuja tukalala wote.
Mchana tulitoka kwenda kupata lunch kwenye mgahawa wa karibu na wakati tuko kwa restaurant tukipata chakula, Iryn alinambia tukirudi home kuna surprise yangu inanisubiri na mimi nilibaki najiuliza ni surprise gani tena hii?
“Baby unataka kuni surprise nini?”
“Wewe utaona hapohapo.”
Baada ya kumaliza kula tuliondoka kurudi kwenye apartment yetu na tuliingia bafuni kuoga pamoja na baada ya kumaliza alinifuta maji na taulo mwizi mzima.
IRYN: “Baby lala kitandani nataka leo nikufanyie massage utoe na uchovu.”
MIMI: “Hii leo kweli surprise nasubiri huduma yako mummy.”
Kwa upande wake alikuwa kavaa tight fupi nyeupe na sport braa nyeupe hivyo alikuwa anaonekana romantic na sex sana.
Baada ya kulala kitandani alitoa vifaa special kwaajili ya massage, na alitoa kitambaa cheupe kipya kabisa akaenda bafuni na akatoka amekilowanisha maji na akakitumbukiza kwenye heater special.
IRYN: “Baby kabla ya kufanya massage unatakiwa kukanda mwili wako kwa maji ya moto, sasa hiki kifaa ndo kazi yake hii. Si unaona nilikilowanisha na maji? Na hii heater ni special kwa kupashia joto, na hiki kitambaa ni special kwa massage na kinatunza joto kwa muda mrefu na huwa naviagiza nje.”
Baada ya dakika 3 kilikuwa tayari na alianza kunikanda kuanzia shingoni mpaka miguuni na nilikuwa nimelala chali, muda huu nilikuwa nasikia raha sana.
IRYN: “Nimeona tuanze na front side then tumalizie na back, na mara nyingi huwa napenda kufanya hivi kwa strangers.”
MIMI: “Kwanini baby?”
IRYN: “Ni hivi, upande wa mbele huwa unasisimua sana hasa kwa wanaume na hapa wengi huwa wanapata mawazo ya ngono, ukianza na mbele atapata hizi hisia na ukimalizia upande wa nyuma hisia zinakuwa chini sana. Hii ni mbinu nzuri sana kama unadeal na customers/strangers ambao huwafahamu, itakusaidia kupunguza kusumbuliwa kuombwa sex. Kwa wazungu hawana shida lakini tatizo ni waafrica na wengi wanachukulia massage ni kama sehemu ya kupata sex na sio huduma.”
MIMI: “Aisee kumbe wazungu sio wasumbufu kama waafrica.”
IRYN: “Wazungu wanaheshimu utu na anavyokuja lengo ni huduma na sio ngono, na wanaheshimu hii kazi ila waafrica wanaona kama kujiuza unavyofanya hii kazi.”
MIMI: “Ni kweli kabisa unayosema mummy.”
IRYN: “Mimi nafanya professional massage hata hivi vifaa nilivyonavyo sidhani kama kuna massage hapa bongo wanavyo labda hizi 5 star hotel na ni expensive sana.”
Na muda huu alitoa stones nyeusi na akaziweka kwa heater na akaendelea kuongea,
“Inatakiwa mteja asiwaze ngono anavyokuwa kwenye room, ki professional inatakiwa umtoe customer kwenye mawazo ya ngono na aone massage ni treatment na sio sehemu ya kupata ngono.”
MIMI: “Baby kivipi?”
IRYN: “Ni simple tu naweza kutumia natural au artificial way, wewe utaona si tupo wote hapa?”
Iryn alitoa kitu kama mask na ilikuwa inafunika macho tu na alitoa airpods zake akaziweka masikioni na akanivalisha ile mask, na akaplay music wa taratibu kama ile ya wataliano.
Muda huu alinza kunifanyia massage taratibu na kwa ufundi wa hali ya juu sana afu ukizingatia mikono yake ni laini afu ya moto. Nilikuwa nasikia raha sana hata mawazo ya ngono nilikuwa sina, ile mask aliyokuwa kanivalisha na ule mziki niliokuwa nausikia nilikuwa nahisi niko Dunia nyingine kabisa.
Niligeuka upande wa nyuma na alianza kuukanda mgongo kwanza kwa kitambaa cha moto then akaanza massage taratibu. Baadae alitoa zile stone kwa heater na akaziweka mgongoni kwa ufundi wa hali ya juu sana kwenye mti wa mgongo, raha nilizokuwa nasikia hapa ni balaa maana nilikuwa sayari nyingine kabisa.
Hakuishia hapa alitoa kifaa kama gun akawa anakipitisha mgongoni na alisema ni special kwa kunyoosha misuli, kuna muda alitoa kifaa kingine na kilikuwa kama kinanikanda mgongo na alisema kile ni special kwa kunyoosha mifupa ya uti wa mgongo.
Ni massage iliyotumia kama lisaa na nusu na baada ya kumaliza niliona utofauti mkubwa sana maana nilikuwa naona mwili umekuwa mwepesi sana ni kama nimeshusha mzigo vile.
MIMI: “Baby nasikia utofauti mkubwa sana kwenye mwili wangu.”
IRYN: “Umewaza ngono? maana nimechezea sana bunduki yako.”
MIMI: “Hamna mummy nilikuwa nafeel unaichezea lakini sikuwa nawaza ngono kabisa.”
IRYN: “Kama nilivyokwambia massage ni treatment na sio sehemu ya kupatia ngono, ila kwa hapa bongo mmezifanya kama sehemu za kupatia ngono hakuna massage mnazofanyiwa.
MIMI: “Kwa hii massage uliyonifanyia nimeamini wewe ni mtaalamu.”
IRYN: “Na vifaa vingi sana humu ndani, utazidi kuviona taratibu tukiendelea kufanya aina nyingine za massage.”
MIMI: “Baby na body to body massage inakuaje?”
IRYN: “Hiyo nitakufanyia siku nyingine japo mimi nilikuwa napenda sana kuitoa hii huduma kwa wanawake.”
MIMI: “Baby na hiyo chupa ya mafuta ni aina gani maana naona niko sawa sina mimafuta.”
IRYN: “Haya ni special for massage na ukimaliza yanakauka yenyewe kwa haraka sana”
MIMI: “Baby njoo na mimi nakufanyie massage.”
IRYN: “Mhhh really?.”
Nilimvua nguo zote na nikaanza kumfanyia massage upande wa mbele na alikuwa ananielekeza kila hatua na nikawa namfanyia kupanda juu kushuka chini, usawa wa matiti yake na baadae nilimgeuza upande wa nyuma nikaendelea kumfanyia massage. Lakini wakati nachezea makalio yake nilikosa uvumilivu na nilijukuta zoezi linabadilika na tukaanza kusex maana nilichomeka mashine kwa nyuma wakati yeye akiwa kalala kifudifudi.
Massage niliyopewa na Iryn ilikuwa ni best mpaka nikajisemea kwanini napata hizi raha mwishoni?.
(Nilifanyiwa kwanza massage na maelezo alinipa baadae maana wakati nafanyiwa massage nilikuwa Sayari nyingine.)
Jioni tulikubalina tukale dinna capetown na wakati tunakwenda tulipitia pale Salon kuwapa hi na sisi tukaendelea na safari yetu. Muda tunaopata diner pale Capetown Iryn alinambia next week before hajaondoka itabidi akae pamoja na timu yote ya Masaki na Mikocheni ili awaage na pia mama Janeth atakuwa karudi kwani alikwenda Ukraine kikazi.
Baada ya kupata dinner tuliendelea kukaa pale kwa muda mrefu, kwa Jumapili panakuwaga pazuri sana pale Capetown. Tuliendelea kukaa pale mpaka saa 4 usiku ndo tukaondoka kurudi kulala.
*****
Jumatatu mchana niliondoka na Asmah kwenda Mikocheni kuonana na Lucy ili tujadiliane suala la kikao kabla ya kutoa taarifa kwa team.
Tulikutana Golden fork ili tupate na lunch na baada ya kuwasili pale tulimkuta Lucy amefika akitusubiri mimi na Asmah. Tuliagiza chakula na mazungumzo yalikuwa yanaendelea, kwa upande mwingine Iryn alikuwa anataka kikao kianze mapema ili tupate lunch na dinner ya pamoja na baada ya hapo tungeenda kumalizia kiwanja chochote tutakacho kipenda.
Tulikubaliana pale tufanyie kikao chetu Serena Hotel na tukampa kazi Asmah ya kuanza kufuatilia ukumbi mapema na kuhusu kumalizia tuliona SamakiSamaki ingekua ndo sehemu nzuri, kiwanja pendwa.
Baada ya kumaliza maongezi mimi na Asmah tuliondoka kurudi Masaki lakini kwa upande wangu baada ya kumuacha Asmah niliamua kurudi nikakae na Iryn. Kipindi hiki nilikuwa sitamani kabisa kukaa mbali naye nilikuwa natamani muda wote tuwe wote, na njiani nilikuwa nimemchukulia pizza kwaajili ya lunch.
Baada ya kurudi nilimkuta Claire seblen na sikutegemea kama ningemkuta pale na tuliishia kusalimiana,
MIMI: “Ooh Claire za wewe sikutegemea kukuona hapa imekuwa surprise.”
CLAIRE: “Actually nimerudi jana nilikuwa Bukoba huko.”
MIMI: “Baby alinambia aisee, pole sana na za huko lakini kwa ujumla.”
CLAIRE: “Nilienda salimia ndugu zangu na kudhuru kabuli la baba.”
MIMI: “Ulifanya jambo jema shem wangu na mke wangu yuko wapi?”
Na muda huu Iryn alikuwa amekuja seblen akitokea jikoni,
IRYN: “Niko jikoni napika baby.”
MIMI: “Nilikuwa nimekuletea pizza mummy kumbe upo jikoni.”
IRYN: “Thanks hii nitaila badae.”
Tulishinda na Claire pale mpaka usiku na tukamsindikiza mpaka Marina na sisi tukarudi home kulala.
Wiki hii tuliendelea kuweka mambo sawa kuhusu kikao chetu na ile jumatano Asmah alikuwa kafanikisha suala la kufanya booking kwaajili ya kufanyia kikao chetu cha mwisho na Bossy lady.
Kwa upande mwingine Iryn dalili zake za mimba zilizidi kuonekana day after day na alianza kutapika na kupenda kula vitu vichachu vichachu na upendo wake kwangu ulizidi kuongezeka kwa kasi sana.
Siku ya alhamisi mama J alinipa taarifa kuwa jumamosi watarudi Dar lakini hatorudi home, dada wa kazi bado anawasalimia ndugu zake na kuna sintofahamu inaendelea kule kwao kuhusu dada, kwani hawataki arudi tena Dar.
Kwa upande wangu hizi taarifa zilinishtua pia,
MIMI: “Dada Junior asiporudi inakuwaje? kupata mtu kama yeye itatuchukua muda sana na hiki ni kipindi kibaya sana ukizingatia bado week urudi chuo.”
WIFE: “Mwenyewe nimechanganyikiwa hapa, baba yake alimtelekeza kuhusu shule ila sasa anasema anataka kumrudisha shule, dada anasema mzee wake ni muongo hana imani naye.”
MIMI: “Alright fanya hivi, ongea na familia yake hasa mamdogo wake na mwambie watuachie kwa mwezi mmoja huku tunatafuta dada mwingine, kwasasa tulikuwa hatuja jipanga na december atarudi.”
WIFE: “Shida ni Mzee wake anasema hataki kuona bint yake anarudi Dar tena na kama atafanya hivyo atatoa taarifa Police.”
MIMI: “Ongea kama nilivyokwambia maana kwasasa hakuna shule labda mwakani, omba wakusaidie kwa hili afu dada tutakaa naye chini tuone tunamsaidiaje, uyo Mzee wake nahisi kapatwa na wivu tu.”
WIFE: “Sawa nitakupa mrejesho.”
Siku ya Ijumaa mama Janeth aliwasili Tanzania na kubwa alikuwa karudi na binti yake Janeth, Iryn alisema twende tukamsalimie pale kwake na pia mama Janeth aliomba waonane akirudi. Kwa upande wangu nilikuwa nashauku kubwa sana ya kumuona live Janeth maana nilikuwa najua anasoma chuo huko Ulaya na nilikuwa naishia kuziona picha zake tu.
Saa 1 usiku tuliondoka kwenda kwa mama Janeth na tuliweza kupokelewa na Janeth pale seblen na waliishia kukumbatiana na Iryn kwa furaha sana na walionekana kumisiana.
Iryn alifanya utambulisho pale kwa lugha ya kiingereza,
“Insider huyu ndo Janeth mwenyewe mtoto wa kwanza wa mama na alinitambulisha mimi kwa Janeth kama Manager wa kampuni yao na mama yake.”
Janeth ni mzungu kama mama yake ni kazuri kwakweli na baada ya ule utambulisho tulisalimiana kidogo na waliendelea kuongea na Iryn. Niligundua Janeth kaja kumsalimia mama yake na hatokaa sana ataondoka kurudi Ulaya kuendelea na masomo.
Ndani ya dakika 10 mama Janeth alitoka ndani na alikuja pale seblen na tulianza maongezi pale na tulikuwa tunajadiliana masuala ya kampuni. Tulikubaliana suala la Finance liwe chini yangu lakini Iryn atakuwa kama mshauri bado, kwa upande wake Iryn alisema ataendelea kutoa ushirikiano na hakuna kitakacho haribika.
IRYN: “Mama I trust Insider nina imani naye sana naamini nakuachia mtu sahihi kwako na hakuna kitakacho haribika. Toka tumpe majukumu mapya kampuni inafanya vizuri sana hata ukiwa haupo atafanya vizuri, kwenye masuala mengine tutakuwa tunawasiliana na still report nitakuwa nazipitia.”
MAMA: “Unajua ratiba niliyopewa nitakuwa ninashinda sana Ukraine kwaajili ya masuala ya kazi nilifikiri tumuongezee mtu mmoja Insider kwa masuala ya HR.”
MIMI: “Mama no need wafanyakazi waliopo wanatosha, Hilda yuko vizuri sana, Asmah yuko vizuri kwa kule Mikocheni Lucy yuko vizuri sana. Hapa naona masuala ya HR tutakuwa tunasaidiana wote na kama kuna ushauri nitakuwa nawasiliana na wewe kupitia email.”
IRYN: “Sumaiya yuko kule kwenye kampuni ya usafi sina shida naye kwenye suala la kazi na kesho nafikiri tuwe naye kwenye kikao.”
MAMA: “Sumaya yuko vizuri na tumepata tenda 2 kubwa na ikiwemo serikalini.”
IRYN: “Mama kesho baada ya kikao cha wote nafikiri tukae na viongozi tujadiliane.”
MAMA: “Insider umemuona binti yangu Janeth?.”
MIMI: “Mama nimemuona ni mzuri sana akimaliza chuo nitamuoa kama utanipa ridhaa.”
Mama Janeth alicheka maana hakutegemea mimi kuongea vile,
MAMA: “Hili ondoa shaka mimi nitakupa.”
Muda huu Janeth alikuwa hajui nacho ongea na mama yake maana Kiswahili anajua baadhi ya maneno kama salamu. Tulikaa kwa mama Janeth mpaka saa 4 usiku ndo tukaaga pale tukaondoka.
Saa 6 usiku Iryn alianza kulalamika anajisikia vibaya na alianza kutapika kwa kasi sana nonstop na alianza kulegea kama mtu mwenye homa. Kadri muda unavyozidi kwenda alizidi kubadilika, ilibidi tuondoke twende hospital na nilimpeleka pale SALI hospital, kwa upande wangu nilianza kuchanganyikiwa maana mpaka namshusha pale hospital hata kuongea alikuwa anazungumza kwa shida.
Niliwaza kumpigia simu mama Janeth lakini Roho ikasita maana angeweza kujua Iryn ni mjamzito na Iryn alisema ile mimba hakuna anayejua zaidi yangu tu. Muda huu mimi nilikuwa na wasiwasi sana kuhusu mimba maana niliwaza inaweza isije kuwa imeharibika, na nilijisemea kama itaharibika na hii basi mimi nitakuwa moja ya wanaume wenye mkosi hapa Duniani.
Nilikaa kwenye bench nikimsubiri na baadae niliruhusiwa kuingia ndani ili niwe naye karibu maana niliwaambia yule ni mke wangu. Nilimuuliza Doctor kuhusu mimba na alisema hana shida mimba iko salama ila ni homa ya kawaida kwani anapitia mabadiliko ukizingatia ile ni mimba yake ya kwanza.
Saa 10 usiku nilitoka pale hospital na nilirudi home ili kuandaa soup kwa upande mwingine nesi alinambia atakuwa anamuangalia hivyo nikamtengenezee haraka kitu cha kula, kwani alitapika sana.
Baada ya kurudi kwa apartment nilitengeneza soup ya kuku vizuri na nilitumia kama lisaa pale na nikarudi tena hospital na nilimkuta nesi yuko room. Niliingia na soup ikiwa kwa pot na muda huu Iryn alikuwa yuko macho akiniangalia na mimi nilimsogelea nikawa karibu yake.
MIMI: “Hi baby how are you feeling now.”
IRYN: “I’m fine baby, I’m feeling much better, thank you.”
MIMI: “Don’t say that baby uhai wako ni priority yangu ya kwanza.” Na nikamkiss mdomoni.
Muda huu Nurse dizaini kama alikuwa ananionea wivu nikimbembeleza mama kijacho wangu na yeye alikuwa akitabasamu.
“Baby nimekuletea soup unywe before haijapoa jana ulitapika sana.”
Nurse alinisaidia kumimina soup kwenye kibakuli na nilisubiri ipoe kidogo na nikaanza kumnywesha pale taratibu huku nambembeleza kwa maneno matamu na alikunywa soup yote akamaliza na nikampongeza.
NURSE: “Kwa hii spidi nafikiri asubuhi mtaruhusiwa kuondoka naona amerecover vizuri, Doctor akija atarecommend.”
MIMI: “Ahsante Nurse kwa kumsaidia mke wangu .”
NURSE: “Usijali ndo kazi yetu hii.”
Saa 3 asubuhi tuliruhusiwa kuondoka maana Iryn hali yake ilikuwa sawa na tulipewa dawa pale tukaondoka, kwa upande mwingine Asmah alikuwa ameanza kunipigia simu na alinipa taarifa yuko hotelini tayari anaangalia kama mambo yamekwenda sawa.
Kwa upande wangu nilikuwa nina wasiwasi sana na Iryn kuhusu Afya yake na niliogopa asije kuumwa tena huko hotelini kwenye kikao, lakini kwa upande wake alisema yuko sawa na nisiwe na wasiwasi.
PART III
Baada ya kurudi home nilimwambia Iryn apumzike kidogo na mimi nilikwenda jikoni kumtengenezea juice ya nanasi. Baada ya kunywa juice alikwenda kulala chumbani na mimi nilianza kufanya usafi washroom alikokuwa ametapikia.
Baada ya lisaa nilimuamsha ili ajiandae kwaajili ya kwenda kwa kikao na baada ya kujiandaa tuliondoka pale home, lakini ilibidi tumpitie mama Janeth maana aliomba kampani ya usafiri ya kwenda Serena.
Baada ya kumpitia mama Janeth pale kwake, alikuwa yuko tayari na tukaondoka kwenda eneo la tukio na tulitumia muda mfupi kuwasili hotelin. Tulikuta wafanyakazi wote walikuwa wamewasili tayari na baada ya sisi kufika tuliona tupate kwanza lunch mambo mengine yaendelee.
Baada ya kupata lunch kikao kilianza 14:30 na mimi ndo niliyeanza kwa kukifungua kwa sara fupi na nikatoa maelezo mafupi kuhusu lengo la kikao cha leo ni kumuaga Bossy wetu Iryn, wengi walikuwa hawajui hivyo hizi taarifa ziliwashtua sana. Na mimi sikutaka kupoteza muda hivyo nilimkaribisha Iryn aongee na alizungumza mambo mengi sana kwa team yake,
“Guys naona mmeanza kuwa na wasiwasi baada ya kupata taarifa za mimi kuondoka lakini naenda kufanya jambo la muhimu zaidi na lenye faida kwa kampuni yetu. Nakwenda kusoma masters South Africa sitakuwa na nyinyi physically lakini nitakuwa napata ripoti zenu, hakuna kitakacho haribika naamini Insider yupo na atawaongoza vizuri, kwangu mimi sina shida naye. Nawaahidi nitakuwa nakuja kuwatembelea na wale ambao watakuwa wana perform vizuri nitakuwa na bring zawadi kwa ajili yao.”
Baada ya Iryn kumaliza kuongea nilimkaribisha mama Janeth na yeye azungumze kidogo na alizungumza mambo mengi kuhusu utendaji wa kampuni na baada ya kumaliza nilikaribisha maoni, maswali, ushauri na mapendekezo.
Tulipokea mapendekezo na maoni mengi sana kutoka kwa wafanyakazi na mimi nilikuwa ninayaandika kwa notebook ili kuyafanyia kazi na kila mtu aliweza kuongea hii siku.
Baada ya kumaliza mama Janeth alianza kuongea tena na kubwa alisema atakuja mtalamu wa masuala ya Salon na atatoa mafunzo kwa baadhi ya wafanyakazi kwa muda wa week moja na anatoka Ulaya. Mama Janeth alisema hawezi kuwafundisha wote sababu ya gharama hivyo anahitaji watu wa tano tu wa kuanza nao na hawa ndo wataongeza ujuzi kwa wengine.
Mama Janeth alisema tupendekeze majina matano matatu (3) kwa Masaki na mawili (2) kwa Mikocheni. Mama alinambia nipendekeze majina mawili moja kwa Masaki na lingine kwa Mikocheni afu yanayobaki watapiga kura wenyewe.
Kwa upande wangu nilipendekeza Hilda kwa Masaki na kwa Mikocheni nilimpendekeza Julieth maana Lucy alikuwa anarudi shule hivyo sikuona sababu ya kumpendekeza. Baada ya kupendekeza watu wangu waliobaki zilipigwa kura na washindi wakajulikana, kwa Masaki alikuwepo Rebby.
Mpaka tunamaliza kikao ilikuwa ni saa 11 jioni hivyo tulitoka kupumzika pamoja na kupiga picha za pamoja. Mama Janeth alikuwa katembea na Camera yake na tuliomba mtu pale hotelini atupige picha za pamoja pale ukumbini na zingine nyingi tulipigia nje ya hotel kama ukumbusho. (Ukienda Salon ya Masaki utaikuta hii picha pale Reception).
Muda huu kila mtu alikuwa anapiga picha na Iryn mpaka Sumaiya naye hakuwa mbali kupiga picha na Bossy lady.
Saa 1 usiku tulipata dinner ya pamoja tena palepale hotelini na wakati tunakula nilitoa taarifa ya kukutana Samakisamaki baada ya dinner ili tukamalizie usiku wetu pale. Baada ya kutoa hii taarifa niliona sura za watu zikitabasamu na niliwaambia tukutane kuanzia saa 2 usiku maeneo yale na nimefanya booking ya meza za kukaa.
Baada ya dinner Iryn alitoa bahasha ndogo kwenye mkoba wake na nilimpa Asmah azigawe kwa kila mtu na Iryn alisema zile ni zawadi zake kwa kila mtu. Iryn alitoa neno la mwisho la kutuaga pale na kubwa alisisitiza uchapakaji kazi kwa bidii na ushirikiano.
“Guys mimi nawashukuru sana kwa siku ya leo niseme nime enjoy sana kuwa na nyinyi siku ya leo na niwaombe muendelee kufanya kazi kwa bidii na ushirikiano. Namba yangu mnayo kama unashida personal usiogope kunitafuta ili tusaidiane you know I love you guys, ninawaahidi nitakuwa narudi kuwasalimia. Hizo bahasha ni zawadi yangu kwenu na niwatakie usiku mwema lakini msisahu tutakutana pale Samakisamaki, nataka kila mtu anywe anachotaka, msikose.”
Baada ya kuondoka sisi viongozi tulibaki kwaajili ya mazungumzo ili kuweka mikakati ya pamoja kuhusu kampuni ikiwemo kupeana majukumu mapya, pia mama Janeth alipendekeza mishahara iongezwe kidogo ili kufidia.
Kwa upande wa Salon hakukuwa na mambo mengi sana lakini kwa upande wa Usafi Sumaiya aliomba aongezewe mtu mmoja ili kuongeza nguvu. Mimi nilishauri tutafute mtu ambaye ana elimu ya Fedha au Uchumi ili wasaidiane kwenye masuala mbalimbali ya tender, miradi nknk. Na hii nafasi nilimuunganisha jamaa yangu, mpaka sasa anaendelea na majukumu yake pamoja na Sumaiya.
Ni kikao kifupi kilicho chukua kama nusu saa na baada ya kumaliza tuliagana pale na Mama Janeth alisema atakuja Samakisamaki kutupa kampani. Wakati tunatoka mimi nilibaki na Asmah na Hilda mle ukumbini na tukawa tunaongea pale na kubwa niliwapa pongezi kwa kusimamia kikao kwenda vizuri.
MIMI: “Asmah nafikiri mkajiandae ili tukutane Samaki, Hilda utawahi kweli mpaka Kigamboni?”
ASMAH: “Asmah nakaa naye pamoja kwa kipindi hiki.”
MIMI: “Ooh sawa sikujua hili.”
Nilishangaa sana kuona Asmah na Hilda wamekuwa mabest kwa muda mfupi sana, nilimvuta Asmah pembeni na tukaendelea na mazungumzo.
MIMI: “Nambie pesa iliyobaki ni kiasi gani?”
ASMAH: “Nina kama milioni moja na laki mbili something.”
MIMI: “Kazi iliyofanyika ni kubwa na mmenikosha sana hiyo pesa tutagawana wanne ila wewe na Hilda utachukua parcent kubwa.”
ASMAH: “Poa Insider but….”
MIMI: “But what.?” Ilibidi nigeuke kumsikiliza maana nilikuwa nishaanza kuondoka pale.
ASMAH: “You look great today, wahi bhana Iryn anakusubiri.”
MIMI: “Sawa bhana nashukuru pia.”
Baada ya kutoka niliwakuta Iryn na Sumaiya wanaongea wanacheka pale reception utafikiri sio wale watu ambao hawapatani. Na mimi ilibidi nishangae kwakweli maana sikutegemea kuona kuna siku Iryn na Sumaiya watakuwa wanacheka pamoja namna hii.
Baada ya kusogea pale karibu, Sumaiya alianza kuongea,
SUMAIYA: “Insider leo mimi na Iryn ugomvi hatuna.”
MIMI: “Kwani mlikuwa na ugomvi? Mbona hili sijawai kulijua.”
SUMAIYA: “Leo kafunguka ukweli kuwa mpo kwenye mahusiano na hapa ndo tulikuwa tunagombana kuleta ubossy wake kwenye mapenzi. Kwakua leo kanifungukia ukweli kuwa anakupenda niseme leo nabariki mapenzi yenu kwa moyo mweupe kabisa na sina kinyongo.”
IRYN: “Thank you mamaa.”
SUMAIYA: “Nataka kuona unamzalia Insider mtoto, tule na wali kabisa. Namuheshimu sana Insider kwa hizi taarifa ulizonipa, heshima yangu kwako itaongezeka.”
Nilishangaa pale hivi ndo huyu Sumaiya naye mjua mimi? Kwa Upande mwingine alikuwa kashika macho 3 nikasema huyu atakuwa kapewa simu, haiwezekani Sumaiya kuturn kwa haraka hivi, na mimi ilibidi nipoteze hii mada,
MIMI: “Baby mama Janeth yuko wapi?”
IRYN: “Katangulia kwenye gari tuondoke.”
Tuliagana na Sumaiya pale maana uber ilikuwa imemfuata tayari na sisi tukaelekea Parking tuliko park gari tukaondoka. Tulianza kumdrop mama Janeth pale kwake na akasema haina haja ya kuja kumfuata na atakuja mwenyewe pale Samakisamaki na sisi tukarudi kwenye apartment yetu.
Baada ya kuwasili pale nilikuwa naona Iryn kama hayuko sawa hivi maana alikuwa anaonekana kuwa mchovu sana,
“Baby are you ok?”
“Yeah niko poa baba mtoto I’m just tired.”
“Pole sana tuna 1 hour ya kupumzika tutakwenda saa 3 pale au kama vipi wewe lala tu.”
“Baby today’s my day I have to go.”
Saa 3 usiku tuliondoka kwenda maeneo na kwa upande mwingine team ilikuwa imewasili muda mrefu na mimi nilikuwa nimewapa taarifa kwenye group waagize wanachotaka kunywa.
Iryn alitoa offer kila mtu aagize kinywaji anacho jisikia kunywa usiku huu ila yeye kwa upande wake aliishia kuagiza Mocktail. Wapo waliagiza moet, Jameson na Hennessy yaani iikuwa ni burudani huu usiku na baada ya dakika 20 mama Janeth alikuja na bint yake Janeth na tukaendelea kunywa.
Mama Janeth alishangaa kuona Iryn anakunywa Mocktail na Iryn alimwambia yuko kwenye dozi hawezi kutumia alcohol. Pembeni yangu kulia alikuwa amekaa Sumaiya na Chupa yake ya Moet na tulikuwa tunapiga story pale,
MIMI: “Mshikaji wangu ni nini nyuma ya pazia kinaendelea wewe na Iryn? amekununua tayari?”
SUMAIYA: “Hamna chochote, nilikuwa naongea naye ndo akanambia nimpe heshima kwani tayari ni wifi yangu ndo nikafurahi kusikia hizi habari na toka muda mrefu nilikuwa najua Iryn anakupenda.”
MIMI: “Naona una macho 3 ndomana nikauliza usije kuwa umenunuliwa.”
SUMAIYA: “Hahahahaa hii kaniletea mama Janeth zawadi Insider, jana alinipigia simu nikachukue.”
MIMI: “Hongera sana I told you mama Janeth anakupenda sana.”
SUMAIYA: “Bahati tu kama wewe ulivyolamba asali kwa mrembo hapo. Insider kuanzia leo nakupa respect katika vitu ambavyo umenikosha ni pamoja na hili suala, hii pisi ni kali umetisha sana. Naona Iryn kabadilika ndani ya muda mfupi, kipindi kile nilikuambia huyu nyege zinamsumbua ukawa hunielewi, unaona sasa hata aibu anakuonea kuonesha unamkaza vizuri.”
MIMI: “Sumaiya acha kuropoka bhana ushaanza kuelewa wewe.”
SUMAIYA: “Be serious Moet ya kunisimbua mimi kichwa? na leo nakunywa tatu hizi.”
MIMI: “Wewe leta masihara kesho video zako zianze kutrend youtube, huzijui vizuri moet.”
Saa 6 usiku mama Janeth alituaga pale na aliondoka na binti yake, baada ya lisaa nilifanya malipo kwa kuchanja maana nilikuwa na card ya Iryn mfukoni. Baada ya kufanya malipo tulisogea meza zote kuwaaga na tulianza na ya kina Lucy na tukamalizia na ya kina Asmah. Mikocheni na Masaki walijitenga.
Tuliondoka kurudi kulala na baada ya kufika kwa apartment na kuingia chumbani Iryn alinisaidia kuvua nguo na mimi nikamsaidia kuvua zake na aliomba tusex pale.
MIMI: “Baby si unaumwa?”
IRYN: “Please f*ck me niko sawa kabisa.”
Baada ya kupitisha mkono wangu alikuwa wet tayari na nilikutana na joto kali sana muda huu na mimi nilimpa alichokuwa anataka, sikutaka mkamia ukizingatia alikuwa mjamzito.
Jumapili asubuhi Iryn aliniomba tukamchukue Junior ili ashinde naye siku nzima na jioni ataonana na mama J ili amuage, maana alisema kuondoka bila kumuaga haitakuwa jambo la busara.
Baada ya kupata soup aliniaga anaondoka kwenda kwa mama Janeth na akirudi tutaondoka kwenda kumchukua Junior. Muda huu mimi niliingia kujiandaa na baada ya kumaliza nilimpigia simu wife ili kumpa taarifa za kwenda kumchukua Junior lakini hakuwa anapokea simu, nikahisi atakuwa church hivyo nikampigia simu mdogo wake kumpa taarifa.
Wakati najiandaa nilikuwa nawaza hivi mama J akija kujua Iryn ana mimba yangu itakuwaje? au akija kujua nimezaa naye hapo baadae atachukua hatua gani?, ni maswali ambayo hata kwangu yalikuwa magumu lakini nilisema kila kitu kinatokea kwa mipango ya Mungu, hivyo sitakiwi kujilaumu kwa hili.
Baada ya masaa 2 Iryn alirudi na mkononi alikuwa kashikilia kimfuko na akanipa pale,
IRYN: “Baby take your gift.”
MIMI: “What is it?”
IRYN: “Just look.”
Niliangalia na kutoa box la Playstation 5 game, sikutegemea kukutana na hii zawadi ukizingatia enzi zangu za ujobless nilikuwa nacheza sana PlayStations na masela.
MIMI: “Baby thank you so much.”
IRYN: “Atleast itakukip busy usiwe unawaza wanawake.”
MIMI: “Sasa baby nitacheza na nani?”
IRYN: “Kuna game za kucheza alone sio lazima ucheze na mtu.”
MIMI: “Tuondoke tuwahi kwa Junior hata mimi nimem-miss mwanangu.”
Ilikuwa ni saa 6 mchana wakati tunaondoka Masaki na tulianza safari ya kwenda ukweni na njiani tulikuwa tunaongea sana,
IRYN: “Baby, Junior na mdogo wake watapishana miaka miwili sindio.?”
MIMI: “Exactly”
IRYN: “I wish wakue pamoja ili wajuane kuwa ni ndugu but ndo hivyo tena haitowezekana.”
MIMI: “Damu ni nzito kuliko maji watakuja kujuana tu.”
IRYN: “Hili suala liko chini yako na wewe ndo mwenye maamuzi.”
MIMI: “Ndomana nimekuambia watajuana tu.”
Baada ya kuwasili ukweni nilimchukua Junior na yeye baada ya kuniona aliishia kunifurahia na sikutaka kuendelea kupoteza muda pale ukweni, hivyo nilimuaga shem wangu nikaondoka pale.
Baada ya kuwasili kwa gari Iryn alimpakata Junior na tukaendelea na safari lakini tulikuwa hatujui tunakokwenda na mwisho wa siku tukakubaliana twende Mlimani city ili akacheze na watoto wenzake.
Baada ya kuwasili Mliman city tulikwenda kwanza kufanya shopping ya mtoto ambapo Junior aliweza kununuliwa nguo, viatu, toys bila kusahau gari nyingine kubwa ya kuendesha. Baada ya kutoka hapo tulikwenda sehemu ya watoto lakini kuna baadhi ya michezo Junior hakuruhusiwa kucheza sababu ya utoto lakini kuna baadhi aliruhusiwa awe na mtu wa kukaa naye karibu. Kw upande wangu nilimwacha na mama yake mdogo wakicheza na nilikwenda kukaa pale Samakisamaki nje nikiendelea kubuy time.
Baadae walitoka na wakaanza kucheza kwenye majani mbele ya Samakisamaki na jinsi alivyokuwa anacheza na Junior ungesema ni mwanae hata watu walikokuwa around pale bila shaka walijua ni mtoto wake. Kwa upande mwingine Junior naye anampenda sana Iryn hanaga noma kabisa na walikuja pale nilikokuwa nimekaa na aliomba funguo ya gari ili akambadilishe mtoto pampas na akirudi tule lunch.
Tulishinda Mlimani city mpaka jioni na tuliamua kuondoka, lakini Iryn aliomba tupitie kwanza Kijitonyama ili akamsalimie Rose na kumuaga kabisa. Baada ya kuwasili kwa Rose alitukaribisha ndani na alifurahi sana kutuona maana ilikuwa ni muda mrefu kidogo umepita tangu Iryn aondoke pale.
Tulitumia kama lisaa pale na tukaagana na Rose na sisi tukaondoka kuelekea na uelekeo wa Bagamoyo Road, ilikuwa ni saa 1 usiku tayari na tulikuwa tumekubaliana na mama J tukutane pale Kibo complex.
Baada ya kuwasili Kibo complex tulipanda mpaka floor ya kwanza, kuna restaurant ambapo mama J alikuwa akitusubiri. Tulifika kwenye meza aliyokuwa amekaa na tukaagiza chakula cha pamoja na story zilikuwa zinaendelea.
MAMA J : “Dear nilikuwa church leo siku nzima nimeshindwa hata kuwa pamoja na wewe.”
IRYN: “Usijali za huko Moshi? hope kila kitu kilienda sawa.”
MAMA J: “Tulimaliza salama, vipi hajawasumbua huyu chautundu?”
IRYN: “Kama unavyoona hajasumbua kabisa, na leo kaenjoy sana.”
MAMA J : “Junior anti anakuacha hutamwona tena.”
IRYN: “No nitamuona bhana nitakuwa nakuja Dar dear.”
MIMI: “Dada wa kazi mmefikia wapi?”
MAMA J : “Atakuja jumatano, Mzee amesema akiwa tayari atapiga simu ili arudi Moshi.”
MIMI: “Habari njema itabidi akirudi tukae naye chini tuone tunafanyaje maana kupata dada kama yule sijui.”
IRYN: “Dada anaondoka?”
MAMA J : “Baba yake aligoma asirudi Dar na mimi sababu anataka kumrudisha shule, nimewaomba wanisaidie kwa muda ndo amesema December mwishoni arudi.”
IRYN: “Poleni sana dada anampenda sana Junior.”
MIMI: “Hata Junior anampenda kuliko mama yake, ndomana hizi taarifa zilinishtua ukizingatia tumekaa na dada kama ndugu yetu.”
Mimi niliamua kutoka na Junior pale ili niwape uwanja wa kuzungumza wake zangu na mimi nilikuwa nacheza na Junior kwenye korido za mle ndani. Baada ya dakika 20 walikuwa wame Maliza mazungumzo yao na ilibidi tuondoke maeneo yale na mama J alifanya kurequest usafiri wa kuwarudisha kwao.
Baada ya kurudi home ule usiku Iryn alianza kubadilika tena na alikuwa kama mtu mwenye homa na alikuwa kalala kwenye coach, na mimi nilikuwa nikimchezea tumbo lake.
MIMI: “Baby naona unabadilika twende nikupeleke hospital.”
IRYN: “Mida hii ndo huwa nakuwa hivi lakini soon nitakuwa sawa.”
MIMI: “Doctor alisema sababu ni mimba yako ya kwanza inaweza kukusumbu sana.”
IRYN: “Baby hii ndo mimba yangu ya kwanza kukaa kwenye kizazi na sijawahi kuwa na historia ya kutoa mimba kwenye maisha yangu.”
MIMI: “Unajua mimi huwa siamini kama kweli umeachana na Grizz afu umekuja kuangukia kwangu.”
IRYN: “Kwakuwa unakwenda kuwa baba mtoto leo nitakuweka wazi sababu ya mimi kuachana na Grizz. Truly nilimpenda sana hata mke wake alivyokuja kufound out haikuwa sababu ya mimi kuachana naye, lakini nilikuja found out alitembea na best yangu Isabella. Pia alianza kunivunjia heshima kuniomba vitu ambavyo siwezi kuvifanya, wewe ni mtu mzima nadhani umeelewa.”
MIMI: “Pole haiwezi kukuharibia uhusiano kwenye biashara zenu?”
IRYN: “Before sijaamua kuachana naye nilikuwa tayari nina plan B ndomana sikuwa na wasiwasi tena na kama faida nimepata ya kutosha, pia kumbuka ile ni kampuni kama atafanya uhuni ninauwezo wa kushtaki mahakamani. Nashukuru alinielewa ile siku na mimi nilimwambia nina mtu wangu nataka kufocus naye kama yeye alivyo focus kwenye familia yake.”
MIMI: “Siku akija kujua huyu mtoto ni wangu itakuwaje?”
IRYN: “Hakuna tatizo why hujiamini Insider? kwamba huna hadhi ya kunizalisha?.”
MIMI: “Sijamaanisha hivyo naongelea jinsi Grizz anavyoniheshimu afu ajue nilikuwa nakula demu wake, unafikiri atanielewa?”
IRYN: “Bila mimi ungemjua Grizz?.”
MIMI: “Tuachane na hayo na hiyo Plan B unayoongelea una mpango gani?”
IRYN: “Kuna best yangu tulisoma wote chuo ni Mfaransa, kuna project tunataka kufanya pamoja na next week atakuja South Africa, tukifika muhafaka nitakwenda Ufaransa pia.”
MIMI: “Mimi nakuelewa mummy unapambana sana mkifika muhafaka utanambia ni project gani.”
IRYN: “Usijali baby ile pesa aliyonipa mama nataka niizalishie isikae kwa bank tu.”
MIMI: “Wazo zuri sana kwa hili nakuunga mkono.”
IRYN: “Twende tukalale baby.”
****
Jumatatu asubuhi baada ya kuamka Iryn alianza kupanga nguo zake kwenye bag kwaajili ya safari na mimi nilikwenda jikoni kutengeneza breakfast.
Baada ya kupata breakfast ile asubuhi tuliamua kwenda Coral beach kupoteza muda na baada ya kuwasili pale, tulikwenda moja kwa moja mpaka beach. Kule beach tulikuwa kwenye dimbwi zito la mahaba maana ndo ilikuwa siku ya mwisho kuspend tukiwa pamoja, tulitumia muda mwingi kupanga mipango mbalimbali ya maisha.
IRYN: “Baby mtoto akiwa wa kiume nitampa jina mimi ila akiwa wa kike utampa jina wewe, deal?”
MIMI: “Deal baby, but nawish awe wa kike.”
IRYN: “I wish too Darling iwe hivyo ili ufurahi.”
Mchana tulipata lunch tukiwa palepale Coral na nilimwambia turudi kwa apartment ili apumzike kwaajili ya safari ya baadae. Matokeo yake baada ya kurudi badala ya kumpuzika tulianza kusex na ilikuwa ni sex moja tamu sana ya mwishomwisho.
Jioni tulijiandaa kwa pamoja kwaajili ya kwenda Airport na Iryn alipendeza sana na niliishia kumsifia pale, lakini kwa upande mwingine nilikuwa naumia kuona akiondoka na kuniacha mkiwa na ilikuwa ni miezi 9 tayari toka tukutane kwa mara ya kwanza.
Tuliondoka jioni na tulipitia kwa Claire waagane na baada ya hapo tuliendelea na safari yetu ya kwenda JNIA terminal 3. Baada ya kuwasili Airport tulikaa pale cafe tukiendelea kubuy time na muda huu tulikuwa tunapiga story za mwisho.
IRYN: “Baby ulikutanaje na mama J mpaka mkafikia kuzaa pamoja.?”
MIMI: “It’s long story kama tulivyokutana na wewe tu, na siamini miezi 9 tuliyokaa ni kama miaka.”
IRYN: “Baby mimi naona unawasiwasi I promised you nitakuwa nakuja kwaajili yako huna haja ya kuwaza hili.”
MIMI: “Baby usijekuwa umebeba ujauzito lakini nyuma ya pazia una mipango yako.”
IRYN: “Hapana baby siwezi fanya hivyo naomba utambue nakupenda sana, na kama utavunja makubaliano yetu huyu mtoto hutakuja kumwona kabisa kwenye maisha yako, so promise me baby.”
MIMI: “Baby siko tayari kumkosa mwanangu kwa upumbavu wangu you have my word.”
IRYN: “You have my word too like I said before sitokuwa na mwanaume mwingine zaidi yako na niko tayari kukuzalia watoto wengine kama utahitaji, naomba utambue nakupenda sana.”
MIMI: “Don’t say that I love you too.”
IRYN: “Baby the first time tumekutana pale Marina nilikupenda, baada ya kujua una familia honestly niliumia sana na nilijaribu sana kukaa mbali na wewe lakini sikufanikiwa, nilijikuta naumia zaidi. Naomba utambue wewe ndo mwanaume pekee uliyeweza kurudisha furaha yangu na kunionesha maana ya maisha, nimekupa huyu mtoto kama zawadi yangu kwako na utambue wewe ni baba halali wa hiki kiumbe tumboni na huyu mtoto atakuwa ukumbusho kwangu Kwako.”
MIMI: “Nashukuru kwa kunipa hadhi ya kuwa baba mtoto wako, I love you baby.”
IRYN: “Baby tambua wewe una thamani kubwa sana kwangu na nina kuheshimu sana, pia ninafuraha ya wewe kuwa baba mtoto.”
MIMI: “One more thing baby before hatujaagana, naomba niambie exactly wewe ni nani? nikiangalia status ya mama yako, mama Janeth na Mzee wako inanipa maswali sana. Sometimes ninawaza mambo mengi sana juu yako nakosa majibu kabisa, nashindwa kuelewa wewe ni nani.”
IRYN: “Baby huna haja ya kuwa na wasiwasi na mimi, ningekuwa mtu unayemfikiria hata nisingebeba hii mimba. Muda umewadia wa kucheck-in na nimepitiliza, sitamani kukuacha but nitakuona soon my love.”
Mimi nikiwa bado kwenye mshangao sijui niseme nini, muda huu Iryn alifungua mkoba wake na alitoa card ya bank ile alonipa kipindi kile Dodoma,
“Baby nakupa hii card yangu ya bank kuna pesa humo zimebaki zitakusaidia, naomba pia umpe nguvu mama J kwenye biashara zake anazofanya nataka wewe ndo ulifanye hili jambo. Kuhusu wewe sitaki kukupangia matumuzi ya kufanya na nikirudi next time tutaongea suala la project ya kule Dodoma.”
MIMI: “Thank you baby but usijali kuhusu mama J nitaliweka sawa na liko kwenye mipango yangu.”
IRYN: “Baby naomba upokee hii card otherwise utanikera na sitoondoka.”
MIMI: “Sawa baby nashukuru kwa hili.”
IRYN: “Baby umepokea kwa mikono miwili?naomba utambue nakwenda kuwa mzazi mwenzako, na ninafanya hili toka moyoni, umeipokea hii card kutoka moyoni?”
MIMI: “Yes baby thank you so much, usiwe na wasiwasi.”
IRYN: “Nita transfer hizi amount zije kwenye account yako na hio card utanisaidia kuichoma.”
MIMI: “Sawa baby ondoa wasiwasi.”
Tulianza kupeana makiss pale bila kuwa na aibu na baada ya dakika 5 tulisogea mpaka usawa wa kuingia ndani ili acheck-in na tulikumbatiana kuagana. Sasa wakati nimetembea hatua mbili mbele nikisikia akiniita tena “Baby….”, na akarudi kwangu spidi,
“Baby… hujamuaga mwanao.”
Na mimi niliinama nikamkiss tumboni na yeye alishia kufurahi na kwa haraka alinipa tena kiss na akaniachia. Ni kitendo ambacho kilivuta sana attention ya watu maana mwanamke aliyekuwa akifanya vile ni mrembo na amekamilika kila idara.
Iryn aliendelea kunikumbatia na macho yake kama yalianza kutoa machozi,
IRYN: “Baby I’m leaving now, I’ll see you soon.”
MIMI: “I love you too baby byee it’s time.”
Na mimi nilimsubiri mpaka anaingia ndani na akaishia kunipungia mkono na mimi nikaondoka kurudi parking ili niondoke.
Baada ya kurudi parking niliingia kwa gari na nilitulia pale kwa dakika 10 huku nikiwaza,
“Iryn anakwenda kuwa mama mtoto wangu hivyo sina jinsi lazima nikubaliane na hili jambo, mimba yake ni mipango ya Mungu sina haja ya kulaumu na hili suala litabaki kuwa ni siri yangu, familia yangu nitawaambia hapo baadae sana mtoto akikua na mama J nitakuja kumwambia hapo baadae sana. Kwasasa natakiwa kutulia na nifocus na familia yangu, mama J na Iryn wananitosha kwasasa, sinahaja ya kuhangaika na wanawake wengine acha nifocus na kufanya maendeleo.”
Simu yangu ilianza kuita pale na alikuwa ni Mama J akipiga na nilitabasamu kuona simu yake pale na niliipokea.
“Baby nakuja kukuchukua turudi home na tukapate dinner ya pamoja.”
Na niliwasha gari nikaondoka kwa fujo sana pale JNIA nikiwa na Audi Q7.
THE END
Wiz Khalifa- Cameras[emoji444]
Email: insiderman1@yahoo.com
The Money Already Printed You Just Gotta Go Get It. Thank you for your time since July [emoji120]
Hongera sn kiongozi. Much respect.EXTRA EPISODE 06
BY INSIDER MAN
Kwanini nimemuita Iryn ni Mrembo wa Ajabu?
Kabla ya kuandika hii story nilipata tabu sana kwenye kuchagua kichwa kutakacho beba jina la story, lakini target ya huu uzi ilikuwa ni Iryn.
Ningeweza kuandika heading nyingi tu lakini niliona hii ndo sahihi kutokana na jinsi tulivyokutana na tulivyoishi sababu tulipitia mambo mengi sana.
Kwangu Iryn nilikuwa namuona ni mtu wa ajabu, kwanza namna tulivyo kutana, pili maisha yake kwa ujumla kwangu mimi yalikuwa yananipa maswali sana, tatu utajiri wa wazazi wake na yeye pia, nne uzuri na urembo wake.
Nilikutana na Iryn kimaajabu sana kupitia hiihii bishara ya Uber, ukisoma vizuri wakati nakutana naye ilikuwa ni usiku sana afu nimechoka. Baada ya kupata request yake nilitaka kupiga chini ile request lakini nikaamua kwenda kibishi na ndo yeye kaja kunipa heshima ya kuwa baba mtoto.
Kama ningeipiga chini ile request ina maana nisingekuja kumfahamu mtu anayeitwa Iryn kwenye Maisha yangu, kuna msemo wazungu wanasema “everything happen for a reason.”
Tukija kwenye maisha yetu halisi huenda tunapishana na baraka nyingi na connections nyingi kwa kupuuzia tu, kama wewe dereva wa Uber unapata request ya kwenda Mbagala lakini hutaki kwenda, kumbe ilikuwa ni connection kwako bila kujua.
Iryn ni moja ya mwanamke mzuri na mrembo hapa Duniani na uzuri wake ni natural sio namsifia kumpa sifa ambazo hana, hapana ni moja ya mwanamke mrembo sana na amekamilika kila Idara (Episode ya 7 nilimuelezea kidogo). Hii ilinifanya nimuone Iryn ni moja ya mwanamke wa ajabu kukutana naye kwenye maisha yangu. Kuna muda ile mwanzoni nilikuwa nahisi maybe atakuwa sio kiumbe wa kawaida. Kitu kingine suala la kuwa mtoto pekee kwa mama nalo kilifanya nimuone Iryn wa tofauti sana.
Suala la mali na utajiri ambao familia yake unao kuanzia marehem mama yake, Mzee wake na yeye pia vilikuwa vinanipa maswali sana. Mzee wake Iryn anapesa sana na huko South Africa ana ma apartments kibao anayamiliki na bado ni mfanyabiashara mkubwa.
Nimeplay part kubwa sana ya kumuweka Iryn sawa maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana, kitendo cha kuwa naye close mara kwa mara ndo kilifanya aanze kunipenda kwa kasi ya 5G.
Licha ya kufaham nina familia ila kwake yeye ilikuwa tofauti na aliendelea kunipenda tena ni upendo wa kweli. Tumepitia mambo mengi sana na sikuyaandika yote, niliyoandika ni baadhi tu.
Baada ya Iryn kwenda South Africa hapa katikati mambo mengi sana yalitokea, na yeye alikuwa anakuja Dar kuniona kama alivyo niahidi na ilikuwa ni kwasiri sana na hakuna aliyekuwa anajua hili. Amekuja sana Dar mpaka mimba ilivyokuwa kubwa ndo akaacha kuja na toka aondoke kwenda South Africa hajawahi kuonana na mama J tena.
Pia kuna mambo mengi sana yalitokea na mazito juu ya ujauzito wake na niliishi kwa stress sana ndugu zangu. Kwa upande wake alikutana na pingamizi kubwa sana hasa upande wa ndugu, lakini all kila kitu kilikwenda sawa na mwezi June 2023 alijifungua salama na tulipata mtoto wa kike.
Nilifurahi sana kupata mtoto wa kike japo nilikuwa najua kuwa nitapata mtoto wa kike lakini baada ya kujifungua na kujihakikishia kwa macho nilifurahi sana. Before hajajifungua mwezi wa sita nilikwenda South Africa kwa mara ya pili ili niwepo wakati wa kujifungua na nilikaa kule kwa week 2.
Siku anayojifungua nilikuwa naye hospital nikishuhudia kila kitu kule leba asee kule kama mwanaume unahasira utaishia kuwapiga madoctor[emoji23][emoji23], wanachokonoa sana K kwa mikono. All nashukuru Mungu alijifungua salama kwa kupush, na kama tulivyokubaliana mimi ndo nilimpa jina mtoto.
Mtoto wetu ana miezi 5 kasoro mpaka sasa na anakua vizuri, ana afya nzuri niseme she is so beautiful jamani na nimefanana naye copyright. Pia amefanana sana na kaka yake Junior, yaani siku wakija kukaa pamoja itaonesha ni watoto wa mama mmoja maana wote wamefanana sana na mimi, hata mama J akija kumuona hatauliza mtoto ni wanani kwani tumefanana sana.
Hili suala bado imebaki kuwa siri kwangu hata wazazi hawajui mpaka sasa navyoandika hapa. December hii Iryn atakuja Dar na bado najifikiri niende naye mkoani na mtoto kwa wazazi wamuone au niendelee kuvunga tu mpaka mtoto akue, au niwape taarifa na mtoto wa nje?, hapa bado nakosa majibu.
Iryn anataka kunizalia mtoto mwingine wa pili, amesema yeye anahitaji watoto sababu anaona ndo furaha kwake na jinsi tunavyoishi hata kama tuko mbali anaona mimi natosha kuwa mume wake. Unajua Iryn anajua fika mimi sijampendea kisa pesa zake na anafahamu fika mimi sina habari na pesa zake kabisa na ninamchukulia kama mama watoto wangu.
Niilimpa greenlight kama atapata mtu sahihi awe huru kuwa naye au kuolewa, lakini amegoma kabisa hataki kuzisikia hizi habari. Yeye anasema hakuna mwanaume wa kumpenda kama jinsi mimi navyompenda na hatamani kuwa na mtu mwingine kwa heshima yangu na mtoto, pia ameridhika kuwa mchepuko.
Kwa upande mwingine nilimwambia yeye ni mke mdogo na nimempa hiko cheo na ninaandaa mpango wa kumpeleka home akaijue familia yangu maana analea damu yetu, na yeye ana hamu kubwa sana.
Kipindi alichojifungua ndo nilijihakikishia Iryn sio mtu wa kawaida, unajua walikuja watu wengi sana kumuona kule South Africa, kuanzia friends zake zake wa chuo, ndugu zake wa Ethiopia nknk.
Kwa upande wa mimi na mama J mahusiano yetu yako strong sana kwasasa, japo baada ya Iryn kuondoka kuna mambo yalitokea lakini bado tuko pamoja na familia yetu inazidi kustawi na mwakani tunatarajia kufunga Ndoa rasmi kama Mungu akitujalia uhai.
Kwa upande wa my son Junior yeye kashakua mkubwa tayari na mwakani tunategemea aanze nursery mapema na atakuwa na 2.5yrs by January. Dogo kawa mtundu sana, ni mkorofi sana kupiga watoto wenzie kwake ni kitu cha kawaida ila huji kuta akiwapiga watoto wa kike.
December Iryn atakuja kama nilivyosema awali na tutadiscus mambo mengi sana ikiwemo kuhusu project ya kufanya kule Dodoma, suala lingine nilimwambia nikimaliza chuo nataka kufanya project zangu sitaki kuwa chini yake tena.
Nilimwambia yeye ni mke wangu kuendelea kunilipa mshahara naona kama dharau, so kama vipi tufungue kampuni ya pamoja au mimi nifanye mambo yangu. Baada ya kumpa hizi taarifa naona hajazipenda na amesema yuko tayari kunisikiliza ila hataki nifanye kazi na mtu mwingine kwani bado ananitegemea sana, akija mwezi ujao ndo tutafikia muhafaka.
Plan za Iryn akimaliza chuo anataka kwenda kuishi Ufaransa na mtoto maana kuna project zake mpya anazo kule. Pia hata yeye anapenda sana kuishi Ufaransa.
Mwisho, sikuwahi kuwaza kuja kuchepuka au kuzaa na mwanamke mwingine nje na mama J, nilianza kuchepuka kutokana na kutopewa tendo kwa wakati maana kama mwanaume uvumilivu ulinishinda na kile kitendo cha kuondoka kwenda kwao kisa Prisca na huku sijatembea naye, ukweli kilinikera sana.
NB: Nitaangalia kama nitawapa muendelezo hata mwakani huko lakini siwapi promise kwa hili, nitaangalia kama kuna code zozote zimefunguka kupitia hii story mpaka sasa na kama upepo ni shwari nitaangalia namna ya kuwapa.
“Katika maisha yangu sijawai kukutana na mrembo mzuri kama IRYN, nimeona wanawake wengi hapa dsm lakini Iryn alikua ni mwanamke mzuri sana ambaye amekamilika kila idara, nyie Mungu ni fundi sana, sio shepu, matiti, sura, lips, mguu, mweupe, sauti na mguu mzuri. Ningekua na uwezo ningetuma picha yake ila ndo hivyo sitoweza.
Ni mwanamke ambaye akipita lazima ugeuke umtizame nyie, kiukweli sikuijutia kazi yangu ya uber ni moja ya kazi ambayo ilinikutanisha na warembo wengi sana. (EPISODE 07)
Japo sio vizuri kukuelekeza ila kuna sehem ulikosea mapema kuhusu Iryn na mkeo. Huko mbelen itakuletea shida. Cc ni wachagga na nina mshikaji wangu alikutana na ishu kama yako. Sema yeye demu hakuwa mzur kiivyo ila mazingira yake yalimfanya jamaa akaoa mke wa pili na haikumletea shida. Hiv vitu unaviseti mapema maana kule uzeen vinageuka. Maisha yanakuwa tena sio kiasi cha hela ulichonacho ila ni kwa namna gan wewe na mkeo mnamaliza pamoja kwa upendo na kuaminiana. Trust is everything bro. Bado hujachelewa. Kuna kitu cha muhim kwaajili yako na wanao unatakiwa kukifanya ili kuileta ile bond ya familia. Trust me siku mkeo akijua kila kitu na akawa anakumbukia zawad alizokuwa analetewa na Iryn ndio trust kwako imeisha. Na kutaota chuki kali sana kwa watoto Chief. Anaweza kusamehe lakin hatasau na atasubir right time kulipiza. Msome mkeo umjue anaingilikaje ili uuvunje huo ukuta uwe huru na Iryn na mueze kujenga future yenu pamoja. Narudia Mzee hela ni sehem ndogo sana ya maisha. Familia ndio kila kitu. Na aman yako na watoto wako huko kesho itategemea na namna unavyohandle Mambo yako na mkeo tofauti na hapo mzee tarajia kuwa kama Marehemu Mengi.
Ni kweli kuficha ficha haitasaidia. Atafute muda amuambie mama J ukweli, then mama ataamua kusuka au kunyoa mapema.Japo sio vizuri kukuelekeza ila kuna sehem ulikosea mapema kuhusu Iryn na mkeo. Huko mbelen itakuletea shida. Cc ni wachagga na nina mshikaji wangu alikutana na ishu kama yako. Sema yeye demu hakuwa mzur kiivyo ila mazingira yake yalimfanya jamaa akaoa mke wa pili na haikumletea shida. Hiv vitu unaviseti mapema maana kule uzeen vinageuka. Maisha yanakuwa tena sio kiasi cha hela ulichonacho ila ni kwa namna gan wewe na mkeo mnamaliza pamoja kwa upendo na kuaminiana. Trust is everything bro. Bado hujachelewa. Kuna kitu cha muhim kwaajili yako na wanao unatakiwa kukifanya ili kuileta ile bond ya familia. Trust me siku mkeo akijua kila kitu na akawa anakumbukia zawad alizokuwa analetewa na Iryn ndio trust kwako imeisha. Na kutaota chuki kali sana kwa watoto Chief. Anaweza kusamehe lakin hatasau na atasubir right time kulipiza. Msome mkeo umjue anaingilikaje ili uuvunje huo ukuta uwe huru na Iryn na mueze kujenga future yenu pamoja. Narudia Mzee hela ni sehem ndogo sana ya maisha. Familia ndio kila kitu. Na aman yako na watoto wako huko kesho itategemea na namna unavyohandle Mambo yako na mkeo tofauti na hapo mzee tarajia kuwa kama Marehemu Mengi.
kosha kitali woya,kosha meku. ushauri mzuri kabisaJapo sio vizuri kukuelekeza ila kuna sehem ulikosea mapema kuhusu Iryn na mkeo. Huko mbelen itakuletea shida. Cc ni wachagga na nina mshikaji wangu alikutana na ishu kama yako. Sema yeye demu hakuwa mzur kiivyo ila mazingira yake yalimfanya jamaa akaoa mke wa pili na haikumletea shida. Hiv vitu unaviseti mapema maana kule uzeen vinageuka. Maisha yanakuwa tena sio kiasi cha hela ulichonacho ila ni kwa namna gan wewe na mkeo mnamaliza pamoja kwa upendo na kuaminiana. Trust is everything bro. Bado hujachelewa. Kuna kitu cha muhim kwaajili yako na wanao unatakiwa kukifanya ili kuileta ile bond ya familia. Trust me siku mkeo akijua kila kitu na akawa anakumbukia zawad alizokuwa analetewa na Iryn ndio trust kwako imeisha. Na kutaota chuki kali sana kwa watoto Chief. Anaweza kusamehe lakin hatasau na atasubir right time kulipiza. Msome mkeo umjue anaingilikaje ili uuvunje huo ukuta uwe huru na Iryn na mueze kujenga future yenu pamoja. Narudia Mzee hela ni sehem ndogo sana ya maisha. Familia ndio kila kitu. Na aman yako na watoto wako huko kesho itategemea na namna unavyohandle Mambo yako na mkeo tofauti na hapo mzee tarajia kuwa kama Marehemu Mengi.
Na Kuna kipengele muhimu cha yaliyojiri baada ya Mary kurudi kutoka Kenya.Hii story kwa hisia zangu ilikuwa na uwezo wa kuendelea zaidi ya hapa ,kwani Kuna mambo mengi muuhusika hajayaweka ,
Mf:mambo maendeleo ya mchepuko wa mzee Pama ,Maisha ya Ilyn huko SA na alivyoenda wakati wa kujifungua ,misukosuko aliyotuambia/pingamizi la ndugu ,Maendeleo ya kazi anazosimamia na mapokeo ya wafanyakazi kwa Iryn kuwa mama Mtoto rasmi na mengine mengi .
Tatizo lilianza kwa watu flani kuforce story iishe na wengine wakasema ingetakiwa imalizike episode ya 30 na watu kukosa uvumilivu wa kusubiri ,kila saa kejeli matusi na maneno mengi na lawama kwa msimuliaji
Mwisho akaona mambo yasiwe mengi ngoja aturidhishe .
Ndio maana akajitahidi kadri awezavyo akaandika ndefu na kubananisha mambo ndio maana anasema na amesha tekeleza atatupa Kama nyongeza ya namna mambo yalivyo endelea hivyo hii nyongeza ingewea kuwa Episode
Lingine angalia hii stori ni ya mwaka Jana mpaka mwezi wa tisa Kama sikosei Kuna zaidi ya Mwaka hapa hajatuwekea maisha yalisongeje .
Tutambue kuwa kwa Sasa majukumu ya Insardeman ni Mengi zaidi na siyo mtu wa kubweteka hivyo ndio maana story ilikuwa inachelewa na pia ndio sbb ya kufupisha ili amalizana nasi ,tofauti na hapo tungekuwa na subiri bado tungekuwa tunapata utamu[emoji2][emoji2][emoji2]
Yote kwa yote Asante mweshimiwa Insairdearman kwa story nzuri na kutokata taamaa kwani makwazo yalikuwa mengi ukitegemea kwa Sasa mambo ni [emoji91] na ulikuwa huna cha kupoteza Asante pia wasomaji na hasa waliokuwa na utulivu,na zidi Sana msimuliaji wetu, Asante Sana Sana ndugu
Niwatakie kila lililo jema wewe na Familia yako /zako pia katika miangaiko yako.
Ulichozungumza kinaukweli hapo badaye italeta shidaJapo sio vizuri kukuelekeza ila kuna sehem ulikosea mapema kuhusu Iryn na mkeo. Huko mbelen itakuletea shida. Cc ni wachagga na nina mshikaji wangu alikutana na ishu kama yako. Sema yeye demu hakuwa mzur kiivyo ila mazingira yake yalimfanya jamaa akaoa mke wa pili na haikumletea shida. Hiv vitu unaviseti mapema maana kule uzeen vinageuka. Maisha yanakuwa tena sio kiasi cha hela ulichonacho ila ni kwa namna gan wewe na mkeo mnamaliza pamoja kwa upendo na kuaminiana. Trust is everything bro. Bado hujachelewa. Kuna kitu cha muhim kwaajili yako na wanao unatakiwa kukifanya ili kuileta ile bond ya familia. Trust me siku mkeo akijua kila kitu na akawa anakumbukia zawad alizokuwa analetewa na Iryn ndio trust kwako imeisha. Na kutaota chuki kali sana kwa watoto Chief. Anaweza kusamehe lakin hatasau na atasubir right time kulipiza. Msome mkeo umjue anaingilikaje ili uuvunje huo ukuta uwe huru na Iryn na mueze kujenga future yenu pamoja. Narudia Mzee hela ni sehem ndogo sana ya maisha. Familia ndio kila kitu. Na aman yako na watoto wako huko kesho itategemea na namna unavyohandle Mambo yako na mkeo tofauti na hapo mzee tarajia kuwa kama Marehemu Mengi.