Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

[emoji16][emoji16] an kwa jinsi alivyotoa somo huyu mwamba unaanzaje kuikosa picha ya Iryne! Alituma japo badae alifuta na mtoto wake ninazo,but kwa heshima ya INSIDER MAN swez kuituma humu, kufungua code ya mkuu hpn,mtulie hivo hivo

Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
 
68
 
69
 
Japo sio vizuri kukuelekeza ila kuna sehem ulikosea mapema kuhusu Iryn na mkeo. Huko mbelen itakuletea shida. Cc ni wachagga na nina mshikaji wangu alikutana na ishu kama yako. Sema yeye demu hakuwa mzur kiivyo ila mazingira yake yalimfanya jamaa akaoa mke wa pili na haikumletea shida. Hiv vitu unaviseti mapema maana kule uzeen vinageuka. Maisha yanakuwa tena sio kiasi cha hela ulichonacho ila ni kwa namna gan wewe na mkeo mnamaliza pamoja kwa upendo na kuaminiana. Trust is everything bro. Bado hujachelewa. Kuna kitu cha muhim kwaajili yako na wanao unatakiwa kukifanya ili kuileta ile bond ya familia. Trust me siku mkeo akijua kila kitu na akawa anakumbukia zawad alizokuwa analetewa na Iryn ndio trust kwako imeisha. Na kutaota chuki kali sana kwa watoto Chief. Anaweza kusamehe lakin hatasau na atasubir right time kulipiza. Msome mkeo umjue anaingilikaje ili uuvunje huo ukuta uwe huru na Iryn na mueze kujenga future yenu pamoja. Narudia Mzee hela ni sehem ndogo sana ya maisha. Familia ndio kila kitu. Na aman yako na watoto wako huko kesho itategemea na namna unavyohandle Mambo yako na mkeo tofauti na hapo mzee tarajia kuwa kama Marehemu Mengi.
 
70
 
Mojawapo ya stori Bora isiyokinaisha ,......Mimi ulipomkaza lryn ni my best episode ijapo Kwa mama J aseee sipati picha siku akija kugundua.....ila pia Insider ana nyota ya kupendwa na watu lazima atakuwa handsome boy kaliba za kina BenPaul......unaweza ukawa na kaliba hiyo na usipendwe hata na sisimizi.....angalia hapo ofisini isije ukafanya kosa kufuck na yeyote mtt kaweka rada Kila Mahali all in all thanks Mkuu for your time....
 
Hongera sn kiongozi. Much respect.
Kuhusu mtoto na mamake kuwatambulisha kwenu naona ungevunga kwanza uendelee kuvuta muda na kusoma upepo angalau mtoto aendelee kukua kwanza. Kwa sasa naona kama ni mapema bado.
All in all maamuzi unayo wewe.
Nakutakia kila lenye kheir ktk safari yako ya maisha
 

Umetisha sana mkuu fact kila neno[emoji119]
 
Ni kweli kuficha ficha haitasaidia. Atafute muda amuambie mama J ukweli, then mama ataamua kusuka au kunyoa mapema.
 
kosha kitali woya,kosha meku. ushauri mzuri kabisa
 
Na Kuna kipengele muhimu cha yaliyojiri baada ya Mary kurudi kutoka Kenya.
 
Ulichozungumza kinaukweli hapo badaye italeta shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…