babukatunz
Member
- Jan 11, 2016
- 38
- 45
Ko ndio nini wewe bwege?Umetisha mkuu ko nyingine lini
Bwege nanKo ndio nini wewe bwege?
Anachanganya Physics na GSKwahiyo anafananisha fiction na friction 🤣🤣🤣🤣
Nmechekaa
Ko ndio nini wewe bwege?
😂😂👐Ila Insider ni baba huruma
Yaani anataka amkaze hadi Jane 😅 na Ghati naye huku Asmah dah 🤣
Ur welcome.Asante sana boss
Ndyo nmemaliza kuisoma hapa
Kwa Jane soma vizuri bila shaka ulikuwa na Arosto😂😂😂😂Ila Insider ni baba huruma
Yaani anataka amkaze hadi Jane 😅 na Ghati naye huku Asmah dah 🤣
Kwa Jane soma vizuri bila shaka ulikuwa na Arosto😂😂😂😂
Thanks mwamba.SEASON 02:
CHAPTER: 11
“BY INSIDER MAN”
CONTINUE……
Tuliendelea kuangaliana kwa sekunde kadhaa bila kusemeshana na yeye muda huu alikuwa anataka kuingia ndani.
“Wewe unataka nini usiku huu?.”
“Insider nipishe niingie ndani.”
“Huingii mpaka unambie kilicho kuleta hapa, afu niko serious.”
Na aliniangalia akaanza kutabamu,
“You know kilichonileta, bhana naomba niingie bhasi.”
Nilikuwa mpole nikamuacha aingie na ile kufunga mlango nilikumbatiwa kwa nyuma yaani daah! Palepale kuchi kuchi zikaanza, na nikamtuliza kwanza tuendelee na mazungumzo,
“Kwanini unakuja usiku huku hotelini? Unatoka nje na makubaliano yetu naomba uondoke kabla sijakubadilikia.”
“Mamkubwa kaondoka kapata emergence kazini na atarudi kesho jioni, ndomana niko hapa.”
Jeuri ya kumkazia ningeitolea wapi? Nilikuwa mpole tu maana nilikuwa na mizuka yangu kibao na sikutaka kumcheleweshea palepale nikaanza kazi.
Baada ya zoezi nilitoa laptop yangu niangalie hata ripoti za ofisini maana toka niko Ethiopia sikuwahi hata kufuatilia. Muda huu Iryn alikuwa kalala kitandani yupo kama alivyozaliwa na nilimuangalia nikaendelea kumfikiria.
Nilifikiri kadri siku zinavyokwenda anazidi kunikolea na anaonesha mabadiliko siku baada ya siku, na kufikia sasa amesha nifungukia siri zake nyingi sana, means kwamba ananiamini. Nilimfikiria mama J kule home ni mwanamke ambaye tumetoka mbali na tuna familia tayari, lakini Iryn naye soon atakuwa na mtoto na anaweza kunizalia mtoto wa pili haraka kuliko mama J.
Niliendelea kuwaza pale, Iryn kanipeleka kwao na hii ni technique kubwa sana, soon ataanza kuforce nimpeleke kwetu. Nilijaribu kuunganisha na yale maongezi yake na Claire ile siku kule hotelini nikajisemea, this woman is a genius, and she knows what she is doing.
Asubuhi niliamshwa na simu ya Jimmy na baada ya mazungumzo alinambia nitaondoka na Ethiopian Airlines ya saa 4 asubuhi, ila bado anapambana nipate ndege ya mchana ili tupate muda wa kuzurura Addis, na alisema yuko njiani anakuja ili tuondoke. Muda huu Iryn alikuwa bado kalala na tumbo lake lilikuwa linaonekana kuwa kubwa ni vile alikuwa anavaa magauni ndo yalikuwa yanamficha.
Nilimuamsha na baada ya kumpa taarifa kutoka kwa Jimmy ilibidi tujiandae wote kwa pamoja kwaajili ya kuondoka kwenda Addis. Baada ya dakika 15 Jimmy aliwasili pale hotelini na alikuja moja kwa moja room na alikuta bado tunajiandaa na alikuwa kamletea nguo Iryn za kuvaa.
JIMMY: “Movie uliyocheza jana usiku ni hatari bahati yako.”
IRYN: “Nipe nguo zangu nivae, na kwanini umekata ticket ya mapema hivi? Hatuwezi pata flight ya mchana?”
JIMMY: “Ndo napambana hapa kama itashindikana itabidi aondoke asubuhi hii au usiku sasa.”
IRYN: “Na addis tunakwenda na usafiri gani?”
JIMMY: “Ndege ndo rahisi nishaongea na Amara anafanya mambo, pamoja na ticket ya Insider.”
Na muda huu Iryn alikuwa anahangaika kuivaa cargo jeans yake kwani ilikuwa haimtoshi,
IRYN: “Ok bro, Hii jeans naona haitaki kufunga tumbo limeshakuwa tayari.”
JIMMY: “Vaa kwa muda tukifika Addis tutanua nguo ya kureplace.”
Ilikuwa ni saa moja wakati tunatoka pale hotelini na baada ya kutoka nje tulipiga picha pamoja za kutosha kama ukumbusho. Tulitumia kama dakika 10 kuwasili airport na Kutoka hotelini mpaka Airport ni mwendo wa km 7 hivi, sio mbali na baada ya kuwasili pale tuliondoka kwenda Addis.
Niseme Ethiopia kwenye miundombinu wako mbali sana kwakweli wenzetu wako serious sana na wametupiga gap kubwa sana. Addis Ababa imejengwa miundo mbinu ya kila aina na mji umepangiliwa vizuri. Wana treni za umeme za kasi, barabara zao zimejengwa kwa ustandard ni hatari tupu, nilijisema Tanzania bado tunasafari ndefu sana, wenzetu wako mbele sana kwenye hii sector. Bahir Dar inapatikana Amharic region Kaskazini mwa Ethiopia ni moja ya mji mzuri sana kwa Ethiopia afu una mandhari nzuri sana, umepandwa miti kila kona mpaka barabarani na umepangiliwa.
Saa 2 asubuhi tuliwasili addis lakini kutokana na muda hatukuweza kwenda kwenye organization yao maana nilikuwa naondoka na ndege ya saa 4 asubuhi. Tulikaa kwenye moja ya mgahawa pale airport kwaajili ya kupata breakfast. Kuna muda Iryn alikwenda washroom akatuacha mimi na Jimmy tukiendelea na story.
Jimmy ni mhuni tu ni mtu anayependa sana mademu na ndo starehe yake kubwa kutokana na Iryn alivyonambia. Nilimuuliza kuhusu namna ya kuwapata wanawake wa kihabeshi kwa pale Ethiopia, na jibu alilonipa ni kwamba as long as una cash utawala mpaka uchoke.
MIMI: “Bro ila Ethiopia Mungu kawapendelea sana mna wanawake wazuri sana.”
JIMMY: “Ila sisi tumeshawazoea tunawaona wa kawaida tu na hapa bado sijaona mwanamke mzuri.”
Jimmy alikuwa anaongea lakini wanawake waliokuwa kwenye ule mgahawa walikuwa ni warembo sana, lakini yeye anasema ni wakawaida. Kwa upande wa mama mtoto wake Amara alikuwa ni mzuri pia, hata mtoto wake ni kazuri sana. Kwa upande mwingine tuliongelea suala la ujauzito wa Iryn maana nilikuwa nawaza itakuaje siku ambayo Iryn atawapa taarifa, na wataipokeaje?.
MIMI: “Bro hivi itakuaje siku ambayo home watajua Iryn ni mjamzito?”
JIMMY: “Najua ni suala ambalo linakukosesha usingizi, usiwe na wasiwasi kila kitu kitakaa sawa.”
MIMI: “Bro mimi na mke nadhan unaelewa, familia itanitaka nimuoe Iryn ni jambo ambalo litakuwa gumu kwa upande wangu.”
JIMMY: “Mimba si aliibeba kwa maamuzi yake? Kwanini uingie kwenye mgogoro wa nafsi?. Insider mimi toka nikutane na wewe kwa mara ya kwanza nilibaini dada yangu anakupenda sana na ni ukweli anakupenda sana hata mimi nakuhakikishia.”
MIMI: “Bro wewe unanipa moyo ila muda utafika utaona, huwezi mpa mimba binti ya watu afu wakuangalie tu, lazima waulize maswala ya ndoa.”
JIMMY: “Stop worrying about who is next, as long as Iryn anakupenda hii ndo silaha kubwa kwako, mimi kama shem wako nakuhakikishia hakuna kitakacho haribika”
Jimmy alinitoa wasiwasi akanambia mimi niwe na amani hata nisiwaze kwani Iryn ni mtu mzima tayari na sio mtoto, hivyo sina haja ya kuwa na wasiwasi.
Baada ya Iryn kurudi mazungumzo yangu na Jimmy yalifika tamati na baada ya kukaa jambo la kwanza aliomba simu yangu mara moja na nikampa. Sikutaka kumkazia sababu sikuwa na chakuficha na yeye aliitumia baada ya dakika 2 alinirudishia. Na sikutaka kumuuliza alikuwa anafanya nini kwenye simu yangu, lakini niliwaza kuna something fishy atakuwa kafanya.
Tulianza kuoneshana mahaba halisi mbele ya Jimmy na yeye aliishia kutupiga picha huku akitumwagia masifa kedekede.
Muda wa kucheck-in uliwadia na nilianza kuagana na Jimmy then nikaagana na Iryn, lakini aliishia kunikumbatia kwa nguvu sana mpaka watu wakawa wanatushangaa. Iryn alikuwa hapendi niondoke mapema maana alitaka niendelee kuwepo kule, lakini ikawa haiwezekani. Kwa upande mwingine Amara alikuwa pale Airport na baada ya kusogea eneo la tukio alikuja kuonana na Jimmy ndo kujua anafanyia kazi Bole Airport.
Ethiopia wenzetu wamebarikiwa sana kuwa na warembo wazuri na wanaotikisa Dunia, kuna wanawake wazuri sana kule asee japo wenzetu wanawachukulia wa kawaida tu. Kuna jambo watu wanachanganya sana kuhusu habesha, hawa watu wanapatikana kaskazini mwa Ethiopia (Amharic region)na mpaka Eritrea.
*****
Niliwasili Tanzania mapema sana na saa yangu ilikuwa inasoma saa 7 za mchana wakati nawasili pale JNIA. Kipindi niko kwenye ndege nilipata wazo la kwenda kwa Jane ili tuonanane, nijue kilichoendelea jumamosi kwenye 40 ya mtoto.
Nilifanya kurequest uber ya kunirudisha home na baada ya kufika nilimkuta mama yuko nje amekaa kibarazani. Tulisalimiana pale na aliuliza maendeleo ya Kenya nikamwambia kila kitu kimeenda sawa, nikaingia ndani kupumzika.
Saa 10 jioni nilitoka kwenda Mbweni na niliondoka na gari yake kwa dhumuni la kumkabidhi maana alisema baada ya 40 nimpelekee. Baada ya kuwasili pale kwake mazingira yalikuwa kimya sana na nje ilionekana Range nyeupe imepark, nikahisi ndani kuna wageni. Mawazo yangu yalikuwa sahihi maana pale sebleni kulikuwa na sura ngeni na baada ya kuwasalimia nilitoka nje. Pale kibarazani nilikuwa napiga story na dada wa pale home na alikuwa ananiuliza kwanini sikuwepo kwenye 40 ya mtoto?.
Jane alitoka nje na kama kawaida yetu tulikwenda kukaa garden ili kufanya mazungumzo na alionesha kunifurahia sana. Jane alinambia kwa ujumla 40 ilikuwa nzuri sana kwani hakutegemea kama angepata zawadi ya gari, na mimi nilishtuka,!
MIMI: “Zawadi ya gari?.”
JANE: “Ndio hujaiona Range nyeupe imepark?”
Nilishangaa sana maana mimi nilijua ile gari itakuwa ya wageni ndani kumbe ndo zawadi aliyopewa kutoka kwa kikundi cha Pama. Hata yeye hakuamini anasema wakati akipewa gari alidhani anaota kumbe ni live,
MIMI: “Shem hongera sana kwakweli nilikosa vitu vingi sana.”
JANE: “Nilimpa zawadi yako Mary lakini aliiacha hapa unavyoondoka nikumbushe nikupe. Pia mzee Juma alikuulizia sababu hata kwa simu ulikuwa hupatikani,”
MIMI: “Daah! afu sikumuaga ujue, any way nitawasiliana nae hata badae.”
JANE: “Amesikitika sana kwakweli inaonesha kuna jambo alitaka kukwambia, hata Mary naona kaamua kufocus na mambo yake, sahivi hata kelele za Insider hakuna.”
MIMI: “Mary tutayajenga wewe usiwe na wasiwasi, kwasasa muache atulie kwanza, haya mengine niachie mimi.”
JANE: “Sitaki kuongea sana ila naamini mtamaliza tofauti zenu.”
MIMI: “Nimekuja na gari yako maana ulisema baada ya arobaini nikuletee. Kama kukutunzia nimefanya hii kazi kwa umakini sana na gari bado ipo kwenye ubora uleule.”
JANE: “Ahsante sana shem yaani natamani ningekupa tu hio gari, lakini ni ukumbusho wa Pama inabidi niitunze.”
MIMI: “Hata usiwe na wasiwasi shem, hata mimi nisingeipokea maana ni ukumbusho wako huu.”
JANE: “Insider nambie unataka nikupe zawadi gani? Kuwa huru niambie nitakupa chochote utakachotaka.”
Nilimuangalia Jane na niliona kweli kamaanisha, kwa upande wangu hata sikujua niseme nini maana nilikuwa nakosa cha kumwambia,
MIMI: “Wewe nipe zawadi ambayo utaguswa na uwe na amani, hili ni jukumu langu kuhakikisha unakuwa salama muda wote.”
Jane aliendelea kuniuliza niseme zawadi nayotaka na mimi nilimwambia yeye afanye kutokana na moyo wake. Kwa upande mwingine alinambia January ataanza biashara hivyo nimkutanishe na mama mkwe wangu ili ampe elimu ya biashara.
Taarifa zingine alizonipa ni kuhusu kuondoka kwa mama Pama na mama yake. Mama pama aliondoka kurudi Tabora, na alinambia mama yake mzazi kaondoka leo kwenda home kuangalia kama mazingira yapo sawa na atarudi tena.
Kabla ya kuondoka pale kwa Jane nilikumbuka kumcheki Ghati maana nilikuwa nimempa ahadi ya kukutana naye lakini sikufanya hivo na niliamua kumpigia simu kumpa taarifa za kuonana na akanambia niende kwake.
Mida ya saa1 nilimuaga Jane kuwa naondoka lakini kwa upande wake hakutaka mimi niondoke mapema maana alisema hana mtu wa kupiga naye story kwasasa na mdogo wake Vicky yuko chuo. Sababu mida hii nilikuwa nina appointment na Ghati ilibidi nimdanganye napitia kwa mama mkwe ili niongee naye kuhusu jambo lake ndo hapa kunikubalia.
Niliondoka kuelekea kwa Ghati lakini njiani niliwaza “kwanini Jane alikuwa ananilazimisha niseme zawadi nayoipenda?. Pia niliwaza toka mzee pama afariki ni siku nyingi sana zimepita, anamaliza wapi shida zake?. Ni maswali niliyokuwa najiuliza kichwani maana niliona kukaa na upwiru kwa muda wote huu inataka sana moyo.
Niliwasili apartment ya Ghati na baada ya kukaribishwa ndani nilishtuka sana kumuona mtoto mdogo akicheza pale sebleni. Nilijisemea hapa nimeingilia code za watu, kumbe huyu dada ana mtoto mdogo?, bhasi atakuwa kaolewa au ana mwanaume.
Baada ya story kadhaa alinambia hajaolewa na baba mtoto alifariki toka mimba ikiwa changa hivyo mwanaye hana baba. Ni kauli ambazo niliniumiza sana afu sasa dogo mwenyewe hana habari kabisa, ukizingatia hajui kinachoendelea.
Kipindi tukiendelea na mazungumzo simu yangu iliita na alikuwa ni Iryn akipiga na nilipokea pale tukaanza mazungumzo. Kubwa alitaka kujua kama nimefika salama na pia alinishukuru kwa kumpa kampani Ethiopia na alinambia anatarajia kumpokea mzee wake kesho.
Nilitumia kama dakika 45 pale kwa Ghati na nikamuaga naondoka na alinipa kampani ya lift mpaka Rainbow mbezi beach. Baada ya kufika alipark gari pembeni tukaendelea na maongezi na kubwa nilitaka kusikia kutoka kwake kuhusu status yake ya mahusiano na alisema ni complicated,
GHATI: “Men are not to be trusted, which is why my relationship status is complicated."
MIMI: “I’m sorry to hear you feel that way. If you ever want to share what’s on your mind or need support, I’m here to listen."
GHATI: “Thank you Insider, kwasasa bado mapema sana kuongelea haya naomba tuachane na hii mada.”
MIMI: “Sina nia mbaya na nimeonesha nia ya kukufahamu mapema ili nijue ninadeal na mwanamke wa aina gani, hili ni muhimu sana kwangu kuwa na mipaka kwako.”
GHATI: “Uko sahihi but sometimes it is very difficult to talk about the past, wewe kuwa huru huna haja kuweka mipaka.”
MIMI: “Seems unanipa greenlight ya kuendelea na safari right?”
GHATI: “What do you mean?”
MIMI: “I meant, you need a man who can return your happiness and make you feel worthy."
Ghati alinyamaza kimya na mimi niliamua kumuaga sababu muda ulikuwa umekwenda sana na mama J alikuwa kashaanza kupiga sana simu. Tuliagana pale kwa makubaliano ya kuonana weekend tena, kabla ya kushuka kwa gari nilimtania kuwa yeye ni mwanamke mrembo na nimefurahi sana kujuana naye, aliishia kucheka na nikaondoka.
Baada ya kurudi home wife alikuwa kanuna balaa na alianza kufoka pale seblen lakini mama yangu alikuwa chumbani,
WIFE: “Baba J unarudi home hata kutulia upumzike ni shida unakwenda kuzurura, hizi tabia zitaisha lini?”
MIMI: “Mke wangu kuwa na break, niliondoka kwenda ofisini kutuma documents kwa dereva walimzuia ndo anakuja na mzigo.”
Na mimi niliamua kwenda na uelekeo wa chumbani,
WIFE: “Sasa unakwenda wapi? Chakula kipo mezani kinapoa.”
MIMI: “Nakuja mama.”
Na muda huu mama alitoka chumbani na yeye alikuwa upande wa wife na alisema kweli nilichofanya sio kizuri, kwani nimerudi safari afu nimeondoka tena si jambo la busara. Tuliendelea kuongea na story za huko Kenya pamoja na maendeleo kwa ujumla lakini wife alikuwa mbali sana kama mtu ambaye hataki kusikia nacho ongea.
******
Saa 1 asubuhi mapema sana nilikwenda ofisini Masaki na nilikuwa wakwanza kuwasili pale ofisini hata mlinzi alishangaa sana. Baada ya masaa 2 nilitoka kwenda kupata breakfast kwenye cafe ya karibu na ofisi yetu na baada ya kurudi nilimkuta Asmah pale reception akiongea na Hilda.
Asmah baada ya kuniona alikuja spidi sana kisha akanikumbatia na alionesha kuni-miss sana. Lilikuwa ni jambo la haraka sana ambalo hata sikutegemea kama lingetokea muda ule na tuliondoka kwenda ndani.
Tulianza mazungumzo kuhusu Ethiopia na alitaka kujua Iryn alinitambulishaje kule kwa ndugu zake, ila sikutaka kumfungukia sana maana niliona havimuhusu. Taarifa zingine alizonipa ni kurudi kwa mama Janeth na alinambia kuwa alikuwa akiniulizia sana maana nilikuwa sipatikani kwa simu.
Niliwaza kama mama karudi, bhasi kuna haja ya kwenda kumtembelea badae ili nimkabidhi na gari kabisa. Niliendelea kumtania Asmah pale maana ndo mtani wangu wa ofisini, asipokuwepo kazi huwa haziendi kabisa,
MIMI: “Asmah ukweli hukupenda nilichokufanyia ile siku? Be honesty.”
ASMAH: “Toka siku ile umefanya niwe nakumbuka tu lile jambo.”
MIMI: “Unaonaje tukirudia tena? Uzuri mimi na wewe tunajuana hakuna cha kufichana.”
ASMAH: “No haiwezekani Insider kwa hili utanisamehe, namuheshimu sana Iryn maana akija kujua itakuwa shida.”
MIMI: “kama utamwambia ni sawa lakini mimi nimeshakuonesha interest zangu za kukula kwa mara ya pili.”
ASMAH: “Lol! I don’t think so.”
Niliishia kucheka na nikajisemea huyu anataka sana ila anajifanya analeta ugumu sasa ngoja nimtest nimuone,
MIMI: “Mwakani nakwenda kufanya kazi Ethiopia nitakuachia ofisi mama.”
ASMAH: “What? No Insider usiondoke please!, mimi nishakuzoea nitakuwa na wakati mgumu sana hapa ofisini.”
MIMI: “Sure unafikiri nakudanganya? Muulize mlinzi nimeingia sangapi hapa ofisini? Naweka ripoti sawa na utachukua position yangu.”
Asmah alionesha kunyong’onyea sana baada ya kumpa hizi taarifa na mimi nilitoka nje nikaenda kukaa kibarazani nikipoteza muda.
Jioni nilikwenda kuonana na mama Janeth pale kwake. Baada ya kuwasili nilikaribishwa ndani sebleni na muda huu mwanae Smith alikuwa yuko seblen. Nilikuwa nazikumbuka zile kauli za Iryn na kila nikimuangalia dogo nilikuwa naona ni kweli wamefanana sana na baba yake Iryn.
Mama alitoka sebleni na tulianza mazungumzo, nilishtuka kusikia akiniuliza habari za Ethiopia na alihoji kwanini sikumuaga?. Nilijiuliza mama kajuaje? Au Iryn kamwambia? Mbona hajanambia kama kaongea na mama Janeth?. Sikuwa na jinsi ya kumkatalia, hivyo nilimwambia ilikuwa ni haraka sana maana Iryn alinambia anakwenda kudhuru kaburi ya mama yake na anahitaji kampani yangu.
Tuliendelea na mazungumzo mengine ya kiofisi na habari kubwa alisema December nitapata gawio langu kutokana na faida itakayo patikana. Mama alisema ataendelea kuwepo mpaka mwisho wa mwaka na anatarajia kusafiri tena mpaka January.
Baada ya kumaliza maongezi yetu nilimuaga na nilimkabidhi funguo ya gari Audi. Japo hakupenda maana alisema ile gari ni ya Iryn na mhusika alibariki mimi niendelee kuitumia, kuliko kukaa parking.
Nilifanya kurequest usafiri wa kunirudisha home na wakati niko njiani nilimpigia simu Iryn kumuuliza kama aliongea na mama Janeth. Iryn alinambia yeye ndo aliyemwambia kuwa tuko wote Ethiopia baada ya mama Janeth kulalamika kuwa amerudi na ameambiwa nimesafiri afu sijatoa taarifa yoyote.
Tulitumia msasani road kuja kutokea Mwaikibaki road na wakati niko Mikocheni nilikumbuka kumcheki Mary ili nimshukuru kwa kuniwakilisha kwa Jane. Nilikumbuka kwamba Mary mara ya mwisho alikuwa kaniblock, hivyo nikampigia kwa namba yangu nyingine. Simu iliita bila kupokelewa na nilipiga mara 3 bila majibu yoyote, nilijisemea lazima anicall back maana hii namba hana, atataka kujua ni nani alikuwa akipiga simu.?
Baada ya kurudi home pale nje ilikuwa imebaki gari yangu IST ambayo nilikuwa nina mpango wa kumpa dereva awe anafanyia Uber, ananipa hesabu. Mtu ambaye alikuwa sahihi kwangu ni jamaa yangu Kizoka ambaye alikuwa akinisaidia sana kipindi kile kuwachukua madogo kule Masaki. Mara ya mwisho kuwasiliana na Kizoka alinambia hana gari na atafuta aendelee na kazi, hivyo nikapanga kumcheki ili tuingie mkataba.
Niliingia ndani na mama alikuwa amekaa seblen na baada ya kusalimiana alisema ataondoka baada ya sikukuu ya Christmas kurudi mkoani. Taarifa nyingine alisema atahitaji kukaa na sisi kwaajili ha maongezi na tulikubaliana tufanye kikao baada ya Christmas.
Kwa upande mwingine wife alikuwa ni mtu ambaye kama hana furaha kabisa na mimi mpaka nikaanza kuwa na wasiwasi labda amejua sikuwa Kenya. Wakati tuko chumbani nilijaribu kumdadisi shida ni nini? lakini alisema yeye yuko sawa tu hana tatizo ila mimi ndo nawasiwasi ila kila kitu kiko sawa.
Kesho yake nilikwenda Posta kumtafuta jamaa yangu Kizoka ili nimpe gari awe ananiletea hesabu. Licha ya kuacha biashara ya Uber ila bado nilikuwa nawateja wengi sana wanaonitafuta hasa foreigners, hivyo niliona ni bora nimtafute jamaa nimpe na wateja.
Habari mbaya baada ya kwenda Posta sikuweza kumpata jamaa maana hata kwenye simu alikuwa hapatikani. Licha ya kumuulizia pale kijiweni walisema hawamjui na ikawa imekula kwangu, sikuwa na option nyingine ya kumpata.
Mchana nilifanya mazungumzo na Iryn na alinambia kuna mzigo unakuja ila utafikia Zanzibar, hivyo itabidi nipange mapema namna ya kufanya clearing. Nilishindwa kumuelewa kwanini mzigo uende Zanzibar? Yeye alisema meli iliyopatikana ni cheap na haiwezi kuja bara. Taarifa nyingine aliyonipa ni kwamba anatarajia kuondoka jumapili kurudi South Africa pamoja na baba yake.
Tuliendelea kuongea masuala mengine ya ujauzito wake maana alikuwa analalamika mimba inamsumbua sana kwasasa na dalili zimeanza kuonekana waziwazi. Habari nyingine iliyonikera ni baada ya kuniambia kuwa Muajemi bado anamtafuta na kumsumbua,
IRYN: “Darling, uliongea na rafiki yako Muajemi?”
Ukweli nilikuwa nasahau kumtafuta Muajemi,
MIMI: “Hapana baby sijafanya hivo, kuna tatizo?”
IRYN: “Hunipendi ndomana unafanya hivo, angekuwa mama J ndo anafanyiwa hivi ungekuwa ushachukua hatua muda mrefu sana.”
MIMI: “No baby, si waona mambo yalikuwa mengi hapa katikati?, lakini nilimcheki mara moja akawa hapatikani.”
IRYN: “Insider huna mapenzi na mimi ndomana, anyway nitamwambia ukweli aelewe kinachoendelea kama wewe umeshindwa.”
MIMI: “Baby usiseme hivyo, kwanini usimblock kama anakusumbua?”
IRYN: “Unataka niblock namba ngapi? kum-block mtu ni kumuogopa na kwanini nipate tabu?.”
MIMI: “Baby nikimaliza maongezi na wewe nitampigia simu, hili niachie mimi ntadeal naye parpendicular.”
IRYN: “Haya baba, byee!”
Nilipatwa na hasira sana, nikajisemea leo ninamuwashia moto Muajemi, hata asipo-pokea simu nitamtumia message ataipata tu. Nilimpigia simu kwa whatsapp lakini haikupokelewa na nilikwenda Telegram lakini hakupokea na nikamtumia message.
“Hello, brother. It’s been a long time. I have been calling you, but you didn’t answer my calls. I have news from Iryn. Call me back when you see this."
Nilimtumia ujumbe kwa Whatsapp na ulionesha tick 2 maana umefika ila bado kusomwa tu. Niliwaza hivi Muajemi ana Roho gani? Mbona ni mng’ang’anizi sana?. Kwa upande wangu hata mimi nilikuwa na wasiwasi sana ukizingatia Muajemi alikuwa ana Pesa chafu. Nilifikiria mbali sana nikaona kuna siku Iryn anaweza asichomoe kwa Muajemi kama ataweka dau kubwa mezani.
Wakati nikiendelea kuwaza namna ya kudeal na Muajemi nilipokea ujumbe kwa whatsapp, ni Iryn alikuwa katuma screenshots za texts za
Muajemi. Uwii! baada ya kuziona nilidata sana, yaani nilichokuwa nakifikiria ndo nilikutana nacho pale!. Zilikuwa ni screenshots 6 za namba tofauti na mwishoni kabisa Iryn alikuwa kaniandikia,
“Darling unaona sasa? Nimekutumia uone jinsi ambavyo rafiki yako ni mshenzi. Nitakuwa nablock hizi namba mara ngapi? I’m tired of this bullshit, Tell him what’s really going on between us.”
Muajemi alikuwa anatangaza offa zake kwa Iryn, na moja ya text iliyonishtua baada ya kuisoma ni kwamba anataka amzalie mtoto, afu atamjengea nyumba anayoitaka, atamnunulia gari analotaka na kumfungulia biashara anayoitaka. Nikajisema kweli Muajemi kadhamiria kumla Iryn bado hakati tamaa.
Niliwaza mbali sana nikajisemea ni vile Iryn kazaliwa kwenye hela na hivi vitu kwake kakuwa navyo anaviona ndomana hababaigi. Nilijiuliza hivi mama J wangu kama ataambiwa hizi offa atachomoa kweli? Niliona probability ya kukataa ni 0.000001. Ukweli Muajemi alinichanganya sana na nikajisemea ntadeal na huyu mshenzi na hizi screnshots nitamtumia falasi huyu.
Jioni nilitoka na Asmah kwenda Mlimani city, alikuwa kaomba kampani yangu na alinunua vyombo na mahitaji mengine ya nyumbani. Baada ya kumaliza manunuzi tulikaa pale nje Samakisamaki tukipiga story na kubwa lilikuwa ni sakata la mimi kwenda Ethiopia maana yeye alikuwa anajua ni kweli, kumbe mimi namtega tu.
Ukweli nilikuwa kwenye wakati mgumu sana wa kuchagua mwanamke wa kumfanya kuwa mchepuko wangu. Iryn alikuwa hayupo afu wife naye haeleweki, hivyo niliona kuna umuhimu wa kuwa na mchepuko ambao nitatulia nao kimya. Prisca nilijisemea siwezi kurudia matapishi yangu labda kumla tu pale napo-mmiss, Ghati mzuka ulinikata baada ya kugundua ana mtoto na alionesha kuingia kwa mfumo. Mary alikuwa mtu sahihi tatizo ni kutoka na mdogo wake Prisca, niliona haitakuwa heshima kwenye familia yao. Asmah ndo alikuwa mtu sahihi wa kutoka naye, lakini tatizo lilikuwa ni Iryn kuweka macho yake yote kwa Asmah, hivyo nitakuwa na tembea na bom mfukoni.
Maongezi yangu na Asmah yalikuwa deep sana hii siku,
ASMAH: “Insider naomba ubaki Tanzania, usiondoke please.”
MIMI: “Asmah deal lina mpunga mrefu nitaonekana ni mjinga kama nitalikataa.”
ASMAH: “Please, wewe ndo kampani yangu pale ofisini na nimekuzoea, ukiondoka nani atakuwa wa kunipa kampani?”
MIMI: “Acha uongo bhana si kuna Hilda? Au ndo unamkana hapa mbele yangu?. Leo unataka kampani na kipindi kile unaninunia?”
ASMAH: “I attempted to keep my distance from you, but I couldn't.”
MIMI: “Nitabaki ila kwa conditions, utaweza?”
ASMAH: “Which conditions?”
MIMI: “Nataka tuwe na mahusiano ya siri sana.”
ASMAH: “Insider wewe si una mke na mtoto? Bado unataka niwe kwenye list yako? Can’t you be serious?”
MIMI: “Ndomana nikasema conditions kama umeshindwa bhasi, hayo yote naelewa niachie haya. Mimi nitajua jinsi ya kuchezesha mpira kwa wote na mka enjoy, otherwise kama umeshindwa bhasi.”
ASMAH: “Nipe muda wa kulifikiria hili then tutaongea.”
MIMI: “Done.”
Niliagana na Asmah na mimi huyo nikaondoka kurudi home na muda ambao nawasili home ilikuwa ni saa 3 na madakika. Mama na wife walikuwa jikoni wanapika na seblen alikuwepo dada na Junior wamekaa, niliamua kwenda chumbani ili nioge.
Wakati naoga nilikuwa nawaza namna ya kumpata Kizoka maana niliona yeye ndo mtu sahihi wa kumpa hio IST. Pia niliwaza kununua gari nyingine ya kutembelea maana kama IST itaondoka sitakuwa na kitu, na swali lilikuwa ninue gari gani?.
Baada ya kutoka kuoga nilimkuta wife amekaa kitandani na tuliishia kuangaliana tu pale kwa sekunde kadhaa na alianza kuongea,
WIFE: “Ukirudi spidi kwenda kuoga unaficha madhambi yako.”
MIMI: “Huenda hata wewe unaficha madhambi yako huko chuo ni vile sijui na sijataka kufuatilia.”
WIFE: “Tumeishi wote kwa muda mrefu, ushawahi kuniona hata siku moja nimeongozana na marafiki wa kiume?, ulishawahi kunikamata nina cheat?.”
MIMI: “Za mwizi ni 40 bado hazijafika mama.”
WIFE: “Baba J hukwenda Kenya, kuwa na aibu wewe mwanaume, hivi huoni dhambi kumdanganya mama?.”
MIMI: “Ushaanza kelele zako, sawa sikuwa Kenya niambie nilikuwa wapi?.”
WIFE: “Naomba tiketi zako za ndege sahivi nizione na hapa ndo tutajua nani msema kweli?”
Damn it, nilikuwa mpole ghafla maana nilikuwa nimekamatika na nilihisi joto kupanda kwa kasi.
TO BE CONTINUED.
Umeona eehhIla Insider ni baba huruma
Yaani anataka amkaze hadi Jane 😅 na Ghati naye huku Asmah dah 🤣
Insider kwanini usianze kuweka challenge,kwa wasomaji wako kwa watakao pita uwe unawapa offa hata za kukutana nao once per month.0SEASON 02:
CHAPTER: 11
“BY INSIDER MAN”
CONTINUE……
Tuliendelea kuangaliana kwa sekunde kadhaa bila kusemeshana na yeye muda huu alikuwa anataka kuingia ndani.
“Wewe unataka nini usiku huu?.”
“Insider nipishe niingie ndani.”
“Huingii mpaka unambie kilicho kuleta hapa, afu niko serious.”
Na aliniangalia akaanza kutabamu,
“You know kilichonileta, bhana naomba niingie bhasi.”
Nilikuwa mpole nikamuacha aingie na ile kufunga mlango nilikumbatiwa kwa nyuma yaani daah! Palepale kuchi kuchi zikaanza, na nikamtuliza kwanza tuendelee na mazungumzo,
“Kwanini unakuja usiku huku hotelini? Unatoka nje na makubaliano yetu naomba uondoke kabla sijakubadilikia.”
“Mamkubwa kaondoka kapata emergence kazini na atarudi kesho jioni, ndomana niko hapa.”
Jeuri ya kumkazia ningeitolea wapi? Nilikuwa mpole tu maana nilikuwa na mizuka yangu kibao na sikutaka kumcheleweshea palepale nikaanza kazi.
Baada ya zoezi nilitoa laptop yangu niangalie hata ripoti za ofisini maana toka niko Ethiopia sikuwahi hata kufuatilia. Muda huu Iryn alikuwa kalala kitandani yupo kama alivyozaliwa na nilimuangalia nikaendelea kumfikiria.
Nilifikiri kadri siku zinavyokwenda anazidi kunikolea na anaonesha mabadiliko siku baada ya siku, na kufikia sasa amesha nifungukia siri zake nyingi sana, means kwamba ananiamini. Nilimfikiria mama J kule home ni mwanamke ambaye tumetoka mbali na tuna familia tayari, lakini Iryn naye soon atakuwa na mtoto na anaweza kunizalia mtoto wa pili haraka kuliko mama J.
Niliendelea kuwaza pale, Iryn kanipeleka kwao na hii ni technique kubwa sana, soon ataanza kuforce nimpeleke kwetu. Nilijaribu kuunganisha na yale maongezi yake na Claire ile siku kule hotelini nikajisemea, this woman is a genius, and she knows what she is doing.
Asubuhi niliamshwa na simu ya Jimmy na baada ya mazungumzo alinambia nitaondoka na Ethiopian Airlines ya saa 4 asubuhi, ila bado anapambana nipate ndege ya mchana ili tupate muda wa kuzurura Addis, na alisema yuko njiani anakuja ili tuondoke. Muda huu Iryn alikuwa bado kalala na tumbo lake lilikuwa linaonekana kuwa kubwa ni vile alikuwa anavaa magauni ndo yalikuwa yanamficha.
Nilimuamsha na baada ya kumpa taarifa kutoka kwa Jimmy ilibidi tujiandae wote kwa pamoja kwaajili ya kuondoka kwenda Addis. Baada ya dakika 15 Jimmy aliwasili pale hotelini na alikuja moja kwa moja room na alikuta bado tunajiandaa na alikuwa kamletea nguo Iryn za kuvaa.
JIMMY: “Movie uliyocheza jana usiku ni hatari bahati yako.”
IRYN: “Nipe nguo zangu nivae, na kwanini umekata ticket ya mapema hivi? Hatuwezi pata flight ya mchana?”
JIMMY: “Ndo napambana hapa kama itashindikana itabidi aondoke asubuhi hii au usiku sasa.”
IRYN: “Na addis tunakwenda na usafiri gani?”
JIMMY: “Ndege ndo rahisi nishaongea na Amara anafanya mambo, pamoja na ticket ya Insider.”
Na muda huu Iryn alikuwa anahangaika kuivaa cargo jeans yake kwani ilikuwa haimtoshi,
IRYN: “Ok bro, Hii jeans naona haitaki kufunga tumbo limeshakuwa tayari.”
JIMMY: “Vaa kwa muda tukifika Addis tutanua nguo ya kureplace.”
Ilikuwa ni saa moja wakati tunatoka pale hotelini na baada ya kutoka nje tulipiga picha pamoja za kutosha kama ukumbusho. Tulitumia kama dakika 10 kuwasili airport na Kutoka hotelini mpaka Airport ni mwendo wa km 7 hivi, sio mbali na baada ya kuwasili pale tuliondoka kwenda Addis.
Niseme Ethiopia kwenye miundombinu wako mbali sana kwakweli wenzetu wako serious sana na wametupiga gap kubwa sana. Addis Ababa imejengwa miundo mbinu ya kila aina na mji umepangiliwa vizuri. Wana treni za umeme za kasi, barabara zao zimejengwa kwa ustandard ni hatari tupu, nilijisema Tanzania bado tunasafari ndefu sana, wenzetu wako mbele sana kwenye hii sector. Bahir Dar inapatikana Amharic region Kaskazini mwa Ethiopia ni moja ya mji mzuri sana kwa Ethiopia afu una mandhari nzuri sana, umepandwa miti kila kona mpaka barabarani na umepangiliwa.
Saa 2 asubuhi tuliwasili addis lakini kutokana na muda hatukuweza kwenda kwenye organization yao maana nilikuwa naondoka na ndege ya saa 4 asubuhi. Tulikaa kwenye moja ya mgahawa pale airport kwaajili ya kupata breakfast. Kuna muda Iryn alikwenda washroom akatuacha mimi na Jimmy tukiendelea na story.
Jimmy ni mhuni tu ni mtu anayependa sana mademu na ndo starehe yake kubwa kutokana na Iryn alivyonambia. Nilimuuliza kuhusu namna ya kuwapata wanawake wa kihabeshi kwa pale Ethiopia, na jibu alilonipa ni kwamba as long as una cash utawala mpaka uchoke.
MIMI: “Bro ila Ethiopia Mungu kawapendelea sana mna wanawake wazuri sana.”
JIMMY: “Ila sisi tumeshawazoea tunawaona wa kawaida tu na hapa bado sijaona mwanamke mzuri.”
Jimmy alikuwa anaongea lakini wanawake waliokuwa kwenye ule mgahawa walikuwa ni warembo sana, lakini yeye anasema ni wakawaida. Kwa upande wa mama mtoto wake Amara alikuwa ni mzuri pia, hata mtoto wake ni kazuri sana. Kwa upande mwingine tuliongelea suala la ujauzito wa Iryn maana nilikuwa nawaza itakuaje siku ambayo Iryn atawapa taarifa, na wataipokeaje?.
MIMI: “Bro hivi itakuaje siku ambayo home watajua Iryn ni mjamzito?”
JIMMY: “Najua ni suala ambalo linakukosesha usingizi, usiwe na wasiwasi kila kitu kitakaa sawa.”
MIMI: “Bro mimi na mke nadhan unaelewa, familia itanitaka nimuoe Iryn ni jambo ambalo litakuwa gumu kwa upande wangu.”
JIMMY: “Mimba si aliibeba kwa maamuzi yake? Kwanini uingie kwenye mgogoro wa nafsi?. Insider mimi toka nikutane na wewe kwa mara ya kwanza nilibaini dada yangu anakupenda sana na ni ukweli anakupenda sana hata mimi nakuhakikishia.”
MIMI: “Bro wewe unanipa moyo ila muda utafika utaona, huwezi mpa mimba binti ya watu afu wakuangalie tu, lazima waulize maswala ya ndoa.”
JIMMY: “Stop worrying about who is next, as long as Iryn anakupenda hii ndo silaha kubwa kwako, mimi kama shem wako nakuhakikishia hakuna kitakacho haribika”
Jimmy alinitoa wasiwasi akanambia mimi niwe na amani hata nisiwaze kwani Iryn ni mtu mzima tayari na sio mtoto, hivyo sina haja ya kuwa na wasiwasi.
Baada ya Iryn kurudi mazungumzo yangu na Jimmy yalifika tamati na baada ya kukaa jambo la kwanza aliomba simu yangu mara moja na nikampa. Sikutaka kumkazia sababu sikuwa na chakuficha na yeye aliitumia baada ya dakika 2 alinirudishia. Na sikutaka kumuuliza alikuwa anafanya nini kwenye simu yangu, lakini niliwaza kuna something fishy atakuwa kafanya.
Tulianza kuoneshana mahaba halisi mbele ya Jimmy na yeye aliishia kutupiga picha huku akitumwagia masifa kedekede.
Muda wa kucheck-in uliwadia na nilianza kuagana na Jimmy then nikaagana na Iryn, lakini aliishia kunikumbatia kwa nguvu sana mpaka watu wakawa wanatushangaa. Iryn alikuwa hapendi niondoke mapema maana alitaka niendelee kuwepo kule, lakini ikawa haiwezekani. Kwa upande mwingine Amara alikuwa pale Airport na baada ya kusogea eneo la tukio alikuja kuonana na Jimmy ndo kujua anafanyia kazi Bole Airport.
Ethiopia wenzetu wamebarikiwa sana kuwa na warembo wazuri na wanaotikisa Dunia, kuna wanawake wazuri sana kule asee japo wenzetu wanawachukulia wa kawaida tu. Kuna jambo watu wanachanganya sana kuhusu habesha, hawa watu wanapatikana kaskazini mwa Ethiopia (Amharic region)na mpaka Eritrea.
*****
Niliwasili Tanzania mapema sana na saa yangu ilikuwa inasoma saa 7 za mchana wakati nawasili pale JNIA. Kipindi niko kwenye ndege nilipata wazo la kwenda kwa Jane ili tuonanane, nijue kilichoendelea jumamosi kwenye 40 ya mtoto.
Nilifanya kurequest uber ya kunirudisha home na baada ya kufika nilimkuta mama yuko nje amekaa kibarazani. Tulisalimiana pale na aliuliza maendeleo ya Kenya nikamwambia kila kitu kimeenda sawa, nikaingia ndani kupumzika.
Saa 10 jioni nilitoka kwenda Mbweni na niliondoka na gari yake kwa dhumuni la kumkabidhi maana alisema baada ya 40 nimpelekee. Baada ya kuwasili pale kwake mazingira yalikuwa kimya sana na nje ilionekana Range nyeupe imepark, nikahisi ndani kuna wageni. Mawazo yangu yalikuwa sahihi maana pale sebleni kulikuwa na sura ngeni na baada ya kuwasalimia nilitoka nje. Pale kibarazani nilikuwa napiga story na dada wa pale home na alikuwa ananiuliza kwanini sikuwepo kwenye 40 ya mtoto?.
Jane alitoka nje na kama kawaida yetu tulikwenda kukaa garden ili kufanya mazungumzo na alionesha kunifurahia sana. Jane alinambia kwa ujumla 40 ilikuwa nzuri sana kwani hakutegemea kama angepata zawadi ya gari, na mimi nilishtuka,!
MIMI: “Zawadi ya gari?.”
JANE: “Ndio hujaiona Range nyeupe imepark?”
Nilishangaa sana maana mimi nilijua ile gari itakuwa ya wageni ndani kumbe ndo zawadi aliyopewa kutoka kwa kikundi cha Pama. Hata yeye hakuamini anasema wakati akipewa gari alidhani anaota kumbe ni live,
MIMI: “Shem hongera sana kwakweli nilikosa vitu vingi sana.”
JANE: “Nilimpa zawadi yako Mary lakini aliiacha hapa unavyoondoka nikumbushe nikupe. Pia mzee Juma alikuulizia sababu hata kwa simu ulikuwa hupatikani,”
MIMI: “Daah! afu sikumuaga ujue, any way nitawasiliana nae hata badae.”
JANE: “Amesikitika sana kwakweli inaonesha kuna jambo alitaka kukwambia, hata Mary naona kaamua kufocus na mambo yake, sahivi hata kelele za Insider hakuna.”
MIMI: “Mary tutayajenga wewe usiwe na wasiwasi, kwasasa muache atulie kwanza, haya mengine niachie mimi.”
JANE: “Sitaki kuongea sana ila naamini mtamaliza tofauti zenu.”
MIMI: “Nimekuja na gari yako maana ulisema baada ya arobaini nikuletee. Kama kukutunzia nimefanya hii kazi kwa umakini sana na gari bado ipo kwenye ubora uleule.”
JANE: “Ahsante sana shem yaani natamani ningekupa tu hio gari, lakini ni ukumbusho wa Pama inabidi niitunze.”
MIMI: “Hata usiwe na wasiwasi shem, hata mimi nisingeipokea maana ni ukumbusho wako huu.”
JANE: “Insider nambie unataka nikupe zawadi gani? Kuwa huru niambie nitakupa chochote utakachotaka.”
Nilimuangalia Jane na niliona kweli kamaanisha, kwa upande wangu hata sikujua niseme nini maana nilikuwa nakosa cha kumwambia,
MIMI: “Wewe nipe zawadi ambayo utaguswa na uwe na amani, hili ni jukumu langu kuhakikisha unakuwa salama muda wote.”
Jane aliendelea kuniuliza niseme zawadi nayotaka na mimi nilimwambia yeye afanye kutokana na moyo wake. Kwa upande mwingine alinambia January ataanza biashara hivyo nimkutanishe na mama mkwe wangu ili ampe elimu ya biashara.
Taarifa zingine alizonipa ni kuhusu kuondoka kwa mama Pama na mama yake. Mama pama aliondoka kurudi Tabora, na alinambia mama yake mzazi kaondoka leo kwenda home kuangalia kama mazingira yapo sawa na atarudi tena.
Kabla ya kuondoka pale kwa Jane nilikumbuka kumcheki Ghati maana nilikuwa nimempa ahadi ya kukutana naye lakini sikufanya hivo na niliamua kumpigia simu kumpa taarifa za kuonana na akanambia niende kwake.
Mida ya saa1 nilimuaga Jane kuwa naondoka lakini kwa upande wake hakutaka mimi niondoke mapema maana alisema hana mtu wa kupiga naye story kwasasa na mdogo wake Vicky yuko chuo. Sababu mida hii nilikuwa nina appointment na Ghati ilibidi nimdanganye napitia kwa mama mkwe ili niongee naye kuhusu jambo lake ndo hapa kunikubalia.
Niliondoka kuelekea kwa Ghati lakini njiani niliwaza “kwanini Jane alikuwa ananilazimisha niseme zawadi nayoipenda?. Pia niliwaza toka mzee pama afariki ni siku nyingi sana zimepita, anamaliza wapi shida zake?. Ni maswali niliyokuwa najiuliza kichwani maana niliona kukaa na upwiru kwa muda wote huu inataka sana moyo.
Niliwasili apartment ya Ghati na baada ya kukaribishwa ndani nilishtuka sana kumuona mtoto mdogo akicheza pale sebleni. Nilijisemea hapa nimeingilia code za watu, kumbe huyu dada ana mtoto mdogo?, bhasi atakuwa kaolewa au ana mwanaume.
Baada ya story kadhaa alinambia hajaolewa na baba mtoto alifariki toka mimba ikiwa changa hivyo mwanaye hana baba. Ni kauli ambazo niliniumiza sana afu sasa dogo mwenyewe hana habari kabisa, ukizingatia hajui kinachoendelea.
Kipindi tukiendelea na mazungumzo simu yangu iliita na alikuwa ni Iryn akipiga na nilipokea pale tukaanza mazungumzo. Kubwa alitaka kujua kama nimefika salama na pia alinishukuru kwa kumpa kampani Ethiopia na alinambia anatarajia kumpokea mzee wake kesho.
Nilitumia kama dakika 45 pale kwa Ghati na nikamuaga naondoka na alinipa kampani ya lift mpaka Rainbow mbezi beach. Baada ya kufika alipark gari pembeni tukaendelea na maongezi na kubwa nilitaka kusikia kutoka kwake kuhusu status yake ya mahusiano na alisema ni complicated,
GHATI: “Men are not to be trusted, which is why my relationship status is complicated."
MIMI: “I’m sorry to hear you feel that way. If you ever want to share what’s on your mind or need support, I’m here to listen."
GHATI: “Thank you Insider, kwasasa bado mapema sana kuongelea haya naomba tuachane na hii mada.”
MIMI: “Sina nia mbaya na nimeonesha nia ya kukufahamu mapema ili nijue ninadeal na mwanamke wa aina gani, hili ni muhimu sana kwangu kuwa na mipaka kwako.”
GHATI: “Uko sahihi but sometimes it is very difficult to talk about the past, wewe kuwa huru huna haja kuweka mipaka.”
MIMI: “Seems unanipa greenlight ya kuendelea na safari right?”
GHATI: “What do you mean?”
MIMI: “I meant, you need a man who can return your happiness and make you feel worthy."
Ghati alinyamaza kimya na mimi niliamua kumuaga sababu muda ulikuwa umekwenda sana na mama J alikuwa kashaanza kupiga sana simu. Tuliagana pale kwa makubaliano ya kuonana weekend tena, kabla ya kushuka kwa gari nilimtania kuwa yeye ni mwanamke mrembo na nimefurahi sana kujuana naye, aliishia kucheka na nikaondoka.
Baada ya kurudi home wife alikuwa kanuna balaa na alianza kufoka pale seblen lakini mama yangu alikuwa chumbani,
WIFE: “Baba J unarudi home hata kutulia upumzike ni shida unakwenda kuzurura, hizi tabia zitaisha lini?”
MIMI: “Mke wangu kuwa na break, niliondoka kwenda ofisini kutuma documents kwa dereva walimzuia ndo anakuja na mzigo.”
Na mimi niliamua kwenda na uelekeo wa chumbani,
WIFE: “Sasa unakwenda wapi? Chakula kipo mezani kinapoa.”
MIMI: “Nakuja mama.”
Na muda huu mama alitoka chumbani na yeye alikuwa upande wa wife na alisema kweli nilichofanya sio kizuri, kwani nimerudi safari afu nimeondoka tena si jambo la busara. Tuliendelea kuongea na story za huko Kenya pamoja na maendeleo kwa ujumla lakini wife alikuwa mbali sana kama mtu ambaye hataki kusikia nacho ongea.
******
Saa 1 asubuhi mapema sana nilikwenda ofisini Masaki na nilikuwa wakwanza kuwasili pale ofisini hata mlinzi alishangaa sana. Baada ya masaa 2 nilitoka kwenda kupata breakfast kwenye cafe ya karibu na ofisi yetu na baada ya kurudi nilimkuta Asmah pale reception akiongea na Hilda.
Asmah baada ya kuniona alikuja spidi sana kisha akanikumbatia na alionesha kuni-miss sana. Lilikuwa ni jambo la haraka sana ambalo hata sikutegemea kama lingetokea muda ule na tuliondoka kwenda ndani.
Tulianza mazungumzo kuhusu Ethiopia na alitaka kujua Iryn alinitambulishaje kule kwa ndugu zake, ila sikutaka kumfungukia sana maana niliona havimuhusu. Taarifa zingine alizonipa ni kurudi kwa mama Janeth na alinambia kuwa alikuwa akiniulizia sana maana nilikuwa sipatikani kwa simu.
Niliwaza kama mama karudi, bhasi kuna haja ya kwenda kumtembelea badae ili nimkabidhi na gari kabisa. Niliendelea kumtania Asmah pale maana ndo mtani wangu wa ofisini, asipokuwepo kazi huwa haziendi kabisa,
MIMI: “Asmah ukweli hukupenda nilichokufanyia ile siku? Be honesty.”
ASMAH: “Toka siku ile umefanya niwe nakumbuka tu lile jambo.”
MIMI: “Unaonaje tukirudia tena? Uzuri mimi na wewe tunajuana hakuna cha kufichana.”
ASMAH: “No haiwezekani Insider kwa hili utanisamehe, namuheshimu sana Iryn maana akija kujua itakuwa shida.”
MIMI: “kama utamwambia ni sawa lakini mimi nimeshakuonesha interest zangu za kukula kwa mara ya pili.”
ASMAH: “Lol! I don’t think so.”
Niliishia kucheka na nikajisemea huyu anataka sana ila anajifanya analeta ugumu sasa ngoja nimtest nimuone,
MIMI: “Mwakani nakwenda kufanya kazi Ethiopia nitakuachia ofisi mama.”
ASMAH: “What? No Insider usiondoke please!, mimi nishakuzoea nitakuwa na wakati mgumu sana hapa ofisini.”
MIMI: “Sure unafikiri nakudanganya? Muulize mlinzi nimeingia sangapi hapa ofisini? Naweka ripoti sawa na utachukua position yangu.”
Asmah alionesha kunyong’onyea sana baada ya kumpa hizi taarifa na mimi nilitoka nje nikaenda kukaa kibarazani nikipoteza muda.
Jioni nilikwenda kuonana na mama Janeth pale kwake. Baada ya kuwasili nilikaribishwa ndani sebleni na muda huu mwanae Smith alikuwa yuko seblen. Nilikuwa nazikumbuka zile kauli za Iryn na kila nikimuangalia dogo nilikuwa naona ni kweli wamefanana sana na baba yake Iryn.
Mama alitoka sebleni na tulianza mazungumzo, nilishtuka kusikia akiniuliza habari za Ethiopia na alihoji kwanini sikumuaga?. Nilijiuliza mama kajuaje? Au Iryn kamwambia? Mbona hajanambia kama kaongea na mama Janeth?. Sikuwa na jinsi ya kumkatalia, hivyo nilimwambia ilikuwa ni haraka sana maana Iryn alinambia anakwenda kudhuru kaburi ya mama yake na anahitaji kampani yangu.
Tuliendelea na mazungumzo mengine ya kiofisi na habari kubwa alisema December nitapata gawio langu kutokana na faida itakayo patikana. Mama alisema ataendelea kuwepo mpaka mwisho wa mwaka na anatarajia kusafiri tena mpaka January.
Baada ya kumaliza maongezi yetu nilimuaga na nilimkabidhi funguo ya gari Audi. Japo hakupenda maana alisema ile gari ni ya Iryn na mhusika alibariki mimi niendelee kuitumia, kuliko kukaa parking.
Nilifanya kurequest usafiri wa kunirudisha home na wakati niko njiani nilimpigia simu Iryn kumuuliza kama aliongea na mama Janeth. Iryn alinambia yeye ndo aliyemwambia kuwa tuko wote Ethiopia baada ya mama Janeth kulalamika kuwa amerudi na ameambiwa nimesafiri afu sijatoa taarifa yoyote.
Tulitumia msasani road kuja kutokea Mwaikibaki road na wakati niko Mikocheni nilikumbuka kumcheki Mary ili nimshukuru kwa kuniwakilisha kwa Jane. Nilikumbuka kwamba Mary mara ya mwisho alikuwa kaniblock, hivyo nikampigia kwa namba yangu nyingine. Simu iliita bila kupokelewa na nilipiga mara 3 bila majibu yoyote, nilijisemea lazima anicall back maana hii namba hana, atataka kujua ni nani alikuwa akipiga simu.?
Baada ya kurudi home pale nje ilikuwa imebaki gari yangu IST ambayo nilikuwa nina mpango wa kumpa dereva awe anafanyia Uber, ananipa hesabu. Mtu ambaye alikuwa sahihi kwangu ni jamaa yangu Kizoka ambaye alikuwa akinisaidia sana kipindi kile kuwachukua madogo kule Masaki. Mara ya mwisho kuwasiliana na Kizoka alinambia hana gari na atafuta aendelee na kazi, hivyo nikapanga kumcheki ili tuingie mkataba.
Niliingia ndani na mama alikuwa amekaa seblen na baada ya kusalimiana alisema ataondoka baada ya sikukuu ya Christmas kurudi mkoani. Taarifa nyingine alisema atahitaji kukaa na sisi kwaajili ha maongezi na tulikubaliana tufanye kikao baada ya Christmas.
Kwa upande mwingine wife alikuwa ni mtu ambaye kama hana furaha kabisa na mimi mpaka nikaanza kuwa na wasiwasi labda amejua sikuwa Kenya. Wakati tuko chumbani nilijaribu kumdadisi shida ni nini? lakini alisema yeye yuko sawa tu hana tatizo ila mimi ndo nawasiwasi ila kila kitu kiko sawa.
Kesho yake nilikwenda Posta kumtafuta jamaa yangu Kizoka ili nimpe gari awe ananiletea hesabu. Licha ya kuacha biashara ya Uber ila bado nilikuwa nawateja wengi sana wanaonitafuta hasa foreigners, hivyo niliona ni bora nimtafute jamaa nimpe na wateja.
Habari mbaya baada ya kwenda Posta sikuweza kumpata jamaa maana hata kwenye simu alikuwa hapatikani. Licha ya kumuulizia pale kijiweni walisema hawamjui na ikawa imekula kwangu, sikuwa na option nyingine ya kumpata.
Mchana nilifanya mazungumzo na Iryn na alinambia kuna mzigo unakuja ila utafikia Zanzibar, hivyo itabidi nipange mapema namna ya kufanya clearing. Nilishindwa kumuelewa kwanini mzigo uende Zanzibar? Yeye alisema meli iliyopatikana ni cheap na haiwezi kuja bara. Taarifa nyingine aliyonipa ni kwamba anatarajia kuondoka jumapili kurudi South Africa pamoja na baba yake.
Tuliendelea kuongea masuala mengine ya ujauzito wake maana alikuwa analalamika mimba inamsumbua sana kwasasa na dalili zimeanza kuonekana waziwazi. Habari nyingine iliyonikera ni baada ya kuniambia kuwa Muajemi bado anamtafuta na kumsumbua,
IRYN: “Darling, uliongea na rafiki yako Muajemi?”
Ukweli nilikuwa nasahau kumtafuta Muajemi,
MIMI: “Hapana baby sijafanya hivo, kuna tatizo?”
IRYN: “Hunipendi ndomana unafanya hivo, angekuwa mama J ndo anafanyiwa hivi ungekuwa ushachukua hatua muda mrefu sana.”
MIMI: “No baby, si waona mambo yalikuwa mengi hapa katikati?, lakini nilimcheki mara moja akawa hapatikani.”
IRYN: “Insider huna mapenzi na mimi ndomana, anyway nitamwambia ukweli aelewe kinachoendelea kama wewe umeshindwa.”
MIMI: “Baby usiseme hivyo, kwanini usimblock kama anakusumbua?”
IRYN: “Unataka niblock namba ngapi? kum-block mtu ni kumuogopa na kwanini nipate tabu?.”
MIMI: “Baby nikimaliza maongezi na wewe nitampigia simu, hili niachie mimi ntadeal naye parpendicular.”
IRYN: “Haya baba, byee!”
Nilipatwa na hasira sana, nikajisemea leo ninamuwashia moto Muajemi, hata asipo-pokea simu nitamtumia message ataipata tu. Nilimpigia simu kwa whatsapp lakini haikupokelewa na nilikwenda Telegram lakini hakupokea na nikamtumia message.
“Hello, brother. It’s been a long time. I have been calling you, but you didn’t answer my calls. I have news from Iryn. Call me back when you see this."
Nilimtumia ujumbe kwa Whatsapp na ulionesha tick 2 maana umefika ila bado kusomwa tu. Niliwaza hivi Muajemi ana Roho gani? Mbona ni mng’ang’anizi sana?. Kwa upande wangu hata mimi nilikuwa na wasiwasi sana ukizingatia Muajemi alikuwa ana Pesa chafu. Nilifikiria mbali sana nikaona kuna siku Iryn anaweza asichomoe kwa Muajemi kama ataweka dau kubwa mezani.
Wakati nikiendelea kuwaza namna ya kudeal na Muajemi nilipokea ujumbe kwa whatsapp, ni Iryn alikuwa katuma screenshots za texts za
Muajemi. Uwii! baada ya kuziona nilidata sana, yaani nilichokuwa nakifikiria ndo nilikutana nacho pale!. Zilikuwa ni screenshots 6 za namba tofauti na mwishoni kabisa Iryn alikuwa kaniandikia,
“Darling unaona sasa? Nimekutumia uone jinsi ambavyo rafiki yako ni mshenzi. Nitakuwa nablock hizi namba mara ngapi? I’m tired of this bullshit, Tell him what’s really going on between us.”
Muajemi alikuwa anatangaza offa zake kwa Iryn, na moja ya text iliyonishtua baada ya kuisoma ni kwamba anataka amzalie mtoto, afu atamjengea nyumba anayoitaka, atamnunulia gari analotaka na kumfungulia biashara anayoitaka. Nikajisema kweli Muajemi kadhamiria kumla Iryn bado hakati tamaa.
Niliwaza mbali sana nikajisemea ni vile Iryn kazaliwa kwenye hela na hivi vitu kwake kakuwa navyo anaviona ndomana hababaigi. Nilijiuliza hivi mama J wangu kama ataambiwa hizi offa atachomoa kweli? Niliona probability ya kukataa ni 0.000001. Ukweli Muajemi alinichanganya sana na nikajisemea ntadeal na huyu mshenzi na hizi screnshots nitamtumia falasi huyu.
Jioni nilitoka na Asmah kwenda Mlimani city, alikuwa kaomba kampani yangu na alinunua vyombo na mahitaji mengine ya nyumbani. Baada ya kumaliza manunuzi tulikaa pale nje Samakisamaki tukipiga story na kubwa lilikuwa ni sakata la mimi kwenda Ethiopia maana yeye alikuwa anajua ni kweli, kumbe mimi namtega tu.
Ukweli nilikuwa kwenye wakati mgumu sana wa kuchagua mwanamke wa kumfanya kuwa mchepuko wangu. Iryn alikuwa hayupo afu wife naye haeleweki, hivyo niliona kuna umuhimu wa kuwa na mchepuko ambao nitatulia nao kimya. Prisca nilijisemea siwezi kurudia matapishi yangu labda kumla tu pale napo-mmiss, Ghati mzuka ulinikata baada ya kugundua ana mtoto na alionesha kuingia kwa mfumo. Mary alikuwa mtu sahihi tatizo ni kutoka na mdogo wake Prisca, niliona haitakuwa heshima kwenye familia yao. Asmah ndo alikuwa mtu sahihi wa kutoka naye, lakini tatizo lilikuwa ni Iryn kuweka macho yake yote kwa Asmah, hivyo nitakuwa na tembea na bom mfukoni.
Maongezi yangu na Asmah yalikuwa deep sana hii siku,
ASMAH: “Insider naomba ubaki Tanzania, usiondoke please.”
MIMI: “Asmah deal lina mpunga mrefu nitaonekana ni mjinga kama nitalikataa.”
ASMAH: “Please, wewe ndo kampani yangu pale ofisini na nimekuzoea, ukiondoka nani atakuwa wa kunipa kampani?”
MIMI: “Acha uongo bhana si kuna Hilda? Au ndo unamkana hapa mbele yangu?. Leo unataka kampani na kipindi kile unaninunia?”
ASMAH: “I attempted to keep my distance from you, but I couldn't.”
MIMI: “Nitabaki ila kwa conditions, utaweza?”
ASMAH: “Which conditions?”
MIMI: “Nataka tuwe na mahusiano ya siri sana.”
ASMAH: “Insider wewe si una mke na mtoto? Bado unataka niwe kwenye list yako? Can’t you be serious?”
MIMI: “Ndomana nikasema conditions kama umeshindwa bhasi, hayo yote naelewa niachie haya. Mimi nitajua jinsi ya kuchezesha mpira kwa wote na mka enjoy, otherwise kama umeshindwa bhasi.”
ASMAH: “Nipe muda wa kulifikiria hili then tutaongea.”
MIMI: “Done.”
Niliagana na Asmah na mimi huyo nikaondoka kurudi home na muda ambao nawasili home ilikuwa ni saa 3 na madakika. Mama na wife walikuwa jikoni wanapika na seblen alikuwepo dada na Junior wamekaa, niliamua kwenda chumbani ili nioge.
Wakati naoga nilikuwa nawaza namna ya kumpata Kizoka maana niliona yeye ndo mtu sahihi wa kumpa hio IST. Pia niliwaza kununua gari nyingine ya kutembelea maana kama IST itaondoka sitakuwa na kitu, na swali lilikuwa ninue gari gani?.
Baada ya kutoka kuoga nilimkuta wife amekaa kitandani na tuliishia kuangaliana tu pale kwa sekunde kadhaa na alianza kuongea,
WIFE: “Ukirudi spidi kwenda kuoga unaficha madhambi yako.”
MIMI: “Huenda hata wewe unaficha madhambi yako huko chuo ni vile sijui na sijataka kufuatilia.”
WIFE: “Tumeishi wote kwa muda mrefu, ushawahi kuniona hata siku moja nimeongozana na marafiki wa kiume?, ulishawahi kunikamata nina cheat?.”
MIMI: “Za mwizi ni 40 bado hazijafika mama.”
WIFE: “Baba J hukwenda Kenya, kuwa na aibu wewe mwanaume, hivi huoni dhambi kumdanganya mama?.”
MIMI: “Ushaanza kelele zako, sawa sikuwa Kenya niambie nilikuwa wapi?.”
WIFE: “Naomba tiketi zako za ndege sahivi nizione na hapa ndo tutajua nani msema kweli?”
Damn it, nilikuwa mpole ghafla maana nilikuwa nimekamatika na nilihisi joto kupanda kwa kasi.
TO BE CONTINUED.
Kwasababu wewe wa mbezi nini😂🙌Insider kwanini usianze kuweka challenge,kwa wasomaji wako kwa watakao pita uwe unawapa offa hata za kukutana nao once per month.0
You kill it again let's goSEASON 02:
CHAPTER: 11
“BY INSIDER MAN”
CONTINUE……
Tuliendelea kuangaliana kwa sekunde kadhaa bila kusemeshana na yeye muda huu alikuwa anataka kuingia ndani.
“Wewe unataka nini usiku huu?.”
“Insider nipishe niingie ndani.”
“Huingii mpaka unambie kilicho kuleta hapa, afu niko serious.”
Na aliniangalia akaanza kutabamu,
“You know kilichonileta, bhana naomba niingie bhasi.”
Nilikuwa mpole nikamuacha aingie na ile kufunga mlango nilikumbatiwa kwa nyuma yaani daah! Palepale kuchi kuchi zikaanza, na nikamtuliza kwanza tuendelee na mazungumzo,
“Kwanini unakuja usiku huku hotelini? Unatoka nje na makubaliano yetu naomba uondoke kabla sijakubadilikia.”
“Mamkubwa kaondoka kapata emergence kazini na atarudi kesho jioni, ndomana niko hapa.”
Jeuri ya kumkazia ningeitolea wapi? Nilikuwa mpole tu maana nilikuwa na mizuka yangu kibao na sikutaka kumcheleweshea palepale nikaanza kazi.
Baada ya zoezi nilitoa laptop yangu niangalie hata ripoti za ofisini maana toka niko Ethiopia sikuwahi hata kufuatilia. Muda huu Iryn alikuwa kalala kitandani yupo kama alivyozaliwa na nilimuangalia nikaendelea kumfikiria.
Nilifikiri kadri siku zinavyokwenda anazidi kunikolea na anaonesha mabadiliko siku baada ya siku, na kufikia sasa amesha nifungukia siri zake nyingi sana, means kwamba ananiamini. Nilimfikiria mama J kule home ni mwanamke ambaye tumetoka mbali na tuna familia tayari, lakini Iryn naye soon atakuwa na mtoto na anaweza kunizalia mtoto wa pili haraka kuliko mama J.
Niliendelea kuwaza pale, Iryn kanipeleka kwao na hii ni technique kubwa sana, soon ataanza kuforce nimpeleke kwetu. Nilijaribu kuunganisha na yale maongezi yake na Claire ile siku kule hotelini nikajisemea, this woman is a genius, and she knows what she is doing.
Asubuhi niliamshwa na simu ya Jimmy na baada ya mazungumzo alinambia nitaondoka na Ethiopian Airlines ya saa 4 asubuhi, ila bado anapambana nipate ndege ya mchana ili tupate muda wa kuzurura Addis, na alisema yuko njiani anakuja ili tuondoke. Muda huu Iryn alikuwa bado kalala na tumbo lake lilikuwa linaonekana kuwa kubwa ni vile alikuwa anavaa magauni ndo yalikuwa yanamficha.
Nilimuamsha na baada ya kumpa taarifa kutoka kwa Jimmy ilibidi tujiandae wote kwa pamoja kwaajili ya kuondoka kwenda Addis. Baada ya dakika 15 Jimmy aliwasili pale hotelini na alikuja moja kwa moja room na alikuta bado tunajiandaa na alikuwa kamletea nguo Iryn za kuvaa.
JIMMY: “Movie uliyocheza jana usiku ni hatari bahati yako.”
IRYN: “Nipe nguo zangu nivae, na kwanini umekata ticket ya mapema hivi? Hatuwezi pata flight ya mchana?”
JIMMY: “Ndo napambana hapa kama itashindikana itabidi aondoke asubuhi hii au usiku sasa.”
IRYN: “Na addis tunakwenda na usafiri gani?”
JIMMY: “Ndege ndo rahisi nishaongea na Amara anafanya mambo, pamoja na ticket ya Insider.”
Na muda huu Iryn alikuwa anahangaika kuivaa cargo jeans yake kwani ilikuwa haimtoshi,
IRYN: “Ok bro, Hii jeans naona haitaki kufunga tumbo limeshakuwa tayari.”
JIMMY: “Vaa kwa muda tukifika Addis tutanua nguo ya kureplace.”
Ilikuwa ni saa moja wakati tunatoka pale hotelini na baada ya kutoka nje tulipiga picha pamoja za kutosha kama ukumbusho. Tulitumia kama dakika 10 kuwasili airport na Kutoka hotelini mpaka Airport ni mwendo wa km 7 hivi, sio mbali na baada ya kuwasili pale tuliondoka kwenda Addis.
Niseme Ethiopia kwenye miundombinu wako mbali sana kwakweli wenzetu wako serious sana na wametupiga gap kubwa sana. Addis Ababa imejengwa miundo mbinu ya kila aina na mji umepangiliwa vizuri. Wana treni za umeme za kasi, barabara zao zimejengwa kwa ustandard ni hatari tupu, nilijisema Tanzania bado tunasafari ndefu sana, wenzetu wako mbele sana kwenye hii sector. Bahir Dar inapatikana Amharic region Kaskazini mwa Ethiopia ni moja ya mji mzuri sana kwa Ethiopia afu una mandhari nzuri sana, umepandwa miti kila kona mpaka barabarani na umepangiliwa.
Saa 2 asubuhi tuliwasili addis lakini kutokana na muda hatukuweza kwenda kwenye organization yao maana nilikuwa naondoka na ndege ya saa 4 asubuhi. Tulikaa kwenye moja ya mgahawa pale airport kwaajili ya kupata breakfast. Kuna muda Iryn alikwenda washroom akatuacha mimi na Jimmy tukiendelea na story.
Jimmy ni mhuni tu ni mtu anayependa sana mademu na ndo starehe yake kubwa kutokana na Iryn alivyonambia. Nilimuuliza kuhusu namna ya kuwapata wanawake wa kihabeshi kwa pale Ethiopia, na jibu alilonipa ni kwamba as long as una cash utawala mpaka uchoke.
MIMI: “Bro ila Ethiopia Mungu kawapendelea sana mna wanawake wazuri sana.”
JIMMY: “Ila sisi tumeshawazoea tunawaona wa kawaida tu na hapa bado sijaona mwanamke mzuri.”
Jimmy alikuwa anaongea lakini wanawake waliokuwa kwenye ule mgahawa walikuwa ni warembo sana, lakini yeye anasema ni wakawaida. Kwa upande wa mama mtoto wake Amara alikuwa ni mzuri pia, hata mtoto wake ni kazuri sana. Kwa upande mwingine tuliongelea suala la ujauzito wa Iryn maana nilikuwa nawaza itakuaje siku ambayo Iryn atawapa taarifa, na wataipokeaje?.
MIMI: “Bro hivi itakuaje siku ambayo home watajua Iryn ni mjamzito?”
JIMMY: “Najua ni suala ambalo linakukosesha usingizi, usiwe na wasiwasi kila kitu kitakaa sawa.”
MIMI: “Bro mimi na mke nadhan unaelewa, familia itanitaka nimuoe Iryn ni jambo ambalo litakuwa gumu kwa upande wangu.”
JIMMY: “Mimba si aliibeba kwa maamuzi yake? Kwanini uingie kwenye mgogoro wa nafsi?. Insider mimi toka nikutane na wewe kwa mara ya kwanza nilibaini dada yangu anakupenda sana na ni ukweli anakupenda sana hata mimi nakuhakikishia.”
MIMI: “Bro wewe unanipa moyo ila muda utafika utaona, huwezi mpa mimba binti ya watu afu wakuangalie tu, lazima waulize maswala ya ndoa.”
JIMMY: “Stop worrying about who is next, as long as Iryn anakupenda hii ndo silaha kubwa kwako, mimi kama shem wako nakuhakikishia hakuna kitakacho haribika”
Jimmy alinitoa wasiwasi akanambia mimi niwe na amani hata nisiwaze kwani Iryn ni mtu mzima tayari na sio mtoto, hivyo sina haja ya kuwa na wasiwasi.
Baada ya Iryn kurudi mazungumzo yangu na Jimmy yalifika tamati na baada ya kukaa jambo la kwanza aliomba simu yangu mara moja na nikampa. Sikutaka kumkazia sababu sikuwa na chakuficha na yeye aliitumia baada ya dakika 2 alinirudishia. Na sikutaka kumuuliza alikuwa anafanya nini kwenye simu yangu, lakini niliwaza kuna something fishy atakuwa kafanya.
Tulianza kuoneshana mahaba halisi mbele ya Jimmy na yeye aliishia kutupiga picha huku akitumwagia masifa kedekede.
Muda wa kucheck-in uliwadia na nilianza kuagana na Jimmy then nikaagana na Iryn, lakini aliishia kunikumbatia kwa nguvu sana mpaka watu wakawa wanatushangaa. Iryn alikuwa hapendi niondoke mapema maana alitaka niendelee kuwepo kule, lakini ikawa haiwezekani. Kwa upande mwingine Amara alikuwa pale Airport na baada ya kusogea eneo la tukio alikuja kuonana na Jimmy ndo kujua anafanyia kazi Bole Airport.
Ethiopia wenzetu wamebarikiwa sana kuwa na warembo wazuri na wanaotikisa Dunia, kuna wanawake wazuri sana kule asee japo wenzetu wanawachukulia wa kawaida tu. Kuna jambo watu wanachanganya sana kuhusu habesha, hawa watu wanapatikana kaskazini mwa Ethiopia (Amharic region)na mpaka Eritrea.
*****
Niliwasili Tanzania mapema sana na saa yangu ilikuwa inasoma saa 7 za mchana wakati nawasili pale JNIA. Kipindi niko kwenye ndege nilipata wazo la kwenda kwa Jane ili tuonanane, nijue kilichoendelea jumamosi kwenye 40 ya mtoto.
Nilifanya kurequest uber ya kunirudisha home na baada ya kufika nilimkuta mama yuko nje amekaa kibarazani. Tulisalimiana pale na aliuliza maendeleo ya Kenya nikamwambia kila kitu kimeenda sawa, nikaingia ndani kupumzika.
Saa 10 jioni nilitoka kwenda Mbweni na niliondoka na gari yake kwa dhumuni la kumkabidhi maana alisema baada ya 40 nimpelekee. Baada ya kuwasili pale kwake mazingira yalikuwa kimya sana na nje ilionekana Range nyeupe imepark, nikahisi ndani kuna wageni. Mawazo yangu yalikuwa sahihi maana pale sebleni kulikuwa na sura ngeni na baada ya kuwasalimia nilitoka nje. Pale kibarazani nilikuwa napiga story na dada wa pale home na alikuwa ananiuliza kwanini sikuwepo kwenye 40 ya mtoto?.
Jane alitoka nje na kama kawaida yetu tulikwenda kukaa garden ili kufanya mazungumzo na alionesha kunifurahia sana. Jane alinambia kwa ujumla 40 ilikuwa nzuri sana kwani hakutegemea kama angepata zawadi ya gari, na mimi nilishtuka,!
MIMI: “Zawadi ya gari?.”
JANE: “Ndio hujaiona Range nyeupe imepark?”
Nilishangaa sana maana mimi nilijua ile gari itakuwa ya wageni ndani kumbe ndo zawadi aliyopewa kutoka kwa kikundi cha Pama. Hata yeye hakuamini anasema wakati akipewa gari alidhani anaota kumbe ni live,
MIMI: “Shem hongera sana kwakweli nilikosa vitu vingi sana.”
JANE: “Nilimpa zawadi yako Mary lakini aliiacha hapa unavyoondoka nikumbushe nikupe. Pia mzee Juma alikuulizia sababu hata kwa simu ulikuwa hupatikani,”
MIMI: “Daah! afu sikumuaga ujue, any way nitawasiliana nae hata badae.”
JANE: “Amesikitika sana kwakweli inaonesha kuna jambo alitaka kukwambia, hata Mary naona kaamua kufocus na mambo yake, sahivi hata kelele za Insider hakuna.”
MIMI: “Mary tutayajenga wewe usiwe na wasiwasi, kwasasa muache atulie kwanza, haya mengine niachie mimi.”
JANE: “Sitaki kuongea sana ila naamini mtamaliza tofauti zenu.”
MIMI: “Nimekuja na gari yako maana ulisema baada ya arobaini nikuletee. Kama kukutunzia nimefanya hii kazi kwa umakini sana na gari bado ipo kwenye ubora uleule.”
JANE: “Ahsante sana shem yaani natamani ningekupa tu hio gari, lakini ni ukumbusho wa Pama inabidi niitunze.”
MIMI: “Hata usiwe na wasiwasi shem, hata mimi nisingeipokea maana ni ukumbusho wako huu.”
JANE: “Insider nambie unataka nikupe zawadi gani? Kuwa huru niambie nitakupa chochote utakachotaka.”
Nilimuangalia Jane na niliona kweli kamaanisha, kwa upande wangu hata sikujua niseme nini maana nilikuwa nakosa cha kumwambia,
MIMI: “Wewe nipe zawadi ambayo utaguswa na uwe na amani, hili ni jukumu langu kuhakikisha unakuwa salama muda wote.”
Jane aliendelea kuniuliza niseme zawadi nayotaka na mimi nilimwambia yeye afanye kutokana na moyo wake. Kwa upande mwingine alinambia January ataanza biashara hivyo nimkutanishe na mama mkwe wangu ili ampe elimu ya biashara.
Taarifa zingine alizonipa ni kuhusu kuondoka kwa mama Pama na mama yake. Mama pama aliondoka kurudi Tabora, na alinambia mama yake mzazi kaondoka leo kwenda home kuangalia kama mazingira yapo sawa na atarudi tena.
Kabla ya kuondoka pale kwa Jane nilikumbuka kumcheki Ghati maana nilikuwa nimempa ahadi ya kukutana naye lakini sikufanya hivo na niliamua kumpigia simu kumpa taarifa za kuonana na akanambia niende kwake.
Mida ya saa1 nilimuaga Jane kuwa naondoka lakini kwa upande wake hakutaka mimi niondoke mapema maana alisema hana mtu wa kupiga naye story kwasasa na mdogo wake Vicky yuko chuo. Sababu mida hii nilikuwa nina appointment na Ghati ilibidi nimdanganye napitia kwa mama mkwe ili niongee naye kuhusu jambo lake ndo hapa kunikubalia.
Niliondoka kuelekea kwa Ghati lakini njiani niliwaza “kwanini Jane alikuwa ananilazimisha niseme zawadi nayoipenda?. Pia niliwaza toka mzee pama afariki ni siku nyingi sana zimepita, anamaliza wapi shida zake?. Ni maswali niliyokuwa najiuliza kichwani maana niliona kukaa na upwiru kwa muda wote huu inataka sana moyo.
Niliwasili apartment ya Ghati na baada ya kukaribishwa ndani nilishtuka sana kumuona mtoto mdogo akicheza pale sebleni. Nilijisemea hapa nimeingilia code za watu, kumbe huyu dada ana mtoto mdogo?, bhasi atakuwa kaolewa au ana mwanaume.
Baada ya story kadhaa alinambia hajaolewa na baba mtoto alifariki toka mimba ikiwa changa hivyo mwanaye hana baba. Ni kauli ambazo niliniumiza sana afu sasa dogo mwenyewe hana habari kabisa, ukizingatia hajui kinachoendelea.
Kipindi tukiendelea na mazungumzo simu yangu iliita na alikuwa ni Iryn akipiga na nilipokea pale tukaanza mazungumzo. Kubwa alitaka kujua kama nimefika salama na pia alinishukuru kwa kumpa kampani Ethiopia na alinambia anatarajia kumpokea mzee wake kesho.
Nilitumia kama dakika 45 pale kwa Ghati na nikamuaga naondoka na alinipa kampani ya lift mpaka Rainbow mbezi beach. Baada ya kufika alipark gari pembeni tukaendelea na maongezi na kubwa nilitaka kusikia kutoka kwake kuhusu status yake ya mahusiano na alisema ni complicated,
GHATI: “Men are not to be trusted, which is why my relationship status is complicated."
MIMI: “I’m sorry to hear you feel that way. If you ever want to share what’s on your mind or need support, I’m here to listen."
GHATI: “Thank you Insider, kwasasa bado mapema sana kuongelea haya naomba tuachane na hii mada.”
MIMI: “Sina nia mbaya na nimeonesha nia ya kukufahamu mapema ili nijue ninadeal na mwanamke wa aina gani, hili ni muhimu sana kwangu kuwa na mipaka kwako.”
GHATI: “Uko sahihi but sometimes it is very difficult to talk about the past, wewe kuwa huru huna haja kuweka mipaka.”
MIMI: “Seems unanipa greenlight ya kuendelea na safari right?”
GHATI: “What do you mean?”
MIMI: “I meant, you need a man who can return your happiness and make you feel worthy."
Ghati alinyamaza kimya na mimi niliamua kumuaga sababu muda ulikuwa umekwenda sana na mama J alikuwa kashaanza kupiga sana simu. Tuliagana pale kwa makubaliano ya kuonana weekend tena, kabla ya kushuka kwa gari nilimtania kuwa yeye ni mwanamke mrembo na nimefurahi sana kujuana naye, aliishia kucheka na nikaondoka.
Baada ya kurudi home wife alikuwa kanuna balaa na alianza kufoka pale seblen lakini mama yangu alikuwa chumbani,
WIFE: “Baba J unarudi home hata kutulia upumzike ni shida unakwenda kuzurura, hizi tabia zitaisha lini?”
MIMI: “Mke wangu kuwa na break, niliondoka kwenda ofisini kutuma documents kwa dereva walimzuia ndo anakuja na mzigo.”
Na mimi niliamua kwenda na uelekeo wa chumbani,
WIFE: “Sasa unakwenda wapi? Chakula kipo mezani kinapoa.”
MIMI: “Nakuja mama.”
Na muda huu mama alitoka chumbani na yeye alikuwa upande wa wife na alisema kweli nilichofanya sio kizuri, kwani nimerudi safari afu nimeondoka tena si jambo la busara. Tuliendelea kuongea na story za huko Kenya pamoja na maendeleo kwa ujumla lakini wife alikuwa mbali sana kama mtu ambaye hataki kusikia nacho ongea.
******
Saa 1 asubuhi mapema sana nilikwenda ofisini Masaki na nilikuwa wakwanza kuwasili pale ofisini hata mlinzi alishangaa sana. Baada ya masaa 2 nilitoka kwenda kupata breakfast kwenye cafe ya karibu na ofisi yetu na baada ya kurudi nilimkuta Asmah pale reception akiongea na Hilda.
Asmah baada ya kuniona alikuja spidi sana kisha akanikumbatia na alionesha kuni-miss sana. Lilikuwa ni jambo la haraka sana ambalo hata sikutegemea kama lingetokea muda ule na tuliondoka kwenda ndani.
Tulianza mazungumzo kuhusu Ethiopia na alitaka kujua Iryn alinitambulishaje kule kwa ndugu zake, ila sikutaka kumfungukia sana maana niliona havimuhusu. Taarifa zingine alizonipa ni kurudi kwa mama Janeth na alinambia kuwa alikuwa akiniulizia sana maana nilikuwa sipatikani kwa simu.
Niliwaza kama mama karudi, bhasi kuna haja ya kwenda kumtembelea badae ili nimkabidhi na gari kabisa. Niliendelea kumtania Asmah pale maana ndo mtani wangu wa ofisini, asipokuwepo kazi huwa haziendi kabisa,
MIMI: “Asmah ukweli hukupenda nilichokufanyia ile siku? Be honesty.”
ASMAH: “Toka siku ile umefanya niwe nakumbuka tu lile jambo.”
MIMI: “Unaonaje tukirudia tena? Uzuri mimi na wewe tunajuana hakuna cha kufichana.”
ASMAH: “No haiwezekani Insider kwa hili utanisamehe, namuheshimu sana Iryn maana akija kujua itakuwa shida.”
MIMI: “kama utamwambia ni sawa lakini mimi nimeshakuonesha interest zangu za kukula kwa mara ya pili.”
ASMAH: “Lol! I don’t think so.”
Niliishia kucheka na nikajisemea huyu anataka sana ila anajifanya analeta ugumu sasa ngoja nimtest nimuone,
MIMI: “Mwakani nakwenda kufanya kazi Ethiopia nitakuachia ofisi mama.”
ASMAH: “What? No Insider usiondoke please!, mimi nishakuzoea nitakuwa na wakati mgumu sana hapa ofisini.”
MIMI: “Sure unafikiri nakudanganya? Muulize mlinzi nimeingia sangapi hapa ofisini? Naweka ripoti sawa na utachukua position yangu.”
Asmah alionesha kunyong’onyea sana baada ya kumpa hizi taarifa na mimi nilitoka nje nikaenda kukaa kibarazani nikipoteza muda.
Jioni nilikwenda kuonana na mama Janeth pale kwake. Baada ya kuwasili nilikaribishwa ndani sebleni na muda huu mwanae Smith alikuwa yuko seblen. Nilikuwa nazikumbuka zile kauli za Iryn na kila nikimuangalia dogo nilikuwa naona ni kweli wamefanana sana na baba yake Iryn.
Mama alitoka sebleni na tulianza mazungumzo, nilishtuka kusikia akiniuliza habari za Ethiopia na alihoji kwanini sikumuaga?. Nilijiuliza mama kajuaje? Au Iryn kamwambia? Mbona hajanambia kama kaongea na mama Janeth?. Sikuwa na jinsi ya kumkatalia, hivyo nilimwambia ilikuwa ni haraka sana maana Iryn alinambia anakwenda kudhuru kaburi ya mama yake na anahitaji kampani yangu.
Tuliendelea na mazungumzo mengine ya kiofisi na habari kubwa alisema December nitapata gawio langu kutokana na faida itakayo patikana. Mama alisema ataendelea kuwepo mpaka mwisho wa mwaka na anatarajia kusafiri tena mpaka January.
Baada ya kumaliza maongezi yetu nilimuaga na nilimkabidhi funguo ya gari Audi. Japo hakupenda maana alisema ile gari ni ya Iryn na mhusika alibariki mimi niendelee kuitumia, kuliko kukaa parking.
Nilifanya kurequest usafiri wa kunirudisha home na wakati niko njiani nilimpigia simu Iryn kumuuliza kama aliongea na mama Janeth. Iryn alinambia yeye ndo aliyemwambia kuwa tuko wote Ethiopia baada ya mama Janeth kulalamika kuwa amerudi na ameambiwa nimesafiri afu sijatoa taarifa yoyote.
Tulitumia msasani road kuja kutokea Mwaikibaki road na wakati niko Mikocheni nilikumbuka kumcheki Mary ili nimshukuru kwa kuniwakilisha kwa Jane. Nilikumbuka kwamba Mary mara ya mwisho alikuwa kaniblock, hivyo nikampigia kwa namba yangu nyingine. Simu iliita bila kupokelewa na nilipiga mara 3 bila majibu yoyote, nilijisemea lazima anicall back maana hii namba hana, atataka kujua ni nani alikuwa akipiga simu.?
Baada ya kurudi home pale nje ilikuwa imebaki gari yangu IST ambayo nilikuwa nina mpango wa kumpa dereva awe anafanyia Uber, ananipa hesabu. Mtu ambaye alikuwa sahihi kwangu ni jamaa yangu Kizoka ambaye alikuwa akinisaidia sana kipindi kile kuwachukua madogo kule Masaki. Mara ya mwisho kuwasiliana na Kizoka alinambia hana gari na atafuta aendelee na kazi, hivyo nikapanga kumcheki ili tuingie mkataba.
Niliingia ndani na mama alikuwa amekaa seblen na baada ya kusalimiana alisema ataondoka baada ya sikukuu ya Christmas kurudi mkoani. Taarifa nyingine alisema atahitaji kukaa na sisi kwaajili ha maongezi na tulikubaliana tufanye kikao baada ya Christmas.
Kwa upande mwingine wife alikuwa ni mtu ambaye kama hana furaha kabisa na mimi mpaka nikaanza kuwa na wasiwasi labda amejua sikuwa Kenya. Wakati tuko chumbani nilijaribu kumdadisi shida ni nini? lakini alisema yeye yuko sawa tu hana tatizo ila mimi ndo nawasiwasi ila kila kitu kiko sawa.
Kesho yake nilikwenda Posta kumtafuta jamaa yangu Kizoka ili nimpe gari awe ananiletea hesabu. Licha ya kuacha biashara ya Uber ila bado nilikuwa nawateja wengi sana wanaonitafuta hasa foreigners, hivyo niliona ni bora nimtafute jamaa nimpe na wateja.
Habari mbaya baada ya kwenda Posta sikuweza kumpata jamaa maana hata kwenye simu alikuwa hapatikani. Licha ya kumuulizia pale kijiweni walisema hawamjui na ikawa imekula kwangu, sikuwa na option nyingine ya kumpata.
Mchana nilifanya mazungumzo na Iryn na alinambia kuna mzigo unakuja ila utafikia Zanzibar, hivyo itabidi nipange mapema namna ya kufanya clearing. Nilishindwa kumuelewa kwanini mzigo uende Zanzibar? Yeye alisema meli iliyopatikana ni cheap na haiwezi kuja bara. Taarifa nyingine aliyonipa ni kwamba anatarajia kuondoka jumapili kurudi South Africa pamoja na baba yake.
Tuliendelea kuongea masuala mengine ya ujauzito wake maana alikuwa analalamika mimba inamsumbua sana kwasasa na dalili zimeanza kuonekana waziwazi. Habari nyingine iliyonikera ni baada ya kuniambia kuwa Muajemi bado anamtafuta na kumsumbua,
IRYN: “Darling, uliongea na rafiki yako Muajemi?”
Ukweli nilikuwa nasahau kumtafuta Muajemi,
MIMI: “Hapana baby sijafanya hivo, kuna tatizo?”
IRYN: “Hunipendi ndomana unafanya hivo, angekuwa mama J ndo anafanyiwa hivi ungekuwa ushachukua hatua muda mrefu sana.”
MIMI: “No baby, si waona mambo yalikuwa mengi hapa katikati?, lakini nilimcheki mara moja akawa hapatikani.”
IRYN: “Insider huna mapenzi na mimi ndomana, anyway nitamwambia ukweli aelewe kinachoendelea kama wewe umeshindwa.”
MIMI: “Baby usiseme hivyo, kwanini usimblock kama anakusumbua?”
IRYN: “Unataka niblock namba ngapi? kum-block mtu ni kumuogopa na kwanini nipate tabu?.”
MIMI: “Baby nikimaliza maongezi na wewe nitampigia simu, hili niachie mimi ntadeal naye parpendicular.”
IRYN: “Haya baba, byee!”
Nilipatwa na hasira sana, nikajisemea leo ninamuwashia moto Muajemi, hata asipo-pokea simu nitamtumia message ataipata tu. Nilimpigia simu kwa whatsapp lakini haikupokelewa na nilikwenda Telegram lakini hakupokea na nikamtumia message.
“Hello, brother. It’s been a long time. I have been calling you, but you didn’t answer my calls. I have news from Iryn. Call me back when you see this."
Nilimtumia ujumbe kwa Whatsapp na ulionesha tick 2 maana umefika ila bado kusomwa tu. Niliwaza hivi Muajemi ana Roho gani? Mbona ni mng’ang’anizi sana?. Kwa upande wangu hata mimi nilikuwa na wasiwasi sana ukizingatia Muajemi alikuwa ana Pesa chafu. Nilifikiria mbali sana nikaona kuna siku Iryn anaweza asichomoe kwa Muajemi kama ataweka dau kubwa mezani.
Wakati nikiendelea kuwaza namna ya kudeal na Muajemi nilipokea ujumbe kwa whatsapp, ni Iryn alikuwa katuma screenshots za texts za
Muajemi. Uwii! baada ya kuziona nilidata sana, yaani nilichokuwa nakifikiria ndo nilikutana nacho pale!. Zilikuwa ni screenshots 6 za namba tofauti na mwishoni kabisa Iryn alikuwa kaniandikia,
“Darling unaona sasa? Nimekutumia uone jinsi ambavyo rafiki yako ni mshenzi. Nitakuwa nablock hizi namba mara ngapi? I’m tired of this bullshit, Tell him what’s really going on between us.”
Muajemi alikuwa anatangaza offa zake kwa Iryn, na moja ya text iliyonishtua baada ya kuisoma ni kwamba anataka amzalie mtoto, afu atamjengea nyumba anayoitaka, atamnunulia gari analotaka na kumfungulia biashara anayoitaka. Nikajisema kweli Muajemi kadhamiria kumla Iryn bado hakati tamaa.
Niliwaza mbali sana nikajisemea ni vile Iryn kazaliwa kwenye hela na hivi vitu kwake kakuwa navyo anaviona ndomana hababaigi. Nilijiuliza hivi mama J wangu kama ataambiwa hizi offa atachomoa kweli? Niliona probability ya kukataa ni 0.000001. Ukweli Muajemi alinichanganya sana na nikajisemea ntadeal na huyu mshenzi na hizi screnshots nitamtumia falasi huyu.
Jioni nilitoka na Asmah kwenda Mlimani city, alikuwa kaomba kampani yangu na alinunua vyombo na mahitaji mengine ya nyumbani. Baada ya kumaliza manunuzi tulikaa pale nje Samakisamaki tukipiga story na kubwa lilikuwa ni sakata la mimi kwenda Ethiopia maana yeye alikuwa anajua ni kweli, kumbe mimi namtega tu.
Ukweli nilikuwa kwenye wakati mgumu sana wa kuchagua mwanamke wa kumfanya kuwa mchepuko wangu. Iryn alikuwa hayupo afu wife naye haeleweki, hivyo niliona kuna umuhimu wa kuwa na mchepuko ambao nitatulia nao kimya. Prisca nilijisemea siwezi kurudia matapishi yangu labda kumla tu pale napo-mmiss, Ghati mzuka ulinikata baada ya kugundua ana mtoto na alionesha kuingia kwa mfumo. Mary alikuwa mtu sahihi tatizo ni kutoka na mdogo wake Prisca, niliona haitakuwa heshima kwenye familia yao. Asmah ndo alikuwa mtu sahihi wa kutoka naye, lakini tatizo lilikuwa ni Iryn kuweka macho yake yote kwa Asmah, hivyo nitakuwa na tembea na bom mfukoni.
Maongezi yangu na Asmah yalikuwa deep sana hii siku,
ASMAH: “Insider naomba ubaki Tanzania, usiondoke please.”
MIMI: “Asmah deal lina mpunga mrefu nitaonekana ni mjinga kama nitalikataa.”
ASMAH: “Please, wewe ndo kampani yangu pale ofisini na nimekuzoea, ukiondoka nani atakuwa wa kunipa kampani?”
MIMI: “Acha uongo bhana si kuna Hilda? Au ndo unamkana hapa mbele yangu?. Leo unataka kampani na kipindi kile unaninunia?”
ASMAH: “I attempted to keep my distance from you, but I couldn't.”
MIMI: “Nitabaki ila kwa conditions, utaweza?”
ASMAH: “Which conditions?”
MIMI: “Nataka tuwe na mahusiano ya siri sana.”
ASMAH: “Insider wewe si una mke na mtoto? Bado unataka niwe kwenye list yako? Can’t you be serious?”
MIMI: “Ndomana nikasema conditions kama umeshindwa bhasi, hayo yote naelewa niachie haya. Mimi nitajua jinsi ya kuchezesha mpira kwa wote na mka enjoy, otherwise kama umeshindwa bhasi.”
ASMAH: “Nipe muda wa kulifikiria hili then tutaongea.”
MIMI: “Done.”
Niliagana na Asmah na mimi huyo nikaondoka kurudi home na muda ambao nawasili home ilikuwa ni saa 3 na madakika. Mama na wife walikuwa jikoni wanapika na seblen alikuwepo dada na Junior wamekaa, niliamua kwenda chumbani ili nioge.
Wakati naoga nilikuwa nawaza namna ya kumpata Kizoka maana niliona yeye ndo mtu sahihi wa kumpa hio IST. Pia niliwaza kununua gari nyingine ya kutembelea maana kama IST itaondoka sitakuwa na kitu, na swali lilikuwa ninue gari gani?.
Baada ya kutoka kuoga nilimkuta wife amekaa kitandani na tuliishia kuangaliana tu pale kwa sekunde kadhaa na alianza kuongea,
WIFE: “Ukirudi spidi kwenda kuoga unaficha madhambi yako.”
MIMI: “Huenda hata wewe unaficha madhambi yako huko chuo ni vile sijui na sijataka kufuatilia.”
WIFE: “Tumeishi wote kwa muda mrefu, ushawahi kuniona hata siku moja nimeongozana na marafiki wa kiume?, ulishawahi kunikamata nina cheat?.”
MIMI: “Za mwizi ni 40 bado hazijafika mama.”
WIFE: “Baba J hukwenda Kenya, kuwa na aibu wewe mwanaume, hivi huoni dhambi kumdanganya mama?.”
MIMI: “Ushaanza kelele zako, sawa sikuwa Kenya niambie nilikuwa wapi?.”
WIFE: “Naomba tiketi zako za ndege sahivi nizione na hapa ndo tutajua nani msema kweli?”
Damn it, nilikuwa mpole ghafla maana nilikuwa nimekamatika na nilihisi joto kupanda kwa kasi.
TO BE CONTINUED.