Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwamba Irine huyu ambaye mara nyingi yuko smartz ku- anticipate matukio leo kasau chats za Jamaa anayemkula na akakupa simu?

Isije kuwa mambo kama yale ya yule mdogo wake walivokuwa wana-hug hadi ukaona wivu
 
Kwamba Irine huyu ambaye mara nyingi yuko smartz ku- anticipate matukio leo kasau chats za Jamaa anayemkula na akakupa simu?

Isije kuwa mambo kama yale ya yule mdogo wake walivokuwa wana-hug hadi ukaona wivu
Hakunaga marefu yasiyo na ncha, 40 ikifika huwa kuna mistake za kiufundi kwa kujua au kutojua unaweza shake trap.
Mungu hadhiakiwi.
 
Hakunaga marefu yasiyo na ncha, 40 ikifika huwa kuna mistake za kiufundi kwa kujua au kutojua unaweza shake trap.
Mungu hadhiakiwi.
Ni kweli ndio nashangaa tu. Lakini pia hapa Mungu anaingiaje kwenye suala la usaliti wa insider na Irine?
 
Ni kweli ndio nashangaa tu. Lakini pia hapa Mungu anaingiaje kwenye suala la usaliti wa insider na Irine?
Kwasababu katika kila jambo huwa tunaongozwa na nguvu ya Mungu( kama unaamini hivi).
Mungu hufanyiza jambo fulani kutokea( kama una imani hii).
 
Kwasababu katika kila jambo huwa tunaongozwa na nguvu ya Mungu( kama unaamini hivi).
Mungu hufanyiza jambo fulani kutokea( kama una imani hii).
Kwa sake ya uzi tuliache hili, maana inaweza kuwa mada ndani ya mada.
 
Naona wengi yameingia kwenye mtego wa insider kuwa Irene anachepuka. Insider akija na mwendelezo wengi mtashangaa kumbe zile charting nilikuwa za Irene na Yule mdada rafiki yake
 
Mtabiri wa kwanza ndio mshindi, utajuaje kama baada ya mtabiri wa kwanza wao ndio walipata hilo wazo la kutabiri ? Wa kwanza ndio source.
Uko sawa sema Wakwanza kaelezea kiduchu sana !
Anyways Mimi kama mimi nashauri Insaida awafikirie wote after all according to true story by Insaida mtoa uzi ako na pesa na ametabiriwa makubwa!

Sio mbaya akiwa offer kila Mmoko 50! Inanogesha inapendezesha na kufanya uzi kuwa so unique of all the nyuzi zilizopostiwa humu!
Nimeona pia kuna mahala alitoa wazo la kupost vocha humu as sadaka!!

So creative amazing yakufurahisha na Inapendeza sana kiukweli! Big up kwake ✌️✌️!

Cc Smart911
 
Hii imeenda...maana nikinyimwa itakuwa kama goli la azizi ki kule masandwana.😂😂
 
Alubati kwa hizo tatu alotoa mtoa mada kuwa nani kapatia zaidi angalia Post number zao anaeonekana wakwanza ni


1 .Cennet kwa post number 13235

2. Iphone6 kwa post number 13247
na wa
3 . ni Mr George G kwa post number 13254

INSIDER MAN Winner ni huyo Cennet

Cc Smart911
 
Ndio huo mshi hakuwahi kutajwa, alirudia tena tu kutaja challenge angallia nyuma challenge ilipoanzia
Yes hakutaja alisema Wengi wamejitahidi kuotea then hao wengi ndio katoa list kuwa watatu ndio walijitahidi na ukiangalia kati ya hao aliowalist kiuhalisia mshindi nihuyo Cennet. Japo mi lasaba D na hesabu nilifeliiigi ila najua inaanza 23 then 24 kisha 25

Cc Smart911
 
Anyway lakini kama ni mfuatiliaji mzuri kanuni ya ushindi ni mtu wa kwanza kutabiri na ndio aliweka kwa kuandika N:B chini.
Vyovyote atakavyoamua its okay!
Mimi ni mshindani ndio maana napenda ushindi. Alijichanganya mwenyewe kutoa challenge mara mbili kwa mtu mmoja na yeye anakiuka kanuni ya ushindi.
 
Kama hujachanganya files Umeupiga mwingi mkuu !

Big up!

Cc Smart911
 
Bado siamini kama Iryne anaweza kua na mchepuko, i think the woman is tricking insider to see his reaction; Iryn sio mjinga, fikiria ana appointment na mwanaume mwingine this time halafu kamuachia simu baba wa mtoto wake mtarajiwa, sio mjinga hivyo. Again, ni suala la muda tu, Mary nae ataliwa though sijui itakua episode ipi? Kuna dot insider aliiacha volume one kule, kuna mdau mmoja alimpa ushauri, why asingeneze tamthiria ya hi story yake, mwamba alijibu hivi, "Mary acheze nani"? Kwa tuliopata D mbili, tulielewa kitu pale,.

Tu bless kaka na mwendelezo mwingine, weekend ndio hiyoo imeanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…