Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Marry sio demu wala mke wako ila umemkatili. Kitendo cha kuwa nae ndani alafu bado uongo mwingi hadi anakushtukia hapo ulizingua.
Nilimdanganya ili kuepusha maswali, hapo ningemwambia niko na fulani maswali yangekuwa mengi. Pia, nilijua yuko Geto sasa hesabu zilifeli tu, ila nilikuwa sahihi
 
wanawake bhana ni watu wa ajabu sana!! Mtu unajua kabisa kuwa huyu mtu ana mke na mtoto, kisha unajua kabisa kuwa huyu huyu alimbebesha mimba mdogo wako tumbo moja, na kama hiyo haitoshi bado akakusimulia matatizo yake kuwa kambebesha mimba mwanamke mwingine tena Iryn. Sasa wewe una akili timamu kweli unapolazimisha kwenda kulala kwake? Yani eti friend mwanamke akalale chumba kimoja na friend mwanamme... Dah aibu nimeona mimi..

Wanawake mnajirahisisha sana mpaka mnatia kichefuchefu..hata kama una thamani, ukijirahisisha hivi thamani yako inashuka sanaa....

Halafu eti unasema ni wife material, hakuna wife material hapo ndugu yangu...wife material hawezi kujipeleka kwa mwanaume unayejua kabisa kuwa ana mke na michepuko ya kutosha... hilo ni chaka lingine tu
 
Shukrani sana mkuu
 
Dah INSIDER MAN unajua sana kusimulia, hii movie natamani isiishe. Kila episode ina burudani yake special kabisa

HONGERA SANA NDUGU
 
Umeongea kwa uchungu sana mwamba. Mwenye sikio na asikie
 
Me mwenyewe nimeshangaa. Na upwiru tulionao wanaume ulale na demu Shuka moja wiki nzima usichape hata kimoko Nyamwi255 Lovelovie Mahondaw Lamomy hivi inawezekana hiiπŸ€”? Anyway......
Kumbe ameendelea doh! Asante sana kwa tag

Sijui hata Niliishia wapi walai!

Labda hama hamfeel ndio hawezi kuwa na mudi ya kumla wala mshipa kushtuka juu ya Mary
Inawezekana kabisa. Love making is about feelings and mindset


Cc Smart911
 
Me mwenyewe nimeshangaa. Na upwiru tulionao wanaume ulale na demu Shuka moja wiki nzima usichape hata kimoko Nyamwi255 Lovelovie Mahondaw Lamomy hivi inawezekana hiiπŸ€”? Anyway......
Abominationnnn!!

Ashalala na mdogo wake sidhani kama Inapendeza kumla dadamtu
Kimaadili sio poa kabisaaa
Mtafika hizo ndude zenyu zimekatika walai

Cc Smart911
 
Abominationnnn!!

Ashalala na mdogo wake sidhani kama Inapendeza kumla dadamtu
Kimaadili sio poa kabisaaa
Mtafika hizo ndude zenyu zimekatika walai

Cc Smart911
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wanaume tumeumbwa mateso wallah. Nyie ndo mnajua ku control hisia zenu. Sisi popote kambi ndo maana usishangae hata mdogo wako akijilengesha kwa mmeo anafyagia
 
Shukrani mkuu, siku hizi JF kuna masimulizi mengi, nilikuwa nimekomaa kusoma uzi mmoja jamaa anajifanya yeye ndio sijui jini nani anajibu watu live πŸ˜†πŸ˜†
Nitag basi huo uzi namie nisome mkuu
Hii episode ya leo ni moja ya episode mbovu kuwahi kutokea.

Nadhani umetuficha huwezi kulala na Mary sikuzote hizo usimguse
Tatizo mmempiga sana mawe jamaa kwasasa anaonekana haandiki sana mambo ya chumbani kwamfano ile siku alivyoenda kulala na Ghati nikama hizi epsode siku hizi anaziandika kitasha sana kwenye upande huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…