INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
-
- #14,841
Kuna mambo mengi nilifanya kwa juhudi binafsi mpaka nikawa sawa, Masai ilikuwa extra tu. But nilifight sana, tatizo langu mimi ilikuwa siakolojia nilichelewa kuanza sex. Mwanamke wa kwanza kuanza naye baada ya kumaliza form 6, mara ya kwanza naiona P*sy on sight, kwani wazungu walichelewa? Kitu shwaaa.insider hata wewe ulkua na matatzo akoding na stor yako kwamba dadako alkupa dawa ya kwa mmasai ndo mana
Nitaandaa uzi kwa vijana wenzangu, kuweni na subira.Kweli watu ni wa sahaulifu, hapo nyuma kidogo tu ulisema dadako alikusaidia kuhusu hilo tatizo ila saivi wajiona MWAMBA kwa7b ya Wamasai.
We wamasai wame kulisha mizizi ya NGUVU KULUKUNDU ni ya uchungu kama nn, umepona eti saiv ww tena unajiona DAKTARI kwa wagonjwa 😱😱😱
Daah. Hakuna aliyesema ubadili maneno yako. Hata ukiniona niko kama hainipunguzii wala kuongeza kitu kwenye maisha.Hata usemeje.. Sibadili maneno niliyoandika. Hao wanawake hakuna walio nje ya mzunguko anaoupitia? Ingawa ni bwana huruma.. Inaonyesha na wewe kama yeye tu na mpo zaidi.
Haya nawe kazungukie wote wa karibu wanaojuana, tena bila aibu kama una mke na wewe kapeleke pia michepuko yako nyumbani kwako.. Namba moja kisa kupewa pesa kama yeye au lolote lingine.
Mkuu shusha muendelezo, vijana hawatakuelewa kabisaNitaandaa uzi kwa vijana wenzangu, kuweni na subira.
Pigia mstari A MAN WITH VISIONMary ni wife materials sana; since day kaingia kwa hi story u can notice that. Wanawake hawatafutagi mwanaume bikra, wanatafuta a man with vision
watu wanafufua makaburi kwa INSIDER MANKweli watu ni wa sahaulifu, hapo nyuma kidogo tu ulisema dadako alikusaidia kuhusu hilo tatizo ila saivi wajiona MWAMBA kwa7b ya Wamasai.
We wamasai wame kulisha mizizi ya NGUVU KULUKUNDU ni ya uchungu kama nn, umepona eti saiv ww tena unajiona DAKTARI kwa wagonjwa 😱😱😱
hadi Kibatara wake aje!Faster mpigie simu sister mwambie kuna muujiza huku.....halafu mwambie Jimmy huwezi kuongea hadi mwanasheria wako aje (sister). Sijapenda Iryn kurudi, atatuharibia movie yetu mpya kwa Mary
Daah. Hakuna aliyesema ubadili maneno yako. Hata ukiniona niko kama hainipunguzii wala kuongeza kitu kwenye maisha.
Tabia za nyinyi wanawake wewe mwenyewe unazijua ingawa muda wote mawe kwa wanaume. Huyo Insider anayeonekana malaya hafanyi na mbuzi
Kweli watu ni wa sahaulifu, hapo nyuma kidogo tu ulisema dadako alikusaidia kuhusu hilo tatizo ila saivi wajiona MWAMBA kwa7b ya Wamasai.
We wamasai wame kulisha mizizi ya NGUVU KULUKUNDU ni ya uchungu kama nn, umepona eti saiv ww tena unajiona DAKTARI kwa wagonjwa 😱😱😱
Mama punguza hasira enjoy story kila mtu ana mapungufu yake.. hata hivyo amesema hii ni past yake kwa maana yamepita na amejifunza.Ha ha haaaaaaaaa
Kuna wanawake wengi.. Waliandika kabla alikuwaje.. Ni tabia chafu anafanya kuwazunguka wanawake wanao fahamiana bado awebwana huruma kwa Jane naye siku moja na mdogo wake Jane.
Hajiheshimu kabisa na hana heshima kwa wanawake haswa mke mtarajiwa Mama J na akifatiwa na Iryn nini kwenda kwa Asmah!!!!!
Shameful man
Kwo ina maana JAMAA ni TIMBULO sasa 🤣🤣ila hawezi tongoza wanawake nje ya walio pamoja..
Ujue nimewaza piaKwa nini insider kila mchepuko anataka umzalie mtoto? Anaona raha wenzie kuwa masingle mother sio vizuri wachepuke tu eti nataka unizalie mtoto
Ase wakuu hii haijaendelea tu maan nimeishia episode ya 29My guts inaniambia INSIDER MAN ukiacha mtoto na wife (junior) basi mtoto mwingine ni wa Iryn na yule mtoto wa tatu uliyesema unamtegemea ni kutoka kwa Mary.....well the story will prove Me wrong or otherwise.
Ila hana maslahi sana sahv, mimba kuubwa, sahv Mary ndo yuko peak ...Oyoooo Irene is back
Vitabu vipi hivy unavyosom mkuu .....share na mi pia napenda kusoma vitabuNasoma vitabu tu, Novel hapana.
Wewe unaweza kuoa mwanamke aliyezaa na Insiderman?Ujue nimewaza pia
Na ndio maana masingomaza wanaongezeka siku hizi na hapo hapo hatutaki kuwaoa masingle maza atawaoa nani?