Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kumbuka mama Jr hadi sasa hajui chochote zaidi ya kuhisi tu. Nimeanza kumuonea huruma Manka, daa sio fair. Anyway, the good news is, jamaa na mama Jr wapo vizuri sana na ndoa yao ipo very strong. Aliishaga ligusia hili na hata wale aliowarushia pesa, alitumia Mpesa ya mkewe, so this is just a history of his life. Tuendelee kuburudika
 
Yaaniiiii haka kakipengelee ni balaaa zitoooo
 
Insider Insider Insider nimekuita mara tatu... Huyo Mary huyo ndiyo kirusi kikubwa sana kwenye maisha yako hasa kwa maamuzi unayokwenda kufanya now

By the way story tamu sana
 
Mke akichepuka ni dharau kubwa sana...mwanaume upande mwingine anaweza tembea na mwanamke na aakwa Hana upendo nae WA dhati....shida ya Mary ni kumvuruga jamaa..sijui huko mbele.....
 
Habari yako bwana mdogo Insider,sikia,the simplest way ya kumuacha mama J ni kunipa namba yake, pesa na weaknesses zake nimtongoze nimle halafu nikupe ushahidi umuache uendelee kutembeza fimbo ulimwenguni,kwa pamoja tunaivuruga ndoa yako!
Ona uyu naye....iyo ni story bro... it's just a past...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…