Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Umegeuka kwa Mama J kisa Mary huyu 🤮.

Halafu Kungwi Jane 🤣🤣🤣
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🤣🤣🤣

Maneno yake hapo anatamani, ungekuwa unampiga yeye hiyo ya kumaliza mahitaji.. 🤣🤣🤣

Spy Prisca

Ila Insider wewe ndio ulivyo muelezea Mary ya akilini na sijui nini.. Shame
 
Asante [emoji120]
 
Hapo ndipo ukweli hujilikana ukianza kuwa na makando makando utaanza Kubadilika na kujulikana...... insider
 
Pamoja na yote, mafanikik yako yapo kupitia huyo mama J, unajua mnavyokutana kimwili mnaunganisha laana au baraka, so kwa Mama J amejaa baraka na mind you akienda kwa Mwanaume mwingine akaanza kumgonga lazima atafanikiwaa
 
One of my bosses nikiwa kijana alinifundisha kuheshimu nyumbani na kuilinda familia yangu at any cost. Hakuwa mwema maana alikuwa na watoto kadhaa mtaani ila hakutaka familia yake wajue hilo. Alikuwa malaika mbele ya familia yake. Ilikuwa ukimkuta na mkewe unatamani uwe kama wao.


INSIDER MAN alikuwa anazingua kuzinguana na mama J na najua mpaka bado ujana upo ila ni lazima amlinde mama wa mtoto wake asijue anayofanya mtaani.

Kuna viashiria vingi huwa wanawake wanajua kuwa mume kachepuka. Jambo moja ni kujihami kama kinyonga
 
Umemuelewa vizuri mwanamke mwenzio Jane. Hivyo ndivyo mlivyo😁😁
 
Some few words from elders.
1. Wakati naishi kanda ya ziwa, mkoa wa Mwanza na Geita, niliwasikia wanawake in different locations kwamba endapo una mimba halafu baby wako au mwanamke mwenyewe akawa anapiga friend match then kuna possibility kubwa sana ya kuzaa kwa operation na sio kwa njia ya kawaida. I can smell fish here to the boss lady. Ingawa Wasukuma na Wahaya huaga (hasa wanawake ) wanakunywaga dawa kama anti dot. Mimi sizijuiz so msinifate inbox tafadhari.
2. Ingawa hi ni story ya mambo yaliopita, narudia nilicho Andika huko nyuma na wadau kadhaa nimeona wamerudia; "Puyanga uwezavyo but DON'T ignore nyumba kubwa, huyo mama unaye mdharau ndio kashikiria baraka zako. Mifereji ya pesa unayoipata ina uhusiano mkubwa sana na yeye.
3. Nategemea kusikia kuhusu matokeo ya mitihani ya mama Jr; kwa wapenzi wanao pendana na kufanya mambo kwa pamoja na umoja kama Insider na Manka halafu mapenzi yao yakayumba kama hivi; possibility ya kufanya vibaya mitihani yake ni kubwa sana; hasa wakatu wa maandalizi, mara nyingi hata akiwa anajisomea hawezi kuelewa anacho soma. Hili kwa mwandishi alikosea sana.

No 1 na No 2 can't be proved scientifically but nimeona mara nyingi inafanya kazi. Kuhusu No 2, nimeona watu waliokua wanafanya biashara na wakapata pesa, walioachana na wake zao walioanza nao maisha, biashara nazo ziliyumba hadi kufirisika kabisa. Kuna mmoja humu naona kaweka his testimony about it. Swali chonganishi kwa mwandishi, "mkewe anaonekana ni mtu aliyemshika sana Mungu; hajawahi kuoteshwa ndoto kuhusu usariti wa mumewe?
Anyway, tuendelee kuburudika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…