Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

This is BIG. Thank u INSIDER MAN
 
Kwangu huna deni bro. Ilikuwa ni simulizi nzuri na yenye funzo, ambayo haichoshi kuisoma.
Asante sana, na ninakutakia kheri nyingi katika mapambano ya maisha.
 
INSIDER MAN vipi mama junior hajawahi kumuomba irine kuona picha ya mtoto wake? maana ni marafiki na ulisema Aria kafanana sana nawewe pamoja na kaka yake junior!!
Daah! Niliplan kuzungumzia hili pindi nitakapokuja na Season 3. Naamini kufikia disemba mwakani kila kitu kitakuwa sawa, nitakuja kuwapa mrejesho. Tutamaliza utamu mapema sana, vumilia swirry, 🥰

Lakini, hajawahi kumtumia picha, pia alibadilisha namba ya simu. Inshort ni kwamba mama J nishamuandaa vya kutosha kisaikolojia, na anahisi nina mtoto na Iryn.

Suala la mama J linaniumiza sana kichwa, huko ukweni jinsi wanavyoniamini wakija kupata hizi taarifa sijui watanifanya nini.
 
Nimesikitika bila kushangaa sana kwamba Prisca na Mary waliishia hivyo, ingawa ni Bora bado hawajamalizana mengi kichini chini kabisaaaaaa.. Lolote lawezekana. Kwanini hautaki kumwachia Mary, hauoni yeye amefika na kutulia anaweza asijisogeze kwa mwanaume mwingine kisa upo nae?

Mary kwangu bado ni tabia mbaya sana, ni wale watu wanataka alichopitia sibling wao. Labda hata kwao Prisca anapendwa zaidi yake hivyo yeye anajitoa ufahamu. Na Prisca kamzidi mengi.. Hivyo ana wivu kuwa nawe ni ushindi kwake kwa sista ake.
 
Ahsante saana kaka kwa story nzuri kuhusu Maisha Yako halisi; story hii imetuburudisha, imetuelimisha, imetuhamasisha, na zaidi kwa sisi jinsia ME imetupa strength ya kupambana saana na maisha na kuwa na courage ya kutatua changamoto zote tunazokutana nazo. Kwa kifupi ni kuwa you're the BEST bro. Personally,l would like to acknowledge and appreciate the following: Irene( the pure loving soul), Mama J( pure Tanzanian wife😜), Mary ( Blind lover), Mama wawili ( Unpredictable elder woman), Mama Janeth ( Top in assist), Jimmy( Brother in-law with merits 😂).........list ahead.
Brother tuendelee na hii story hata kwa summary tu, Ina Faida nyingi za kujifunza🙏🏼
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…