William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Alitoka Azam. Azam ikiwa mbovu sana. Aliua makipa kwa mazoezi yasiyo na vipimo. Alipopewa Timu nilisema mno Kama toka aje Makipa viwango vinakufa kwa mazoezi mengi. Toka Aly Salum, Ayou na Manula ataua timu kwa staili hiyo hiyo.
Tukaweka kampeni aiache timu viongozi wakamwamini.
Kilichotokea leo nilijua wachezaji wamecheza kipindi cha kwanza wakachoka kabisa.
Na hakuna kocha atakaetoboa simba uyu Mwamba akiendelea kuwa simba.
Tukaweka kampeni aiache timu viongozi wakamwamini.
Kilichotokea leo nilijua wachezaji wamecheza kipindi cha kwanza wakachoka kabisa.
Na hakuna kocha atakaetoboa simba uyu Mwamba akiendelea kuwa simba.