Jinsi China "ilivyoangukia pua" mbele ya Marekani huko Ethiopia

Yani wameungana kupigana na nchi moja yani china one man army via hap wote.
Kweli china ni hatari sana
 
Hakuna kitu China ni kelele tu

USSR
 
Ubepari ni unyama sikuzote
 
Hakuna kitu nisichopenda kusikia km China. Hao wanatulisha popo,panya,nyoka hadi nyama za maiti. Acha minyoo na vyura wasenge hao ni kuwafuta hapa duniani.
Wametuletea Corona tumesota karibia miaka mi3 wasenge hao eti leo wanaleta chanjo ku***ake zao
Ningekuwa nauwezo ningewafutilia mbali pumbavu zao.
 
Yani wameungana kupigana na nchi moja yani china one man army via hap wote.
Kweli china ni hatari sana
China katengeneza space station peke yake na kuisimika huko angani kisha ana anapeleka wanaanga huko kila anavyojisikia. Wakati US, Russia na nchi za ulaya zilimkatalia China asijiunge nao kutengeneza na kupeleka International Space Station huko angani.

Mchina muone hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…