Jinsi China Inavyo iendesha Marekani , Kwa hili US Imechemka .

Jinsi China Inavyo iendesha Marekani , Kwa hili US Imechemka .

Mr_mkisi

Member
Joined
Sep 24, 2024
Posts
15
Reaction score
47
Marekani iliwafungia China katika kila kona ili kuibana na kuzuia kwa hofu ya kupitwa … kiuchumi, siasa hata Teknolojia lakini hadi sasa marekani haiamini kilicho tokea China Imegeuza meza …!

…….kivipi ?

Pause …. Naitwa Mkisi mtaalamu wa teknolojia na vifaa vya kidigitali. Tupo Kariakoo tunauza Simu na Laptop + Tablets kwa jumla na reja reja . Kupata makala kama haya tuma ujumbe WhatsApp kupitia +255 628210865 sasa hivi nikuunge kwenye group letu .

Play ….

Leo tutaangazia teknolojia hasa AI au artificial intelligence au akili Mnemba.

Baada ya marekani kugundua na kuweza kutengeneza AI yake kama GENIMI , Chatgtp na nyinginezo , iliweka sera /masharti kupitia kampuni ya Invidia kuto kuuza CHIP maalumu ambazo zinabeba program za AI …

Kuto kuuza nje ya marekani kuzuia China isipate teknolojia hiyo.

Invidia ni nani ? …. Ni kampuni maalumu inayo tengeneza Chip ambazo zinabeba program za AI kiufupi ni kwamba huwezi kuwa na AI bila kuwa na hiyo Chip.

….Sasa …! China wamepindua meza kibabe .
Wamekuja na AI yao special kabisa inaitwa DEEPSEEK .

Baada ya kuzinduliwa tu imepata mamilioni ya downloads (Playstore + Appstore ) .
Deepseek imekuwa buree kabisa tofauti na AI za kimarekani ambazo kuna baadhi ya vitu ili utumie lazima ulipie .

Cha kushangaza zaidi , Marekani ilitumia mabilioni ya pesa kutengeneza Ai zao lakini Deepseek imetumia takribani Dola Milioni 6 Tu .
Marekani imebaki mdomo wazi na bado wanajiuliza china wamewezaje ? Baada ya figisu kwenye Tiktok sasa wamepigwa bao kwenye AI na kuna maporomoko makubwa kwenye hisa za AI za kimarekani huku DEEPSEEK hisa zake zikipanda mara dufu.

Makala kama hizi naadika mara kwa mara nitafute kupitia +255 628210865 nikuadd kwenye group na kama utahitaji msaada kuhusu Teknolojia , Simu au Laptop .

Tupo Kariakoo Aggrey dar Free delivery mkoani unatumiwa na unalipia ukipokea mzigo wako 🤝.​
 
Marekani iliwafungia China katika kila kona ili kuibana na kuzuia kwa hofu ya kupitwa … kiuchumi, siasa hata Teknolojia lakini hadi sasa marekani haiamini kilicho tokea China Imegeuza meza …!

…….kivipi ?

Pause …. Naitwa Mkisi mtaalamu wa teknolojia na vifaa vya kidigitali. Tupo Kariakoo tunauza Simu na Laptop + Tablets kwa jumla na reja reja . Kupata makala kama haya tuma ujumbe WhatsApp kupitia +255 628210865 sasa hivi nikuunge kwenye group letu .

Play ….

Leo tutaangazia teknolojia hasa AI au artificial intelligence au akili Mnemba.

Baada ya marekani kugundua na kuweza kutengeneza AI yake kama GENIMI , Chatgtp na nyinginezo , iliweka sera /masharti kupitia kampuni ya Invidia kuto kuuza CHIP maalumu ambazo zinabeba program za AI …

Kuto kuuza nje ya marekani kuzuia China isipate teknolojia hiyo.

Invidia ni nani ? …. Ni kampuni maalumu inayo tengeneza Chip ambazo zinabeba program za AI kiufupi ni kwamba huwezi kuwa na AI bila kuwa na hiyo Chip.

….Sasa …! China wamepindua meza kibabe .
Wamekuja na AI yao special kabisa inaitwa DEEPSEEK .

Baada ya kuzinduliwa tu imepata mamilioni ya downloads (Playstore + Appstore ) .
Deepseek imekuwa buree kabisa tofauti na AI za kimarekani ambazo kuna baadhi ya vitu ili utumie lazima ulipie .

Cha kushangaza zaidi , Marekani ilitumia mabilioni ya pesa kutengeneza Ai zao lakini Deepseek imetumia takribani Dola Milioni 6 Tu .
Marekani imebaki mdomo wazi na bado wanajiuliza china wamewezaje ? Baada ya figisu kwenye Tiktok sasa wamepigwa bao kwenye AI na kuna maporomoko makubwa kwenye hisa za AI za kimarekani huku DEEPSEEK hisa zake zikipanda mara dufu.

Makala kama hizi naadika mara kwa mara nitafute kupitia +255 628210865 nikuadd kwenye group na kama utahitaji msaada kuhusu Teknolojia , Simu au Laptop .

Tupo Kariakoo Aggrey dar Free delivery mkoani unatumiwa na unalipia ukipokea mzigo wako 🤝.
Kuna mambo yani yanatokea tu naturally huwezi yazuia hata ukijaribu. Kwa sasa hakuna cha kumzuia China hata wafanye nini.
Empires rise and fall and rise other empires.
Model yake ya economy na politics nadhani inamwezesha kwa sasa kuelekea anapotaka kirahisi.
 
Marekani iliwafungia China katika kila kona ili kuibana na kuzuia kwa hofu ya kupitwa … kiuchumi, siasa hata Teknolojia lakini hadi sasa marekani haiamini kilicho tokea China Imegeuza meza …!

…….kivipi ?

Pause …. Naitwa Mkisi mtaalamu wa teknolojia na vifaa vya kidigitali. Tupo Kariakoo tunauza Simu na Laptop + Tablets kwa jumla na reja reja . Kupata makala kama haya tuma ujumbe WhatsApp kupitia +255 628210865 sasa hivi nikuunge kwenye group letu .

Play ….

Leo tutaangazia teknolojia hasa AI au artificial intelligence au akili Mnemba.

Baada ya marekani kugundua na kuweza kutengeneza AI yake kama GENIMI , Chatgtp na nyinginezo , iliweka sera /masharti kupitia kampuni ya Invidia kuto kuuza CHIP maalumu ambazo zinabeba program za AI …

Kuto kuuza nje ya marekani kuzuia China isipate teknolojia hiyo.

Invidia ni nani ? …. Ni kampuni maalumu inayo tengeneza Chip ambazo zinabeba program za AI kiufupi ni kwamba huwezi kuwa na AI bila kuwa na hiyo Chip.

….Sasa …! China wamepindua meza kibabe .
Wamekuja na AI yao special kabisa inaitwa DEEPSEEK .

Baada ya kuzinduliwa tu imepata mamilioni ya downloads (Playstore + Appstore ) .
Deepseek imekuwa buree kabisa tofauti na AI za kimarekani ambazo kuna baadhi ya vitu ili utumie lazima ulipie .

Cha kushangaza zaidi , Marekani ilitumia mabilioni ya pesa kutengeneza Ai zao lakini Deepseek imetumia takribani Dola Milioni 6 Tu .
Marekani imebaki mdomo wazi na bado wanajiuliza china wamewezaje ? Baada ya figisu kwenye Tiktok sasa wamepigwa bao kwenye AI na kuna maporomoko makubwa kwenye hisa za AI za kimarekani huku DEEPSEEK hisa zake zikipanda mara dufu.

Makala kama hizi naadika mara kwa mara nitafute kupitia +255 628210865 nikuadd kwenye group na kama utahitaji msaada kuhusu Teknolojia , Simu au Laptop .

Tupo Kariakoo Aggrey dar Free delivery mkoani unatumiwa na unalipia ukipokea mzigo wako 🤝.​
Watu wamefanya research ndiyo wakaandaa AI. Kuandaa kitu chochote ambacho hakipo duniani lazima utumie hela nyingi na pia upime ufanisi wake (zote hizi ni hela).
Sasa watu wametoa AI intelligence, nawe ukadandia hapo hapo unajiona una akili nyingi kuliko waliotengeneza.😀😀😀
Mchina ni mfanyabiashara, yeye anasubiri watu waumize kichwa, watumie hela nyingi na atoe copy. Auze
Ukitaka kuona hili ndiyo maana mchina mpaka sasa hajatengeneza Operating Sytem yake iwe ya Smartphone au computer. Anajua muziki wake
Iphone akitengeneza simu, yeye anatoa copy.
Bila mzungu kuzindua, mchina hana cha kuzindua
 
Watu wamefanya research ndiyo wakaandaa AI. Kuandaa kitu chochote ambacho hakipo duniani lazima utumie hela nyingi na pia upime ufanisi wake (zote hizi ni hela).
Sasa watu wametoa AI intelligence, nawe ukadandia hapo hapo unajiona una akili nyingi kuliko waliotengeneza.😀😀😀
Mchina ni mfanyabiashara, yeye anasubiri watu waumize kichwa, watumie hela nyingi na atoe copy. Auze
Ukitaka kuona hili ndiyo maana mchina mpaka sasa hajatengeneza Operating Sytem yake iwe ya Smartphone au computer. Anajua muziki wake
Iphone akitengeneza simu, yeye anatoa copy.
Bila mzungu kuzindua, mchina hana cha kuzindua
Harmony os ni ya nani mkuu
 

Attachments

  • 1738947098955.png
    1738947098955.png
    78.9 KB · Views: 2
China ni mfupa mgumu Mbele ya Marekani
Marekani iliwafungia China katika kila kona ili kuibana na kuzuia kwa hofu ya kupitwa … kiuchumi, siasa hata Teknolojia lakini hadi sasa marekani haiamini kilicho tokea China Imegeuza meza …!

…….kivipi ?

Pause …. Naitwa Mkisi mtaalamu wa teknolojia na vifaa vya kidigitali. Tupo Kariakoo tunauza Simu na Laptop + Tablets kwa jumla na reja reja . Kupata makala kama haya tuma ujumbe WhatsApp kupitia +255 628210865 sasa hivi nikuunge kwenye group letu .

Play ….

Leo tutaangazia teknolojia hasa AI au artificial intelligence au akili Mnemba.

Baada ya marekani kugundua na kuweza kutengeneza AI yake kama GENIMI , Chatgtp na nyinginezo , iliweka sera /masharti kupitia kampuni ya Invidia kuto kuuza CHIP maalumu ambazo zinabeba program za AI …

Kuto kuuza nje ya marekani kuzuia China isipate teknolojia hiyo.

Invidia ni nani ? …. Ni kampuni maalumu inayo tengeneza Chip ambazo zinabeba program za AI kiufupi ni kwamba huwezi kuwa na AI bila kuwa na hiyo Chip.

….Sasa …! China wamepindua meza kibabe .
Wamekuja na AI yao special kabisa inaitwa DEEPSEEK .

Baada ya kuzinduliwa tu imepata mamilioni ya downloads (Playstore + Appstore ) .
Deepseek imekuwa buree kabisa tofauti na AI za kimarekani ambazo kuna baadhi ya vitu ili utumie lazima ulipie .

Cha kushangaza zaidi , Marekani ilitumia mabilioni ya pesa kutengeneza Ai zao lakini Deepseek imetumia takribani Dola Milioni 6 Tu .
Marekani imebaki mdomo wazi na bado wanajiuliza china wamewezaje ? Baada ya figisu kwenye Tiktok sasa wamepigwa bao kwenye AI na kuna maporomoko makubwa kwenye hisa za AI za kimarekani huku DEEPSEEK hisa zake zikipanda mara dufu.

Makala kama hizi naadika mara kwa mara nitafute kupitia +255 628210865 nikuadd kwenye group na kama utahitaji msaada kuhusu Teknolojia , Simu au Laptop .

Tupo Kariakoo Aggrey dar Free delivery mkoani unatumiwa na unalipia ukipokea mzigo wako 🤝.​
 
Deepseek ni copy Toka US kabla ya hapo mbona China hakuwa nayo...halafu hiyo deepseek yenyewe Kuna information wanaficha kuhusu china na serikali yake ,AI Gani inabagua taarifa, kingine taarifa zake ziko shallow kulinganisha na Chatgtp...china ni mzee wa kucopy ...
 
DeepSeek inatumia western models. Na bado ni so inferior.

Hakuna chip inayobeba AI. Andika vizuri ulichotaka kusema.
 
Harmony os ni ya nani mkuu
Tunapozumgumzia Operating system maana yake ni Operating System ambayo inajitegemea kwa program au application zake. Inakuwa ya kipekee
Mfano.
Application ya Android yenye apk huwezi kuinstall kwenye IOS (iPhone), hivyo hivyo kwa Blackberry OS, Windows Phone na Symbian.
Hiyo Harmony OS inatumia application zenye extension gani? Usije ukaniambia application za android za .apk zinaweza kuwa installed kwenye Harmony OS.
Mchina hana akili ya kutengeneza Operating System Kiufupi hiyo Harmony OS ni copy na paste ya Android ndiyo maana katika Operating system za simu haipo.
 
Deepseek ni copy Toka US kabla ya hapo mbona China hakuwa nayo...halafu hiyo deepseek yenyewe Kuna information wanaficha kuhusu china na serikali yake ,AI Gani inabagua taarifa, kingine taarifa zake ziko shallow kulinganisha na Chatgtp...china ni mzee wa kucopy ...
Mchina hajawahi kutengeneza kitu bila kucopy na kupaste kutoka Marekani. Kama Marekani asingetengeneza AI basi mchina alikuwa hana cha kutengeneza.
Mpaka sasa Mchina ameng'ang'ania macopy na mapaste ya Android. Sasa hivi tungekuwa na Operating system ambayo ni tofauti na Android na IOS ile radha ya Windows phone, Symbian na Blackberry OS tungekuwa tunaipata sasa
 
Back
Top Bottom