Kwa timu ndogo anaweza.Habar zenu wana jamvi,
Leo ningependa tumzungumzie kidogo huyu mwamba wa Lusaka (Chama) itoshe tu kusema kwamba huyu jamaa ni mwongo na mlaghai pia.
Kadri siku zinavyozidi kwenda anajaribu kuwadanganya na kuwalaghai vijana wengi kuwa kuucheza mpira wa miguu ni kitu rahisirahsi tu, na hii ni kutokana na yeye kuwa jicho la watoto na vijana wengi kwa sasa katika kujifunza mpira.
Anajaribu kudhirishia umma kuwa mpira ni kitu rahisi mnooo..kumbe sivyo kabisa.
Atawastaafisha hawa wezee wa utoHabar zenu wana jamvi,
Leo ningependa tumzungumzie kidogo huyu mwamba wa Lusaka (Chama) itoshe tu kusema kwamba huyu jamaa ni mwongo na mlaghai pia.
Kadri siku zinavyozidi kwenda anajaribu kuwadanganya na kuwalaghai vijana wengi kuwa kuucheza mpira wa miguu ni kitu rahisirahsi tu, na hii ni kutokana na yeye kuwa jicho la watoto na vijana wengi kwa sasa katika kujifunza mpira.
Anajaribu kudhirishia umma kuwa mpira ni kitu rahisi mnooo..kumbe sivyo kabisa.
Utopolo ktk Ubora wako.Kumbe akina Messi ,CR7 wamekuwa wakipotosha vijana mda mrefu sana.Habar zenu wana jamvi,
Leo ningependa tumzungumzie kidogo huyu mwamba wa Lusaka (Chama) itoshe tu kusema kwamba huyu jamaa ni mwongo na mlaghai pia.
Kadri siku zinavyozidi kwenda anajaribu kuwadanganya na kuwalaghai vijana wengi kuwa kuucheza mpira wa miguu ni kitu rahisirahsi tu, na hii ni kutokana na yeye kuwa jicho la watoto na vijana wengi kwa sasa katika kujifunza mpira.
Anajaribu kudhirishia umma kuwa mpira ni kitu rahisi mnooo..kumbe sivyo kabisa.
Tarehe 18.10 SIMBA tutahama rasmi kutoka 4G na kuingia 5GHabar zenu wana jamvi,
Leo ningependa tumzungumzie kidogo huyu mwamba wa Lusaka (Chama) itoshe tu kusema kwamba huyu jamaa ni mwongo na mlaghai pia.
Kadri siku zinavyozidi kwenda anajaribu kuwadanganya na kuwalaghai vijana wengi kuwa kuucheza mpira wa miguu ni kitu rahisirahsi tu, na hii ni kutokana na yeye kuwa jicho la watoto na vijana wengi kwa sasa katika kujifunza mpira.
Anajaribu kudhirishia umma kuwa mpira ni kitu rahisi mnooo..kumbe sivyo kabisa.
Yaaa ni kweli kwa vitimu vidogo Kama Yanga huwa anavionea sanaKwa timu ndogo anaweza.
kwa timu ndogo kama AS Vita, Nkana FC na hata Yanga ambapo mlikula 4? *****,unakumbuka lile pande alilopewa na Bocco akapiga kimgandisho halafu kwa dharau akaanza kuchechemeaKwa timu ndogo anaweza.
Utopolo ktk Ubora wako.Kumbe akina Messi ,CR7 wamekuwa wakipotosha vijana mda mrefu sana.
tafuta pesa, acha kumuonea wivu mwanaume mwenzio anayetafuta pesa in which anazo anatafuta namna ya kuziongeza,
utaishia kulalamika hadi kaburini
Kwa timu ndogo anaweza.
Ni kweli timu ndogondogo kama Nkana na Yanga anawezaKwa timu ndogo anaweza.
Mkuu siku zote mwenye mtu mafanikio, ukitaka kuwashawishi na wengine wenye nia na lengo la kufika ulipo sio kuwakatisha tamaa bali kuwatia moyo! Sasa huwezi kumtia mtu moyo wa kufanikiwa katika jambo lolote kwa kumtisha au kulielezea katika ugumu wake! Hata walimu wa masomo ya sayansi yanayo sumbua wanafunzi ka mathematics au Physics, huwa wanajaribu kuwashawishi wanafunzi kuyabeba masomo hayo kwa kujaribu kuonyesha kwamba ni mepesi sana ilihali ukweli ni magumu na yanatoa watu vipara mapema kabisa!Habar zenu wana jamvi,
Leo ningependa tumzungumzie kidogo huyu mwamba wa Lusaka (Chama) itoshe tu kusema kwamba huyu jamaa ni mwongo na mlaghai pia.
Kadri siku zinavyozidi kwenda anajaribu kuwadanganya na kuwalaghai vijana wengi kuwa kuucheza mpira wa miguu ni kitu rahisirahsi tu, na hii ni kutokana na yeye kuwa jicho la watoto na vijana wengi kwa sasa katika kujifunza mpira.
Anajaribu kudhirishia umma kuwa mpira ni kitu rahisi mnooo..kumbe sivyo kabisa.
Kwa ubishi mie sikuwezi.kwa timu ndogo kama AS Vita, Nkana FC na hata Yanga ambapo mlikula 4? *****,unakumbuka lile pande alilopewa na Bocco akapiga kimgandisho halafu kwa dharau akaanza kuchechemea
Mikia fc buana.Yaaa ni kweli kwa vitimu vidogo Kama Yanga huwa anavionea sana
Wala usifikiri waijua lugha ndio kwanza unajifunza.Ww ni utopolo na ulichoandika si lugha ya picha,si mchezo wa lugha ya kifasihi inayohtaji utambuzi wa ndani kuelewa.Kiswahili kimekuwa kigumu sana kwenu! Hivi Kwanini muliamua kusoma PCM tokea Shule ya Msingi?
Kweli kabisa, watu hawajaelewa kabisa, baadhi lakini!Bandiko limekuwa gumu kueleweka kwa baadhi ya wadau.