Jinsi Eminem alivyomteketeza Machine Gun Kelly kwenye Killshot

Eminem amemkuzia jina dogo MGK baada ya kumjibu maana baada yakutoa tu hiyo ngoma ilivunja rekodi ya kuwa na viwers wengi kwa muda mfupi though siyo kali kivile.
na hata eminem ana alilijua hilo ndio maana unamsikia akiimba hivi i gv u a career just to destroy it na ikumbukwe hata hao views wa youtube wengi wao pia ni mashabiki wa eminem waliokuwa hawajamsikia MGK sasa wakaamua kwenda kumuona aliyejibiwa na Em ni nani...
 
kwa wanafatilia mziki wa dunia watajua kuwa kule wanachoangalia ni mauzo ya nyimbo mtandaoni na chats za billboads na sio youtube views

sasa mtu utasemaje EMMINEM kaisha wakati ana nyimbo mbili ndani ya top ten ya billboards kwa rap songs..huku huyo MGK akiwa na nyimbo moja nafasi ya 13 tena ipo katika drop

watu walimsikiliza na kustream kwa wingi wimbo wa MGK ili wamuone na wasikie ni nn alichoimba

Rap Music: Top Rap Songs Chart

billboard hot rap song chats top ten 29-9-2018

1-DRAKE -in my feelings

2-Eminem -killshot

3-Juice wrld -lucid dreams

4-Post malone -better Now

5-Card B - i like it

6-Kanye west - ilove it

7-6ix9ine -fefe

8-Travis scot -sicko mode

9-Tyga -Taste

10-Eminem -Lucky You

Two songs kwenye top 10... he is rap god
 
mkuu,swear words kama " suck a dick" unataka nitafsiri hapa nipigwe ban!!!!!!!
nakupa general meaning ya hiyo mistari na sio kutafsiri neno kwa neno
for morals' sake baadhi ya mistari naipotezea
i hope umenipata
 
Ems career is far from over,unless u aint know nun bout hiphop,a diss song is more about rhymes,punchlines and metaphors and not about the beat or flow.MGK saizi yake ni kina big sean and the likes,hamfikii hata yelawolf.Eminem is on a whole nother level up there with the greatests Nas,rakim,cool g rap,jiga etc
 
MGK?? to hell with him!! Eminem is a rap God for real! Look at em lyrics,metaphors etc.hez a GOAT
 
Nina wasi wasi na age ya huyo unayejaribu kumuelewesha
 


Hapo ulipokosea umesema ndio siku 2pac aliyouliwa HAPANA

Hapo Em anasema siku dogo aliyotoa nyimbo ndio SIKU ambayo Diddy ALIKIIRI kuwa alituma watu wamuue 2pac yaani kwa lugha nyingine anasema kuwa hiyo siku attention ilienda kwenye habari ya Diddy kukubali kummua 2pac kuliko nyimbo yake hivyo anamuonesha kuwa hata mabosi zake sio wazuri
 

"But Kells, the day you put out a hit's, the day Diddy admits / that he put a hit out, that got Tupac killed /"

Tafsiri yake ni kuwa siku MGK akifanikiwa kutoa hit record, ndio siku Diddy atakiri kuhusika na mauaji ya Pac. Punchline ni kuwa haitakuja kutokea sababu jamaa hana uwezo huo.
 
Nimekupata bro
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana bado hawajalijua game hawa....

anapagawa na youtube views [emoji23] basi kama youtube views ingekuwa dili basi justin bieber angekuwa ndio mwanamuziki bora wa kiume duniani [emoji23][emoji23]
Au 69 angekuwa anajulikana dunia nzima. Maana nyimbo za ovyo lakini viewers hawapungui milioni 20 kwa kila nyimbo lakini sidhani kama hata wafatilia mziki wengi wanamfahamu.
Kwa mfano hata huyo MGK kuna wengi wamekiri hukohuko USA kuwa walikuwa hawamjui kabla ya Bifu na EM.
 
Mi nafkiri ndiyo ilikuwa tarehe huko nyuma amabyo Diddy alikubali. Ni mfanano wa tarehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…