Jinsi Eminem alivyomteketeza Machine Gun Kelly kwenye Killshot

Jinsi Eminem alivyomteketeza Machine Gun Kelly kwenye Killshot

Eminem amemkuzia jina dogo MGK baada ya kumjibu maana baada yakutoa tu hiyo ngoma ilivunja rekodi ya kuwa na viwers wengi kwa muda mfupi though siyo kali kivile.
na hata eminem ana alilijua hilo ndio maana unamsikia akiimba hivi i gv u a career just to destroy it na ikumbukwe hata hao views wa youtube wengi wao pia ni mashabiki wa eminem waliokuwa hawajamsikia MGK sasa wakaamua kwenda kumuona aliyejibiwa na Em ni nani...
 
kwa wanafatilia mziki wa dunia watajua kuwa kule wanachoangalia ni mauzo ya nyimbo mtandaoni na chats za billboads na sio youtube views

sasa mtu utasemaje EMMINEM kaisha wakati ana nyimbo mbili ndani ya top ten ya billboards kwa rap songs..huku huyo MGK akiwa na nyimbo moja nafasi ya 13 tena ipo katika drop

watu walimsikiliza na kustream kwa wingi wimbo wa MGK ili wamuone na wasikie ni nn alichoimba

Rap Music: Top Rap Songs Chart

billboard hot rap song chats top ten 29-9-2018

1-DRAKE -in my feelings

2-Eminem -killshot

3-Juice wrld -lucid dreams

4-Post malone -better Now

5-Card B - i like it

6-Kanye west - ilove it

7-6ix9ine -fefe

8-Travis scot -sicko mode

9-Tyga -Taste

10-Eminem -Lucky You

Two songs kwenye top 10... he is rap god
 
EM: But if I was three-foot-eleven

you'd look up to me, and for the record

you would suck a dick to fuckin' be me for a second

(hata angekuwa mfupi futi tatu Kelly anaweza kufanya lolote akipata nafasi ili awe

slim ikiwa hata kwa sekunde moja)

Hizi tafsiri zako kuna mahali zinaniacha solemba anyway kama vipi tuanzishe na sisi bifu letu Jf
mkuu,swear words kama " suck a dick" unataka nitafsiri hapa nipigwe ban!!!!!!!
nakupa general meaning ya hiyo mistari na sio kutafsiri neno kwa neno
for morals' sake baadhi ya mistari naipotezea
i hope umenipata
 
Ems career is far from over,unless u aint know nun bout hiphop,a diss song is more about rhymes,punchlines and metaphors and not about the beat or flow.MGK saizi yake ni kina big sean and the likes,hamfikii hata yelawolf.Eminem is on a whole nother level up there with the greatests Nas,rakim,cool g rap,jiga etc
 
MGK?? to hell with him!! Eminem is a rap God for real! Look at em lyrics,metaphors etc.hez a GOAT
 
youtube views wanashindana wasanii wa tanzania mzee baba [emoji23][emoji23][emoji23]

kule maduniani kwa wenzetu wanashinda (how many copy got sold) na charts za bilboards. hayo mambo ya youtube views tunashindana huku sisi

alafu kingine msikilize eminem pale aliposema (i gav you a career just to destroy it) alikuwa anamaanisha anavyomjibu kwenye kilshot ni kwamba anampa fame ila ndio anamuua kimuziki ingia chimbo ufatilie mzee baba

kwa kumalizia tu... hadi jana EMMINEM ana nyimbo mbili kwenye top ten ya rap chats za bilboad huyo MGK he is no where to be found on top 10 alipata chat sababu watu walikuwa wanataka kumsikia tu alichoimba sasa wamemsikia wamemtema

mashabiki wa hiphop hawaangalii yale makelele wanaangalia kilichoimbwa na MGK hana mashairi

embu nikuulize unamdiss mtu vipi huku unamsifia eti unamuita kabisa rap god alafu unamponda

hata eminem alishangaa ndio maana akasema kama when your fans becom enemy na u diss me and you compliment on the next line

nakuacha na chat ya billboards ya jana ili ujue ni kwann eminem alisema am givin u career just to deatroy it

Rap Music: Top Rap Songs Chart
Nina wasi wasi na age ya huyo unayejaribu kumuelewesha
 
EM: Killshot, I will not fail, I'm with the Doc still

but this idiot's boss pops pills and tells him he's got skills

but, Kells, the day you put out a hit's the day Diddy admits

that he put the hit out that got Pac killed, ah!

( slim anadai boss wa Kelly ni teja na akishavuta anamwambia kuwa ana kipaji wakati hana
anamgusa pia na Diddy ambaye ni boss wa Kelly(bad boy) kuwa siku aliyoproduce na
kuachia rap devil ndio siku pac aliuawawa na anamuunganisha diddy na kifo cha pac)


Hapo ulipokosea umesema ndio siku 2pac aliyouliwa HAPANA

Hapo Em anasema siku dogo aliyotoa nyimbo ndio SIKU ambayo Diddy ALIKIIRI kuwa alituma watu wamuue 2pac yaani kwa lugha nyingine anasema kuwa hiyo siku attention ilienda kwenye habari ya Diddy kukubali kummua 2pac kuliko nyimbo yake hivyo anamuonesha kuwa hata mabosi zake sio wazuri
 
Hapo ulipokosea umesema ndio siku 2pac aliyouliwa HAPANA

Hapo Em anasema siku dogo aliyotoa nyimbo ndio SIKU ambayo Diddy ALIKIIRI kuwa alituma watu wamuue 2pac yaani kwa lugha nyingine anasema kuwa hiyo siku attention ilienda kwenye habari ya Diddy kukubali kummua 2pac kuliko nyimbo yake hivyo anamuonesha kuwa hata mabosi zake sio wazuri

"But Kells, the day you put out a hit's, the day Diddy admits / that he put a hit out, that got Tupac killed /"

Tafsiri yake ni kuwa siku MGK akifanikiwa kutoa hit record, ndio siku Diddy atakiri kuhusika na mauaji ya Pac. Punchline ni kuwa haitakuja kutokea sababu jamaa hana uwezo huo.
 
"But Kells, the day you put out a hit's, the day Diddy admits / that he put a hit out, that got Tupac killed /"

Tafsiri yake ni kuwa siku MGK akifanikiwa kutoa hit record, ndio siku Diddy atakiri kuhusika na mauaji ya Pac. Punchline ni kuwa haitakuja kutokea sababu jamaa hana uwezo huo.
Nimekupata bro
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana bado hawajalijua game hawa....

anapagawa na youtube views [emoji23] basi kama youtube views ingekuwa dili basi justin bieber angekuwa ndio mwanamuziki bora wa kiume duniani [emoji23][emoji23]
Au 69 angekuwa anajulikana dunia nzima. Maana nyimbo za ovyo lakini viewers hawapungui milioni 20 kwa kila nyimbo lakini sidhani kama hata wafatilia mziki wengi wanamfahamu.
Kwa mfano hata huyo MGK kuna wengi wamekiri hukohuko USA kuwa walikuwa hawamjui kabla ya Bifu na EM.
 
"But Kells, the day you put out a hit's, the day Diddy admits / that he put a hit out, that got Tupac killed /"

Tafsiri yake ni kuwa siku MGK akifanikiwa kutoa hit record, ndio siku Diddy atakiri kuhusika na mauaji ya Pac. Punchline ni kuwa haitakuja kutokea sababu jamaa hana uwezo huo.
Mi nafkiri ndiyo ilikuwa tarehe huko nyuma amabyo Diddy alikubali. Ni mfanano wa tarehe.
 
Back
Top Bottom