Jinsi Ex wangu alivyoniharibia binti yangu inaniuma sana

 
Ulivyomtia mama yake mimba na yeye katiwa vilevile Kaa utulie utbu zambi zako, mweleweshe huyo mwanao akielewa sawa hajaelewa achana nae utaivuruga mpaka familia yako
 
baba farida kama baba farida, kapigwa na kitu kizito 😂😁😂😂😂
Wauweeeee
babu kijana tunae na tunatamba nae

Ila tupumzisheni wanawake, kesi yako ni wewe na mama farida, wanawake tunaingiaje kwenye u-ovyo hapo?
 
baba farida kama baba farida, kapigwa na kitu kizito 😂😁😂😂😂
Wauweeeee
babu kijana tunae na tunatamba nae

Ila tupumzisheni wanawake, kesi yako ni wewe na mama farida, wanawake tunaingiaje kwenye u-ovyo hapo?
Huu si muda wa masihara sawa
 
Huu si muda wa masihara sawa
Niyatoe wapi hayo masihara kwa mfano. Umeleta thread yako umeweka limitations za kuchangia?. Ebu nipishe mie. Wewe ulipokuja na kauli ya wanawake watu wa ovyo na Mimi ndio nimekuletea huo uovyo ujue kweli ni wa ovyo haswaaaa.
Matatizo yako binafsi inakuwaje ujumuishe wanawake. Huyo aliekulelea mwanao uliesusiwa nae si mwanamke, jifunzeni kuwa na kauli nzuri kwa wanawake.
 
Mkuu kwa tabia zake za hovyo majiran wako mstari wa mbele kunipa ushirikiano
Usiwataje kwani mko mahakamani?. Wewe mfunue tu usimpe chanzo Cha taarifa atajificha wasione ayafanyayo maana anajua ni Watu wanaomfuatilia.
 
Twende taratibu. Kwahiyo mzazi mwenzio aliuguzwa miezi nane feki ukiwa hujui?
 
Binti kafeli form 4 akiwa kwenye himaya yako, malezi mabovu yalianzia kwako... mwenza wako kaenda kumalizia tu kazi ya kumharibu mtoto.....

Halafu hii tabia ya kutusumbua kwa matatizo ya maamuzi yenu mabovu ikome!
... mnaokota machangu mnazaa zaa nao halafu mnakuja kutulilia huku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…