Ningependa asiwe BASHIR PEKE YAKE. Nataka kumfikisha Rais Mstaafu B.W. Mkapa wa Tanzania pamoja na washirika wake ktk mahakama ya Dunia kwa mauaji ya Pemba.
Nadhani nahitaji msaada wa wanasheria. Je, kabla Luis Moreno-Ocampo hajayaona makosa ya mtu au kiongozi kama huyu na makosa yake, ni jinsi gani naweza kuyapeleka kwenye hii Mahakama inayoitwa ya Dunia?
Nataka nifanye hivyo kabla ya uchaguzi ujao wa 2010 ili hata huyu wa sasa asifanye hivyo.
Communications and claims under art.15 of the Rome Statute may be addressed to:
Information and Evidence Unit
Office of the Prosecutor
Post Office Box 19519
2500 CM The Hague
The Netherlands
or sent by email to otp.informationdesk@icc-cpi.int ,
or sent by facsimile to +31 70 515 8555.
Ningependa asiwe BASHIR PEKE YAKE. Nataka kumfikisha Rais Mstaafu B.W. Mkapa wa Tanzania pamoja na washirika wake ktk mahakama ya Dunia kwa mauaji ya Pemba.
Nadhani nahitaji msaada wa wanasheria. Je, kabla Luis Moreno-Ocampo hajayaona makosa ya mtu au kiongozi kama huyu na makosa yake, ni jinsi gani naweza kuyapeleka kwenye hii Mahakama inayoitwa ya Dunia?
Nataka nifanye hivyo kabla ya uchaguzi ujao wa 2010 ili hata huyu wa sasa asifanye hivyo.
nyinyi ndiyo sampuli ya wale aliosema rais kikwete-mmekula ugali na maharage mmeshiba...