MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Ningependa asiwe BASHIR PEKE YAKE. Nataka kumfikisha Rais Mstaafu B.W. Mkapa wa Tanzania pamoja na washirika wake ktk mahakama ya Dunia kwa mauaji ya Pemba.
Nadhani nahitaji msaada wa wanasheria. Je, kabla Luis Moreno-Ocampo hajayaona makosa ya mtu au kiongozi kama huyu na makosa yake, ni jinsi gani naweza kuyapeleka kwenye hii Mahakama inayoitwa ya Dunia?
Nataka nifanye hivyo kabla ya uchaguzi ujao wa 2010 ili hata huyu wa sasa asifanye hivyo.
Nadhani nahitaji msaada wa wanasheria. Je, kabla Luis Moreno-Ocampo hajayaona makosa ya mtu au kiongozi kama huyu na makosa yake, ni jinsi gani naweza kuyapeleka kwenye hii Mahakama inayoitwa ya Dunia?
Nataka nifanye hivyo kabla ya uchaguzi ujao wa 2010 ili hata huyu wa sasa asifanye hivyo.