Jinsi gani nitajua maziwa yaliyowekwa maji

Jinsi gani nitajua maziwa yaliyowekwa maji

Jotu

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2012
Posts
444
Reaction score
311
Wadau mimi ni mnunuzi wa maziwa. Mara kadhaa nakuja gundua maziwa yamechanganywa na maji pale ninapo yachemsha. Hapo tayari nimekuwa nimepata hasara kwani tayari nimeshayanunua.

Kama kuna njia rahisi ya kuyagundua kabla naomba msaada ili kupambana na wauzaji wasio waaminifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka asali koroga, utaona asali inakosa ushirikiano.
Ila hii ni kwa maziwa ya moto sijui kama ya baridi ipo hivyo pia.

Wengine huchovya njiti ya kibiriti na kuiwasha.

Hahahaha Umenikumbusha enzi hizo nauza maziwa, nishagombana sana na huyo jamaa wa asali.
 
Water in milk may not be bad for your health but definitely for your pocket. To check, put a drop of milk on your fist or any slanted surface and let it flow down. If the milk leaves a trail behind, it’s not pure else its good.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati nipo mdogo...Ulikuwa unachukua kiasi kidogo unayamwaga katika ardhi .. Yakikauka haraka bhasi ujue yana maji kwa sababu maziwa kwa asili yake ni mazito

Ila ndugu sidhani kama kuna muuzaji wa kawaida asiyechanganya maji ila kinacholeta utofauti ni kiasi t

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly.....
Ni kumwaga chin kias kidogo
 
Au nunua kemikali inaitwa Copper two Sulphate. Hii ni nyeupe. Ukiweka kwenye maziwa yaliowekwa maji hata kidogo inakuwa blue.

N.B. Ukita kuirudisha hio kemikali ilio tumika iwe nyeupe kama mwanzo ipashe jikoni tena. Kisha ihifadhi ndani ya chupa/kopo liliofungwa kabisa.

THAT IS CHEMICAL TEST OF WATER
 
Chukua njiti ya kiberiti zamisha kwny maziwa hafu jarbu kuwasha ukiona haijawaka njiti ujue kuna maji ila ukiona imewaka bas hakna maji
Hii ndo mbinu ninayotumia
 
Mbona simpo tuu palepale yaweke kwenye lita moja hakikisha una simu na iko on weka simu yako kwenye maziwa harafu omba simu ya muuzaji na upige simu ikiita tu ujue maziwa og

NB: jaribio hili litaenda haraka kama utaweka simu aina ya Iphone 6 na kuendelea

Da killer's
Inakuaje unapoteza muda kuandika ujinga kama huu?
 
Chukua njiti ya kiberiti zamisha kwny maziwa hafu jarbu kuwasha ukiona haijawaka njiti ujue kuna maji ila ukiona imewaka bas hakna maji
Ukiweka njiti kwenye maziwa itawakaje sasa? maana si ina maziwa tayari au atangoja mpaka ikauke?
 
Back
Top Bottom