Jinsi gani nitaweza kuhifadhi njegere muda mrefu bila kutumia friji?

Jinsi gani nitaweza kuhifadhi njegere muda mrefu bila kutumia friji?

kinywanyuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
3,746
Reaction score
2,924
Wakuu heri ya mwaka mpya naombeni msaada mwenye utaalamu wa kuhifadhi njegere muda mrefu kama mwezi au wiki mbili bila kutumia fridge anipe maujanja maana fridge uchumi haurusu kwa sasa nimechoka kuharibikiwa njegere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wiki mbili, uwe unanunua zilizo na maganda ukitaka kupika ndio unazimenya zikibaki kwenye maganda zinasogea sogea,
Pia uweke sehemu ya wazi uzitandaze usiziweke kwenye mfuko.
 
Labda wiki mbili, uwe unanunua zilizo na maganda ukitaka kupika ndio unazimenya zikibaki kwenye maganda zinasogea sogea,
Pia uweke sehemu ya wazi uzitandaze usiziweke kwenye mfuko.
nashukuru hivi hamna chombo cha kuhifadhi zisiharibike mbali kwa wale tusiokuwa na mafriji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...
mbona zipo njegere kavu, au ni suala la mapishi na vitamini?
...
 
Ila ukizifreeze unaweza kutumia miezi

Unless otherwise usizimenye
 
Usinunue nyingi, nunua kidogo kidgo kila unapohitajj, mwache mwenye genge akutunzie


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Likoje hill mkuu dah sijawahi kusikia

Sent from my itel it1408 using JamiiForums mobile app
jenga banda kama inavyoonekana kwenye picha, kuta zmejengwa kwa wire mesh nje na ndan alaf unaweka vipande vya mkaa katikati, humo utahifadhi mboga, matunda na vinywaji kwenye hali ya ubaridi
Nb: mkaa unatakiwa umwagiliwe maji asubuh, mchana na jion.
download-3.jpeg
download-2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom