Jinsi gani nitaweza kuhifadhi njegere muda mrefu bila kutumia friji?

Jenga kwa miti kajichumba kadogo futi mbili kwa mbili kwa mbili ukuta wake weka mkaa mwagia maji huo mkaa, mfuniko tumia majani. Miaka Mia hiyo, hata ukitaka kupoza maji ya kunywa twende kazi. Hiyo ni friji ya bush

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…