Chipsi Kavu
Member
- Nov 28, 2017
- 26
- 16
jenga banda kama inavyoonekana kwenye picha, kuta zmejengwa kwa wire mesh nje na ndan alaf unaweka vipande vya mkaa katikati, humo utahifadhi mboga, matunda na vinywaji kwenye hali ya ubaridi
ahsante mkuu ubunifu mzuri sijui kwanini wakulima wa nyanya wasitumie njia hiijenga banda kama inavyoonekana kwenye picha, kuta zmejengwa kwa wire mesh nje na ndan alaf unaweka vipande vya mkaa katikati, humo utahifadhi mboga, matunda na vinywaji kwenye hali ya ubaridi
Nb: mkaa unatakiwa umwagiliwe maji asubuh, mchana na jion.View attachment 1003701View attachment 1003702
Sent using Jamii Forums mobile app
nashkuru mkuu hivi kwanini wakulima wa mali mbichi wasitimie hii njia
hawana taarifa mkuu, lakn hata wavumbuz nao hawaonekan kutoa elim kwa wakulima wengne. information is powernashkuru mkuu hivi kwanini wakulima wa mali mbichi wasitimie hii njia
Sent using Jamii Forums mobile app