Jinsi gani tatizo la Uraibu wa Kamari limeharibu maisha yako upande wa kijamii, kiimani na kiuchumi?

Sitegemei KUACHA kubet, hasa FOOTBALL na basketball[emoji4]

Wanaofeli kwenye BETTING,
Wanafeli kwa kuifanya betting Kama mchezo wa kamari (yaani mchezo wa kubahatisha), Means hawawi serious enough na wanachokifanya.

Betting ukiifanya seriously kama kaz zingine, hutojutia kamwe[emoji4]
 
Tatizo ni tamaa na kukosa mitaji

Hapo kuifanya serious kama kazi nyingine! Mbona watu wanachbua sana games lakini wakiweka mpunga tu hola
 
Aya basi ebu uwe unanidondoshe odds 1.7 tuu kwa siku
 
Mtu anaeishi kwa kubet tayar amepotea maana anakua anategemea bahati afu kichwani anajaza mipango fake siku unakuja kugundua ela ulizoliwa ni nyingi kuliko ulizokula kwamba kanjibai amekulawiti ndio unapagawa unahisi umerogwa
 
Usi bet kabisa. Ukishazoea na tamaa juu za kushindwa, kutoka ngumu. Kama wewe sio mtu wa ku bet, usianze kabisa. Kuna simu nilikwenda casino na$200, nikapata $ 400. Nikaenda nyumbani na furaha sana. Next weekend tukaenda tena, nikaanza na $200 tena, ikaliwa yote kama dakika 8 tuu. Nikaondoka, sijawahi tena kucheza, ilikuwa mwanzo na mwisho
 
Kila mkamaria amejawa na tamaa (greedy) inashangaza watu kusema usibeti kwa tamaa unajiuliza yeye kaenda Casino kufanyaje kama sio tamaa za kupata pesa zaidi?

Kuna mtu anaenda casino kwa ajili ya kupata tu free meals n drinks kisha aondoke home?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…