financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
-
- #521
Aah now napumzika kidogo kabla sijaingia huko tena.Hajaibuka mwingine bado? Jamani mbona it's taken too long na huyo ex mate wako.
Kazi + masomo, still unahitaji mtu. Au bado unaangalia options?
Kwamba utakuwa single, hutajihusisha na mahusiano wala kunyanduana? Mnawezaje hii kitu?Aah now napumzika kidogo kabla sijaingia huko tena.
Yes unahisi bila mnyanduano huwezi kuishi? Inawezekana kabisa banaKwamba utakuwa single, hutajihusisha na mahusiano wala kunyanduana? Mnawezaje hii kitu?
Mimi kwa mtazamu wangu siku hizi hakuna mapenzi ya ilove you hicho kitu kishakufa zamani cku hizi kuna mapenzi ya PESA na ndio mapenzi hayo mengine kwenye kitanda ni routine tu za kawaida mm naona huyu mdada labda ana Financial problem ndio hicho anacholilia tuseme kakwamaa ,mapenzi ukiwa na mkwanja una gari ya nguvu una nyumba hapo demu lazima achanganyikiwe.Time heals everything thing don't force kumsahau, delete pictures and block number yake with time uta forget na usimchukie rohoni, hyo experience ni mbaya Sana ila ukipona utajiona mjinga kumpenda mtu wa hivo,pia sali Sana na wewe mtoe moyoni usiwe na kinyongo ili u attract mwanaume atakayekupenda, ukiendelea kumweka kichwani utaendelea ku attract wanaume ma player tu, pia pumzika mahusiano loh. Na Bora imekupata Sasa kabla hujaingia kwenye ndoa ndo ingekuwa pain maradufu sometimes we tend to love people who do not love us aisee. Pole wish you quick recovery and no situation is permanent in life.
SlaveAddicted
Wewe ushakunywa chai au umeamka na bangifanya kitu kipya ambacho hujawahi kukifanya. kama haujui kuendesha gari then go to driving school kama hujui karate go to a karate school.
njia nyingine, tafuta demu mwingine mkali ingia nae katika mahusiano. Kinacho kufanya uendelee kumuwaza huyo ni kwa sababu kwenye mind yako bado kuna idle space.
Inaonyeshea na jamaa nae anakuja kwenye ibada so unamuona ana chuma chengine any way your financial uko vizuri sioni sababu ya kungangania hivyo ikiwa uko vizuri kipesa ,hakuna mapenzi ya kweli watu ni maslaha tu .Huwa naenda mkuu ila ntazidisha zaidi ahsante 👏
Ungejua nilichokua nakimiss japo kidogo tu usingeandika kuhusu financial problem, sijawahi kumpendea mtu pesa zake na wala sidhani kama siku ntaweka pesa mbele kwenye mahusiano, ilikua ni upendo tu from bottom of my heart na pesa zenyewe wala hakua nazo kama mimi tu. Natamani nikudokeze nilichokua nampendea ila basi ngoja niishie hapa. Mchana mwemaaMimi kwa mtazamu wangu siku hizi hakuna mapenzi ya ilove you hicho kitu kishakufa zamani cku hizi kuna mapenzi ya PESA na ndio mapenzi hayo mengine kwenye kitanda ni routine tu za kawaida mm naona huyu mdada labda ana Financial problem ndio hicho anacholilia tuseme kakwamaa ,mapenzi ukiwa na mkwanja una gari ya nguvu una nyumba hapo demu lazima achanganyikiwe.
😂😂 wewe mwenyewe unavuta bangi, tena mbichiWewe ushakunywa chai au umeamka na bangi
Ndiyo huwa anakuja na babe mkali kuzidi mimi dah maisha haya na ananiringishia kabisaInaonyeshea na jamaa nae anakuja kwenye ibada so unamuona ana chuma chengine any way your financial uko vizuri sioni sababu ya kungangania hivyo ikiwa uko vizuri kipesa ,hakuna mapenzi ya kweli watu ni maslaha tu .
Tuhadithie. Nikupe mbinu za kijeshi za kumdhibiti....Pole sana mkuu,binafsi sijawahi kukumbana na hiyo changamoto japo napitia wakati mgumu na mpenzi wangu... Busara isipotumika huenda yakanifika yaliyokufika....maana huyu mtoto wa kichaga nampenda kupita maelezo.
Pole sana mtu wangu. I hope u are doing okay now.Habari wakuu.
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.
Nifanye nini wakuu?[emoji25][emoji25]
Thank you so much! Am now ok kabisa mkuuPole sana mtu wangu. I hope u are doing okay now.
Unafanya cpa?
Yes mkuu! na wewe the same?Unafanya cpa?
Na vile vile waweza kuwa na kila kitu na bado usipendwe hata kidogo love huwa ni intimacy flani hivi yenye connection kubwa, waweza kuwa mhongaji mzuri yet nikawa sikubali vilevileMimi kwa mtazamu wangu siku hizi hakuna mapenzi ya ilove you hicho kitu kishakufa zamani cku hizi kuna mapenzi ya PESA na ndio mapenzi hayo mengine kwenye kitanda ni routine tu za kawaida mm naona huyu mdada labda ana Financial problem ndio hicho anacholilia tuseme kakwamaa ,mapenzi ukiwa na mkwanja una gari ya nguvu una nyumba hapo demu lazima achanganyikiwe.
Haiwezakani hata kdg mapenzi ya bongo bali dunia mzima sasa ni pesa tu au sexy kakuchapa vizuri hayo mengine yanfuta baadaeNa vile vile waweza kuwa na kila kitu na bado usipendwe hata kidogo love huwa ni intimacy flani hivi yenye connection kubwa, waweza kuwa mhongaji mzuri yet nikawa sikubali vilevile