Safi sana! Nilichelew kuuona huu uzi,ila mimi ningekupa mbinu ya kumsahau muda huo huo,yani hapo hapo saa,dk na sekunde hiyo hiyo una move on![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishamove on guys,nilishamsahau na nimefuta kumbukumbu zake, nipo busy na mambo mengine. Nawashukuruni wote.
Ni mbinu gani hiyo mkuu, tusaidie hapa kwa manufaa ya baadaye, si unajua tena haya mambo siku yoyote yanaweza kutokea tena😂😂Safi sana!
Nilichelew kuuona huu uzi,ila mimi ningekupa mbinu ya kumsahau muda huo huo,yani hapo hapo saa,dk na sekunde hiyo hiyo una move on![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]Ni mbinu gani hiyo mkuu, tusaidie hapa kwa manufaa ya baadaye, si unajua tena haya mambo siku yoyote yanaweza kutokea tena[emoji23][emoji23]
Sasa ndio nini kuja kuzungumzia mahusiano yetu huku jf?Habari wakuu.
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.
Nifanye nini wakuu?[emoji25][emoji25]
Shida we unaangalia na kukumbuka mazuri yake we mfikirie kwa mabaya tu utamsahauHabari wakuu.
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.
Nifanye nini wakuu?😪😪
Duh hii nzuri hii😂😂 umeniogopesha hapo kumzika akiwa hai, kumbe kifikra😂 naisubiria hiyo mbinu mkuu[emoji28][emoji28][emoji28]
Niko barabarani mkuu nikitulia nitaweka hiyo mbinu hapa, ni mbinu ya "kumzika mtu akiwa hai",unamzika kifikra.
Yani huyo hata ukikutana nae face to face macho yanamuona ila kifikra humuoni kiasi kwamba kama asipokupisha unaweza kumgonga na usijue umegonga kitu gani.
[emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂 na huenda ni wewe kweli🤪Sasa ndio nini kuja kuzungumzia mahusiano yetu huku jf?
Namba yangu unayo, ungenitafuta tuzungumze
Tumtu tuongo bhana🤣Nilishamove on guys,nilishamsahau na nimefuta kumbukumbu zake, nipo busy na mambo mengine. Nawashukuruni wote.
Afu wewe ka kaka mbona umenionea sana wewe? Why kila kitu huniamini? 😂 pua yako ndogooTumtu tuongo bhana🤣
Pole financial services pole Toto..😂Afu wewe ka kaka mbona umenionea sana wewe? Why kila kitu huniamini? 😂 pua yako ndogoo
Unajisumbua tushashauli sana lakini wapi,tushafunga hadi novena kwaajili yake lakini wapi!.. kafara hadi za kunguni lakini ngoma ikadunda..Epuka kukaa mwenyewe,tafuta marafiki ,fanya unachopendelea sana,kula sana
Mtu anawezaje kukufanya ukose raha
Kwenye maisha hakuna marudio
Furahia muda wako if it's the last time
Jamàa una diss Sana[emoji2]Unajisumbua tushashauli sana lakini wapi,tushafunga hadi novena kwaajili yake lakini wapi!.. kafara hadi za kunguni lakini ngoma ikadunda..
Tumeamua kumuachia yesu wakae faragha na kiumbe chake[emoji23]
Tuliza Figo mkuu..😂Jamàa una diss Sana[emoji2]
Thank you, ntajitahidi kuyazingatia hayo zaidi👏Epuka kukaa mwenyewe,tafuta marafiki ,fanya unachopendelea sana,kula sana
Mtu anawezaje kukufanya ukose raha
Kwenye maisha hakuna marudio
Furahia muda wako if it's the last time
Yaani amenionea sanaJamàa una diss Sana[emoji2]
Ulimuachia ghetto lako? Naye akaendelea kuishi kwa amani kabisa? Mmhmkuu acha tu wangu adi ufunguo wa getto nilimwachia niliumia sana ila nilishidwa kumwacha
but nachati nae mana kumwacha nilishindwa
Acha kuniwangia wewe, na nahisi huyo ex ni wewe shenzy kabisaUnajisumbua tushashauli sana lakini wapi,tushafunga hadi novena kwaajili yake lakini wapi!.. kafara hadi za kunguni lakini ngoma ikadunda..
Tumeamua kumuachia yesu wakae faragha na kiumbe chake😂