Jinsi gani unaweza kuanzisha wazo la kibiashara

Jinsi gani unaweza kuanzisha wazo la kibiashara

Noe_wenc87

Member
Joined
Oct 25, 2018
Posts
8
Reaction score
5
Wakuu habari za majukumu..Ukiachilia mbali taaluma za kila mmoja lakin natumaini ni ngumu kufikia malengo yako kiuchumi bila kuwa na Plan B
Mim ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja wapo hapa Tanzania..lakin kutokana na ugumu wa ratiba za chuo chetu nashindwa kuthubutu kuanzisha biashara yoyote ili hata nikimaliza chuo niweze kuendelea nayo
Kwa wenye uelewa zaidi (naamin mpo wengi) .Je wazo zuri la biashara lipi litanifaa kutokana na ugumu wa ratiba za chuo changu ...msaada tafadhari.
 
Inategemeana Kama unataka kuanzisha biashara zako ukiwa chuoni au laaah, but Kwanza kabisa lazima uwe na business plan ambayo ndiyo inakuwaje first mile towards your business.
Kwamfano kama unataka kufanya biashara zako ukiwa chuo na Kama ratiba Ni ngumu kuweza kuzihandle unaweza kuangaria my wa nyumbani ambaye unamuamini Sana Kama baba au mama kwa kumpatia mtaji ambao utamuwezesha kuendeshea hiyo biashara,kwa kuangaria wazo lolote la biashara Kama vile ufugaji wa kuku,kilimo Cha mbogamboga na matunda Kama tikiti maji au ufugaji wanguruwe na kilimo Cha mihogo lakini hi inatokana na mkoa ambao unatokea kwa kuangaria hasahasa perception ya customers ko ndo kinaweza kudetermine uanzishe biashara gani lakini nakushauri Kama mkoa au sehemu unapotoka Kuna uwezekano wa kulima mihogo lima maana inalipa au ufugaji wa nguruwe,au Kama unataka kuendesha biashara hapo hapo chuoni unaweza nunu typing written machine ukawa unawatypia watu individual assignment au group assignment wakati wa kupzika maana kuto kana na ratiba za chuoni hii Ni rahisi Sana ku ihandle.
Kwa maelezo zaidi twaweza kuwasiliana.
 
Inategemeana Kama unataka kuanzisha biashara zako ukiwa chuoni au laaah, but Kwanza kabisa lazima uwe na business plan ambayo ndiyo inakuwaje first mile towards your business.
Kwamfano kama unataka kufanya biashara zako ukiwa chuo na Kama ratiba Ni ngumu kuweza kuzihandle unaweza kuangaria my wa nyumbani ambaye unamuamini Sana Kama baba au mama kwa kumpatia mtaji ambao utamuwezesha kuendeshea hiyo biashara,kwa kuangaria wazo lolote la biashara Kama vile ufugaji wa kuku,kilimo Cha mbogamboga na matunda Kama tikiti maji au ufugaji wanguruwe na kilimo Cha mihogo lakini hi inatokana na mkoa ambao unatokea kwa kuangaria hasahasa perception ya customers ko ndo kinaweza kudetermine uanzishe biashara gani lakini nakushauri Kama mkoa au sehemu unapotoka Kuna uwezekano wa kulima mihogo lima maana inalipa au ufugaji wa nguruwe,au Kama unataka kuendesha biashara hapo hapo chuoni unaweza nunu typing written machine ukawa unawatypia watu individual assignment au group assignment wakati wa kupzika maana kuto kana na ratiba za chuoni hii Ni rahisi Sana ku ihandle.
Kwa maelezo zaidi twaweza kuwasiliana.
Ushauri kama huu ndo unanifanya niamini faida za uwepo wa watu yakini ndani ya Tz na JF ...barikiwa ndugu ..
 
Back
Top Bottom