Jinsi gani unaweza kumtambua mdada anae danga( mdangaji )?

Mbona ivo bosi apa tunajuzan ili tusiingie Chak kweNy kuoa
Sikatai ila huwezi kusema mwenye tabia ulizoorodhesha hapo ni mdangaji. Ww hujakutana na madem wanadanga ndio maana nikasema ushamba unakusumbua, tofautisha tabia mbaya na udangaji tofautisha mavazi au mtindo wa maisha na udangaji. Natamani niweke mfano wa msanii wa kike wa nyimbo za dini na nimkongwe ila anadanga na ukimuona huwezi mdhania hana kigezo hatabkimoja ulichoandika hapo juu ila kudanga kwake ndiko kunampa kula kuliko hata hizo nyimbo anazotoa
 
Nishamjua bhn...
 
Ni mwimbj yup uyo emb wek jina hata bobo nitumie nimjue
 
Mkuu huko kwenu wadangaji hawajichubui maana kitaa hata chausiku ni mweupe mama yake ana rangi ya papai lililoiva.... enewei ni sehemu za kujificha tukizidiwa Ila usipende utagombana na wana.
 
Kule insta kuna acc ukipitia picha mbili tatu unajua hii biashara
 
Mikorogo wte ni wadangaji og , Huwa nawaomba namba na kuwavutia waya kuwapa mwaliko wa kukutana kesho yake bar ya mtaa wa pili penye guest uchwara...... Naaenda kulipo na BIA elekez na kali za bei Chee.


Akilamba kali namla Kwa buku 5 na akiwa zoba analuwa bureeeeeee.

Wanatupungyzia wadudu mwilini
 
Mavazi usema kile kilicho ndani ya mtu,Kama wewe sio malaya uwezi vaa mavazi yasiyo ya kimalaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…