Jinsi gani unaweza kumtambua mdada anae danga( mdangaji )?

Jinsi gani unaweza kumtambua mdada anae danga( mdangaji )?

View attachment 2703043Habari za mda huu wakuu, Leo nimeamua kulileta suala Hili ili tupeane experience ya jinsi Gani unaweza kumtambua mdada kuwa ni mdangaji au Malaya. Kwa mimi binafsi huangalia vitu vifuatavyo,
1.nywele huwa Wana zibreach
2.huvaa vile viskin vya kubana, kirefu au kifupi
3.huvaa Yale masuruali ya kike mapana chin afu kati Yana bana au huwa mapana kiujimla
4.hupost pich za makalio iwe insta,fb nk
5.huwa wanavaa vkuku
6.hutoga pua.
7.sketi fupi
8.utakuta amesuk manywele marefuu Hadi magotini. Kwa mimi binafsi nikishaonaga dalili hizo huwa Moja Kwa Moja na jua huyu ni mdangaji, nyinyi wenzangu huchunguza nini ili kujiridhisha kuwa msichana anadanga?View attachment 2703048
Sifa kuu 3 za mdangaji.

1.Hayupo realistic na maisha yake.

2.Muonekano wake lazma awe na kucha kama jini,bleach kichwani,kipini puani, tatoo, vikuku miguuni,pete miguuni.

3. Lazma afosi kuwa na iphone ili asumbue snapchat, tiktok kujipost makalio mda wote.
 
Jamani, tusipendeze kisa tutaonekana wadangaji jamani...kubreach ni style pendwa ya wadada hadi waheshimiwa wanabreach nywele ,nao wanadanga? Kuvaa vikuku ni urembo kama urembo mwingine, sijui tight ni mavazi ya kawaida sana, mtoa mada unaishi jiji gani ?
 
Jamani, tusipendeze kisa tutaonekana wadangaji jamani...kubreach ni style pendwa ya wadada hadi waheshimiwa wanabreach nywele ,nao wanadanga? Kuvaa vikuku ni urembo kama urembo mwingine, sijui tight ni mavazi ya kawaida sana, mtoa mada unaishi jiji gani ?
Kpendz pndzen ila kilichsemw kweNy mada ni kwamb hivyo vitu vinaashiria, lakin si 100 percent ila tambua ukishaon mara dall izo tajwa ujue there is a big chance uyo dem n mdangaj
 
View attachment 2703043Habari za mda huu wakuu, Leo nimeamua kulileta suala Hili ili tupeane experience ya jinsi Gani unaweza kumtambua mdada kuwa ni mdangaji au Malaya. Kwa mimi binafsi huangalia vitu vifuatavyo,
1.nywele huwa Wana zibreach
2.huvaa vile viskin vya kubana, kirefu au kifupi
3.huvaa Yale masuruali ya kike mapana chin afu kati Yana bana au huwa mapana kiujimla
4.hupost pich za makalio iwe insta,fb nk
5.huwa wanavaa vkuku
6.hutoga pua.
7.sketi fupi
8.utakuta amesuk manywele marefuu Hadi magotini. Kwa mimi binafsi nikishaonaga dalili hizo huwa Moja Kwa Moja na jua huyu ni mdangaji, nyinyi wenzangu huchunguza nini ili kujiridhisha kuwa msichana anadanga?View attachment 2703048
Daah vingine vya uongo bana
 
Back
Top Bottom