VeroEretico
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 512
- 398
Kama miaka miwili haijafika pia ni indicator kwamba hiyo ndoa ilikua na dosari flan from very beginning. Ukikusanya ushahidi vzur wa sababu zinazofanya utoe/uprocess talaka bas unaweza kupeleka sababu hizohizo kanisani kwako (hasa Roma) kisha ukafungua shauri la ndoa ili kanisa litamke kwamba ndoa yenu ilikua batili. Kwamba mwanandoa mwenzio hakudhamiria kudumu katika ndoa kinyume na kanisa lilivyo ielewa ndoa yenu.Nifahamisheni taratibu za kufuata kwenye ndoa chini ya miaaka 2