Jinsi gani ya kuandika talaka?

Jinsi gani ya kuandika talaka?

mkuu napambana sana ila ushawai ona bondia anaingia ulingoni then anakung'utwa round zote 12? halafu ukute mapigano 5 mfululizo yaani round 60 non stop ni kipigo tuu! dogo kama anataka kufanya hii kitu aache kabisa.

Hii yako ni spesho case, si bure hii.
 
Mpaka sasa bado sijaona mifano ina maana hamuachanagi tu ndoa gani hizo zisizoisha.
 
😂😂😂😂 comments Jamani..loh
 
Salaam wakuu!

Rejea tena kichwa cha bandiko. Sio kama yamenikuta, la hasha. Nataka kujifunza tu, itaweza kuwafaa wengine pia.

Tafiti zinaonesha ongezeko la talaka baina ya wanandoa, hivyo basi sio mbaya kujielimisha na mambo yanayoendelea duniani.

Natanguliza shukrani.

Ncha Kali.
Hamjambo kisiwani?
Somooo
 
Back
Top Bottom