Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
- Thread starter
- #21
mkuu napambana sana ila ushawai ona bondia anaingia ulingoni then anakung'utwa round zote 12? halafu ukute mapigano 5 mfululizo yaani round 60 non stop ni kipigo tuu! dogo kama anataka kufanya hii kitu aache kabisa.
Hii yako ni spesho case, si bure hii.