Jinsi gani ya kuandika talaka?

mkuu napambana sana ila ushawai ona bondia anaingia ulingoni then anakung'utwa round zote 12? halafu ukute mapigano 5 mfululizo yaani round 60 non stop ni kipigo tuu! dogo kama anataka kufanya hii kitu aache kabisa.

Hii yako ni spesho case, si bure hii.
 
Mpaka sasa bado sijaona mifano ina maana hamuachanagi tu ndoa gani hizo zisizoisha.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ comments Jamani..loh
 
Hamjambo kisiwani?
Somooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…