Jinsi Hyati Magufuli alivyochafuaga sera ya Mambo ya Nje na kupaka doa sehemu ndogo ya taswira ya mzee Mwinyi (kupitia kwa Rais Samia)

very nice nimefurah angalau umenikosoa kwa fact,ni kweli si may 30 2016,the year was 2019!
 
Shida ya jamii forum hadi mijinga na mishamba ....majitu ya ovyo vyo nayo yanajifanya machambuzi kumbe wanaandika ushuziii tu
 
Mnachoshindwa wapuuzi nyie kukitenganisha ni hayo madudu yote kwamba yalifanywa na CCM.

Endelea kutupa facts zinazounga nukta
 
Una hoja ila sio kwa staili aliyotaka kufanya"jiwe",kiufupi alikua anafanya cheap poltics kwenye mambo mazito.Alikua mlevi wa madaraka
 
Asante!
 
Loliondo ilikuwaje?
 
Tuhuma za kijinga sana hizi kutoka kwa mtu mjinga

1. Msikiti huo ulishajengwa na upo Kinondoni kama inavyoonekana hapo chini


2. Kiwanja cha michezo Dodoma hapo nane nane mlikwamisha ninyi wezi na wewe ukiwemo ila usanifu ulikuwa tayari. Mlichonga mpaka mfalme akaghairi kutoa pesa kisha mwamba akaahidi kujenga kwa kutumia pesa za ndani lakini mkauangusha mbuyu kabla haujafanya chochote ili mje muanze kashifa kama hizi

Majizi mnasumbuka sana lakini kuna siku mtalia na kusaga meno
 

Attachments

  • 1709650843933.png
    86.9 KB · Views: 4
Umetumia mat*ko kuandika??
 
Ngozi nyeusi tumelaaniwa mkuu wengi hawajitambui yanajua misaada inakuja bure
 
Daah angekuwepo kiwanja kingejengwa hichi ila kwa sasa haiwezakani tena
Majizi yameshika nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…