Anita Kajembe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2021
- 215
- 487
Umenena ukweli. Ni ujinga kuhangaika na mavumbi badala ya kuyarudisha mavumbiniKama kufa alishakufa..Alikufa Yesu mwana wa Mungu na akazikwa muda huo huo itakua yeye? Kumzungusha marehemu siku zote hizo na kufufuka ndo haiwezekani. Muda mwingine na Admire mazishi ya wenzetu Muslims
Anazikwa kesho hii ni ibada ya kumuagaHivi amezikwa lini...?
Wanasema huwezi kumkaribisha mgeni chakula kwenye sahani na vijiko vya plastic. If you do a party make it proper.Ila wanaijeria hasa wenye hela wana kufuru kubwa kubwa na ndogo ndogo
R.I.P TB Joshua
Let them make it properWanasema huwezi kumkaribisha mgeni chakula kwenye sahani na vijiko vya plastic. If you do a party make it proper.
Usiongee kitu ambacho hukijui huo ni utamaduni wa wanigeria wanakaa mbaka mwezi ni utamaduni wao, halafu kingine hakuna mtu aliyekushika mkono hamia dini hiyo unayotaka coz hulazimishwi mtuache na ukristo wetu kwakweliKama kufa alishakufa..Alikufa Yesu mwana wa Mungu na akazikwa muda huo huo itakua yeye? Kumzungusha marehemu siku zote hizo na kufufuka ndo haiwezekani. Muda mwingine na Admire mazishi ya wenzetu Muslims
Haiwezekani kuadmire iman kwa sababu ya tendo moja tuu. mimi si wezi hata siku moja nika admire mazishi ya dini nyingine kwa sababu ni kuadmire ibada piaKama kufa alishakufa..Alikufa Yesu mwana wa Mungu na akazikwa muda huo huo itakua yeye? Kumzungusha marehemu siku zote hizo na kufufuka ndo haiwezekani. Muda mwingine na Admire mazishi ya wenzetu Muslims
Kifo ni kifo tu,uzikwe kwa heshima au kwa dharau,if gone ,gone only,kikubwa ni matendo yako tu.Kweli tb joshua alipendwa nimeona kila rangi ya watu msibani hapo, wachina, wakorea, wajapan, wazungu, wahindi na hata waarabu ni balaa mazishi ya heshima kweli kweli
Kumbe bado tu wanamtembeza marehemu kama naniniiProphet T.B. Joshua
Lying in State.
Earlier, there was a procession conveying the body of God’s servant from The SCOAN Prayer Mountain to the church auditorium at The SCOAN, Ikotun-Egbe, Lagos, Nigeria.
Peaceful indeed is the rest of a man who preached and acted nothing but love, humility, compassion and service to humanity in the mighty name of Jesus Christ!
View attachment 1845748
View attachment 1845749
View attachment 1845750
View attachment 1845752
View attachment 1845753
View attachment 1845754
Angezikwa kipagani na ngozi ya kondoo na vitambaa vyekundu Kama Yule mwendakwaoKama kufa alishakufa..Alikufa Yesu mwana wa Mungu na akazikwa muda huo huo itakua yeye? Kumzungusha marehemu siku zote hizo na kufufuka ndo haiwezekani. Muda mwingine na Admire mazishi ya wenzetu Muslims