Jinsi ilivyokuwa ibada ya kumuaga TB Joshua

Jinsi ilivyokuwa ibada ya kumuaga TB Joshua

Prophet T.B. Joshua
Lying in State.

Earlier, there was a procession conveying the body of God’s servant from The SCOAN Prayer Mountain to the church auditorium at The SCOAN, Ikotun-Egbe, Lagos, Nigeria.

Peaceful indeed is the rest of a man who preached and acted nothing but love, humility, compassion and service to humanity in the mighty name of Jesus Christ!

View attachment 1845748
View attachment 1845749
View attachment 1845750
View attachment 1845752
View attachment 1845753
View attachment 1845754
Mchaga yuleeeeeeeeeeeee

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Usiongee kitu ambacho hukijui huo ni utamaduni wa wanigeria wanakaa mbaka mwezi ni utamaduni wao, halafu kingine hakuna mtu aliyekushika mkono hamia dini hiyo unayotaka coz hulazimishwi mtuache na ukristo wetu kwakweli
Safi
 
Kama kufa alishakufa..Alikufa Yesu mwana wa Mungu na akazikwa muda huo huo itakua yeye? Kumzungusha marehemu siku zote hizo na kufufuka ndo haiwezekani. Muda mwingine na Admire mazishi ya wenzetu Muslims
Kwani kusilimu inachukua muda gani? Jiunge na Waislam utazikwa chaap ukiwa umesokotwa mwenye sanda kama pipi katika karatasi bila hizi process zote
 
Kama kufa alishakufa..Alikufa Yesu mwana wa Mungu na akazikwa muda huo huo itakua yeye? Kumzungusha marehemu siku zote hizo na kufufuka ndo haiwezekani. Muda mwingine na Admire mazishi ya wenzetu Muslims
Yeye si anfufua wafu inakuwaje ameshindwa kujifufua au kuungana kina Gwaji boy na wenzake wamfufue
 
Back
Top Bottom