schizoid-man
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 402
- 389
Nice.. I do the sameHabari za wanawake hua simaindishi[emoji28][emoji28][emoji28]
I don't want to expect anything from anyone. Sitaki furaha yangu itoke kwa mtu, kadri ya mtu anavyotaka kunikaribia mie ndio najiweka mbali.Nice.. I do the same
Muda unavyozidi kwenda na kujifahamu, unashindwa ku entertain au kuchukulia serious any type of gesture from anyone ili kuulinda moyo from unexpected drama.
they may or may not have good intentions, but I am not willing to bet on that, kwasababu mara zote nilizojaribu nilikula za uso.
As a person with social anxiety, kuamini ni kipengele sana in my life, unaona bora uwe mwenyewe cause huwezi kujisaliti.
Kwa hili la kujifungia ndani tunafanana majirani wakisikia mziki unapigwa ndio wanajua kuwa nipoeti kama utumbo[emoji1].Mimi nina uwezo wa kukaa ndani hata mwezi mzima peke yangu na huwa siboreki kabisa,cha msingi niwe na mahitaji yote muhimu ndani.Wakati mwingine kama sina ratiba ya kutoka hata mlango wa kwanza ili nitoke nje huwa sifungui mpaka kesho yake.Nikiwa likizo huwa naenjoy Sana.
Nikiwa na kitabu changu pembeni,bundle kwa simu,basi nipo zangu ndani natafakari weeeeeh naenjoy sana.
Pia sipendi kelele kabisa,yaani mtu akitaka kuniweza mimi wala asiniendee kwa mganga kuniroga aniletee kelele tu atakuwa amenimaliza.
Wewe ni muongo, introvert ni kama ulemavu huwezi kuukimbia..... Nimejaribu ku escape miaka nenda rudi imeshindikana.Back in days nilikua introvert ila sasa hivi nimekua extroveta maana ningekufa na hamu zangu.
Personality ya mtu hua habadiri, behavior ndio inabadirika. Introvertism sio behavior..Wewe ni muongo, introvert ni kama ulemavu huwezi kuukimbia..... Nimejaribu ku escape miaka nenda rudi imeshindikana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni muongo, introvert ni kama ulemavu huwezi kuukimbia..... Nimejaribu ku escape miaka nenda rudi imeshindikana.
Kweli kabisa!!!Kwenye makundi ya binadamu i mean intro, extro na ambivert makundi nyota (zodiac signs) yanachangia kiasi kikubwa kudetermine group ambalo una exist.
Mfano nyota ya samaki(pisces ) watu wake wengi ni introvert while nyota ya simba(leo) watu wake wengi ni extrovert.
Na ukitaka kupata mwenza wa maisha consider makundi nyota.. utapata who is compatible to your sign and who is not
Brother! Unalazimisha kukosa hadi penati 🤣
Kama mimi hata kupiga simu naona kero, afadhali ku text
Kweli kabisa!!!
Huu uzi unanihusu kabisa ukiniona humu utajua hili jamaa ni liongeaji live sasa hauamini unayemuona
Ni aina ya watu wa kutoka kazini na kujifungia ndani
Marafiki wa kweli ninao wachache sana rafiki yangu ni mke wangu tu
Nikitoka job ni home ni ngumu sana kunikuta nachanganyika na watu mitaani au vikao vikao labda wasizidi wawili
CcDa'Vinci introverts wanashindwa kufanya maamuzi magumu sababu ya kujiuliza kwao. Yaani kitilia shaka msimamo wako
"Lakini vipi kama ikiwa"
"Na kwa upande mwingine"
Hizi nguvu huvutana sana kwa introverts 😢
Acha uongo bama ww ni mcharukoTutakomaaa kuandika ntaandika hata kitabu ila kuongea ni maneno machache sina maneno mengi, mii na ndani, ndani na mimi ila kuna madhara ya kuwa hivi jamani ,inaonekana kama umejitenga
Nijichanganye na watu ntajaribu ila inafikia wakati naboeka na makelele, napenda kusikiliza tu sio kuongea,,
Ole wanguuu.....