Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahahahaAcha uongo bama ww ni mcharuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahaAcha uongo bama ww ni mcharuko
Hahahahaa, sawa.Acha uongo bama ww ni mcharuko
Sawa, mcharuko huku nilipo ina maanisha Mwanamke ambaye hajatulia yaani yeye kila mtu , ni sawa , nmeghafirika sanaKeyboard warriors
Hahahahaha..aiseee akuombe radhiSawa, mcharuko huku nilipo ina maanisha Mwanamke ambaye hajatulia yaani yeye kila mtu , ni sawa , nmeghafirika sana
Ila kwa kuwa hatujuani, ni sawa
Pamoja🤝Naomba samahani mkuu haikua lwmgo langu kukuudhi
HahahaaaaHahahahaha..aiseee akuombe radhi
Pamoja🤝
Safi sana...imekaa vzrNaomba samahani mkuu haikua lwmgo langu kukuudhi
Duh!!! Very trueNaongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...
1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.
2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..
3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,
4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.
5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.
6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...
7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Ni kweli kabisaNaongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...
1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.
2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..
3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,
4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.
5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.
6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...
7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Kwa tom cruise hpn ni introvert yuleWanasiasa wengi wako kwenye EXTROVERT
Matapeli wengi wako kwenye EXTROVERT
Mawakili wengi wako kwenye EXTROVERT
Magicians wengi wako kwenye EXTROVERT
Enya ni mwanamuziki wa muziki wa New age....Umoja wa Introvert duniani tulimchagua Enya ndio awe malkia wetu. Queen of all introvert.
Miaka ya 90 alinunua jumba/castle iliyopo mlimani maporini akairekebisha akawa anaishi huko peke yake . Mpaka leo anaishi huko hana mtoto wala mume hana rafiki wala mashosti. Ila ana pesa ndefu balaa, alikua hana hata wafanya kazi
Halafu nyimbo zake zote ni za huzuni ukimsikiliza unaweza kulia kabisa. Sikiliza huu