Jinsi jamii ilivyotengeneza Panya Road

Jinsi jamii ilivyotengeneza Panya Road

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Habari zenu wakuu,

Habari inayotikisa jiji letu pendwa ni hawa watoto watukutu. Unaweza kujiuliza hawa watoto hawana wazazi? Hawana ndugu?

Mpendwa msomaji napenda kukujulisha kuwa kwa tafiti yangu ndogo nimegundua kwamba hawa watoto chanjo Chake ni jamii yenyewe hasa WAZAZI.

Unakuta MZAZI ana mtoto wa kiume hana uelekeo wowote wa maisha ila anamlazimisha KUOA, anaoa ili kuwaridhisha wazazi wake, mke anazaa maisha yanakuwa magumu, huyu baba wa mtoto anatelekeza familia anasepa KUSIKOJULIKANA. Hapo mtoto anakuwa bila malezi ya Baba, chini ya uchumi mbovu.

Mama anashindwa kuafford gharama za maisha then mtoto anaingia kitaa kutafuta chochote,anakutana na wenzake wenye mood kama yake. Kundi kubwa linazaliwa wanafuta bangi na zana kadhaa then wanaingia kitaa kufanya matukio kadhaa.

Wito wangu kwa wazazi: Acheni kulazimisha watoto wenu kuoa kama hawana uchumi wa kuhandle majukumu ya familia ili kuepuka wimbi kubwa la watoto wa mitaani na hawa PANYA ROAD.

NB: WANAUME WA DAR MJITAFAKARI KWAKWELI🤣🤣

EID MUBAARAK
 
Sisi wa Mikoani tunaona kama ni kichekesho vile kuhusu hao Panya road. How come watoto wadogo wawavuruge akili watu wazima kiasi cha kushindwa kujitetea!

Eti wako wengi! Na nyinyi kwa nini msitengeneze umoja wenu? Yaani wakitokea tu, mnawazingira na kuwapatia dawa yao stahiki.

Kama vyombo vya usalama vinawachekea, si mjichukulie tu sheria mkononi! Choma moto wote, halafu uone kama wataendelea kuwasumbua.

Vamieni maskani zao kwa kushirikiana na ofisi za mitaa, kata, nk.
 
Panyaroad wanapatikana uswahilini na wanashambulia uswahilini, sababu wamekosa malezi bora uswahilini. Na uswahilini ni matokeo ya serikali kushindwa sera ya mipango miji. Huwezi kuta mitaa iliyopangika kwa mstari ikawa na uchafu wa panya.
 
Sisi wa Mikoani tunaona kama ni kichekesho vile kuhusu hao Panya road. How come watoto wadogo wawavuruge akili watu wazima kiasi cha kushindwa kujitetea!

Eti wako wengi! Na nyinyi kwa nini msitengeneze umoja wenu? Yaani wakitokea tu, mnawazingira na kuwapatia dawa yao stahiki.

Kama vyombo vya usalama vinawachekea, si mjichukulie tu sheria mkononi! Choma moto wote, halafu uone kama wataendelea kuwasumbua.


Vamieni maskani zao kwa kushirikiana na ofisi za mitaa, kata, nk.
Nadhani polisi wanapima ubavu wa wanaume wa dar
 
Exactly, nan alaumiwe?
Waswahili means baba na mama au Jamii nzima juu ya kushindwa malezi.Pia serikali kushindwa kutimiza majukumu yake dhidi ya walipa kodi.Hawana mpango wa vijana tangu anazaliwa hadi atakufa apite njia zipi.
Panyaroad ni vifaranga vya kuku wa kienyeji vilivyotelekezwa na mama kuku
 
Mambo ya kulazimishana kuoa bila kazi or kipato or mali, kuolea nyumbani, kutelekeza familia kwenu, watoto kukua bila kumjua baba, familia kutokusaidia hawa watoto, Panya road ni tabia za watu wa pwani hasa Dar, sisi wa Kanda maalumu na mikoa mingine ya Bara hatuna huu ujinga.

Mtoto anapelekewa bakora tangu akiwa mdogo akikua amenyooka, na anafundishwa kazi za mikono ht km ni msomi.

Akitaka kuoa km hana kitu anapewa ng'ombe na ardhi akalime alee familia, na akizingua ktk familia tunamuita ktk vikao vya kifamilia/kimila tunamtembezea mboko mpaka akili ikae sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Waswahili means baba na mama au Jamii nzima juu ya kushindwa malezi.Pia serikali kushindwa kutimiza majukumu yake dhidi ya walipa kodi.Hawana mpango wa vijana tangu anazaliwa hadi atakufa apite njia zipi.
Panyaroad ni vifaranga vya kuku wa kienyeji vilivyotelekezwa na mama kuku
Umenena vema mkuu
 
Mambo ya kulazimishana kuoa bila kazi or kipato or mali, kuolea nyumbani, kutelekeza familia kwenu, watoto kukua bila kumjua baba, familia kutokusaidia hawa watoto, Panya road ni tabia za watu wa pwani hasa Dar, sisi wa Kanda maalumu na mikoa mingine ya Bara hatuna huu ujinga.

Mtoto anapelekewa bakora tangu akiwa mdogo akikua amenyooka, na anafundishwa kazi za mikono ht km ni msomi.
akitaka kuoa km hana kitu anapewa ng'ombe na ardhi akalime alee familia, na akizingua ktk familia tunamuita ktk vikao vya kifamilia/kimila tunamtembezea mboko mpaka akili ikae sawa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu nadhan jamii nyingi zingekuwa na malezi ya namna hii tungekuwa na jamii tulivu sana,Bila shaka huko hamna ombaomba kabsa🤣🤣🤣🤣
 
Habar zenu wakuu,Habari inayotikisa jiji letu pendwa ni hawa watoto watukutu.Unaweza kujiuliza hawa watoto hawana wazazi?hawana ndugu?

Mpendwa msomaji napenda kukujulisha kuwa kwa tafiti yangu ndogo nimegundua kwamba hawa watoto chanjo Chake ni jamii yenyewe hasa WAZAZI.

Unakuta MZAZI ana mtoto wa kiume hana uelekeo wowote wa maisha ila anamlazimisha KUOA,anaoa ili kuwaridhisha wazazi wake,mke anazaa maisha yanakuwa magumu,huyu baba wa mtoto anatelekeza familia anasepa KUSIKOJULIKANA.Hapo mtoto anakuwa bila malezi ya Baba,chini ya uchumi mbovu.

Mama anashindwa kuafford gharama za maisha then mtoto anaingia kitaa kutafuta chochote,anakutana na wenzake wenye mood kama yake.Kundi kubwa linazaliwa wanafuta bangi na ZANA kadhaa then wanaingia kitaa kufanya matukio kadhaa.

Wito wangu kwa wazazi:Acheni kulazimisha watoto wenu kuoa kama hawana uchumi wa kuhandle majukumu ya familia ili kuepuka wimbi kubwa la watoto wa mitaani na hawa PANYA ROAD.

NB:WANAUME WA DAR MJITAFAKARI KWAKWELI🤣🤣

EID MUBAARAK
Paka road wapo wapi mpaka panya road wanazaliana kiasi hiki?
 
Habari zenu wakuu,

Habari inayotikisa jiji letu pendwa ni hawa watoto watukutu. Unaweza kujiuliza hawa watoto hawana wazazi? Hawana ndugu?

Mpendwa msomaji napenda kukujulisha kuwa kwa tafiti yangu ndogo nimegundua kwamba hawa watoto chanjo Chake ni jamii yenyewe hasa WAZAZI.

Unakuta MZAZI ana mtoto wa kiume hana uelekeo wowote wa maisha ila anamlazimisha KUOA, anaoa ili kuwaridhisha wazazi wake, mke anazaa maisha yanakuwa magumu, huyu baba wa mtoto anatelekeza familia anasepa KUSIKOJULIKANA. Hapo mtoto anakuwa bila malezi ya Baba, chini ya uchumi mbovu.

Mama anashindwa kuafford gharama za maisha then mtoto anaingia kitaa kutafuta chochote,anakutana na wenzake wenye mood kama yake. Kundi kubwa linazaliwa wanafuta bangi na zana kadhaa then wanaingia kitaa kufanya matukio kadhaa.

Wito wangu kwa wazazi: Acheni kulazimisha watoto wenu kuoa kama hawana uchumi wa kuhandle majukumu ya familia ili kuepuka wimbi kubwa la watoto wa mitaani na hawa PANYA ROAD.

NB: WANAUME WA DAR MJITAFAKARI KWAKWELI[emoji1787][emoji1787]

EID MUBAARAK
Upo sahihi, shida ipo kwenye malezi sio panya road tu na majambazi na machangudoa pia!
 
Mbona wengine tulilazimishwa kuoa tukakataaa..hao walioowa kwa kufuata maelekezo kutoka kwa wazazi ni mazuzu...
 
Mambo ya kulazimishana kuoa bila kazi or kipato or mali, kuolea nyumbani, kutelekeza familia kwenu, watoto kukua bila kumjua baba, familia kutokusaidia hawa watoto, Panya road ni tabia za watu wa pwani hasa Dar, sisi wa Kanda maalumu na mikoa mingine ya Bara hatuna huu ujinga.

Mtoto anapelekewa bakora tangu akiwa mdogo akikua amenyooka, na anafundishwa kazi za mikono ht km ni msomi.

Akitaka kuoa km hana kitu anapewa ng'ombe na ardhi akalime alee familia, na akizingua ktk familia tunamuita ktk vikao vya kifamilia/kimila tunamtembezea mboko mpaka akili ikae sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂
 
Back
Top Bottom