Your so humble bro. Trust me Utaenda mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shukrani sana kwa maneno yako haya ya kipekee sanaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu shukrani sana kwa maneno yako haya ya kipekee sanaa.
Hahahaha daah wee mkuu umenichekesha sanaa na hizi tuhuma ulizo zileta ni kama unazileta kwa li mtu flani tajiri sanaa,,,, anyways, ilo la miguu ya kuku sikua na fahamu jombo lolote hadi siku nilipoona mtu kapost amefariki, ndipo nikapitia uzi zake za nyuma nikaona alikua kwenye depression kubwa sanaaa, na hoja zake alivyozileta watu wengi walijua ni mizaha tu, ila ile iliniuma sanaa, may be wakati ule mimi au wewe tungeweza kusaidia lolote kabisaa,,, shida inakuja pale pale watu ni wagumu kumuamini mtu mara moja kua ana matatizo wengi et mpaka waone ila sio kusikia.Mbona hukumsaidia miguu ya kuku Hadi kajinyonga ,na pesa unazo ,Tena hata humu ukawa huonekani tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sanaa mkuu, sana.Hongera mkuu, huu uzi ndio Umenikumbusha hongera sana kwa kukamilisha
Sent using Jamii Forums mobile app