Jinsi jesca alivyojiunga udom

Mohamedy cadinaly

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2012
Posts
2,449
Reaction score
2,245
Jesca: Mwalimu mimi nataka
nisome form six kwani hii form 4 halinifai.
Mwalimu: Kwa nini unasema hivo?

Jesca: Nina akili...
Basi mwalimu kamueleza mkuu wa shule.

Mkuu kaitisha interview na jesca. Maswali ni haya....

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 157 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Jesca: Yatabaki 156.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo
kwenye friji.

Jesca: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani
kwenye friji.

Jesca: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Jesca: Ni nyani kwa sababu tumemuweka
kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Jesca: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani kwa nini?

Jesca: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Mwalimu "Huyu Mtoto
akasome UDOM........"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Walahi watu mna maneno kweli. hii sarakasi ikishia Lugumi atakuwa kapiga kwengine ten. Maana watu wako busy na baba jesca na vilaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…