Kama chama kinakiuka kanuni nq taratibu,tena chama tawala,wanatoa taswira gani kwa wananchi ambao kwa namnamoja au nyingine wanaamini chama cha kijani kinaviongozi ambao wakipewa madaraka wanatabia ya kukiuka sheria na kanuni zilizotungwana bunge la JMT bila sababu za msingi... kama ambavyo wameweza kukiuka taratibu katika mchakato wa kumpata mpeperusha bendera ya urais,baadhi ya viongozi wanaokiuka taratibu na sheria za nchi ni kama waziri mkuu Pinda hasa pale alipotamka WAPIGWE TU.Japo madhara ya EL yanawezakuwa underestimated lakini yanawezakuwa makubwa kuliko ilivyo na inavyotarajiwa,leo hii nani alitegemea mtu kama James Lembeli anawezahamia CHADEMA... ngoja tuone mustakabali wa hili saga.