Jinsi K Vant ilivyomkutanisha rafiki yangu na malaika

Vitu vyenyewe vichunguuuuu mnawezaje kuvinywa kwa wingi?
 
Rafiki yangu Jamila mtoto wa sheikh, muda wote yuko ndani ya baibui kumbe anakynywa ma K Vant akanywa chumbani kwake hadi akafa.
Siku mbili mtu haonekani kuvunja mlango kafa amezungukwa na machupa ya K Vant, sigara na vipisi vya bangi
😫😫😫 Duuuh seriously?
 
Story yako nzuri kuonya watu wanaokunywa kwa kutaka sifa ila mpaka hapa umeweka siri zako umevunja sheria kuwa na nyara za serikali mbuni haruhusiwi kuwindwa kwa sungura unaweza samehewa maana wako hata mapori ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…