Vitu vyenyewe vichunguuuuu mnawezaje kuvinywa kwa wingi?Hahaaaa kwani umeelewaje? Wao wametumia lugha ya kibishara sasa mtu anakunywa kwa kutaka kujionyesha ni bingwa matokeo yake ndo hayo. Mbona inaeleweka tu kirahisi! Responsible drinking means more than just limiting yourself to a certain number of drinks. It also means not getting drunk and not letting alcohol control your life or your relationships.
Kwa kweli ile ni habari nyingineHatari sana
Jamani nimekuja Musoma Mkoani Mara huku hamna Double Kick wana makorokoro yaoWewe umekunywa takataka inaitwa Valeur?
Na yenyewe ni kifutio?Wewe umekunywa takataka inaitwa Valeur?
Ile inabidi upime uzito kablwa yakunywaNa yenyewe ni kifutio?
Yallah...Ile inabidi upime uzito kablwa yakunywa
π«π«π« Duuuh seriously?Rafiki yangu Jamila mtoto wa sheikh, muda wote yuko ndani ya baibui kumbe anakynywa ma K Vant akanywa chumbani kwake hadi akafa.
Siku mbili mtu haonekani kuvunja mlango kafa amezungukwa na machupa ya K Vant, sigara na vipisi vya bangi
K Vant sio poa mara 7,70 KonyagiIna maana k vant inafuta memory ?konyagi inafuta? Maana inanitokea sana nikinywa sana asubuhi sikumbuki kitu ila sikuwaza huko
Ile inabidi upime uzito kablwa yakunywa
K Vant hata wenyewe hawana tafsiri yakeK Vant sio poa mara 7,70 Konyagi
Mchanganyiko chotara wa habari, hoja, taarifa na vyanzo mbalimbaliHii ni habari au hoja? π€
Hivi ndio tayari nimesha lewa ama? Hii Mirinda π imetokea wapi tena?Hii mada mpaka uwe umepiga Kvant ndio utaelewa...
Wewe umekunywa takataka inaitwa Valeur?
HhhahaaaMchanganyiko chotara wa habari, hoja, taarifa na vyanzo mbalimbali
Yesπ«π«π« Duuuh seriously?