Jinsi kamari (betting) ilivyonipotezea shilingi laki 6 ndani ya siku 60 tu

Tafute odd 2 kila siku kwa mtaji wa 50000/= utarudisha pesa yako na faida juu
 
Usitupangie we umepoteza laki 6 kwa miez 2 watu tupo ndani ya hii game kwa miaka 5 na kuendelea sema kama vip niwe nakupa odds za uhakika.
Kesho tudondoshe odds 1.7 za uhakika
 
Kuna aya inasema kuwa kamari ina manufaa kwa watu ila madhara (madhambi) yake ni makubwa kuliko manufaa yake.

Yes hapa tunaona manufaa yake makubwa ni kwa bookie aliyeanzisha kampuni ya kamari. Na madhara makubwa ni wale wanaocheza kamari. 99% are loosers .
 
Usiumie mzee u achangia pato la taifa na pia sector ya michezo
Siumii kuhusu pesa cuz impact yake huwezi kuiona sasa hv .Ni mpaka ipite miezi,mwaka na miaka .Ukija kupiga hesabu ushatupa zaidi ya 50million halafu hata kibanda huna .

My biggest concern here is this addiction thing that kept building over time.

Sijui ushakutana na mraibu wa pombe ambae anasema kuwa hawezi kuacha pombe cuz hawezi kufanya ishu yoyote mpk anywe kidogo!? Sasa uraibu wa kamari nao ndio upo hivyo
 
Sijaiona. Ntaifuta mkuu niendelee kujifunza
 
Hayo maneno ya beti kistaarabu ni maneno ya kisiasa tu.Ukweli ni kwamba hakuna mwanadamu duniani anaepensa kuwa looser, haijatokea na haitatokea. Unavyozidi kucheza na kupoteza ndio hasira zinazidi kujengeka ile haiba ya furaha na uchangamfu hupotea na hayo ndio maisha ya wakamaria wengi
 
Sijaiona. Ntaifuta mkuu niendelee kujifunza
Q2:219

They ask you ˹O Prophet˺ about intoxicants and gambling. Say, “There is great evil in both, as well as some benefit for people—but the evil outweighs the benefit.” They ˹also˺ ask you ˹O Prophet˺ what they should donate. Say, “Whatever you can spare.” This is how Allah makes His revelations clear to you ˹believers˺, so perhaps you may reflect
 
Muhindi (kanji) ,ukipata anakupa sh 10 ukikosa anachukua sh 100 yako.

Yeye ndie anayepata manufaa
 
Wewe hata user name inajieleza tu kuwa wewe ni mkamaria

By the way hamna nmna Mimi najua huwezi kuacha kamari

Maana ushakua teja no way out
 
Pole mzeya sie wengine uraibu wa mbususu yaani ulale bila kicheza na vuzi la mwanamke usingizi haupiti
 
Usitupangie we umepoteza laki 6 kwa miez 2 watu tupo ndani ya hii game kwa miaka 5 na kuendelea sema kama vip niwe nakupa odds za uhakika.
Miaka 5?? Nipo mwaka wa 12 huu, nilianza na zile za premier bet za karatasi
 
Miaka 5?? Nipo mwaka wa 12 huu, nilianza na zile za premier bet za karatasi
Vip bado upo kwenye game??? Maana mkeka wa leo kazi ya mikono yangu mwenyewe.
 
Binafsi uraibu wangu wa kamari nimekuwa nikiuficha sana kiasi kwamba nobody in my family knows about it.

Ila nimeazimia kutumia kila jitihada kuacha masuala ya kubeti ,Mungu ajaalie iwe hivyo na anifanyie wepesi.
Mimi nilianzaga kimasikhara sikuwa na elimu na siku ya kwanza tu niliwwka 15000 nikabet mechi za siku 3 nikala 210000.
Nikaona eh kumbe easy.
Hapo ndo nikaanza rasmi, nikhawa na bet basket nakuka na kuliwa.
Siku moja nilipigwa ela ndefu sana, zaid ta 800k kwa siku moja.
Nikasema kuanzia leo mimi na betting basi, sasa ni mwaka wa pili sijabet.
Nikuwa nimebet kwa takribani mwaka mmoja.
 
Hongera kwa kuacha na muombe sana Mungu akulinde usije kurudia huu mchezo
 
N
Nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…