Jinsi kanisa lilivyovunja ndoa ya binamu yangu na kumfuja mali za talaka, wanawake wanaoabudu manabii wa mchongo wamechotwa akili huwaambii kitu

Wacha weeeeee. 🚮
 
Wanawake huwaambii kitu Kwa wachungaji.Dawa Yao nikuwaacha tu wakamuliwe hadi pale akili zao zitakapofunguka.
 
acha umaandazi dogo, kutetea upumbavu
 
Poleni sana
 

Attachments

  • spananzito_20240830__1829354424138924075_1_18293544057217843200.mp4
    745.8 KB
We acha bla bla Wakatoliki hawana wizi
Ndivyo ulivyopumbazwa, huwezi kuona kama unaibiwa. Sadaka unayotoa unampelekea mwanaume mwingine yuko Vatican amekaa ametulia anakula maisha huo sio wizi?

Ni bora hata wanaotoa wanampa mwamposa mbongo mwenzetu ale kuliko wewe kutunza wazee wa kizungu wanaijiita papa wamekaa wametulia na wala hawakujui.
 
Unajiita Evil genius halafu unadai hakuna MUNGU? There is no evil if God doesn't exist. Kinyume cha Mungu ni shetani so huwezi kujiita mfuasi wa shetani while you deny God existence. Labda useme hivi, "wewe unachukia mambo yote ya Mungu but ni mpenzi na mfuasi wa shetani" hapo nitaelewa
 
Yule mwinjilishaji na mwanasiasa mwenye cheo kikubwa kuliko Rais kule Kawe anasemaje
 
Uovu hauhusiani na shetani wala wema ama uzuri hauhusiani na mungu. Hivyo ni viumbe ambavyo havipo.
 
Uovu hauhusiani na shetani wala wema ama uzuri hauhusiani na mungu. Hivyo ni viumbe ambavyo K

Uovu hauhusiani na shetani wala wema ama uzuri hauhusiani na mungu. Hivyo ni viumbe ambavyo havipo.
Kwani neno Mungu au shetani lina maana gani? Or let me put this way, hapa duniani kuna JINA la kitu halafu hicho kitu HAKIPO? Nini huanza, kitu au jina la kitu?
 
Kwani neno Mungu au shetani lina maana gani? Or let me put this way, hapa duniani kuna JINA la kitu halafu hicho kitu HAKIPO? Nini huanza, kitu au jina la kitu?
Mkuu mbona swali lako la kitoto sana. Kuweka jina la kitu ambacho hakipo mbona ni jambo dogo sana. Unaweza kutunga tu jina la kitu chochote, hilo halihitaji uwe umemaliza darasa la 7 kulijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…