majam19
JF-Expert Member
- Nov 13, 2024
- 900
- 971
Habar za mda ndugu zangu.
Leo nmependa kujumuika na vijana wenzangu ambao hawana ajira na bado wanalilia ajira nawapa pole sana.
NIANZE HAPA;mm ni kijana wa miaka26 Sasa,
nilizaliwa mkoani Tanga katika familia hata kula yetu ulikuwa Haina mpangilio wa ratiba,
kunawakat tulilala njaa kabisa
nikasoma katika mazngira magumu kidogo na Kwa bahati mbaya matokeo yang ya kidato Cha nne hayakuwa mazur nlipata four ya 28
nikiwa na pass za masomo 10 yote niliyofanya mtihani hapo ndipo ugumu wa maisha yangu
ya kusaka tonge ulipoanza nlikutana na
upinzani wa maneno makali kutoka Kwa
babayangu mzaz maana shuleni nilikuwa vizur sana masomo ya sayansi niliyapenda sana
ingawa matokeo ya mwisho yaliniumiza sana na kunikatisha tamaa kabisa kabisa huo ulikuwa n mwaka 2017 na hapo nilitimiza miaka 18,
baada ya matokeo ilinibidi niwe mtu wa
mawazo sana kiufupi nilikonda na kuonekan ni
kijana zaifu sana ukichanganya na maisha ya
nyumban jinsi yalivyokuwa pale nilijiona nimepoteza tumaini la maisha yangu yote niliyo yapambania sababu niliamini huo ndyo mwisho
wangu wa elimu maan Mzee asingekubali
kunipeleka chuo chochote ingawa bado
nilikuwa na nafasi nyingne ya kusoma kozi
nying na nzur tuuh,basi bhn maisha ya kazi mtaani ni saidia fundi Kwa siku ulikuwa n 9 au 10 elfu sababu sikuwa na ujuz wowote nilijuana na watu wengi sababu walifahamu sifa zangu za kusoma na maisha yangu kiufupi wengine walinicheka nkaumia sana😤😤😤😤
wengine walinipa pole na kunifariji katka nyakati hizi ngumu pamoja na majiran zangu mafundi ujenzi kuniita wakipata Kaz niwe napata riziki kidogo mana waliyajua maisha ya nyumban kwetu na ninayoyapitia kiujumla,maisha ya saidia fundi bado nayo hayakuwa mazur maan kuwanawakati unaweza kaa wiki2 huna Kaz ivyo nilizid kuwaza ni Kwa jinsi nitaishi na je?hii ndio hatma ya maisha yangu kweli niliumia nikatamani ninywe sumu nife maana Sina mtetez nlikuwa nikilia bila tumaini hasa ninapowaona wenzangu
wamerud likizo za shule,vyuon kiukwel nilitaman nijinyonge kabsa mwaka2018 Kuna braza mmoja nilikuwa namchulia kama kakangu alinipa nafasi ya kutafuta wazo lolote la ujasiliamali lenye kuanza na mtaji mdogo Kisha atanipa mtaji then baada ya kupata faida nmrudishie mtaji hapo kazi ikaanza ya kutafuta wazo la biashara Sina experience yeyeto na biashara basi nikapata wazo la kuwa nanunua nazi vijijini nakuja kuuza mjini kweli braza akani kiasa Cha laki3 kwaajir ya kuanzia nakumbuka nilipata tabu sana sio kidogo kulala vijijini wakat mwingne kwenye vijumba vibovu huko mashamban na bado nilipofika mjini nlikutana na upinzani mkubwa wa Bei sababu mtaji wangu ulikuwa hafifu na either nipate faida kidogo sana au nkose kabisa kabisa urudi mtaji tuuh basi nlifanya Kwa miez kazaa bila matunda yeyote mpaka ikafika mda niliona Bora nirudishe pesa ya watu isijepotea nitalipa nn mie.basi nilifika tamati ya iyo biashara nkafuta kaka nmpe jina la Jose siku narudisha ile pesa nikiwa ninamawazo na nmekata tamaa kweny biashara iyo Jose akaniuliza.
Jose;vp mbona mapema Leo
Mim;kaka naona Hali inazid kuwa ngumu
Jose;kwnn mdogo wangu (.....)??
Mim; biashara ni ngumu Hadi naogopa
nisijepoteza hii pesa Yako kaka maan sipati faida
Jose;ahahaha 😁😁 ndyo biashara zlivyo uwezu Anza Kwa faida tuh lazma upitie yote hayo
Mim;yaan kaka mpaka nahisi kuchanganyikiwa hapa
Jose; usiogope mdogo wangu mm Nina wazo jingne
Mim:wazo gani kak(.....)??
Jose;kwann usiwe unasafirisha kupeleka Arusha kule kuuhitajibmkubwa wa nazi sana
Mim;kweli kaka huku nikiwa nmepata faraja kidogo
Jose;iyo ela Bakinayo nakuongeza laki3.5 ili ufanye Kwa ukubwa kidogo saw dogo
Mim;saw kak nitambana mpaka mwisho nione napata faida.
Safari ya Arusha itaendelea na Mikasa yake huko
Leo nmependa kujumuika na vijana wenzangu ambao hawana ajira na bado wanalilia ajira nawapa pole sana.
NIANZE HAPA;mm ni kijana wa miaka26 Sasa,
nilizaliwa mkoani Tanga katika familia hata kula yetu ulikuwa Haina mpangilio wa ratiba,
kunawakat tulilala njaa kabisa
nikasoma katika mazngira magumu kidogo na Kwa bahati mbaya matokeo yang ya kidato Cha nne hayakuwa mazur nlipata four ya 28
nikiwa na pass za masomo 10 yote niliyofanya mtihani hapo ndipo ugumu wa maisha yangu
ya kusaka tonge ulipoanza nlikutana na
upinzani wa maneno makali kutoka Kwa
babayangu mzaz maana shuleni nilikuwa vizur sana masomo ya sayansi niliyapenda sana
ingawa matokeo ya mwisho yaliniumiza sana na kunikatisha tamaa kabisa kabisa huo ulikuwa n mwaka 2017 na hapo nilitimiza miaka 18,
baada ya matokeo ilinibidi niwe mtu wa
mawazo sana kiufupi nilikonda na kuonekan ni
kijana zaifu sana ukichanganya na maisha ya
nyumban jinsi yalivyokuwa pale nilijiona nimepoteza tumaini la maisha yangu yote niliyo yapambania sababu niliamini huo ndyo mwisho
wangu wa elimu maan Mzee asingekubali
kunipeleka chuo chochote ingawa bado
nilikuwa na nafasi nyingne ya kusoma kozi
nying na nzur tuuh,basi bhn maisha ya kazi mtaani ni saidia fundi Kwa siku ulikuwa n 9 au 10 elfu sababu sikuwa na ujuz wowote nilijuana na watu wengi sababu walifahamu sifa zangu za kusoma na maisha yangu kiufupi wengine walinicheka nkaumia sana😤😤😤😤
wengine walinipa pole na kunifariji katka nyakati hizi ngumu pamoja na majiran zangu mafundi ujenzi kuniita wakipata Kaz niwe napata riziki kidogo mana waliyajua maisha ya nyumban kwetu na ninayoyapitia kiujumla,maisha ya saidia fundi bado nayo hayakuwa mazur maan kuwanawakati unaweza kaa wiki2 huna Kaz ivyo nilizid kuwaza ni Kwa jinsi nitaishi na je?hii ndio hatma ya maisha yangu kweli niliumia nikatamani ninywe sumu nife maana Sina mtetez nlikuwa nikilia bila tumaini hasa ninapowaona wenzangu
wamerud likizo za shule,vyuon kiukwel nilitaman nijinyonge kabsa mwaka2018 Kuna braza mmoja nilikuwa namchulia kama kakangu alinipa nafasi ya kutafuta wazo lolote la ujasiliamali lenye kuanza na mtaji mdogo Kisha atanipa mtaji then baada ya kupata faida nmrudishie mtaji hapo kazi ikaanza ya kutafuta wazo la biashara Sina experience yeyeto na biashara basi nikapata wazo la kuwa nanunua nazi vijijini nakuja kuuza mjini kweli braza akani kiasa Cha laki3 kwaajir ya kuanzia nakumbuka nilipata tabu sana sio kidogo kulala vijijini wakat mwingne kwenye vijumba vibovu huko mashamban na bado nilipofika mjini nlikutana na upinzani mkubwa wa Bei sababu mtaji wangu ulikuwa hafifu na either nipate faida kidogo sana au nkose kabisa kabisa urudi mtaji tuuh basi nlifanya Kwa miez kazaa bila matunda yeyote mpaka ikafika mda niliona Bora nirudishe pesa ya watu isijepotea nitalipa nn mie.basi nilifika tamati ya iyo biashara nkafuta kaka nmpe jina la Jose siku narudisha ile pesa nikiwa ninamawazo na nmekata tamaa kweny biashara iyo Jose akaniuliza.
Jose;vp mbona mapema Leo
Mim;kaka naona Hali inazid kuwa ngumu
Jose;kwnn mdogo wangu (.....)??
Mim; biashara ni ngumu Hadi naogopa
nisijepoteza hii pesa Yako kaka maan sipati faida
Jose;ahahaha 😁😁 ndyo biashara zlivyo uwezu Anza Kwa faida tuh lazma upitie yote hayo
Mim;yaan kaka mpaka nahisi kuchanganyikiwa hapa
Jose; usiogope mdogo wangu mm Nina wazo jingne
Mim:wazo gani kak(.....)??
Jose;kwann usiwe unasafirisha kupeleka Arusha kule kuuhitajibmkubwa wa nazi sana
Mim;kweli kaka huku nikiwa nmepata faraja kidogo
Jose;iyo ela Bakinayo nakuongeza laki3.5 ili ufanye Kwa ukubwa kidogo saw dogo
Mim;saw kak nitambana mpaka mwisho nione napata faida.
Safari ya Arusha itaendelea na Mikasa yake huko