Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
MKUU VIPI MAJI WENGI HUKIMBILIA BAGAMOYO KISA MAJI SEHEMU NYINGI YAPO HUKO NI KUKAME VIPI HILI MKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUU VIPI MAJI WENGI HUKIMBILIA BAGAMOYO KISA MAJI SEHEMU NYINGI YAPO HUKO NI KUKAME VIPI HILI MKUU
baada ya kuelewa nini kinafuata?????????????????????????Alama za uandishi mkuu maana nimesoma mara tatu ndo nikaelewa ulichomaanisha hasa mstari wa mwisho.
Katika kauchunguzi kangu kadogo nimegundua watu wengi wanalazimisha kilimo kwenye ardhi ya bagamoyo wakati sio rafiki kwa kilimo,watu wamesahau upande huu wa Mkuranga,Kimanzi na Rufiji ambapo pana ardhi bikra na pia bei ni chee.
Watu wengi wanakimbilia bagamoyo ambapo ardhi ni ghali na haina rutuba kama iliyopo kanda hii mfano jamaa yangu amenunua Bagamoyo na mimi nikanunua Kimanzi, amepanda ufuta na mimi nimepanda ufuta,wangu umetoka wote tena una rutuba vizuri,wake umetoka moja moja, amarudia lakini hali ni ile ile.
Mimi nachanja mbuga saizi nipo kwenye palizi yeye amekata tamaa,ukitaka utoke kwenye mashamba ya bagamoyo uwe na capital ya kutosha,hata nanasi ya kimanzi au rufiji na ya bagamoyo huwezi linganisha,bagamoyo ameiweza mkwere kwenye nanasi kwakuwa ana capital kubwa,hata shukuru kawambwa naona anahangaika tu, vijana wenzangu nawakaribisha kimanzi.
maisha ndio yatakufunza wala sio mimi,na mimi mwanzoni nilikuwa nauliza ni wapi ni wapi ila mwishowe nilienda mwenyewe bila kuelekezwaNaomba kuuliza,
huko KIMANZI ndo wapi??
kununua mkuu tena mnaenda mpk serikali ya kijijiMkuu, LAKI MBILI kukodi au kununua?
maisha ndio yatakufunza wala sio mimi,na mimi mwanzoni nilikuwa nauliza ni wapi ni wapi ila mwishowe nilienda mwenyewe bila kuelekezwa
Mkuu weka contact basi ili tuweze kuwasiliana, nilikufuata pm naona kimya..!!kununua mkuu tena mnaenda mpk serikali ya kijiji
Kimanzichana ni kata ya Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani barabara ya kwenda Kusini Lindi na Mtwara, ni sawa na KM 77 (kwa mujibu wa SUMATRA link http://www.sumatra.go.tz/index.php/...es-salaam-hadi-wilayani-march-2011?Itemid=234) ukitokea Mbagala nauli daladala ni 2,400/=Naomba kuuliza,
huko KIMANZI ndo wapi??
kumbe karibu sana na mjini,unaenda kupalilia unarudi kulala mjini,safi sanaKimanzichana ni kata ya Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani barabara ya kwenda Kusini Lindi na Mtwara, ni sawa na KM 44 ukitokea Mbagala nauli daladala ni 2,400/=
KM 77kumbe karibu sana na mjini,unaenda kupalilia unarudi kulala mjini,safi sana
Nashukuru sana mkuu.Kimanzichana ni kata ya Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani barabara ya kwenda Kusini Lindi na Mtwara, ni sawa na KM 44 ukitokea Mbagala nauli daladala ni 2,400/=
ni KM 77 ila hayo mashamba ya laki mbili kwa heka huwezi kuyapata hapo centre lazima itakuwa ndani ndani hivyo mtoa mada anaweza kusaidia kuna umbali gani kutoka kimanzichana centre hadi mashamba yalipo.Nashukuru sana mkuu.
Shukhran sana!!
inaaproch ten years nowNchi hii bado ardhi ni bei rahisi sana ila kwasababu watu tunataka kujazana Dar na tunalipenda joto la Dar basi ukipelekwa keingine unaona maisha ni magumu sana ila baada ya miaka 10 ijayo misoto itakuwa mikubwa na ndipo tutakapokumbuka huko tulipopaita Sigimbi ila napo patakuwa hapashikiki kwa bei za mashamba