Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

Hivi zile lyrics anazoimba kwa kiswahili.. unaona aki translate kuwa za kimombo bado watu watasikiliza na kufurahia.. haswa zenye kuimba juu ya kutendana tendana tu anazotoa sana na wenzaketangu mwaka jana?
Akili yako ndogo sana we unafikiri kuwa akianza kuimba kwa kingereza ..atakua anaanza kutunga kwa kiswahili afu ndo a translate kwa kingereza ..??? Haiko hvyo. Km akiamua kuimba nyimbo ya kwa kingereza ujue hata wakat anaandika atakua anatumia maneno ya kingereza

From profile picture to proper future
 

Mie niko tofauti kidogo kwa mtazamo huu,

Nadhani wewe mtoa mada Lugha yako ni kiswahili, English ni second language kwako,

Leo hii nikuletee wasanii watatu,
1)Diamond
2)Davido
3)Wizkid
Halafu nikwambie chagua mmoja tu mkali sidhani kama utachagua Diamond.

Kwa nini nimetoa mfano huo? Nimejaribu kukuletea mtu ambae unasema lugha yakiingereza ni kikwazo kwake kwenda kimataifa ili umpime katika lugha yake anayotumia na hao wengine.

Kwa hiyo unaposema hawa jamaa kuna kipindi walikua sawa yaweza kuwa kweli lakini ni kipindi walikua bado hawajapata kuonyesha uwezo wao,

Leo hii Diamond pamoja na kutumia kiswahili ambacho ndicho unachotumia wewe mtoa mada bado huwezi kumchagua kwamba ni bora kuliko wengine(japo wewe sio mzungu) kusema kwamba ligha yake huijui.

Kikubwa anachotakiwa kufanya ndugu yetu ni connection za maana, aboreshe mziki wake, na pia ajaribu kuangalia vizuri timu yake ya fitna, wanaigeria wanapata suport kubwa sana lakini management zao zinafanya vitu vya ziada kwa wao kupenya duniani.

Kuna kipindi P SQUARE waliwahi kusema wao wanapotoa ngoma mpya hutuma watu sehemu mbali mbali kusikilizia mwitikio/mapokeo yake, hata hapa Tz wanatuma mtu aje asikilize ngoma imepokelewa vipi?
Hiko ni kitu kidogo lakini muhimu sana,

Je ni vingapi kama hivyo management ya D huwa haivitilii maanani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu mtoa Mada simuelewi wakongo wanaimba na lugha yao ila niwakali matata sema D'mond kama kashuka as mtoa mada anavyosema, then akae chini aangalie anakosea wapi then arekebishe,
Hilo la lugha 99% it's big NO!
Dah ingekuwa hivyo akina Franco Luambo Makiadi, Bongo man, Koffi Olomide n.k tusingewaju maana hata sielewi wanaimba nini ila miziki yao naipenda balaa...

renegade
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…